Allah awajalie moyo wenye ujasiri kama walivyokuwa masawahaba wa mtume na awajalie vizazi bora ambavyo vitakuja kuwasaidia waumini wa kiislamu
@halimandune73177 ай бұрын
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh.I. Nillikuota ww uniombee dua ili maisha yangu yafunguke innshAllah. Niko na maisha ya madeni shule,na kimaisha.
@rehemamohammed55347 ай бұрын
Ustadh allah akueke Inshallah
@KassimSuleiman-od2uw5 ай бұрын
Mashallah Allah ukupee maisha marefu inshallah
@ShaibuMtalaguliaАй бұрын
Allah akupe umri mrefu ili uenderea kuwa mwalim mwema amin
@tresorkinyeshe69657 ай бұрын
Assalamaleukum kabisa dr sule namupenda sana uyu cheikh kwakweli Allah azidi kumupa pumzi na amzidishiye umri azidi kuendesha kazi yake mbele alahuma Amin
@obirosalim6 ай бұрын
Mashallah kweli kabisa hata Mimi nkakumbuka nilisoma hivyo kwa somo la sira ingawa Sina elmu kubwa
@miskyabdillah74516 ай бұрын
Bismillh mashaalh Allah azidi kukulinda sheikh Sule🙏🙏🙏
@MwanaishaMsangi-p5q2 ай бұрын
Jazzakallah heir
@nasrihussein42935 ай бұрын
Jazskhahul kheiran
@athmanhamza48982 ай бұрын
MashaAllah
@kurthummohamed62907 ай бұрын
Manshaallh dr sule nakupenda sana ❤❤❤
@ANITHAPATRICK-jk9yq6 ай бұрын
Maaashaallah bibfatm nakutakia kher
@othmanmaulid48678 ай бұрын
MashaAllah!! Nakupata Kutoka Toronto Canada
@ismailsoud36347 ай бұрын
Asalaam a.kum. Kuna langu Soud , nina habari za moja kwa moja kutokana na mbinguni, hii ni Kalama Mwenyezi Mungu amenipatia. Nazungumza habari sahihi kuanzia za tangu na tangu za mitume wote na vitabu na hadithi zote katika haki. Na hili ni haki imekuja kuitetea haki.
@bintmbarouk10046 ай бұрын
ALLAH AKUBARIK NA KULINDE NA MAADUI AMIIIN
@AffectionateAirboat-mz7zt6 ай бұрын
Allah akuzidishie baraka do sule
@yusuphomary74106 ай бұрын
Sheikh Dr Sulle anaongea kweli yuko sawa amesoma ni msomi wa zama zetu hizi na ujue kuwa haongei mambo makubwa hayo kwa utashi wake. Usiingilie mambo usioyajua tafadhali huyu ni msomi amesoma vizuri tu. Kaa kimya kwenye haya mambo uwaachie wenyewe.
@galoleali7806 ай бұрын
Kua makini
@JumaJuma-l4t2 ай бұрын
Dokter Sule mola akupe kheri nyingi ,achana na makafiri wajitao wakristo ,waliotiwa vatkani na maluuni Nyerere ,
@FatnaAlly-go7yt6 ай бұрын
Allahu akbar mashallah
@halimandune73177 ай бұрын
Unanikumbusha mayatima wangu,wanaokosa haki zao shangazi yao anakula pesa yao ambayo serekali inatoa .Hakuna hta mmoja anataka kujua shida zao.Inaniuma sana lakini namuachia Mungu ndo wakili wangu.
@MARIAMMOHAMMED-q8j7 ай бұрын
Ùsijali daa Halima kilio chako Mola anakisikia ba ipo siku atakujibu yooote.Na hiyo ni jaza yao ya baadae.Sio kuwa wanawadhulumu ila wanajidhulumu hao kwa hao.Allah awafanyie wepesi na sahali kwa yoote.
@fardoshnassor78478 ай бұрын
Masha Allah ❤️❤️❤️
@FatnaAlly-go7yt6 ай бұрын
Allahu akbar ama kweli mwenyezimungu ni mwingi wa rehema na hakika hakuna yeyote anae fanana nae
@SharickMwinyi7 ай бұрын
Kusoma hamtaki ila watu wakiwasomea mnabisha watazania mbona mechelewa sana ndiyo mnaambiwa yesu mzungu mnasema amen someni mbumbavu
@shwaibumrutu66126 ай бұрын
Èfe receive
@Abdulhamid-pw3qy6 ай бұрын
Yesu sio mzungu Acha upumbavu na umbumbu wewe
@AiyasadySady7 ай бұрын
Allah akujaze helli
@RASCOKALUME-no4dp7 ай бұрын
M.mungu akulinde n'a akupe wepesi wakila kitu tchini ya djuwa
@labunaabouna61227 ай бұрын
Mashallah Allah Akubarik kwa sote na nyote
@FatnaAlly-go7yt6 ай бұрын
Oooh allah jaalia Kauli zetu ziwe za upendo na sio kashfa kwa sa babu maneno machafu hubaki bila kupotea namaneno machafu hayasauliki hata baada ya kusameheana hivyo tujitahidi kuwa na Kaulitz thabiti tupate radhi za mola wetu mtukufu
@ismailsoud36347 ай бұрын
Dr. Sule njoo nyumbani ,tuifungue Dunia.
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg7 ай бұрын
Masha allah
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allahu akbar mwenyezimungu ni mkubwa na ni mmoja
@Zanzibar-e4h7 ай бұрын
Hapo kwenye vidole viwili doctor vp
@DarinSalumu6 ай бұрын
ALLAH ndio mungu wa kweri
@matanohassan96677 ай бұрын
DOCTER SULE SAFI
@HusseinMusa-b1x6 ай бұрын
Mzee MATANO iko mini
@TinasheBeture6 ай бұрын
Aww . Ukifika sehemu inaitwa MAJMAAH SAUDA RABIA ni mji unapeyana mpaka na JORDAN . ndomana sheria ambazo zipo jordan ndizo saudie ndizo zipo jordan . Na pesa zao zina samani sana kama sikusahawu . Nilibembelezwa nifike eko niliona uwoga sababu visa yangu ilikuwa niya saudi nikaokopa kusumbuliwa mpakani sababu niko mtu mwewusi
@AlhajiIsmail6 ай бұрын
Inshallah
@haidarykufakunoga88697 ай бұрын
Dr. Sule Sitaki kusema lolote . MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ANAJUA UKWELI WA HILO USEMALO. WALLAHI, WABILLAHI, WATALLAHI kama USEMALO ni KISA CHA KWELI BASI NA IWE HIVYO. NA KAMA NI UONGO MOLA WETU MTUKUFU ALLAH S.W. ATAKUFANYIA WEPESI PIA IN SHAA ALLAH.
@BABALAOGENERALTRADERS6 ай бұрын
❤❤❤
@MohamedMalepes6 ай бұрын
ASALAM ALAYKUM wew unaepinga unaepinga Kwa maandiko iliwatu tujifunze au Kwa utashiwako TU kama una ushahidi utoe nasii kupingatu sisi tunajifunza hapa kama wew pia unahoja juu ya hili leta maandiko ,au dalili
@AnthoniaMaji-zm9tf3 ай бұрын
Orthodox na sanamu ya Bikra Maria wapi na wapi Doctor?
@kassimabdilatif18027 ай бұрын
Ati Sahaba yuko hai Hadi leo. Wah! Hadithi za Abunuwasi hizi !
@Abdulhamid-pw3qy6 ай бұрын
Unajiita KASSIM wakati wewe ni CAMILIUS kafiri wa kianglicana. Tulia dawa ikuingie vizuri, nisalimie mtume mwamposa.
@kassimabdilatif18026 ай бұрын
@@Abdulhamid-pw3qy Yaani munaamini kama kuna Sahaba bado yuko hai mpaka leo ? Kwani wewehuezi kupima kwenye akili kama hii Ni ya kutungwa. Kama wale mashia wanaosmbiwa Imam wao amekwenda mafichoni tangu karne ya nane?
@dicksonpiuswande94896 ай бұрын
Acha uongo, yaani ana miaka 12 na akafiwa na mke wake Hadija?
@RabiaOmar-ke8de6 ай бұрын
Hapo miaka 12 bado hajaowa
@raskidali24137 ай бұрын
Bi Amina alikufa Mtume akiwa 6years
@kiloziDunia-mj1vw6 ай бұрын
Hakika Elimu haina ukomo. Juhudi kujua asili ni Neema toka Muumba ambapo Dr Sulle unajitahidi. Tunafaidika Kupitia jitihada zako.
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct6 ай бұрын
Nimekata sharing huyo swahaba hakuwa binadam atakuwa ni jini majini wanaishi miaka mingi
@Abdulhamid-pw3qy6 ай бұрын
Bwege wewe tuliza huo mshono wako dawa ikuingie.
@MWALIMUCHAKATV7 ай бұрын
Hawa massuffi siku hizi wana mafundisho ya ajabu. Hivi hata maana ya swahaba imebadilika?!!
@georgekimasaofficial16297 ай бұрын
Yaani nikituko Cha abunuasi 😂😂😂
@sitiabas26866 ай бұрын
Mmm
@SafiaAlio-w3x7 ай бұрын
Shekh aslm alykm,niliona picha yako mbinguni ukiwa umevaa kanzu ya yellow,inamaanisha?
@mhandomhina55036 ай бұрын
Hakika Ban Israel walipewa mitume yenye sheria baada yao kufa kitambo kisha wakaletewa mitume bila sheria kusadikisha mafundisho sahihi ya kitabu hicho kilichoingizwa pumba au chumvi au takataka na maulamaa wa kitabu hicho. Vivyo hivyo tunapoomba dua ya mtume kwa umma wake kama ilivyobarikiwa Ibrahim( as) . Ni neema kuu ya utume usadikishaji usio na sheria kwa mtume wetu mkubwa kuliko wote iweje kitabu chake kisipate mlinzi wa haya madudu yasiyoingia akililini na mantiki za kiasili au kanuni za kiungu? ALLAHU....SWAL... ALAA MUHAMMAD ...KAMAA SWAL..IBRAHIMA...KAMAA BARAKTA....IBRAHIM hii dua ya ukombozi wa Islam. HAKUNA MTU ALIYEZALIWA NA MWANAMKE AKAISHI MIAKA KADHAA KWA KUTOWEKA BILA KUFA HIZI NI DHANA ZA WAPAGANI AMBAO MIUNGU YAO ILIKUFA NA KUFUFUKA ILITOWEKA NA KUSUBIRIWA ITARUDI
@RamadhaniMwaja6 ай бұрын
Mmefikia Hadi kudanganya kuhusu dini
@mussaissa67967 ай бұрын
HAKUNAGA SWAHABA WA MITI WEE MZEE SOMA DINI KWANZA AU ENDELEA NA KUBISHANA NA WALOKOLE TU. SWAHABA NI MTU ALIYEMUONA BWANA MTUME MUHAMMAD S. A. W NA AKAMWAMINI NA KUMFUATA. KWA HIYO MTI HAUHUSIANI NA HILO, SOMA KWANZA.
@h.alshidhani89717 ай бұрын
Hakunaga ndio nini???? ++
@dullnach23107 ай бұрын
Kwani miti haiabudu
@Hussaindazaqia6 ай бұрын
Mungu akubariki na acujazie neema duniani mpaka ahrat,docta sule.
@abdulahmahamed37907 ай бұрын
Nataka hiyo hadithi ipo kwa kitabu gani
@TatuRehema8 ай бұрын
Mwongo sana
@AbbasHussein-zq3yi7 ай бұрын
Huelewi unalolisema.Mw Mungu akuzindue hapo gizani ulipo.Huwezi kuzinduka hapo kila kwa nusra ya Mw Mungu pekee.
@YusuphMaiwe7 ай бұрын
Sasa maalim inaja gani kumuita muongo kwenye Hilo mwenzako nawakati wewe akilini mwako huna Aya hata Moja utakayo iyongea ituvutie kukusikiliza tuusikie uwongo wako
@rizikinassoro4196 ай бұрын
Kama shekh ni muongo tuelezeni hayo ya kweli lengo ni elimu kwa jamii
@osmandunga74316 ай бұрын
@georgekimasa hiyo ni lugha ya lugha ya mfano huyo swahaba aliye hai siyo binaadam kabla ya kukurupuka jipe muda kidogo japo uulize upate elimu nini kilichokusudiwa hapa.
@YusuphMaiwe7 ай бұрын
Nahapa sasa ndio nitie neno naomba razi mpaka kwamola wangu kwamba mashekhe zutu unafki utakuja kuwagalim leo mmnamsifia rahisi mwanamama wetu alivyo kubali chonjo mkamsifia halafu kumbe nikitu chenye ifecti kwetu kwanini mmnaogopa kukosoa viongozi mashekhe zetu mmnaogopaga nini
@BranMayn5 ай бұрын
Ukitaja jina la Mtume muhammad pbh lazma uweke salalahu alei wasalaam sikusema tu mtume , tafadhali turekebishane
@NtirampebaIdi-nf4mp7 ай бұрын
Dini imekuja ikiwa ngeni,na itarudia la allah ikiwa ngeni tena sheh enderea usipingwi
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct6 ай бұрын
Uma wawaislam unadanganywa sana na watu kama hawa wanaojiita wamesoma dini kwa akili za kawaida tu haiwezekani swahaba wa kalne hizo awe hai hadi Leo kwa nini asibaki muhamad mtume nimegundua mawaidha mengi yakutunga na hii nayo ni hivyo
@Ruu9746 ай бұрын
Tunge ambiwa kwa sasa yupo mjigani tukamuone😂
@Abdulhamid-pw3qy6 ай бұрын
Nyie wote ni makafiri wapumbavu. Sikilizeni vzr nini kinachoongelewa hapo kabla ya kuleta ubishi wenu msiouelewa. Ndio maana na bila shaka ukristo ni ukafiri usiomithilika. Endeleeni kuserebuka na sebene makanisani
@AminamustafaMustafaathuman6 ай бұрын
Msikashif mzivovijua
@richardnganya23117 ай бұрын
The year of the Lord 2023.... 2024 AD. Reference belongs to Lird Jesus? Why AD?
@Ruu9746 ай бұрын
Eti lird 😂 checheto uo apa washirikina aiwahusu
@HusseinKullow-k7p8 ай бұрын
Yarabi,who are you to dought Dr Sule anaeleza uwongo juu ya mtendo ya Nabiyullahi Muhammad! May Allah guide us to the truth,in shaa Allah
@victorterry2276 ай бұрын
Who are your?na kama wewe ulikuwa unajua kwani usinge tuambia wewe mpaka Dr sule aseme ndoo useme anatudanganya kwa hiyo wewe ulikuwa unasubilia Dr sule aseme ukosoe sio
@KassimKhalaid7 ай бұрын
Hao ndo wale nyoyo zao ziko na stamp bro
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Mtumishi ako na bodyguards tangu lini kwa kusema ukweli??? SULE wewe motoni
Usibishane na watu wanaotembea na vinyesi vyao kwenye makalio yao wakidai ni wasafi ndugu yangu utachoka bure@@AbbasHussein-zq3yi
@kaoretosha66686 ай бұрын
Ni kweli mbora wa viumbe, Muhammad hakuwa mutume ila ni Mtume (SAW).
@sitiabas26866 ай бұрын
Bbb
@AminamustafaMustafaathuman6 ай бұрын
Wakiristo kaeni pembeni hayawahusu
@KassimKhalaid7 ай бұрын
Ndo uskie ukweli sasa sio udanganjwe bro
@SafiaAlio-w3x7 ай бұрын
Nilikuona kwa ndoto,ukiwa mbinguniu umevaa kanzu
@HassaniMwinchande7 ай бұрын
Ww unaesema shekh NI muongo tupe yakwako yaliokweli tuyachuje usipayuke TU kwa utashi
@MARIAMMOHAMMED-q8j7 ай бұрын
Sasa huo mti upo nenda fb kuhusu Jordan utapata mapango,hilo dead Sea hata mti na mengi saana zaidi. Ukikosa pia wewe tunga tutasikiliza
@georgekimasaofficial16297 ай бұрын
Duh hii Dini imejaa uongo hatareeeee Dunia inatafuta kila siku mtu mwenye umri mrefu zaidi Duniani na wanapatina wa 100 na kitu sizaidi ya 120 Leo we unatwambia kuna swahaba yupo hai hadi Leo Toka kipindi Cha Muhammad 😂😂😂😂😂 Waislam bhana
@MamboKifunda7 ай бұрын
Wewe mjinga sana...
@h.alshidhani89717 ай бұрын
Wewe usichokoze dini ya Mwenyezi Mungu. Hasbi allahu Wanamat wakeel.
@JaffariAisha7 ай бұрын
Kama hujikitu uliza usijifanye unajua kumbe hujui kama imejaa uwongo inazidi diniyako sijui upo dinigani ila akuna dini ya ukweli kama uwislam
@RamadhanimohamediMtambo7 ай бұрын
Kwani unaebisha kama akunaswahaba halie Hai kwani unajua mahana ya swahaba kwanza. Swahaba nikiumbe yoyote alie mwamini mtume na kufuata ama kumsaidia kazi zake atamiti ipo ilio kaa mtume kwaiyo nao pia nisahaba bwwge kama ujui.
@georgekimasaofficial16297 ай бұрын
@@RamadhanimohamediMtambo Elimu ya mashetani Huwa inawatoa kwenye reli Neno swahaba limetumika kama mfuasi wa mtume inakuwaje mti unaitwa swahaba. Eh 🤣🤣🤣 Neno swahaba linawakilisha mfuasi wa .
@feruzyjuma2 ай бұрын
Wewe ni muongo na ni tapeli
@abdallahamanzi83372 ай бұрын
Tulieni msiokuwa waislam mpewe madini
@HussainWargama6 ай бұрын
Fanya adabu sule si harika lako kumbafu wewe ndio mwongo
@HairuIsmaili7 ай бұрын
3:04
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Dr. Sule xstian kama mm najua ukifa basi kwisha, Yesu ndio alifufuka. Pinga Yesu tu ukiendanga jikoni na madawa yako ya kienyeji. Duh🏃🏃🏃🏃
@mariyammariyam14547 ай бұрын
Kweli kabisa mie niliishi na aliyekuwa mumewangu nikafanyiwa visa atimae nilitoka pale nikasafiri nasasa ninamaisha mengine nawashukuru JP wtt wangu wamekuwa kwashoda Sana ila Insha Allah
If you are low educated tulia don't comment maybe Huna elimu
@SumaiyaKhamissimba-oj8dg7 ай бұрын
Yan mimi.nipo na wewe kbs kwasababu ulichokua nacho mimi sina
@LaizaYoung6 ай бұрын
Mwalim haujakosea kbc ichi kisa ni chakwel kbc
@AdamPaulo-x2k7 ай бұрын
Uongo
@salhkasmm5587 ай бұрын
Alikuwa mumeo kama mtume
@Zanzibar-e4h7 ай бұрын
Hapo ktk kufufuwa vp
@moviekalisana20 сағат бұрын
Swahaba living tree
@isihakajarika26687 ай бұрын
Kama ni mtu wa kupenda kujifunza Mambo ya kiimani huezi kusema dokta muongo kusema hivyo inamaana wew umesoma na unavijua vitabu vyote Muombe sheikh atupe refference ya vitabu alivyosoma
@HamisiAmri-p4d7 ай бұрын
Upo sahii elimu ni bahari
@zuberinasibu14417 ай бұрын
Hivi maana ya swahaba ni nini katika uislamu ???
@AbbasHussein-zq3yi7 ай бұрын
Waliokuwa marafiki wa karibu na Mtume.
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Maswahaba walikuwa walevi na walikufa juu ya ulevi but hicho hupati Kwa madrasa kabisa. Uzuri amesema majina yao
@JumahAShabani7 ай бұрын
Kama unavyo sikia wanafunzi wa Yesu ndiy maswahaba
@sitiabas26866 ай бұрын
Mlevi mamaako kuma wewe
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Dr. Haki bro wewe ni muongo na miongoni mwa wale wapinga kristu.
@Aziz-p6s7 ай бұрын
Sina elimu wacha niskilize tu.
@rehemamohammed55347 ай бұрын
😂😂😂
@densaramadhan65272 ай бұрын
doctar tupe madini wanajitoa akili hao walishindwa kuhifadhi vitabu kichwani wanakushangaa hao wataelewa tu
@densaramadhan65272 ай бұрын
we mwehu doctar sule anatoa vitu vya kielmu kasome kungura wewe
@OMARJUMAOMAR-i2v7 ай бұрын
Shekh huyu mawaidha yake hayafundishi watu yanapotosha watu kuna video moja anasema kuna mskiti comoro umejengwa na majini hakuna jini au shetwan muislam hata mmoja katika hii dunia viumbe hao wote wamelaanika wamejenga mskiti vipi Shekhe anatakiwa atoe mawaidha na ushahidi
@KhamisisamaBudzo7 ай бұрын
Kuna mäjini waislamu ....unapotoa comment yako akikisha kitu unachosema umefikiria mara mbili sio kuvuta bangi na kujiongelea ...heshimu mtu amesoma historia ........sio sawa na kwako uliko amini mchungaji ameanza kwa baiskeli baada ya miezi miwili ako na v8
@dullnach23107 ай бұрын
Labda ww ndo ulolaanika
@isaackmlayy62286 ай бұрын
alafu Muhammad yuko kaburini hivi kwanini hamjitambui ndugu zangu
@rajabibrahim86166 ай бұрын
We kafiri huna ujualo, pumzika
@AbbasHussein-zq3yi7 ай бұрын
@partsonchundwa2287 kuna ajenda nyuma ya pazia.comment hazichapishwi ila zako zitokeza chini ya maelezo ya Dr Sule. Je!! Kuna nn?
@PeterObiri-wj1iz7 ай бұрын
Miujiza ya Muhammad ni ZERO hana lolote
@abdoumadiousseni48357 ай бұрын
Ww ni mugonjwa wa akili
@shaibumlawa36667 ай бұрын
Wewe kama nani sasa kwa mfano!watu hatuishi kwa miujiza!
@ummyomary63507 ай бұрын
Makafiri huwa mmenyimwa akili na maalifa yaaan mpo tu Kama ndio maana mmeitwa kondooo
@myaudimazarahu35328 ай бұрын
Uongo uongo uongo😂😂😂😂😂
@AbbasHussein-zq3yi7 ай бұрын
Wewe kichwani kuna tope unaye mwita Dr S mwongo. Kajifunze anayoyasema.
@rehemamohammed55347 ай бұрын
Kweli 😢😢😢😢
@AshaSalim-xd8xp8 ай бұрын
Ninanihuyuanyesemadrsulenimuongompuuzihuyu
@mariyammariyam14547 ай бұрын
Nawewe unayemkosoa sule nawe Aya kuandika uwezi km mwenzio kabarikiwa kutufungua wacha wivu we galatia
@partsonchundwa22878 ай бұрын
Acha uongo wewe, yaani miujiza mikubwa hivyo hata Allah mwenyewe haijui wadanganye haohao wenzio
@ismailhassan52098 ай бұрын
Acha ujinga kuongea kwa usiloijua soma au sikiliza au nyamaza
@partsonchundwa22878 ай бұрын
@@ismailhassan5209 Ujinga wangu ni upi?niambie
@MakonkhalidiRadjabu8 ай бұрын
Sasa wew unapinga nin kuhusiana na hiyi Dawa ya Dr Sule. Baba wey kama hurya Muamini Muhammad s.ww baba wey bado huna na fasi.. Here n after....!
@partsonchundwa22878 ай бұрын
@@MakonkhalidiRadjabu ninachopinga ni hiyo miujiza mikubwa kiasi hicho Cha ajabu hata Allah haijui