Nabarikiwa sana na mafundisho yako yamenitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine
@Dismasnjau8 сағат бұрын
Congano Tanzania isrel
@johnedwardkassawa29528 сағат бұрын
Amen Hakika nabarikiwa Sana Na mafundisho yako Mtumishi wa Mungu hakika Unaihubiri injili ya kweli
@GeoffreyKerongo8 сағат бұрын
Pastor ubarikiwe sana mwenye ako na masikio amesikia
@babuukimario61469 сағат бұрын
Mtumishi wa Mungu punguza salamu, Bwana Yesu na aleluya zimekuwa nyingi sana
@japhetmiriti1109 сағат бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa mungu nimefuta mahubiri Yako sana, nilikusikia mara ya kwanza ulipokuwa Kenya
@LydiaNasimiyu-h1n9 сағат бұрын
Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa barikiwa saidi mutumishi WA Mungu
@TediSadoki10 сағат бұрын
Ameeeni ameeeeni ameeeeni naipokea hiyo mamulaka ya utisho niwe moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 naipokea🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@TediSadoki10 сағат бұрын
Makataa kuwa mtumwa wamagonjwa kwa azia leo mimi ni ndani ya kiristo
@TediSadoki10 сағат бұрын
Aminaa napokea uwepo wamamulaka kwanzia leo nahata milele mahitaji kutembea nautisho kila nguvu zozote zinaponiona zione moto wa yesu zinikimbie🔥🔥🔥
@HappinessMwambapa10 сағат бұрын
MUNGU azidi kukutunza Sana Sana Mtumishi wa MUNGU
@TediSadoki11 сағат бұрын
Aminaa mimi ni mshindi ameni changu tangu asiri
@RebeccaMagabe-uu8xg12 сағат бұрын
Amina amina
@sundaymlangwa616012 сағат бұрын
Kazi yako ni njema sana. Asante kwa kutuamsha. Injili adimu makanisani
@sundaymlangwa616012 сағат бұрын
Kazi yako ni njema sana. Asante kwa kutuamsha. Injili adimu makanisani
@sundaymlangwa616012 сағат бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu. Mahuburi adimu sana makanisani. Taji yako inang'arishwa. Kazi yako ni njema sana
@jamesomanga511513 сағат бұрын
Asante kwa ujumbe.
@Jeansjeans-qw2zv13 сағат бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe
@AndrewBatut14 сағат бұрын
Thanks for good message to my
@johnmasonga42615 сағат бұрын
Amen my pastor
@GraceNgwanda16 сағат бұрын
Ubarikiwe Sana mtu wa Mungu,mmebaki wachache Sana mnaoiubiri kweli,wengi mahubiri pesa tu.
@YohanaPaul-b3v17 сағат бұрын
Sasa kuna watu hata wakisikia haya wanakaza fuvu na kusema hakuna kitu! Aisee tumuogope Mungu na tujivike ufahamu wa kimungu twende mbinguni pamoja. GOD BLESS YOU PASTOR ♥️♥️
@dorotheabadili452618 сағат бұрын
Unafundishwa neno,unalifurahia Rabbi u mwalimu mzurisana neema izidi kwako na kanisa pia, Baraka hizi najifungamanisha nazo kwa Jina la Yesu Amen
@BARACKLUNEMYA19 сағат бұрын
Amen Amen 💥💥💥💥💥
@omegakipemba438723 сағат бұрын
Rabbi you are very good ,I am enjoying alot
@sylvestermhojaaron9659Күн бұрын
MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA
@HappinessMwambapaКүн бұрын
Amen Mtumishi MUNGU azidi kukutunza Sana Sana
@samweliantoni7707Күн бұрын
Shalom shalom shalom❤Nimejuwa maana ya shalom Asnte sana
@samweliantoni7707Күн бұрын
Tangia nioneneno unalofundisha mtumishi na barikiwa sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ubarikiwe mtumishi wa Mungu❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AmaniChilimilaКүн бұрын
AMEN Mungu akubarik zaid
@ElishaErnest-d7cКүн бұрын
Amen
@jacksonlucas2064Күн бұрын
Uishi milele mkuu Shalom..
@sarahmwasyoge1830Күн бұрын
Amen
@jacksonlucas206417 сағат бұрын
@@sarahmwasyoge1830 Uko mpendwa wa Mungu Sarah
@jacksonlucas206417 сағат бұрын
@@sarahmwasyoge1830 Uko wapi..?
@EuniceShaneКүн бұрын
Amen amen
@magrethmkemwa9287Күн бұрын
Mungu akubariki Baba,
@MoosaMd-h6bКүн бұрын
Asante sana Mungu kwa kunipa neema ya kulisikia hili
@MoosaMd-h6bКүн бұрын
Amen
@yohanaswalo4716Күн бұрын
Ni Kweli
@wilsonsabuni1448Күн бұрын
Namtukuza mungu juu ya-utumishi huu kuna-uwepo wa.mungt