Nayaona matunda ya kukufatilia mwanzo nikikuwa siwez save hata 100
@GidionKombe-h1p3 күн бұрын
Ok imekaa pw
@LivingMunice3 күн бұрын
Nakubali kaka
@user-kt3zw8bv9b3 күн бұрын
watukama wewe nihazina la taifa
@LUCASLUPIMO3 күн бұрын
Ndio tupe madini boss wetu
@user-cb6dk9le1q4 күн бұрын
0:35
@GervaspauloKanemhu4 күн бұрын
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉
@GervaspauloKanemhu4 күн бұрын
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉
@bahatihamissi11615 күн бұрын
Nakubali
@HassanKimotonge5 күн бұрын
Nakipataje kitabu kaka
@HassanKimotonge5 күн бұрын
Nahitaji namba yako kaka
@danielamosi68717 күн бұрын
Masikini mna tabu
@barakakamsila499k10 күн бұрын
Shukra brooo
@IbrahOmary-k2w10 күн бұрын
Nice
@user-bi3ve6nr1q11 күн бұрын
asante sana kwa elimu nzur umenisaidia sana bro victor
@BarakaSese11 күн бұрын
Nice one
@danielremigius16 күн бұрын
SoMo zuri
@MadoloNkome16 күн бұрын
Nimekuelewa.kaka
@GEBAKAPUFI16 күн бұрын
Nime kuelewa bro Asante Kwa somo zuri
@user-it3sk2xz6q16 күн бұрын
Kitabutuna pataje
@FrankGabriely-up5yo17 күн бұрын
Asante
@Kanyawela17 күн бұрын
Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu
@kehetanyantory868816 күн бұрын
Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢
@mkalibizz17 күн бұрын
Genious broo
@ObadiaPatrick17 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@AnaniaNzelani17 күн бұрын
Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha
@PiusswaiRaphael-mz5tu18 күн бұрын
Fungu la Kumi ni ASILIMIA Kumi na sadaka 10
@jayshakichampionkiller595918 күн бұрын
Mbona nyie mnaongeleaga watu wenye maduka tu sisi machinga wakutembea hamna au sio biashara
@fazilinyange910819 күн бұрын
Nakufatilia nikiwa Marekani Unanijenge san kaka mkubwa
@AminaSelemani-m1r20 күн бұрын
Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.
@paschalpaul386221 күн бұрын
Inategemea aina ya biashara
@SamweliAbasi21 күн бұрын
Mimis sijui kipaji chang
@jemamponzi714222 күн бұрын
Nahitaj kitabu cha Nguvu ya kujua
@victormwambene21 күн бұрын
Kupata Kitabu Piga 0744126640.
@francismwalyambi136322 күн бұрын
Mungu AKUBARIKI kwa mafundisho hayo nimependa
@aganokomba242322 күн бұрын
Kweli Kweli wako wengi sana huku mtaani 😅😅😅
@tecoltanzania724623 күн бұрын
Think like a billionaire be a billionaire
@mjemachannel759123 күн бұрын
1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia] 2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba] 3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako] 4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba. 5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata
Asante sana bro aisee...itabid nipate vitabu vyako tu Mana nikiwa nacho nikawa najisomea Naamin 100% kitakuwa kinanipa molar ya kufikia ndoto zangu Thanks alot bro for your good education 🙏
@carlosiankheed901226 күн бұрын
LV , Dior na Gucci
@farajabinamsimchimba28 күн бұрын
Ambwene wewe ni jini
@amosshija945828 күн бұрын
Somo zuri, Lugha inayitumika inachangany kuna maneno ya kibgereza sio wote wanaweza kuyaelewa
@ericamfuru625729 күн бұрын
Umenibariki sana victor,Mungu akubariki sana sana, yaani umeniongezea vitu vingi Sana.
@MusaLubeni29 күн бұрын
Nimekuelewa brother💯
@user-ku6th8fb4i29 күн бұрын
Je huna weza weka malengo kwa project mbili? Mfano: Huna taka huwe mfanya biashara Nauna taka hutimize malengo ya kipaji chako Huna weza hanza nakipi hapo🤔 Naomba jibu tafadhali