Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba

  Рет қаралды 11,896

Weyani Tv

Weyani Tv

Ай бұрын

Пікірлер: 18
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Zanzibar watu wote ni Wanasiasa. Suluhisho ni kugawana visiwa kimamlaka.
@harithmohd6318
@harithmohd6318 Ай бұрын
Inshaallah wataondoka t wahoo maharamia wakiccm tuipaganie Nch wanzanzibar PBE and UGJ
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 Ай бұрын
Umetisha sana OMO
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 Ай бұрын
WANA CCM KUMBUKENI UTU NAMJIPE UBINAADAMU ACHENI DHULMA HIO NIINCHIYENU NYOTE MSIWE MFANO WAWA KURDI NA WA PALESTINA ( ABBAS ) ANAKULA MADIMBI NDUGUZE WANAUWAWA KWELI ,NCHI INAKWENDA KWELI HIVYOOOOOO.
@lusakaone7782
@lusakaone7782 Ай бұрын
Mimi naamini bado tupo wengi sana na Wapo CCM wengi wanatuunga mkono Wallah uchaguzi huu utakaokuja ni mtamu sana
@AhmedAli-gh1lm
@AhmedAli-gh1lm Ай бұрын
Uchaguzi hautakuwa na lolote, ni vile vile ilivyozoeleka. Zinapigwa kura ambazo kimsingi hazina maana yoyote. Tume inaamua nani kashinda na sio idadi ya kura inavyoamua. Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi zilivyo sasa, tayari CCM ishashinda hata kabla ya uchaguzi. Nchi kama hizi chaguzi ni geresha tu kuwadanganya wajinga kuwa kuna uchaguzi wa kidemkrasia.
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi Ай бұрын
Watu wote walio serikali ni watu wa siasa .kwa kua wanaongozwa na chama tawala .iyo ni kauli tu mh
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Ай бұрын
Ni mwendelezo wa siasa chafu zilizoanzishwa kwa makurdi toka miaka 50 ya nyuma.
@msabahaali758
@msabahaali758 Ай бұрын
dhulma ni nying sana na maneno ya miskitini yoote yale kua akidhukumiwa mtu mmoja tu ana dhima yako wapi leo
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Mwinyi sio m2 mwema kwa wazanzibar
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi Ай бұрын
Iv rais mwny kwa nn Hawa wananch hawapat hik kitambulisho .kwa rais ww huendani na iyo kauli Kama haki yao wapeni .sio Kuna baaz ya watu kukuchafulia
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Jamani ni kweli Nchi za njee wanaletewa ID card mpaka nyumbani. Inategemiye wewe vipi unataka. Zanzibar wako nyuma sana bado.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Ni UONGO, utaratibu wa duniani nzima kitambulisho na passport huombwa hata kama baadae utaletewa nyumbani. Tatizo la Zanzibar mtu nyumbani kwao Muyuni amehamia Mahonda bila kufuata utaratibu anapoomba Kitambulisho Mahonda atapata tabu hebu na akaombee Muyuni kwao.
@SalminTenga-fx6wi
@SalminTenga-fx6wi Ай бұрын
Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa Baraza la taifa na mkoa kwa nn asiwe mwanasiasa
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db Ай бұрын
Kakaangu wewe kisuwahili wakifahamu ... lakn nakusihini lugha nyepesi ni mtihani kwenu.
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd Ай бұрын
Mpeleke mama yako matako wewe akazungumze kiswahili
@NoufelSalim
@NoufelSalim Ай бұрын
Hawa wazee wetu nawaonea huruma wallahi.
@wakwetu2444
@wakwetu2444 Ай бұрын
ZAN. ID NI KITEGO CHA KUIBIA KURA.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
HATUPIGI KURA YA SIKU 2 NA SERIKALI WATAITOA-OTHMAN MASOUD
25:19
ACT Wazalendo Digital
Рет қаралды 9 М.
NAPE AMESAIDIA WAPINZANI. WAJIPANGE!
8:35
SK Media Online TV
Рет қаралды 45 М.
OMO mzima mzima kisiwani Pemba
7:32
Weyani Tv
Рет қаралды 1,6 М.
WAPEMBA WAJA JUU KUHUSU MAKAMO
2:59
Tifu Tv
Рет қаралды 4,1 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 53 МЛН