Unamwomba mkuu wa nchi wale aliowapiga pesa mbona usiwaombe msamaha nenda huko congo ukamfuste yaanii alitska kidsbabisha u unjifu wa amani kuhusu kuus wa chawi
@annaTemu-wx2rc2 ай бұрын
Mama Yetu Samia tulilizwa sana huko Buza kwa Lulenge,hata zile shuhuda na cm za Capital Mf. Walikuwa wanatenezwa sio kweli,hatutaki Uongo Tanzania,we mpare mfuate mumeo kongo,alivuna pesa nyingi sana
@mamachris68112 ай бұрын
Anajifanya analia,amfuate hoko ye si kaolewa,
@elizamasangula29352 ай бұрын
Hiv kumbe vita vyetu ni juu ya damu na nyama,kama ninyi ni watumishi wa Mungu kwa Nini msimwombe Mungu wenu awasaidie,mnadharirisha Imani, Mungu Huwa haitaj wasaidiz,mnanishangaza
@sizaexavery67042 ай бұрын
Mtegemee Mungu. acha kumsumbua Mama yetu
@enizetv51962 ай бұрын
😂😂😂 mjiga wewe umeolewa umeoa mhmh mfwate huko hatutaki sisi mama wewe kwenda mbizi wewe chefu matapeli nyia RAISI WANGU WA TANZANIAN 🎉🎉🎉❤❤❤USIKUBLI MAMA amfwate yeye Congo nenda haaaa
@JumaAthuman-bk6hx2 ай бұрын
Yaani wewe badala ya kumtegemea Yesu unamtegemea kiboko ya wachawi!unafeli kweli,tafuta bwana mwingine tz.kama hutaki kwenda Congo.
@nuruosward81612 ай бұрын
Kufanya kazi Ahaaaaaaaa kazi kusema Mume wangu ndo kila kitu kwangu mtapata tabu sanaaaaa acha kuwa tegemez
@AUGUSTINEKIBARU2 ай бұрын
Huo utapeli akafanyie congo huko
@AUGUSTINEKIBARU2 ай бұрын
Huyo kiboko ya wachawi alikuwa tapeli. Inatakiwa asirruhusiwe tena kufanya kazi hiyo au afanye kazi hiyo lkn asiruhusiwe kufanya miujiza ya uongo.
@Linaeugeni2 ай бұрын
Mume wako ndo Kila kitu kwako mh poleee sanaaaa .
@theophilluoga37172 ай бұрын
Hajakuachia mikoba endeleza ujanja wa mumeo km pana Mungu wa kweli hapo
@fransiscondyanabo91542 ай бұрын
Nyie wezi watupu
@JoshuaMziho2 ай бұрын
Mungu atafanya mama mungu wa baba yetu anajibu kwa wakati
@AllanKabuga-k2d2 ай бұрын
😂😂😂😂 mungu yupi.
@AllanKabuga-k2d2 ай бұрын
Amekimbilia congo akaiacha family yake. kuen macho mungu akupe ufaham kwa jina la yesu
@alexvenas26992 ай бұрын
Hatuhitaji ombi lako ,hatumhitaji na akija haruhisiwi kujihusisha na kanisa
@JesusJesus-ny1sm2 ай бұрын
Huyo ni wa kufungwa Jela km hajuwi amewaibia WaTanzania amedharau sana Uongozi wa Tanzania mpka amesababisha tuone Tanzania hatuna Uongozi kwa Wizi wa huyo mtu, ni Mwizi wa kufungwa jela hana hata aibu kujiongelesha mtandaoni ni kuendelea kuidharau Nchi yetu hawafwatilii kujuwa matendo yake.
@JacklineJames-g9p2 ай бұрын
Kwani congo hamuwez kufungua kanisa mpka Mje tz afungue huko kanisani
@MonicaKaskaz2 ай бұрын
Matapeli wakubwa😊
@julianaclavery2 ай бұрын
Usingle maather umetokea wapi tena,si umfate mumeo na mkaendeleze huduma huko Congo na watoto wataendelea kupata haki zao kwa baba yao
@EMMAMEDIA-h1c2 ай бұрын
Jamani tumchangie mama pesa aende kwa mumewe huko congo
@RamaBnice2 ай бұрын
Na mini mama Samia Hana loho
@suzanambatta11262 ай бұрын
Ugumu wa maisha vipi si alikuwa anatuambia tutafute hela, mfuate mume wako congo sisi hatumtaki
@lethisiapatrice24812 ай бұрын
MTUMISHI Dominic ni tapeli hayo na mke atamwacha mzazi kisha atamfuata mumewe kisha enda Congo ukaishi huko👎unajitia unahuzuni wakati ni matapeli😡
@annaTemu-wx2rc2 ай бұрын
Amfuate mumewe kongo
@HildaMacharia2 ай бұрын
Mama ana binti yake
@HuseniMsumba2 ай бұрын
HUYO TAPELI ASIRUDI TENA PUMBAF😮😮😮
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
Ni Uchonganishi na Wivu tuuu wawachache wana wivu na huma ya Kijana iko juu acheni wivuu mupambane na majukumu yenu Watu wa Munguu Acheni ka.peni kwenye kazi ya Munhu
@JoyceShafii-u5l2 ай бұрын
Kama kweli anakupenda angekuchukua pole ulichatapeliwa na wewe acha kumsumbua mama ana mambo mengi mumetapeli vyakutosha na bado mtalipa kwa Mungu kila sent uliokula
@mengiiblahim42152 ай бұрын
😂😂😂😂mumeo anatuhusu nni
@winnerlucas59242 ай бұрын
Si uende kongo nyooooo
@isabelaakaro20902 ай бұрын
Arudishe pesa zet Kwanza afu asirudi tenaaaa kaishi huko congo
@rmimy2 ай бұрын
Si umfuate huko Congo kwanini uwe singo maza, hata huduma anaweza fanya huko congo kwao
@mamachris68112 ай бұрын
Mfuate mumeo Mmenogewa na pesa za wizi ☹️
@Glatis05232 ай бұрын
Amfwate mumewe kongooooo sheria ipo wazi mwanamke ndio anapaswa kumfwata mumewe 😢
@boniphasjoseph39022 ай бұрын
Mlizo iba miaka yote hazikutoshi mfwate huko kwao yani unanikela mtu anadhalilisha jamani
@aderanderwa76232 ай бұрын
Jamani hata mwezi haujaisha ugumu wa maisha mamilioni yote ya pesa mmepeleka wapi mbona yeye mwenyewe kasema sisi tuendelee na maneno lakini maneno yetu hayafiki kwenye V8
@georgedeo37262 ай бұрын
Mumewako anamtumikiashetani mwambie aokoke
@stevenhassan2692 ай бұрын
Kwendraaaaaaaa huko kwa tapeli mwenzio Congo
@ashuramuhammed32572 ай бұрын
Jamaa hatulitaki tapel tz lisije
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
Mtu wa Mungu Nabii Domminic! kama unasoma sms zangu!! Mwanangu Naipenda huduma yako Mungu Akutetee sana na usitoe msaada tena waO langu . Fanya tu Kama Mungu alivyokuita Mungu akusaidie
@AllanKabuga-k2d2 ай бұрын
Et mungu alivyo kuita daaah achen upuuz
@EdwardMkude-p3eАй бұрын
We nae umeshadanganywa naomba utulie alaaah!
@JamesJonas-it8hc2 ай бұрын
Ukiona Ivo hakupendi angekupenda angeondoka na wew
@WilliamNyanginywa2 ай бұрын
MAMA YETU ANATAKA WATU WENYE MAADIRI 'NA HIYO MISAADA ALIYOKUWA ANATOA ALIJIPATIA KWA NJIA YA UTAPERI ' AENDE CONGO KWAO HUYO
@fatumaahamad67592 ай бұрын
Wewe nenda Kwa mume kongo ukalee watoto waki
@LucyMbaga-f7n2 ай бұрын
Tapeli mkubwa huyo,atalipa hela za watu alixokula ma mtalipa kizazi cha kwanza mpk cha nne
@StellaPaul-et9df2 ай бұрын
Kwa hiyo kiboko ndo amekupanga na maneno ya kuongea
@edgarmwaiteleke45722 ай бұрын
Aje kuchungulia chupi za washirika? Daaah siiamini
@farajangwema46632 ай бұрын
Dada yangu mfuate memeo kongo, kwanini akuache Tanzania wakati yeye ni raiya wa kongo shida yako unataka mumeo aendelee kutapeli watanzania hata kongo anaweza kuanzisha kanisa sio lazima Tanzania
@fredyjohn92172 ай бұрын
Namimi alichukua pesa zangu 470000 mniludishie pesa zangu maana kaondoka hajalipa deni,,,we uliebaki nipe pesa zangu
Huyo ni mwezi nilifika kanisani nikatoa ladies kumwona nimeunga foleni nikafika muda wa kumwona akaniambia nitoe milioni moja aniombee nimeenda Bank kuchukuwa hela ya mtaji wangu nafika ananiambia ninatakiwa ninunue chumvi aketi moja lali mbili nikaoge jamani Mungu amlaani niliia sana na sikupona nikampigia simu akawa hapokei tena
@PriscaKaweka-ih8jp2 ай бұрын
Mfuate congo si amekuoa au ulimuoa
@salustiamahushi51362 ай бұрын
Wewe mwenyewe tunawasi wasi sizani kama ni mtz
@RamiaMavengu2 ай бұрын
Kabra ya kumuomba mama ebu jifanye wewe ndio yule mama aliekuwa akimpiga mateke au mchukue mama yako alale pale chini alafu ampige mateke jieshimu wewe dada njoo mm nitalea hao watoto sisi wanaume wa kitanzania uwa atuna makuu tunalea watot hata kama sio wa kutoka kwenye viuno vyetu
@abigaeljohn17422 ай бұрын
toka zako apaa kama vipi mfate hukohuko kwao siumeolewa ww yani mtu mchafu arudi achafue jina la Mungu kwa masilahi yenu halafu uachwe tu kisa unamuhitaji nenda mfate huko aliko ss hatumtaki tapeli yulee
@AgnesRugoye2 ай бұрын
S uende congo mwanamke anaamfata mume kwani mumeo Hana kwao?
@paulmnyanyi70392 ай бұрын
Yaan kwa jumbe zote hizi za lawama za watu. Yaan bora umfate congo na kingine unachokosea unaifundisha serikali Cha kusema. Kwahiyo serikali ilivyopeleka ujumbe unataka kusema HAIKU NA HEKIMA.??????!!!!... na congo wachaw wapo nendeni mkafanye biashara huko huwezi ingia mtaan upambane uhudumie familia.
@bahatimosha22352 ай бұрын
kwan ww ndo umemuoa au siumfate congo huku atumtaki tapeli huyo
@MarthaMilaj2 ай бұрын
Pole mfate congo
@annaTemu-wx2rc2 ай бұрын
Zile.laki tano 500,000/= za kumwuna kisha ukiingia ndani kwake bado wanatumwa mamilioni,we unaona ni sawa ? Bonge mweusi alitutapeli wa crown msaidizi wake alitujibu jeuri sana na kutufungia vioo vya gari akiswa kashapokea hela na kututapeli,mfuate mumeo huko kongo
@JumaAthuman-bk6hx2 ай бұрын
TOA UJINGA WEWE KWA KUWA ULITAPELIWA UNATAKA NA WENGINE WAENDELEE KUTAPELIWA!!MFUATE CONGO,PUMBAVU WEE, USIMSUMBUE MAMA SAMIA ANAMAJUKUMU MENGI.
@handenitakuru66962 ай бұрын
Sasa siumfuate mumeo jamani
@GodMziray2 ай бұрын
Hajafungiwa kanisa.kanisa linalomwabudu MUNGU wa kwel hakuna anaeweza kulifunga,amepata kinachostail.
@MhubiriIsraelАй бұрын
Sasa shemeji Yetu tukiangalia picha na clip za mumeo mbona anakuwa anaongea kwa jeuli sana, unaonekana una hekima sana na mstalabu ila mumeo anajialibia kwenyewe
@kassimmkangata2 ай бұрын
Yaan wewehushukulu kaludishwakwao je angefungwa kwa utapeli unge semaje? Yaan mamayetu msitarabusana aysey kwingine ange tupwajela
@JesusJesus-ny1sm2 ай бұрын
Huyu mwanamke hajitambuwi huyo Mume wake ni wa kufungwa jela kabisaaa !!!! Akirudi Tanzania Polisi wamuweke pingu moja kwa moja mahakamani safari Segerea au Ukonga !!!!! Amedharau sana Nchi yetu huyo Mwizi.
@evamhufu76982 ай бұрын
Kama umeolewa mfuate mumeo. Yaani wamuombe ajirekebishe na wizi huo. We nenda tu
@MiriamKimboi2 ай бұрын
Mwambie mmeo akutumie nauli uende kongo mmeo nitapeli anatumia kivuli cha dini na injili nyuma yake anatapeli watu ungekuwa mke mwema ungemwambia achee kutapeli na hiyo mwiujiza ya mchongo serekali sio jinga hata ikamfungia huyo mmeo mbona wakina mwamposa na yule wangomeni na wengine hawajafungiwa tambua mmeo ni tapeli tu
@abigaeljohn17422 ай бұрын
ulivo hunaakili uani ww badala yaMungu kua kilakitu kwako unasema mumewako ndio kilakitu kwako unaona ulivo kua huna akili nenda mfate huko aliko ss hatumtaki
@EMMAMEDIA-h1c2 ай бұрын
Sio mtanzania ni mkongo mbona unatulazimisha
@julianaclavery2 ай бұрын
Mbona kipindi anadhalilisha watu hukutokea
@Glatis05232 ай бұрын
Ambao tulikua hatun izo 10k za sadak ndio hatuombewiii hahaha mfwate mkatoe huduma kongooo
Kwenda zako wewe hata YESU hujuwi hufahamu kabisa habari zake hujitambuwi kuwa wewe ni Mpumbavu sana.
@HeppyRafaeli2 ай бұрын
Ni fitina Wala Mamsetu sio Mbaya ni baazi ya wachonganishi
@ElishaMasele-q6c2 ай бұрын
Kwa hiyo hao wanao ndiyo mwamvuli wa kutapelia watanzania? Hata hivyo biblia inaeleza wazi kuwa mwanamke atamwacha babayake na mama yake name ataambatana na mumewe, nenda Kongo na watoto wako.
@SebastianNgimba2 ай бұрын
toka hapa nyie ni matapeli,wewe kwasehemu kubwa inaonyesha wewe ndio mshaur wake,nenda huko kongo aliko mataper kwa injili mnawanyanyasa watu wenye shda
@evansokemwa65872 ай бұрын
Congo ndio ndio kwako enda uko wewe.
@Shija-g4m2 ай бұрын
Mumeo abadilishe kaz .. Tanzania haina roho mbaya hy.
@JesusJesus-ny1sm2 ай бұрын
Uso wake ataweka wapi huyo pesa za watu alizochukuwa !!!???? Mbona mnachukulia kirahisi rahisi pesa za watu anawarudishiaje !!!???
@GeorgeSagumo2 ай бұрын
Ameliza sana watu alikua anamwaga feza hajakuachia pesa
@ombeniulime27682 ай бұрын
He is a thief. Mwizi siyo mtii We don’t want thieves Tapeli ni tapeli na mwizi ni mwizi Amekuja toka Congo kuja kuiba, hatutaki arudi Acheni wivu na Wewe ni mwizi
@WilliamNyanginywa2 ай бұрын
Ukiona congo huwezi kwenda kumfuata mmeo basi uolewe tu hapahapa tu utalelewa vizri pesa halali zipo kama unafanya kazi
@cutealaufy95082 ай бұрын
Wewe mwanamke kama mume wako kakuowa simulate kongo kwani lazima uishi nae hapo tanzania mtu akiolewa humfata mume so wewe mfate kwao konga sio lazima arudi Tz kwani lazima Tanzania? Sihata congo watu wapo wanaohitaji msaada akasaidie kwao huko
@RamaBnice2 ай бұрын
Mama Samia yeye ni mamayetu hata msamehee
@lydiadaudi40762 ай бұрын
😅😅😅😅
@JesusJesus-ny1sm2 ай бұрын
Amsamehe Mwizi !!!? Hizo pesa zote alizowachukulia wa Tanzania Mama Samia akamchekeee !!!!!? Hujachukuliwa pesa wewe unalopoka tu !!! Wewe na huyo Mchungaji wako mkafungwe Jela pumbavu sana !!!! Hujielewi upo wapi na humjuwi YESU yukoje !!!!
@clemensialuziga2 ай бұрын
Umfate huko, wewe si umeolewa na sheria tulizokuta ni mke kumfata mume!
@evansokemwa65872 ай бұрын
Mfuate uko uko kwao ndio kwako uliolewa wewe cio mtanzania tena mama
@NoelKomba-s9d2 ай бұрын
Usitete upuuzi wewe mama
@salehmdemu57222 ай бұрын
Hauna akili wewe!unamuomba Mh amrudishe tapeli?nenda huko alipo mkaendelee kutapel
@omanmobile57462 ай бұрын
Anaheshima gani kutukana watu nenda kongo mshenzi wewe na huyo tapeli mpaka mikorogo😏😏😏😏
@lewismpangala9272 ай бұрын
Get out of here
@angelmalima60912 ай бұрын
Acha uongo wewe dada mfate kongo mkahuburi kule hatuwatakiiiiii Tz
@marymwaya96852 ай бұрын
Yaaani wewe unamtuhumu Rais amemfukuza mumeo. Alafu tune yako ya kikongo na pia mmfuate mumeo kwa mumeo kwako sio lazima uishi naye tanzania. Mpelekee watoto wake kongo.
@GeorgeJusto-y4vАй бұрын
Mfuate congo hatuwataki matapeli wakubwa nyie
@MwadawaSaidi2 ай бұрын
Wewe mfate kule kwao Congo , kama unampenda kweli 😂😂😂embu acheni utapeli nyie nendeni Congo we si umeolewa au umeoa 😂😂😂