Mungu,mkono wako haukupunguka hata usiweze kuponya kwa mara hii tu jidhihishe kwa taifa hili ili watu wajuwe kwamba wewe ndiye unayemiliki na kutawala ktk falme zote,Mtetee Makonda kama ulivyomtetea Daniel maana bado tunamhitaji
@GABRIELNGERECHA-jn2fi2 ай бұрын
Tusubili wamesema yupo likizo,time will tell
@shuwehaharuna63092 ай бұрын
Jamani hao majambazi sio watu wazuri mpka makande ya watoto tna wamekula😂
@HaulSidney2 ай бұрын
Nchi hii watetezi wa haki za wananchi wanauwawa,kwa na ninyi hamtakufa!!!
@vedastoerasto2 ай бұрын
Ukiambiwa jambo litafakari usicheze na mwanadamu
@JumaJoseph-tj5rb2 ай бұрын
Bila hivyo watu waovu watazidi kuongezeka
@JumaJoseph-tj5rb2 ай бұрын
Mungu yupo na shetani yupo kikubwa ni umakini wa hali ya juu ndio tunaweza kuishi au kikubwa ni kuwaua watu wabaya kuwafunga tu haitoshi tunatakiwa tuwe na sheria kama za china
@jacquelineswai6022 ай бұрын
Kila Silaha itakayoinuka juu yako haitafanikiwa kamwe
@JohnFrancis-h7q2 ай бұрын
Duu
@epimackjohn4612 ай бұрын
Tunaenda KANISANI kusikia maneno MATAKATIFU ya kweli KIIMANI Inaumiza sana habari hizi lakini habari hizi mbona kama hazieleweki ukweli ulipo maana ni kama habari na ni kama masimulizi yasiyoeleweka LENGO hasa ni lipi ?
@OdiloMagungu-uf5is2 ай бұрын
Mfumo wa utawala wa ccm na serikali yake ni mbovu hii ni kazi za kimahakama je bashite ni mwanasheria?
@sr.elizabethmbuligwe55402 ай бұрын
Hivi Kwa Nini ninyi mnatuletea crip za zamani
@evansokemwa65872 ай бұрын
alewa dada makonda sasa ivi haonekani mahali hálito ndio mahana wameleta hii clip ili usikie vile alikua anasema kuhusu usalama wake vile anatafutwa na.watu wamwangamize
@yasiniSwedi-qg5oc2 ай бұрын
Mh kuwa mpole Kama jpm wamemuweza watashindwa wewe?huu niutawala wa kizalim
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Aliye mrisha ni mtu wa karibu yake
@evansokemwa65872 ай бұрын
ukweli mtu atoki mbali atamfikia aje? kikoracho kiko mwongoni mwako.