hakika nimekuwa mwanafunzi Mzuri kwa kupitia othman maalim takribani mwaka na nusu, Allah akufanyie wepesi na ampe umri mrefu Inshaallah.
@mbwanasalim74453 жыл бұрын
Maashallah hakika nimekijua kitu kama izilaili kupewa utoaji roho Allah azidi kumpa elim ya ufaham zaidi inshallah
@birdofpry38976 жыл бұрын
Tunajifunza mengi na tunafaidika kwa uwepo wako Allah akupe elmu , afya na umri mrefu uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu. Nakupenda sana kwa ajili ya Allah
@alisharia68314 жыл бұрын
Yaaa Allah MPE maisha marefu na neema shekh wetu Othman
@omara.mcheju13403 жыл бұрын
F6
@bakarimwakabebe96493 жыл бұрын
Naipata elimu ya Allah na ninajipwekesha kwake zaid. Alhamdulillah Allah atulinde zaidi soteni insha'Allah walio nje ya uislam waelimike wamjue Allah na kadar zake
@salumumtipa99067 жыл бұрын
shekh nakupata vizuri sana endelea kutupa darasa inishaala allah atakulipa daima
@abuyabally76308 жыл бұрын
mashaAllah umenifungua mengi kujua ilikuaje kabla ss kuja duniani Allah kupe kila zuri na akuepushe na kila baya
@TheFire_Gamer2 жыл бұрын
Sasa Adam sialiekwa peponi kwanza dunia ilikua bado
@farouqsilvester99186 жыл бұрын
Asalam alykum, sheikh othuman maalim, nakuombea all the best my sheikh, mwenyeezi mungu akuzidishie maisha malefu sheikh inshallah, also ur welcome to cape town sheikh.
@josephnziokadci5 жыл бұрын
Masha Allah!! Nimejifunza mengi kupitia kwa mawaidha yako sheikh Osman. Allah akujaalie heri!
@hubahonlinetz20718 жыл бұрын
mungu akufanyie wepes othman maalim nakupenda xana sheikhe wetu
@khamisisalum42046 жыл бұрын
Mimi umenifanya niingie vizuri kwenye dini nashukuru sna allah akupe nguvu daimaa
@jumakipingu82504 жыл бұрын
Eeh mola wetu MPE kheri shekh Othman Maalim hakika ni mliwazi mwema aweza kuturejesha kwa Allah (daawa zake maashaalah
@mimamkassy65634 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akulipe kheir duniani na akhera
@abdulhakimsaku68027 жыл бұрын
Asalam aleykum MASHAALAH ALLAH AMLIPE PEPO Sheikh Othman maalim Kwa kututoa katika giza na kutuonyesha nuru ya dini ya haki ,pia napenda kuuliza kama shekh othman kama anayo madrasa au shule ili tupeleke watoto wetu wapate ilmu ,kama ipo shule naomba anuani yashule , AFWAN
@aishajeaninejeanine89346 жыл бұрын
Mungu akujalie afya njema sheikh wetu nimejifunza mengi kupitia kwako shukrani
@mwinyikandi22692 жыл бұрын
Nakupenda sana sheikh wangu kwa ajili ya Allah mawaidha yako walai niyenye kuwanufaisha wasikilizaji pamoja na Allah, kwaajili ya mawaidha yako walai ulimpendeza rafiki yangu mkristo kupata mwanga na atimae akasilimu walai, Allah akudumishe katika thwaa yake sheikh wangu
@ashaali48818 жыл бұрын
ALLAHU BARIK SHEIKH OTHMAN MAALIM
@noorynmohammedy60633 жыл бұрын
Nakupenda sheikh othuman kwaajili ya Allah Mwenyez Mungu atupe Maisha malefu uzidi kutupa yalio ya kherry
@mwantumjuma90254 жыл бұрын
nakupenda sana shekh Othman maalim ukiw unashusha aya za qur an
@ahmadmahingika58714 жыл бұрын
Allah atupe wote sisi na wewe shekh wetu mwisho mwema aamin.
@bableeallayzubeir4965 жыл бұрын
MashaaAllah mungu akuzidishie kher dunian n akhera
@biabuhamismwarua11237 жыл бұрын
Jazzakallah kheir sheikh othman maalim
@rehematawalani74725 жыл бұрын
Na'am hakila leo ili kitima ndo kimevunjika kwani hata nami nilokuwa sijui jinsi dunia ilipoanzia shukran sana ma'alim
@alialghafri16746 жыл бұрын
Allah akulipe shekhe wetu unatupa Iman ya roho kiass kwamba tunamshukur mung akupe umri mrefu inshallah
@husseinwarsame31594 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله حفظك الله وأزيد ك الله علما نافعا وعملا متقبلا وعافية في القلب وصحة في الجسم وعبادة سر
@nassormbarouk90582 жыл бұрын
Amiin yaa rab jamia inshallah🤲
@hassasadiq44575 жыл бұрын
MashAllah sheik OTHMAN MAALIM Allah akupe umri
@michaelmwakyusa36823 жыл бұрын
Masha Allah shehe wetu Allah akupe heri ktk dunia yako na akhera yako Inshaallah
@rasulydaudi92778 жыл бұрын
jazakkah ALLAHU shekhe we love u
@rahmamohammed20167 жыл бұрын
Jazakallahu lkhaira shaikhe na Akasha. Mm maoni yangu naomba uweke Qur-an ikisomwa na Sheikhs Othman maalim.Napenda sana usomaji wake
@rajabrajab5926 жыл бұрын
sawasawa
@hakimoman60864 жыл бұрын
Hongera kwa kulibaini hilo Ata na mm napenda kuskia akisoma Quran
@mrshazychannel33593 жыл бұрын
Inshallah
@rajabrajab5926 жыл бұрын
wallah toka nipo darsa lakwanza nilkua namkubali sana uyu Sheikh Mpaka Léo amenifanya nisisikilize mawaidha yeyote zaid yake Mpaka namuiga kwenye anaposimulia visa mpka usomaji wagurani Wake...
@AKASHA.P6 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@mawaidhayakiislamu54173 жыл бұрын
ALLAH AKUBARIKIE PEPO, KWA MAANA VIJANA WENGI TUMEBADIRIKA KWAAJILI YAKO
@nderekanyenuhu11258 жыл бұрын
Allah Akbar ,Allah akuzidishiye kila la kheir
@khadijanahoda26706 жыл бұрын
subuhanna wallah Allah akupe ujira mwema nimejifuza kupitia mawaidha yako
@imraniqbal007654 жыл бұрын
Assalam aleiykum Shukran sanaa sheikh wetu Allah akulipe ujira mwema duniani na kesho jaanna kwa kweli tuna Elimika sanaa tu
@azizauledi41087 жыл бұрын
Allahu Akbar jazakallahu khair
@asinakassim15486 жыл бұрын
MaashaAllah tabarakallah ustaaadh Uthman Maaalim Allah akuzidishie umri na afya yaa Rabbbi ....
@salimhamood98984 жыл бұрын
Know
@mussamahmoud23763 жыл бұрын
Allah tupemema duniani na akhera 🤲 nautusamehe mazambiyetu.
@06897 жыл бұрын
Jazakallahu khairan yaa ustadh Othman wazaadahumu llahu ilman nnaafiaah,fii dunia wal akhira,uhibbuk lillah
@apangomombasa92302 жыл бұрын
Allahumah Amin
@nargisabdallah53448 жыл бұрын
mungu amzidishie umri wenye neemaza allah
@hawasomane42224 жыл бұрын
Mashaallah
@aliyomar91405 жыл бұрын
Asante maalim oth man maalim
@asyaasya37662 жыл бұрын
Masha Allah, Shukran sheikh wetu kwa darsa nzuri, Jazzaqallahu khaira
@makokhaidris59428 жыл бұрын
Masha Allah sheikh,Allah Akuzidishie elmu
@OmanOman-gc1zu3 жыл бұрын
Allah akupe afya njema na umri mrefu ln shaa Allah.🙏🏻🙏🏻❤️❤️
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
YAARAB TUSTIRI na AMJALIE Maisha marefu Mwalimu Wangu huyu Othman Maalim na Yenye Kheri zako ALLAH
@birdofpry38976 жыл бұрын
Shukran sheikh wetu hakika tunapata faida kubwa kwa mawaidha mazuri unayo tupatia, Allah akulipe kher hapa dunian na akhera
@hassankapate9674 жыл бұрын
Asante Sheikh ALLAH akufanyie wepesi dunia na Akhera
@mohamedindalo26635 жыл бұрын
Allah atufanyie weps umati huu bora
@hilalisaidseif84836 жыл бұрын
Nakuelewa shekhe wangu.amiiin thuma Amiiin
@saudambinga38322 жыл бұрын
Shekhe Osman Maalim Allah akujaalie umri mrefu afya njema uzidi kutujuza juu ya history ya dini yetu, shukran sana🇴🇲
@bestmoment-tv4il3 жыл бұрын
Allahu Akbar
@abdul-majidkombo52752 жыл бұрын
ماشاءاللہ
@tivelamc1583 жыл бұрын
Allah akupe umrii mlefu uzidi kutuma elimu🤲🤲
@leylasalim93802 жыл бұрын
Mashallah Allah SW akutangulie kila hatua
@SalmaSalma-qp3xf5 жыл бұрын
Mashallah mwenyenz mungu akupe umri kwan unatuelimisha wengi
@zaujatabdully1136 жыл бұрын
Jazaaka Allah khair
@fatmaismaili.mashaaallah4992 Жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah akupe Afya akulinde na hasad
@swbrnahasan63986 жыл бұрын
Jazakallahu kheyira
@ghibbahally96274 жыл бұрын
Jazakallah kheir
@Learning2test Жыл бұрын
Mashallah..jazakallahul khair
@hadijasadiki58252 жыл бұрын
Allah akujalie umli mrefu shekhe wetu
@uweisali15337 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الله
@baaharoon2 жыл бұрын
Assallamaleiykum warahmatullah wabarakat hamdulillah Mungu akuweke Uzidi kutuzinduwa ututowe katika njiya ulopotoka I turegeshe katika siratwal mustaqim na Mungu akusameh uende mbele ya haki umetakasika na Mungu Atujalliye atusameh awe radi nasisi Allahumma iniy as aluka rahmatika la yamliku illa anta
@alisalmin83134 жыл бұрын
BARAKA'LLAH FIIHA
@eshmelsagaph86164 жыл бұрын
ماشاالله يا عثمان معلم
@mwantumjuma90254 жыл бұрын
Alhamdulilah mwenyezimungu akulipe kheir
@ibbutv42754 жыл бұрын
ALLAH akulipe pepo sheikh
@muhammedtz2872 ай бұрын
Subhanallah
@khadijaally38598 жыл бұрын
Jazakallahu kheyri
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Amiina
@anithahassan61876 жыл бұрын
Allah akbar
@hamisamaundi56613 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde sheikh ilitujifunze zaidi
@sophiamgwila8465 жыл бұрын
ما شاء الله برك الله فيك
@hamzamsangi67906 жыл бұрын
Ma Sha Allah
@thefarati99777 жыл бұрын
Masha Allah
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Mashallah
@ftimaramadan47484 жыл бұрын
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Shukran wajazaka Allahu heri
@hamamaabdalla67033 жыл бұрын
Mashaawah
@AbdulWahid-xg7ph8 жыл бұрын
jazakallahu kher
@drlebon57932 жыл бұрын
Allah akuruzuku Shahada kabla ya umauti wako
@mubarakabdillahi7057 жыл бұрын
kheri
@aligedi28696 жыл бұрын
Allah akupe umri kaka
@famitoissanawanda62954 жыл бұрын
Asante shekhe wetu
@aminaissa71482 жыл бұрын
Asante sheikh wetu
@eshmelsagaph86164 жыл бұрын
جزاكلله خيرا
@mmminaa238 жыл бұрын
Ameeeen Yarabiii
@MahMoud-nl9rm2 жыл бұрын
Allah Akbar Allah Akbar
@farouqsilvester99186 жыл бұрын
I'm still learning a lot from u sheikh.
@joelkalumba69382 жыл бұрын
Amin yarabi
@asiliyakechuma97666 жыл бұрын
Jazaka llahu
@iralibinismaili93464 жыл бұрын
asiliyake chuma jazaka llahu
@athumanchato32176 жыл бұрын
wajina mungu akuzidishie
@ahmadliute59204 жыл бұрын
Mashasllah,Allah amlipe umri mrefu na akuzidishie elimu yenye manufaa Duniani na Akhera,Allahummà Aaaamin
@hateebtripazze66554 жыл бұрын
Allah aklpe wema
@wanjoclaude7534 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah. mimi nina swali, naitaji jibu kutoka kwa Sheikh Othman Maalim nirizike. swali langu ni: ALLAH (swt) kwa kuumba eti kaanza kuumba Arshi Yake Akaiweka juu ya maji. kisha Akaiumba kalamu. naitaji kujuwa maji yameumbwa lini? In sha Allah, naitaji jibu. Shukran.
@sharifumalisa51984 жыл бұрын
Inshallah
@muawiyaal-battashi7164 жыл бұрын
Allah akupe umr uno kheer na wewe 🤍
@omarmadenge45228 жыл бұрын
inshallah
@alkhormobi95342 жыл бұрын
Asalam alaikum shehe Othman maalim mimi nataka nijue tafusi ya jina langu
@mariammelissa38826 жыл бұрын
MashaAllah
@fayeezomar29027 жыл бұрын
mashallah
@mbaroukabdalla39674 жыл бұрын
Maashllh
@bennymochiwa4800 Жыл бұрын
Asalaam alykum, jambo ninalojiuliza km Mwenyezi Mungu alishapanga mwanadamu aje kuishi ulimwenguni kwann tunasema alifukuzwa mbinguni wakt kusudio la Mwenyezi Mungu ilikua mwanadamu kuishi duniani ambako ndio udongo ulipochukuliwa!!!????
@hawahawa69153 жыл бұрын
Shukuran shekh
@sudihammad73875 жыл бұрын
mwenyezi mpe uhai mrefu tupate jifunza zaidi sisi wavivu wa kusoma ila ni tiba unatupatia maana quran ni dawa ya moyo