Semina ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || Tarehe 12 Mei 2024
Пікірлер: 46
@jeankidez007ferdz2 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe! Tunamshukuru Mungu kwa kipande hiki mlichotuwekea, Mungu awabariki tunaomba watumishi mtuwekee somo lote la siku ya tano maana tulilikosa lote kwa sababu ya shida ya internet tunawaomba sana
@jacksonlumelezi44012 ай бұрын
Amen, nibariki na Mimi bwana
@user-sn9lh6gv7t2 ай бұрын
Ubarikiwe najifunza kitu katika mahubiri
@blessedtumaini5162 ай бұрын
Mungu Baba asante kwa kunifundisha kupitia Mtumishi wako na Mwalimu Christopher Mwakasege mbarikiwe na umpe neema juu ya neema daima na wote watendao kazi pamoja naye na familia yake. Asante sana kutuwekea somo hili watu wa Mungu Baba. ❤❤❤.
@jescarwegoshola17542 ай бұрын
Asante sana,hili somo lilikuwa na vita kitu cha uchumi ni nyeti adui anapambana tusivuke,nilijua kabisa Internet ilikorofisha kwaajili ya hili somo. Mungu ni mwema tunavuka watashindana hawatashinda💪🙏
@sambinzaka1932Ай бұрын
Asante kwa neno hili
@emykimaro5642 ай бұрын
Masomo haya ya nyakati hizi za mwisho ni muhimu sana tunaomba mtuwekee somo lote tafadhali
@yuliahenry33832 ай бұрын
Ahsante YESU KWA ROHO MTAKATIFU: ROHO WA MAFUNUO. TUOE ROHONYA KUPONDEKA TUKUTUMIKIE KATIKA ROHO YA KUPONDEKA NA KWELI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO. AMEEN
@jescarwegoshola17542 ай бұрын
Dah,niliota sku moja miaka imepiata,nikiwa naenda sehemu,niliko kuwa naenda mji nauona kwa mbali mzuri ajabu ,unag'aa ajabu nikiwa na kazana kwenda,ghafla nikiwa kny ndoto nikaona nimesimama kny sehemu ya msitu umefyekwa lkn magugu yanaanza kuota,ila aridhi ilikuwa nzuri,nikanza kusikitika mji ukapotea nikiwa nasikitka nikaamka. Lkn mji ulikuwa mzuri saaana,sijawahi kuona nimeenda ulaya hata kny mitandao tunaona lkn kweli sijawahi ona,ila hapo Mimi nikutengeneza kujiandaa.
@user-ve1wl3jv6r2 ай бұрын
Mungu nimwema moyo tupe kwayale yanayokuja kwetu mazuri
@EvKennedyEvkennedy-pu9up2 ай бұрын
amen ubarikiwe mwalimu
@user-ve1wl3jv6r2 ай бұрын
Tunashukuru sana mungu tupe riziki namazuri mengi
@AyubuDeus-dl5gi2 ай бұрын
Mwl Mungu abarki sana kazi yake
@Faith_Fabouh2 ай бұрын
Asante Yesu. Nakupenda u mali yangu.
@herrymasika43862 ай бұрын
Mungu awabariki kwa kipande hiki lakini tunaomba tupate somo lote maana tulilikosa. Ktk Hali hii ya kukosekana utulivu wa internet Mungu awawezeshe🙏
@MaryGoldence2 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@winiemajengo16792 ай бұрын
Mungu atukuzwe mbarikiwe ksana watu wa Mungu asante kwa kipande hiki.
@upendotwina98482 ай бұрын
Glory to God..Asanteni sana
@isakwisambyale55142 ай бұрын
Asante Kwa kushare hii session ya Mwanzo, we missed it because of the internet shutdown.
@Mary-lw5vg2 ай бұрын
Kila somo linalokuja linakuwakwangu ni kama lingewahi lingenisaidia kama lingekuja mapema niomber mtumishi
@neemasenso45632 ай бұрын
AMEN
@godsbeloved98552 ай бұрын
Naomba mutuwekee somo lote....this 5th session we missed
@faithhewitt66222 ай бұрын
Ingia page yake utaona somo lote.
@salmavicky60952 ай бұрын
Page gani@@faithhewitt6622
@elishangomele99372 ай бұрын
Afadhari Leo mtandao umekubali japo kidogo
@TonnyMamkwe2 ай бұрын
Ameen
@tumainimushi6202 ай бұрын
Tunashukuru sana,tunaomba somo lote.
@janetjanet86692 ай бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa neno
@waithirahnaomy15732 ай бұрын
Asante sana ninashukulu ..ninaomba somo lote
@carolinederi56902 ай бұрын
Hii clip iko fully jamen angalieni mkutano wa injili week hii na week ilio pita mtapata fully
@rehemamwamundela27172 ай бұрын
Mungu awabariki sn
@peterjohn20992 ай бұрын
❤
@user-qr9pw9sk1p2 ай бұрын
Tunaomba mtuwekee somo lote tafadhali
@CANAANTZ_TV2 ай бұрын
Heleluuyaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
@priscasanga76802 ай бұрын
Jaman tunawaomba mtuwekeeni yotee😢
@richardcasmir56422 ай бұрын
Yes please tulikosa we are trying to catch up
@oliversanga26812 ай бұрын
Asante kwa ku share sehemu ya mafundisho ubarikiwe
@MabelKaaya-hl2je2 ай бұрын
Hallujah.
@eng.kivuyo122 ай бұрын
Roho mtakatifu alifikishe neno hili kwa kila muombaji, kwa kila kiumbe, katika jina lake Yesu.Amen
@MabelKaaya-hl2je2 ай бұрын
AMINA AMINA AMINA
@daudimhoha3202 ай бұрын
Hakikà.kilajambo.linakusudi
@daudimhoha3202 ай бұрын
Hakika.kilajambo.linakusudi
@selemanjames81902 ай бұрын
Mwl.hii siku ya mwisho mbona mmerusha vipande vipande? Turushieni tukio zima