Chuki ya Nini kama umeitazama hii nyimbo mwaka huu 2024 tujuane Kwa like.
@eliyadavid36294 ай бұрын
Niko hapa 🙌🏻
@user-pi4jf8df3t3 ай бұрын
Mzuri saana
@hanagango692219 сағат бұрын
I'm the one also listening this music❤️
@NyarikiDamah4 ай бұрын
Wenye bado wanawatch hii song 2024 wapi likes zenu❤
@JosephHhawu-vg9ikАй бұрын
Wanaosikiliza huu wimbo 2024 mwezi wa 6 like zenu Ngoma ya moto hii
@MaryChido-kp9br10 ай бұрын
Wanao barikiwa na hii nyimbo 2023 gonga like
@sarahogama95404 жыл бұрын
Wenye Bado wanawatch 2020 gonga like twende....chuki ya nini ndugu zangu
@suitbertnankoko3168 Жыл бұрын
Safi mkubwa umeimba ya ukweli
@HenrietorNekesa Жыл бұрын
Niukweli kabisa waambie wasikie
@innocentkipanyula254711 ай бұрын
Tuko pamoja
@marthamaduhu10285 жыл бұрын
kama na ww bado unauangalia huu wimbo mpaka ss 2019 gonga like hapa mungu akubariki sana mtumishi
@nadiafrank33324 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako mpaka sijielewi
@jonasphibreck83254 жыл бұрын
@@nadiafrank3332 kumbe ww huwa unazikiliza kwa umakin sana yaani atamimi huwa nashindwa kujijuwa kabsa nazipenda baraha
@charleskasongo20583 жыл бұрын
hongera kwau wimbo
@christineamukoye99693 жыл бұрын
Kama bado unauangalia wimbo huu 2021 gonga like yako.
@jescangwaya98855 жыл бұрын
Km unaangalia huu wimbo 2018 like hapa. Blessed Pascal.
@stephanomwakyobe46755 жыл бұрын
JESCA NGWAYA i like that
@stephanomwakyobe46755 жыл бұрын
JESCA NGWAYA another ona wanamwabudu nic song
@eyesonemma33195 жыл бұрын
I wish everyone in world of God almighty will have the liking of each other. The world would have been a perfect place. This song makes me feel good. God bless.
@shukuruchina57725 жыл бұрын
JESCA NGWAYA ayubu
@user-pb2bp6tb7y3 ай бұрын
Chuki ya nini best song God bless you brother Pascal 🙏🙏🙏🙏🙏
@tuikezeezra1315 Жыл бұрын
Eee bana nilijua huu wimbo uliimbwa na Boni mwaitege, kumbe ni Paschal ni Cassian!! , Gob bless you.
@user-xo4xq6rr3f2 ай бұрын
Ni nyimbo tamu sana ina ujumbe mzuri na malody iko juu 2025
@cecileadundo74242 жыл бұрын
Jamani nimependa huu wimbo sana ndo nimeuskia leo fb nikauweka kwa story yangu🥰🥰may God continue using you
@NormanKipngetich-ek1ql11 ай бұрын
I loved more
@petermbayi58855 ай бұрын
i like this man of God thank you so much Keep it up God bless you
@Sammiemagu_nandozSammie3 ай бұрын
Sio Eti sababu kabila lako ndo linaongoza nchi uanze kuchukia wengine na vitisho ndogo ndogo. Zote Tu wa Mungu AMEN
@Sammiemagu_nandozSammie3 ай бұрын
Yes
@AnneMwesh90 Жыл бұрын
Oh my God..... Mungu nipe hii neema namimi nikuimbie natamani sana kufikia hapa bro unanibariki sana
@sharllynekibiti7971 Жыл бұрын
Nikitizama huu wimbo baraka zamiminika tu ,,barikiwa ndugu yangu
@falsafayohana88112 жыл бұрын
Moja kati ya watu wanao jua kupangilia mashaili ya Injili ukimutoa Rose Muhando namba moja ni wewe kaka! Big up sana🙏🙏
@everlineeverlinewamalwa2432 жыл бұрын
Mungu akubariki sana uendelee kuubiria wengi kupitia hizi Gospel za mafundisho bora, nimebarikiwa sana nakupenda kutoka Kenya, Amina.
@margiebettie5338 Жыл бұрын
Huu wimbo umefikisha mbingu ya pili ubarikiwe sana ndugu
@munirayakoub36825 жыл бұрын
Mungu atakuponya kaka yangu pole kwa maumivu makali ulio nayo mungu atakusimamiya tunakuombeya
@estermsembe28593 жыл бұрын
amina
@user-oh1qs3rx5i22 күн бұрын
Naupenda sana huu wimbo
@jimmyrutikanga7985 Жыл бұрын
Nakupenda sana pastor Mungu akuinue 🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@upendosulley1654 Жыл бұрын
Very nice song ubarikiwe na tupendane cku zote chuki ya nini sis sote Safar yetu Moja
@teresiahmuthee81299 ай бұрын
Very nice song nimeiskia leo 27/10/203 amazing saw it on tik tok❤❤
@bridgetgacheri60785 ай бұрын
Love the song.... Bonnie mwaitegi beatino
@diana56-lorient Жыл бұрын
They have non power ,we the one who have all the power, ALPHA AND OMEGA 🙏🏻 🙏🏻 🙏🏻
@rosemulala21762 жыл бұрын
Mungu akuponye tunakuombea sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@paulinamaro Жыл бұрын
Nyimbo imenifariji Sana barikiwa na kazi yako nzuri nyimbo inamafundisho
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Pokea uponyaji kwa jina la yesu kirsto,upone na urejee katika huduma,
@judyodongo91082 жыл бұрын
Very powerful 🙏mwenye sikio na asikie...Amen
@vailetchipeta82256 жыл бұрын
nimebarikiwa sana ujumbe mzuri Mungu atusaidie tusiwe na chuki
@agneskhakali20695 жыл бұрын
Ni kweli sote tu wa BABA mmoja
@pendoshabani7588 Жыл бұрын
❤amni wimb mzur San Mungu akubarik san
@user-wy3tm2wi6d Жыл бұрын
Am very much blessed,,, may God bless you from kenya
@benjaminwafula Жыл бұрын
Chuki ya Nini kwa nini uninunie kwa nini usinipende kitu kizito kweli -kweli
@magymlaghui2123 Жыл бұрын
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 brother.
@PriscaLyanga-bu7yc11 ай бұрын
Jamani wimbo huu unaujumbe nzuri sana
@neema38772 жыл бұрын
Mung akutunzeee sn mtumishi WA munguuu
@susanlune2405 жыл бұрын
Mungu aliyehai akuponye Kwa jina LA Yesu Christo ,nakuombea uponyanji wa haraka mtumishi wa Mungu ,kweli hatakuacha kamwe katika hali hiyo nilazima ajitwalie utukufu maana tunapokuwa wadhaifu yeye hututia nguvu ,pokea chemichemi ya uzima Kwa jina la Yesu mkombozi wetu nitaugua pamoja nawe mpendwa utapona Mungu wetu ni mwenye nguvu Alifana na Omega ..
@mauriceotash79205 жыл бұрын
Kwani yu hali gani
@kevinwafula56332 жыл бұрын
Nemembarikiwa sana
@samwelmwasile65015 жыл бұрын
MUNGU akujalie uponyaji kwa jina la YESU ameni
@myingaone47465 жыл бұрын
Mungu akubariki sana upone
@laurianiromani32433 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwaujumbe mzuri nazani mwenye sikio kasikia na mwenye macho kaona ubarikiwe sana
@bettysevera5105 жыл бұрын
Amen. Nice song brother. Chuki haifai ndani ya kazi mungu.... Barikiweni
@kindadalali20777 жыл бұрын
heri yako ulielijua hili. ubarikiwe na Amani iwe kwako
@sakandalinus3125 Жыл бұрын
This is very very great message of today's church.
@remjusemranje33722 жыл бұрын
Sisi ni wa mungu moja
@shineyourlighttv9766 Жыл бұрын
Ubarikiwe🙏😇🌎 mungu Wetu ni mmja.
@pendopalanjo92192 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wamung
@catherinenanjala388 Жыл бұрын
Am blessed this morning
@deboramagawa90782 жыл бұрын
Ujumbe mzur sana kk nyimbo sichok kuisikiliza🙏
@tuikezeezra131510 ай бұрын
Up to 2023, nipo naskiliza,
@abigailwanjiku9966 Жыл бұрын
Nice song brother
@elizabethakim14565 жыл бұрын
Yesu Akuponye Kaka
@sammyouko8232 Жыл бұрын
Hehe 2023 ndo first time kuskiza hii baraka
@samsonmkunda6622 Жыл бұрын
Barikiwa kamanda wa yesu
@tulakiwale42045 жыл бұрын
Chuki ya nn ndugu zangu,2019
@semenimwaselele13423 жыл бұрын
Ameen hiyo ni ya chuki Nini ni Nini unachafua moyon wetu nawakati wanatufanya Mambo mabaya ni dhambi huo
@bonifasjohn61673 жыл бұрын
Ooooh kumbe huu wimbo wa paschal nikajua bony mwaiteg🙈🙈 kijana anaweza san
Mungu Akuponye kaka jamani eti reo hii uko kitandani kweli ujafa ujaumbika rkn mungu yupo utapona utasimama tena pole sna🙏🙏🙏👏👏
@marcosdasilva71833 жыл бұрын
🇧🇷🏆🎖️🙏👍🙏🎖️🥇🥉🏆🤗
@marcosdasilva71833 жыл бұрын
🏅
@aggymartin42717 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri
@deboraelias18625 жыл бұрын
mungu akuponye pascal upone haraka jamani
@janethderki4398 Жыл бұрын
@@deboraelias1862 Amina mungu akubaliki kaka ang
@benjaminmaeba76562 жыл бұрын
Nice keep it up bro
@rosemulala21762 жыл бұрын
Haki tupendane tu na mungu atusamehe🙏🙏
@user-xp4lg5bk8d2 жыл бұрын
Sauti kucheza yote inafanana na bonny Mwaitege hadi mavazi mwafanana thus is very wonderfully be blessed
@ruthmwamburi756Ай бұрын
Mbona unichukie sisi wote ni WA Mungu mmoja?
@user-bm2nw6xg6q Жыл бұрын
Your the best in your voice and message in the song big up pascal
@kelvinyesaya43284 жыл бұрын
2020...twende sawa. naombeni like zenu wimbo unaujube mzuri🤗
@dinahmuhonjalagat54172 жыл бұрын
A very nice song,chuki ya nini na sisi sote ni wa Mungu mmoja,listening 09/01/2022..i praise God🙏
@lugoyemalila99555 жыл бұрын
Polee kwa ajal mbaya kaka pachal,,,mungu akutie nguvu kwa iman twakuombea na kuamin katik jina la yesu utapona....
@williambaharia87757 жыл бұрын
Ameeen Mtumishi nimebarikiwa sana
@estermsembe28593 жыл бұрын
nabarikiwa sana kaka kaz nzri mungu akuinue viwango vya juu kuliko maelezo
@user-sc3hy8jc4i10 ай бұрын
Am blessed,,,be blessed too
@zuhuraagustino89698 жыл бұрын
Ibarikiwe Sana mungu a kuongeza
@mercyfulesther40042 жыл бұрын
I love this song..naweza sikiza siku nzima
@quintavitalis92611 ай бұрын
Chuki ya nini kwakweli 2023 mje
@Annsikoboy-ut8bs Жыл бұрын
Tutawatch hadi kieleweke. Yesu Kristo asifiwe milele. Amen
@badlandz66733 жыл бұрын
Huu wimbo umeniguza mimi katika makanisa unapata mtu anakuchukia bure fitina chuki na huli kwao uwaombi kitu jamani mungu atusamehe
@kelvinyesaya43284 жыл бұрын
ujumbe mzuri sana kaka.
@zippykesh284 Жыл бұрын
Such a wonderful voice and great message,,be blessed pascal.....
@magnifiquentkrtmna3205 жыл бұрын
Kirasiku natowa macozi kwasababu yako. Nakuombea upone. Damu ya Yesu christo iwe juu yako
@hananfaraj94777 жыл бұрын
Blessed one beats n voice like Bonny mwaitege
@abdalamachwiko58125 жыл бұрын
Iam blessed with your song
@OutLaw254 Жыл бұрын
True
@daudimhoha8942 жыл бұрын
Ubarikiwe.sana.mtumishi.wa.Bwana.yesu
@mariarashid88137 жыл бұрын
barikiwa sana mtumishi mungu akuinue uzid kutangaza injili
@paschalvictary60956 жыл бұрын
Maria Rashid mungu akubarki napenda sana huu wimbo
@lumamichombochayesu18387 жыл бұрын
kazi nzuri sana kaka, tunashindwa kuelewa sisi wa afrika chuki mpaka kwenye makanisa. Mungu akuinue zaidi kaka yangu
@kelvinpilla49265 жыл бұрын
Ameni
@MargaretKahindi-i2tАй бұрын
Nice song ❤
@sakshiwinnie38592 жыл бұрын
Amen Amen Amen 🙏 na Mungu azidi kukuinua kabisaa Mtumishi kwa kweli nyimbo zako zaniguza sana na zina mafunzo mazito ubarikiwe sana na uzidi kuinuliwa ki uduma kwa Jina la Yesu christo 🙏🙏
@marynjogu37692 жыл бұрын
Oh God, I love your voice. May God bless you
@bahatiagape731 Жыл бұрын
Jaman...napendaga huu wimbo ..ufae bas ku download jmn 🙏
@jacoblesyiamon64115 жыл бұрын
God will fight for you Pascal
@callenogachi63164 жыл бұрын
Mungu hakubariki wimbo narudia Mara mia
@RobinShiundu-t7cАй бұрын
Imeweza
@BonfaceWafula-np3fy11 ай бұрын
Great message
@bahatiagape731 Жыл бұрын
Wenye tupo hapa 2022...gonga like bas 🙏🌹❤️
@rogersmasofa65495 жыл бұрын
Gonga like kama umesikia bit ya Freemason mwimbo wake wa zaman
@elizabethsalaho23445 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akuponye kwa Jina la Yesu Kristo Wa nazareti✋
@user-rz1pc1be7x Жыл бұрын
Ngoma oko Tamu Sana hit hot 🔥 miakka yooote iko juu 🔥🔥❤️☝️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bahatijohnson7795 жыл бұрын
hakika mungu atusaidie kwa kuwa mambo yamebadilika sana mpedwa na mpendwa tunachukiana ni ajabu sana barikiwa sana kwa ujumbe mzur sana uongezewe kipawa kwa jina LA yesu
@bongomanrohosafikaratetren83552 жыл бұрын
Chuki ya nn ndugu zangu jamani ubarikiwe
@rachaelngua3182 Жыл бұрын
Wow i like a song the way sing and dance
@stevencharles30033 жыл бұрын
Kaka nimetokea kukwelewa sana nakufatilia sana youtub
@mirriammueni48885 жыл бұрын
Kama nigekua na uwezo nigekusaidia upone BT naamini kwa jina LA yesu utapona nakusaidia na maombi
@chrispianjuven14995 жыл бұрын
Mungu hakumbonye kati njina la yesu
@everlineeverlinewamalwa2432 жыл бұрын
Usimchukie mwezako maana aliyekuumba wewe, ndiye aliyemuumba yeye, sisi ni mfano wake baba mungu,tumutukuxe na tumuinue kwa pamoja Amina
@sara.wanjalaalipoyesuyotey36137 жыл бұрын
Chuki nini ndungu zangu
@bahatiagape71212 жыл бұрын
Jan.huu wimbo naupendaga sana jaman...naomba utoe ufae kidowlod jaman 🙏