Tanzania is really going to miss this fellow! He was truly a ‘Chuma!’
@josephmwakilema6687 Жыл бұрын
Q
@homeboybeyondtheborders49356 жыл бұрын
Best speech ever...!Bandari ya Dar es salaam.
@topfreelancer51518 жыл бұрын
Asante buyohela. Rais anafanya vizur kutufanya kuwa wazalendo zaidi kuliko kuangalia maslahi. Very nice
@mohamedshebe65018 жыл бұрын
good.
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Wanyonge wamekukumbuka sana
@patrickmbogo78056 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mh. rais Dr. Magufuli
@trafficmanager29244 жыл бұрын
Mweshimiwa Rais Mkombozi wetu, ongera kwa kazi Nzuri saana. Tunakisihi Uelekeze jicho lako kwenye shirika LA NSSF. Ni aibu hakuna kazi inayofanyika.
@byerafrancis79818 жыл бұрын
the BULLDOZER of Tanzania,we ril love u so much Mr President
@collinskitoto21842 жыл бұрын
Even though you are not with us , I haven't seen you face to face but you remain my president kwa jina la muungano wa Jamhuru wa Tanzania... Collins kutoka Kenya
@efrembenad90373 ай бұрын
Salut kwa doctor pombe magufuli
@silverrichard29752 жыл бұрын
Rais wangu bora kabisa Africa hakika ulikuwa mzarendo endelea kupumzika kwa amani Dr Magufuli😢
@jeremiahmjinja85188 жыл бұрын
Congratulation Mh Dr John M Dunia ya sasa inaitaji uduma yako ya uongozi Bora.
@franciskasembele59383 жыл бұрын
Ninamkumbuka sana sana jamani kweli J.P.M. wamem maliza kwakweli jamani.. Emungu ulie mleta na ukaamua kumchukuwa ,,Amen....
@apboy89442 ай бұрын
R.i.p our best hero 😢😢😢
@BarakaAbel-wm4jjАй бұрын
Naombeni like 100 kwa kuiangalia 2024
@bahatijoseph99675 жыл бұрын
Kiukwel inasikitixha sana mana tz pasua kichwa tunajiibia wenyewe noma sana ila m/mungu katuletea mchapa kaz mh Dkt john pombe magufuli 2020 panapo majaliwa kula yangu utaipata bila xhaka.
@matwerangulichedr39858 жыл бұрын
w love u mr président. ..i just see a new tanzania 4 everyone
@officialgivenjacksonngalla8 жыл бұрын
Be blessed my president.Hakika Mungu atakulinda.
@katelengumasolwa5718 жыл бұрын
Ubalikiwe Rais wangu.
@hermankinyaiya9256 Жыл бұрын
UongoziWako,ULIKUWA,kwenyeDamu.hatotokea,KamaWewe
@hermanrockyhermy78138 жыл бұрын
i love Tanzania, i love my President Magufuli
@matwerangulichedr39858 жыл бұрын
what a president!i reel love uu...i just seen a new tanzania 4 everyone
@freudntanama78397 жыл бұрын
mtetezi wa Tanzania yetu jamani huyo . Mungu akulinde sana . hadi nahic kulia jamani kwa furaha
@sameermilo24924 жыл бұрын
Safi Sana Raisi 🇹🇿 Tunakukubali Jembe letu
@marcomuhoja59812 жыл бұрын
😁😁😁 Mzee nakukubali sana
@hassancharo14962 жыл бұрын
Madam with blue dress AME guswa na maneno ya Dr Mh Magufuli
@shukuruexperius50354 жыл бұрын
Rais wa ukweli yani ni Afrika Mashariki na Kati Jpm nakutakia maisha marefu
@amosyohana53513 жыл бұрын
Rais wangu daima
@dennismalima53652 жыл бұрын
What a speech! 😢 😭
@jairosjulius3466 Жыл бұрын
Nikishika simu kubwa lazima nimsikilize huyu mwamba
@Jer742 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani Rai's mchapa kazi JPJM
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
hiyo sehemu ya mafuta iliofungwa sijui imefuatiliwa @Ikulu Tanzania? tunaomba update ya hilil swala zima pamoja na mafuta. asante sana
@athumanomary14386 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz rais wetu
@erickleonard8162 Жыл бұрын
Magu kweli alikuwa chuma!
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
Magufuli John oyeee!!
@homeboybeyondtheborders49355 жыл бұрын
Hao wafanyakazi wote wezi
@R10_Rajab9 ай бұрын
Unaposikiliza hutuba za huyu Mwamba kama haujatoa chonzi basi wewe ni jasiri sana
@Tdotkido8 жыл бұрын
Noma
@wilbertfidelime22328 жыл бұрын
Rais naomba uwatoe tuu hao makamishena
@jairosjulius3466 Жыл бұрын
Mwambaa huyu daah kifo jamani
@mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын
MWANA WA WAKATI WAKE, JE BANDARI IKOJE WAKATI HUU? 2022. MMMMM! DUNIA HII NI NGUMU SANA KUIELEWA...
@nappekiliakiliasalimu3462 жыл бұрын
Hatupati tena Rais kama ww.haw wengin wanaoingia wote bla bla tu.
@fakiikibakola13002 жыл бұрын
MUNGU BBA MFUFUE RAIS HYU NAKUOMBAA
@shafiyuthmaan12296 жыл бұрын
سبحانالله,noma knoma
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
yaani huyu President angeacha uchaguzi uende kihaki, daah jamaa sijui ingekuaje maana nchi nyingi za africa wangevua kofia. ila kwa style alioifanya ni kama sio Magufuli
@homeboybeyondtheborders49354 жыл бұрын
Mpaka leo michezo inafanyika
@t1910j7 жыл бұрын
Kuna uchafu bandarini hapo sana.
@mzurunatary25022 жыл бұрын
Wazima maguful
@jamaa27609 ай бұрын
Pumzika pema.Peponi
@myoutubecom-gg7sb5 жыл бұрын
Kiboko yenu ndio hiyo hapo na hapo jee niambira mwenehu unanisagala bure tu ujumbe umesha fika
@barakasilas54043 жыл бұрын
Hakika nakukumbuka Sana rais wangu,,
@DavidNgalowokaАй бұрын
JPM
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
Hii ni zaidi ya kukamata mwizi men
@abeidmayanga8098 жыл бұрын
Lakini jamani watanzania mbonatunaboa
@gooddeeds1628 жыл бұрын
Abeid Mayanga kivipi bRo
@abeidmayanga8098 жыл бұрын
Chuck Taylor mzee anaongea mpaka anatamani hata alie lakini hatuelewi
@gooddeeds1624 жыл бұрын
Abeid Mayanga upo sahihi sana , Na inauma sana kama ni mzalendo kweli wa nchi yako .