NAIBU WAZIRI NDULANE ASHINDWA KUAPA MBELE YA MHE. RAIS MAGUFULI/ATENGUA UTEUZI WAKE HAPO HAPO

  Рет қаралды 114,245

Carrymastory

Carrymastory

Күн бұрын

Пікірлер: 248
@zachariamtoamaww5841
@zachariamtoamaww5841 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu mpendwa, unafanya kazi kubwa sana. Mungu wa mbinguni atakulipa kwa hili. MUNGU IBARIKI TANZANIA
@mussamkanga67
@mussamkanga67 4 жыл бұрын
Hakika tusimcheke huyu bwana ispokuwa tumombe mungu ampe sahla Kama kuna ubaya ulio wekwa kwa huyu naibu mungu tunakuomba mwinue kiumbe wako.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 4 жыл бұрын
Amiin😢😢😢
@geturdablatch9706
@geturdablatch9706 4 жыл бұрын
Amiin na hilo ndio linataliwa
@tatukachingwe7451
@tatukachingwe7451 4 жыл бұрын
Amiina
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 жыл бұрын
Inshallah tumuombee
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 4 жыл бұрын
Sio mchezo,kunakitu kimetokea kwahuyu Baba.Hata wanafunzi huwa kinawatokea kwenye mitiani yao.Wanajikuta wanaona vitu vya ajabu kwenye karatasi zao.Nimeumia sana nahisi kutokwa machozi kabisa.Nimeumia sana.Pole Baba.
@richardkisoka4234
@richardkisoka4234 4 жыл бұрын
Duuuu inauma ila c kwel ajui kusema jmn uchaw upoooo
@AhmedAli-hk1il
@AhmedAli-hk1il 4 жыл бұрын
Daaaaaah leo nimeamini uchaw upooooo
@amamlen3731
@amamlen3731 4 жыл бұрын
Nmejkuta nacheka kwa comemment yako
@AhmedAli-hk1il
@AhmedAli-hk1il 4 жыл бұрын
Ww mwenyewe huoniiii mheshimiw anovyohangaikaaa hao kituuuu hapo anaona kiza tuuuuu wakulungwa washafanya yao hehehhehehhe
@josephkisaro1377
@josephkisaro1377 4 жыл бұрын
Jamaa kila akiangalia hio karatasi haoni maandishi kabisa, baada ya kugundua hilo akajaribu sana kukariri lakini kila anapoambiwa arudie anajikuta kapangilia tofautitofauti, imenikumbusha kipindi kile vandame alipopigwa upofu na mpinzani wake, hivyo akawa anapigana kwa kutumia hisia. Kiukweli inauma sana Mungu amtie nguvu
@annamashiri3921
@annamashiri3921 4 жыл бұрын
pole baba. m we mna kumbuka mungu kwakkra jambo mungu anaweza.
@esterkileo3486
@esterkileo3486 4 жыл бұрын
Duuh Rais tunaomba mpe nafasi nyingine kiukweli kama sio uchawi amepata hofu jamani
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@hashakatv
@hashakatv 4 жыл бұрын
Kweli kabisa @Ester Kileo
@mathayowilson1525
@mathayowilson1525 4 жыл бұрын
Hofuuuuuuuu...ilikuwa hofu tu na kuchanganikiwa mbele ya rais...tungekuwa na HOFU hiyo KWA BWANA MUNGU WETU MFALME...
@abelkessy6249
@abelkessy6249 4 жыл бұрын
Sio kawaida. Inauma Sana jamani.
@khatwabisadathil3423
@khatwabisadathil3423 4 жыл бұрын
Abel kweli inauma.c bure huenda kapigwa changa LA macho.au kapanic.
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 4 жыл бұрын
Subhaanallah jamani huyu baba sio buleee jmn 😭😭😭😭
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 4 жыл бұрын
Jamaniiiiiii😭😭😭😭😭uchawi upoooooo hakika c kiwewe Wala c hofu hapa kipo kitu mungu tusaidie🙏🙏
@nightnursenightnurse7396
@nightnursenightnurse7396 4 жыл бұрын
It's soo sad....maybe ana Problem na macho yake haoni vizuri.Just saying i'm not sure.
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 4 жыл бұрын
Usikute aoni kitu jamani bina damu
@deviskimwaga2672
@deviskimwaga2672 4 жыл бұрын
Ss tutawaombea tu
@ramadhanikibenga6317
@ramadhanikibenga6317 4 жыл бұрын
Mmmh pole sana
@fatumamohamed1078
@fatumamohamed1078 4 жыл бұрын
Imeniuma jamani kama kimemkuta mzazi wangu
@georgemadinda8514
@georgemadinda8514 4 жыл бұрын
Naibu waziri shukuru kwa hili limekuokoa na mabaya mengi ambayo ungekumbana nayo kwenye hiyo nafasi
@batromeolazaro7543
@batromeolazaro7543 4 жыл бұрын
Shikamoo uchawiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣
@danielymwamwezi6185
@danielymwamwezi6185 4 жыл бұрын
Nimefurahi sana mheshimiwa rais aliyo yazungumza dodoma hayo yapo Kwahii nchi yetu
@abelubamba7409
@abelubamba7409 4 жыл бұрын
Pole kaka
@emmanuelnimbasa1754
@emmanuelnimbasa1754 4 жыл бұрын
Una mtanguliza Mungu ktk maisha yako jukwaani, ni kweli unamkubali?
@gethsemane_tz1350
@gethsemane_tz1350 4 жыл бұрын
Haka kaugonjwa ukiwa nako kanaibisha sana... Usiombe yakukute
@aishabeka5562
@aishabeka5562 4 жыл бұрын
Daah nimeumia Jaman😭😭😭cjui amepatwa na nini huyu baba wa watu
@faza4023
@faza4023 4 жыл бұрын
Yan sio poa
@princessgracpius3573
@princessgracpius3573 4 жыл бұрын
Dah 😂😂😂 s cheki kwa mazurii ila malipo n hapa hapa dunian Mungu atamlipia m na Amin hvo
@vivianikiria143
@vivianikiria143 4 жыл бұрын
WACHAWI SHIKAMOO
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын
Kwetu kenya naibu wetu warais Rigathi Gachagua aka riggy G. Alikosea siku ya kuapishwa
@missmoona4497
@missmoona4497 4 жыл бұрын
Mzee bb kama ulifoji vyeti bb karibu mtaani tuuze mahindi, maskin vijana wenye vyet vyao master's nzur lkn wanauza mishkaki kitaaa waliofoji vyet wako serkalin mwisho wa siku mambo yalikuwa kama hivyo.pole sana mzee baba
@isaackilamlya5995
@isaackilamlya5995 4 жыл бұрын
Pole yake Mungu ndiye mweza wa yote, Naamini Rais ni mtu wa Mungu ataoneshwa nini kilimsibu mimi namwombea arudi nafasi yake
@mustafarashid2484
@mustafarashid2484 4 жыл бұрын
Huyo hajasomo kama huyo magufuli,Tz viongozi ni mapimbi imedhihirisha wazi.njooni KE,tuwasomesheni shenzi sna.
@oliviamasao8394
@oliviamasao8394 4 жыл бұрын
Hakuna cha uchawi, yeye ni mkristu angemtanguliza roho mtakatifu hakuna ambacho kingeshindikana..
@batridapaul92
@batridapaul92 4 жыл бұрын
Usiseme hivyo my dia uchawi upo
@tumainjackson4122
@tumainjackson4122 4 жыл бұрын
Hakuna mkamilifu duniani Mungu angehesabu makosa yetu nani angesimama ungemsamehe tuu mkuu
@geturdablatch9706
@geturdablatch9706 4 жыл бұрын
Angepewa nafasi akae k8dogo arudie kuna shida yeye amefungwa macho
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 4 жыл бұрын
Hakuvaa miwani hivyo haoni vizuri ana shida ya macho
@olluoddiossa9863
@olluoddiossa9863 4 жыл бұрын
Alikuwa hataki hyo nyadhifa ya unaibu haiwezekani.
@lazboylazboy6188
@lazboylazboy6188 4 жыл бұрын
Dah
@mussalameck4897
@mussalameck4897 4 жыл бұрын
Huyo mama anaetikisa kichwa ni mchawi 100🌹
@zachariamtoamaww5841
@zachariamtoamaww5841 4 жыл бұрын
Mmmh broo aya mambo yaache kama yalivyo. Usije ukajiingiza matatizon
@princessgracpius3573
@princessgracpius3573 4 жыл бұрын
Wew ulimuona wapi ndgu au ndo unajitaftia kesi
@kudraahmad5670
@kudraahmad5670 4 жыл бұрын
Mh rais wetu mpendwa mpe nafas ya pili ya kuapa huyu mheshimiwa
@rehemayustice4414
@rehemayustice4414 4 жыл бұрын
😭😭 Ee Mungu msaidie huyu😥😥😥😥
@Rogue602
@Rogue602 4 жыл бұрын
Huyo kusoma anajua lakini naona ame panic. Mie pia inanitokea sometimes
@muniradaudi440
@muniradaudi440 4 жыл бұрын
So Kweli Abdulkadir inakutokea wapi eti😀
@amamlen3731
@amamlen3731 4 жыл бұрын
Mimi shule nlkuwa muoga kujibu maswal darasan but nlkuwa naelewa sana na mitihan nlkuwa nafauru vzur kwaiyi nkajifunza mtu anaweza asiape vzur lakn akawa mtendaj mzur sanaa kuliko alieapa vzur cz Mungu almchagua Musa alienda kigugumizi asiweza kuongea na akamuacha aruni anajua kuongea lakn akamchukua musa alie na mzigo ndan
@josephmichael5945
@josephmichael5945 4 жыл бұрын
Mr PRESIDENT 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
@mackeymwamzandijr1696
@mackeymwamzandijr1696 4 жыл бұрын
Haki ya mungu😂😂😂😂😂😂 wanavijiji washakutambua utasumbua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@batridapaul92
@batridapaul92 4 жыл бұрын
Daaa kapigwa jujuu uyu mijitu michawi
@christophermhanze2788
@christophermhanze2788 4 жыл бұрын
Ccm mbelee kwa mbelee!!!
@haido.99
@haido.99 4 жыл бұрын
Subhannnah Allah ! 😭😭😭😭😭binaadam tuacheni ubaya
@yoenimngulwi8523
@yoenimngulwi8523 4 жыл бұрын
Tatizo hilo lakuwachagua watu wenye pesa na wala sio elimu hapo tu kuapa ngoj sas tuone mbele
@josephatmathias8276
@josephatmathias8276 4 жыл бұрын
Kapgwa kipapai huyo haiwezekan ikawa ivo anakua kama haon duuh so kwel
@mafurudonald4217
@mafurudonald4217 4 жыл бұрын
Shikamooo magu
@geturdablatch9706
@geturdablatch9706 4 жыл бұрын
Huyu kafanywa kama.yule mjumbe wakati wa kura za maoni.
@dicksonchambo1896
@dicksonchambo1896 4 жыл бұрын
Mambo ya hivi yapo sana,huyu amelogwa/uchawi,swala hili liangaliwe vizuri/kwaundani,huyu MTU anashida.
@gisellebusime2478
@gisellebusime2478 4 жыл бұрын
Kweli siyo kawaidi
@puritygerald6692
@puritygerald6692 4 жыл бұрын
Mchawi hapaswi kuishi
@caslidajosephat8912
@caslidajosephat8912 4 жыл бұрын
Pole amepaniki mmwelewe tu nikitu ambacho hakukitegemea mmwelewe tu
@tanzaniaone2
@tanzaniaone2 4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅watu wakigoma wameanza na yeye sasa😅😅😅😅😅
@jamesamushi2176
@jamesamushi2176 4 жыл бұрын
Kweli imeniuma sana km n mtu ndo kamua kufanya ivo ata fika mbali
@msabahabdallah9461
@msabahabdallah9461 4 жыл бұрын
Kwa kwel Allah ni mkubwa huy sio rixik yake
@muniradaudi440
@muniradaudi440 4 жыл бұрын
Kabisa
@kennedyngusa8890
@kennedyngusa8890 4 жыл бұрын
Mwanzo aliingiaje mjue baaati mbaya
@Danny-yl8xi
@Danny-yl8xi 4 жыл бұрын
😃😃mama mnoko anatikisa kichwa tu
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
Njaa mkuu imewazidi na walisha fanya mengi zaidi ya hayo ulioona.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 4 жыл бұрын
Kuna jambo kwa huyu jamaa sio bure,haiwezekani mtu aliyemaliza hata chekechea anasoma vizuri,hapa sio kawaida.
@kamalissabig2429
@kamalissabig2429 4 жыл бұрын
Kama una akili timamu unawea elewa huyo jamaa anajua kusoma vizur tatzo alikuwa na pesha tuu na kuto kujiamin
@patrickrobison7091
@patrickrobison7091 4 жыл бұрын
Uchaguz kwenye jimbo lake jlikwendaje jaman?
@amanyadolph7809
@amanyadolph7809 4 жыл бұрын
Off course
@issaahmad1264
@issaahmad1264 4 жыл бұрын
Huyu bwana sio bure kunamchezo umefanyika ilitakiwa afanye uchunguzi ili ajiimarishe laa sivyo atafanyiwa mengi sana mungu atamsaidia tu atapata nafasi zaydi ya hiyo!!
@shaloboy3861
@shaloboy3861 4 жыл бұрын
Lazima ajilaumu maisha yake yote waziri umemtoka kwa kushindwa kusoma mistari mi tatu
@khatwabisadathil3423
@khatwabisadathil3423 4 жыл бұрын
Usiseme hvy.mtu mwenye degree zk ashindwe kusoma kiswahili.noooooo.dunia ina mambo.
@ayoubmuhsin9942
@ayoubmuhsin9942 4 жыл бұрын
Uchawii upoo jmn raise wetu mpendwaaa mfikirie. Uyoo bwana si buree
@alicesosthenes9132
@alicesosthenes9132 4 жыл бұрын
Mmmh kuna kitu hapa jmn pole sana baba wa watu
@ngoniboy3140
@ngoniboy3140 4 жыл бұрын
Uchawi upooooo
@theobaldmosha3537
@theobaldmosha3537 4 жыл бұрын
Watu wanabonyeza batani tu unaweweseka
@princessgracpius3573
@princessgracpius3573 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 apo unakuta kabonyeza sehemu ndog saan asee sis binadamu cyo wema kabis Mungu atuhurumie
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 4 жыл бұрын
Uchawi hapo CCM hatari
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 4 жыл бұрын
Hahah 😀😀😀bwge kweli uyu kashindw kuapa
@lisamassala9412
@lisamassala9412 4 жыл бұрын
Hajarogwa wala nn huyo Ndulane, kitete uoga na hana confidence mbele ya Mhe Rais ..
@neemaambukile8754
@neemaambukile8754 4 жыл бұрын
Duuuu😭😭😭😭
@winfridaevarist8743
@winfridaevarist8743 4 жыл бұрын
Mmmmh kumbe ushirikina upo
@christianbandio9763
@christianbandio9763 4 жыл бұрын
Mwaka huu tutaona mambo mengi aya ni matokeo ya kuburuzwa kila kitu utakuta samaki na vyura
@trinahansi5265
@trinahansi5265 4 жыл бұрын
Jujuu tu hilo
@khadijajuma4196
@khadijajuma4196 4 жыл бұрын
Masikini apo maandishi anayaona ya kichina,watu mafundi jamani
@maremidundo5835
@maremidundo5835 4 жыл бұрын
bora ukutane na simba polini binadam wabaya jamani
@leilamdoe9178
@leilamdoe9178 4 жыл бұрын
Mh kaazi kweli kweli
@tumakassim6286
@tumakassim6286 4 жыл бұрын
Jamani hadi huruma
@charlesnkuwimpondo2769
@charlesnkuwimpondo2769 4 жыл бұрын
Kuna kitu , asilaumiwe hata kidogo.
@dianamadege1703
@dianamadege1703 4 жыл бұрын
Kabisa si bure Mungu amtete
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 4 жыл бұрын
@@dianamadege1703 kweli
@avizpaul3086
@avizpaul3086 4 жыл бұрын
kumbe sio sisi wa mavyuoni tuu tunambwela ,,leo ntamchamba mwalim wangu ,maana alisema sina confident kumbe ni tatizo la nch zima
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 4 жыл бұрын
😃😃😃😃
@princessgracpius3573
@princessgracpius3573 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😂
@irfanhalimakhatibu507
@irfanhalimakhatibu507 4 жыл бұрын
Na huyo naee chacha aongee na meneja atuletee umeme mkuliya mwenziee huku msongora hakuna umeme balabala shida
@godfreyapollo1864
@godfreyapollo1864 4 жыл бұрын
Kama ni taaaluma ...apambane na hali yake ...ila Kama JOJO..basi watu wanatisha sanaaaaaa
@trinahansi5265
@trinahansi5265 4 жыл бұрын
Kwa taluma hapana I'll jujuu tu
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Ukisikia walimwengu wabaya ndio hiii sasa huyu baba wa kushindwa kuapa kwel jamani
@princessgracpius3573
@princessgracpius3573 4 жыл бұрын
Daaah tumuachie Mungu jamn
@bahatimmependezamwanginda5202
@bahatimmependezamwanginda5202 4 жыл бұрын
Du ni aibu Kubwa🤔🙆
@muhidinali8180
@muhidinali8180 4 жыл бұрын
Muheshimiwa raisi msaidiehuyo jamaa kunauwezekano karogwa sibure na nnamshauri akaombewe dua huko alikotoka
@florathomasthasall9405
@florathomasthasall9405 4 жыл бұрын
Hasar zake
@naymaissah9131
@naymaissah9131 4 жыл бұрын
Daaah😭😭 so sad wallah
@muhajirinachinah5640
@muhajirinachinah5640 4 жыл бұрын
Huyu bwana aliwatambia sana na kashfa kibao watu wa lindi kabla hata ajateuliwa kuwa naibu waziri sasa hiki ndicho alichostaili
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 4 жыл бұрын
Jamani uyu baba hadi nimemuonea huruma hadi kiswaili ashindwe kusoma kweli ucawi upo
@haido.99
@haido.99 4 жыл бұрын
Siwez kuamini
@sarahaminiel8225
@sarahaminiel8225 4 жыл бұрын
Yaani hadi huruma,,,🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🤦‍♀️🤦‍♀️ ila siamini kama ameshindwa tu kuapa,kuna kitu hakipo sawa hapo🤷‍♀️🤷‍♀️
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 4 жыл бұрын
@@haido.99 kweli ukipenda uamini kiswaili arudiriye marakadha tena anakwakwama atamwenye ameishia darasa la7 hawezi kwama ivo
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 4 жыл бұрын
@@sarahaminiel8225 kabisa wanakwambia dunia si mbaya walimwengu ndo wabaya
@haido.99
@haido.99 4 жыл бұрын
@@Agnes-qq4np ni mtihani tuuh ya mungu
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 4 жыл бұрын
Jamani msisema huyu mi macho mabuvu. Sio bure
@mussalameck4897
@mussalameck4897 4 жыл бұрын
Biblia mnazizalilisha sumilien hukumu kwa mungu
@hamismusa7314
@hamismusa7314 4 жыл бұрын
Nimemuonea huruma Sana asee dah!!!!
@aishamkuye3399
@aishamkuye3399 4 жыл бұрын
ndo serikali ya hapa kazi tu,jitu kama linashindwa kusoma kwa kiswahili itakuwaje kiingereza
@petterelias6976
@petterelias6976 4 жыл бұрын
Du sijui ilikuwaje
@jeniphajenipharobert8352
@jeniphajenipharobert8352 4 жыл бұрын
Daah aisee sio bure uchawi huo
@djmatia2313
@djmatia2313 4 жыл бұрын
Inauma kama anapigwa giza hivi....we unahis nini hapo...1 kalogwa ,, 2 katetemeka,, 3 hajuikusoma alikariri
@vanesaalberto8479
@vanesaalberto8479 4 жыл бұрын
Watu wanayaweza. Marogo live.acha kulia anza kuamini
@venahsithole6463
@venahsithole6463 4 жыл бұрын
Hakuna uchawi huenda Mungu ana makusudi yake
@oscarmosha383
@oscarmosha383 4 жыл бұрын
Hakuna uchawi amekosa kujiamini kwanihicho kiapo kimeandikwa na doctar kwa kalamu ?
@revelianalphonce8115
@revelianalphonce8115 4 жыл бұрын
Uchawi upo kaka kama hujawahi kurogwa huwezi amini but uchawi upo kigoma kuna mtu kajifungua kuku nayo huamini?
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Kwahy ndio mara ya kwanza kusimama mbele ya rais?...kuna vya ziada
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
Ipo kazi🤔
@opqsweetbert9598
@opqsweetbert9598 4 жыл бұрын
Dawa zipo
@al-bashirclinic3326
@al-bashirclinic3326 4 жыл бұрын
Mungu akutangulie hakika kuna juju hapo .....kemea pepo
@josephmalisa2987
@josephmalisa2987 4 жыл бұрын
Hii inafanana na kupiga penalti ya mpira. Fedheha lakini hiyo ndio hali halisi LOL
@jacksonsamson7261
@jacksonsamson7261 4 жыл бұрын
Imeisha hyo
@jacklineulomi7780
@jacklineulomi7780 4 жыл бұрын
Hahaha hii ndo tanzania bwana
@nichorausrichard3469
@nichorausrichard3469 4 жыл бұрын
Duuuuh jaman
@kaziKazitu
@kaziKazitu 4 жыл бұрын
A panic attack is real and the president should have reinforced rather than chilling on the minister's inability to take the oath
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 4 жыл бұрын
Dah!!!!! Mungu wangu
@someaafrika.3379
@someaafrika.3379 4 жыл бұрын
Nahisi itakuwa ni tatizo la macho.
@chazy7ya216
@chazy7ya216 4 жыл бұрын
Iyo inaitwa kimbola a.k.a 47 na haikosei inakuzima kabisa atauwezi kusoma
Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
18:54
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 764 М.
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН