AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"

  Рет қаралды 201,876

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"
RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 19, amezindua kiwanda cha maziwa kilichopo wilayani Karagwe mkoani Kagera...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 173
@shizaarfred4059
@shizaarfred4059 3 жыл бұрын
Najikuta nishakumishii shujaa wangu kama umeondoka mwaka mmoja nyuma Kumbe ndo kwanza leo ulikuwa umetembelea uwanja wa uhuru kwa mara ya mwisho .ndomana napitia hotuba zako pengine zitanifariji Aki 😭😭😭 wa TZ tumeumia mioyo yetu imepasuka 💔💔👋👋
@mwajumamussa8848
@mwajumamussa8848 3 жыл бұрын
Yaan acha tuu jmn.. mwenyew napitia hotuba zake kujifariji kama bado yupo maana akil na moyo vimekataa kabisa kukubali kama Maguful ndio katuacha hivyoo jmn Moyo unaniuma saana kila nikiona picha yake ikiwa namaandish R.I.P 😭😭😭
@rodgersodhiambo1892
@rodgersodhiambo1892 3 жыл бұрын
Currently addicted to watching Magufuli's clips.. RIP Magufuli
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutumia raisi wetu kwa Taifa letu la Tanzania mpaka tutaelewana tu
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 3 жыл бұрын
Mzee mda mwingine nakuhurumia Sana, kazi za kawaida wanasubiri mpaka Rais aseme, duuhhh!
@kilidestinationadventures7268
@kilidestinationadventures7268 3 жыл бұрын
Sijui Nani atasema tena!!😭😭.
@missangela6720
@missangela6720 3 жыл бұрын
Waafrika mpaka fimbo ndipo kieleweke tu jamani
@rithapaschal8141
@rithapaschal8141 3 жыл бұрын
Mh MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unajitahidi sana ,lkn hakuna anayefanana na wewe watendaji wako sio wazuri wanakuangusha wananchi tuna shida sana hatupati msaada tutaishi kwa kuvizia misafara yako mpk lini? Du rais wetu MUNGU akutunze unapambana sana
@josephnjamasi549
@josephnjamasi549 3 жыл бұрын
Mzee uwe unatembea na fimbo
@shebaminde7656
@shebaminde7656 3 жыл бұрын
Mkuu wanyooshe hao lazma itifaki izingatiwe,wasikuletee vichwa kama GN 😂
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 жыл бұрын
katiba sio msahafu,ibadilishwe na utawale milele
@bukheribukheri798
@bukheribukheri798 3 жыл бұрын
Mnhuuuuu!!!!! Akili ni nywele hata ndevu ni nywele pia
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 3 жыл бұрын
@@bukheribukheri798 najua mafisadi watachukia tu.Watanzania tunataka Rais wa wanyonge magufuli atawale muda mrefu
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 kweli kabisa mafisadi majizi na mivivu ndio hawataki kabisa kusikia hizi habari na watanyooka tu
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 3 жыл бұрын
umevuta bangi leo?
@upendotarimo9324
@upendotarimo9324 3 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 Kweli mafisadi, wezi, wazembe na wavivu ndo wanaomchukia magu maana yuko kinyume na wao
@noelnoel4916
@noelnoel4916 3 жыл бұрын
Magufuli your the best president in our generation. Mungu akubariki
@viootanzania9080
@viootanzania9080 19 күн бұрын
7/7/2024 bado tunamfatilia raisi wa watu raisi wa wanyonge,raisi anaejitambua mwenyez mungu amjaalie pumziko la milele amina❤
@zefamange7281
@zefamange7281 3 жыл бұрын
WASIO KUPENDA JPM WAFE TU MKUU
@angelmacha6510
@angelmacha6510 3 жыл бұрын
Haha Wakafie mbele huko
@kayugumyajoozey6679
@kayugumyajoozey6679 3 жыл бұрын
i feel great to have this mindset, focused, committed, jah bless Tanzania
@mayaally2512
@mayaally2512 2 жыл бұрын
Rastafarai
@sophialaurent2406
@sophialaurent2406 3 жыл бұрын
Nimecheka sana Jaman, kichwa kama GN😂😂😂😂😂😂😂
@ismailyusuf3629
@ismailyusuf3629 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@peterkamana1265
@peterkamana1265 3 жыл бұрын
Baba yetu magufuli uendeleee mpaka miaka 25 Sisi waelewa na vijana wazarendo wa Tanzania tuko nyuma yako,asante
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 3 жыл бұрын
Hawa wazilankende wanajuia GN???? Kichwa kama GN,sijui ni kichwa gani hiki... Hapo ndo kazi itafanyika
@johnmasinde1875
@johnmasinde1875 3 жыл бұрын
JPM, come vie in Kenya. We'll elect you
@insanecliipz-2794
@insanecliipz-2794 3 жыл бұрын
Mungu akuweke kwa amani mzee ❤️
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 жыл бұрын
Anachoka mpaka akili huyu mzee kwa kweli..... good job JPM
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 жыл бұрын
"Sema kweli japo ni uchungu" Amesadikisha Rasuulullah SAW
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 3 жыл бұрын
Qul_haQ wain kaana muraaa )swahihi
@mariabugengo3108
@mariabugengo3108 3 жыл бұрын
Punda bila mijeredi haendi
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 3 жыл бұрын
Tutakumic sana jpm watanzani wenye mapenzi mema na inchi yetu
@adamgobeka5664
@adamgobeka5664 3 жыл бұрын
Gud presdaaa
@rajabungereza8755
@rajabungereza8755 3 жыл бұрын
Magufuli Rais wawanyonge Ila tunaomba uje huku wilaya ya kilindi kuna matatizo mengi sana ila hatujui tuseme kwa nani tunakuomba uje kilindi nako ,wanakilindi wanakupenda sana
@twaibutwabibu8809
@twaibutwabibu8809 3 жыл бұрын
Afu unamkuta MTU ety Magu afai
@user-cr9mf7dg4k
@user-cr9mf7dg4k 3 жыл бұрын
Tanzania imeondokewa NA kiongoz
@geopolitics94
@geopolitics94 3 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wetu 🇹🇿 🙏🏽
@ericksonsosion7044
@ericksonsosion7044 3 жыл бұрын
Ukweku Tanzania mmepotesa kiongozi wakazi ,poleni ,na mungu atube kiongozi kama bombe hapa Kenya nayo ni Ruto .
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 жыл бұрын
Hahaaa jamani nimecheka kweli kweli kichwa kama GN, Baba Askofu nimefanya dhambi kweli hahaaaaa hii ni kali kabisa
@restutarweyemamu2344
@restutarweyemamu2344 3 жыл бұрын
Yaani mwenyewe nimecheka peke yangu.
@phariankhamayi494
@phariankhamayi494 3 жыл бұрын
🤭😹😹😹😹
@husseinking2346
@husseinking2346 3 жыл бұрын
Daaaah mung katuondolea shujaa sana yan daah
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu Rais wetu
@eliakimchaiikobellah358
@eliakimchaiikobellah358 3 жыл бұрын
Yaan Viongozi huko chini mna shida gani nyie Hadi bakola au ndo mmezoea kukuna vitambi ofisini
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 3 жыл бұрын
Swali utamaliza lini? Siyo ndani ya mwaka huu.
@mandalorian_4.11
@mandalorian_4.11 3 жыл бұрын
naanza kukumbuka maneno yako ( ipo siku mtanikumbuka ) yes we do Mr President 😢😢😭😭😭😭
@soplisjoachim5884
@soplisjoachim5884 3 жыл бұрын
Reginal managers wote wa barabara wanatoka chato mzee
@fredyphilimon38
@fredyphilimon38 3 жыл бұрын
Tanzanian, stil watching all over the event involved by JPM. We will miss you so much.
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Hahahaha watakuelewa tu mzee kazi njemaaaa
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
HOTUBA ZAKE ZOTE ndiyo husikiliza zanipa Moyo kwa kweli ...MAGUFULI JEMBE 💔🇹🇿😭
@vascojuma2158
@vascojuma2158 3 жыл бұрын
Jmaaa kapone kwenye tundu la sindano
@angeljohannes8630
@angeljohannes8630 3 жыл бұрын
Kabisa Baba kiboko kiwe Karibu yako ili utendakazi ufanyike Vyema nakwahaki,
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
JEMBE nakumiss mnoo daah kichwa kama GN Nani kama Wewe??? Hakunaaaaa kama wewe...Moyo wangu upo kwako Hata kama wamekutanguliza bado unanipa nguvu kwa hotuba ZAKO ✍️💔🇹🇿😭
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 3 жыл бұрын
Tz haijawahi kutoa Rais kama huyu
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 3 жыл бұрын
Daraja fupi kama hilo miaka mitatu some people are not serious
@Fundi12345
@Fundi12345 3 жыл бұрын
Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu
@paulrwechungura4958
@paulrwechungura4958 3 жыл бұрын
Rais wetu Mungu akulinde,
@aokinsindi6948
@aokinsindi6948 3 жыл бұрын
Na huku mwasanga mbeya jiji tangu mwaka juzi mwezi wa kumi tumekuwa kisiwani japo mbunge mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya mkurugenzi wote wapoo!!wanasubiri turushe kwenye mitandao uone bila hivyo hawaendi hujakosea kichwa kama GN kweli tuone na mwasanga na huku yawezekana tatizo GN,,
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Baba yangu R.I.P 😭😭😭😭😭😭
@catholicvibemusic3151
@catholicvibemusic3151 3 жыл бұрын
DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... . Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo. 1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia 2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo 3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk 4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka 5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha 6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility) 7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika 8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU) 9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume 🔟 Inarutubisha mayai NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248
@user-qv2tg9cz8c
@user-qv2tg9cz8c 4 ай бұрын
Kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu!!Rais wetu mpendwa pumzika kwa Amani
@johnsangida5158
@johnsangida5158 3 жыл бұрын
God is Great for my Nation and leader
@jacintabati6238
@jacintabati6238 3 жыл бұрын
Mheshimiwa JPM hoyeeeee🔥🔥🔥🔥
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 3 жыл бұрын
Baba asante nakuelewa sana
@nicksongreyson1759
@nicksongreyson1759 3 жыл бұрын
Mheshimiwa tutembelee hata kyerwa tunakuhitaji
@wmmtztv6963
@wmmtztv6963 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kichwa kama GN
@cadhimberec1286
@cadhimberec1286 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣kichwa kama GN
@natgeowildafrika7328
@natgeowildafrika7328 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@neemamtega737
@neemamtega737 3 жыл бұрын
Tulikupenda magufuli ulikua mkweli mpenda maendeleo
@evanstum5032
@evanstum5032 3 жыл бұрын
Addicted with this clips, rest in peace Pan Africanist.
@rajmkonje7149
@rajmkonje7149 3 жыл бұрын
Yani sasaivi ukiniuzi kichwa kama gn
@mathiasnicodemus7531
@mathiasnicodemus7531 3 жыл бұрын
kichwa kam GN
@emmiesulee4620
@emmiesulee4620 3 жыл бұрын
Goooo baba😭😭😭😭 Umetuweza🙏
@fredymugha6697
@fredymugha6697 3 жыл бұрын
Hotuba za Raisi yaani akili tupu ivi mtu akifa na akili zake amezikwanazo jamanii!!
@user-kb4kn3jb1e
@user-kb4kn3jb1e 4 ай бұрын
😢dar ,nnchi yetu ingekuwa nnzur sna Yan sio Kama SS iv magu ninoma ,kimsaau ,inakuwa ngumi ,Yan
@lauriannicas401
@lauriannicas401 3 жыл бұрын
Hii ina uma sana, alimwambia mkandarasi mpaka tarehe 1.6.2021. Na sasa ni tarehe 7.6.2021 simsikii tena Magufuli wangu, heart break 😭
@petromtakati2975
@petromtakati2975 2 жыл бұрын
So painful..let his soul rest in peace
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
Kuwa raisi tz ni kazi ngumu Sana nashangaa wanaopigania kuwa raisi. Wanaomkwamisha magufuri ni viongozi kwenye sector mbalimbali na nafasi mbalimbali ambazo wamepewa ela zinapigwa kwenda mbele haingii akilini fedha za mradi zipo lakini kazi haifanyiki na hiyo ni nchi nzima. Kwanza ona anavyobabaika. Wazee Kama hawa ukiwakuta kwenye cheo chake Hana muda wa kukusikiliza na miwani yake.
@sajojonas
@sajojonas 3 жыл бұрын
3:27
@denisrukangula7086
@denisrukangula7086 3 жыл бұрын
kwakweli barabara ya kyerwa ni mbovuuuu
@paschaltsaxara2376
@paschaltsaxara2376 3 жыл бұрын
Engineer anafeliiii
@benjaminabisemba5331
@benjaminabisemba5331 2 жыл бұрын
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
@yusraswalah4734
@yusraswalah4734 3 жыл бұрын
No one will replace your party in Tanzania
@eliakimchaiikobellah358
@eliakimchaiikobellah358 3 жыл бұрын
😀😀😀 Acha nicheke tu
@valeriaveda7519
@valeriaveda7519 3 жыл бұрын
Tutakumiss baba ehee! Mungu umetupiga kiboko kwakwelii
@bahatihappy5693
@bahatihappy5693 3 жыл бұрын
RIP magufuli
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
🙏🙏
@kasumbapaulo9228
@kasumbapaulo9228 2 жыл бұрын
Nilikuwa namkubari Sana mtemi we2 Wa nchi
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 3 жыл бұрын
Moyo wangu huwa waniuma mnooo nakutoa machozi nikiona hiki chombo ya kazi....hivi ni kweli baba umetuacha kweli???💔🇹🇿😭
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 жыл бұрын
Nakupenda saaaaaaaaana
@mjtz7778
@mjtz7778 3 жыл бұрын
Huyu rais atawale mpaka achoke mwenyewe
@a.a.a.s8322
@a.a.a.s8322 3 жыл бұрын
Endeleza Mapambano mzee.
@ahmedmalick1898
@ahmedmalick1898 3 жыл бұрын
Magufuli mitano tena baada ya 2025 kuisha
@asnalimtv7690
@asnalimtv7690 5 ай бұрын
Dah ila mjambo
@amininassoromirambo5610
@amininassoromirambo5610 3 жыл бұрын
SHUKRANI ALLAAAH
@allylameck2940
@allylameck2940 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mzee wewe et ushambss
@mchinafamily-cg9ky
@mchinafamily-cg9ky Жыл бұрын
Mkojani
@mohamedbabu6977
@mohamedbabu6977 3 жыл бұрын
Kazikazi
@salummachaku3218
@salummachaku3218 3 жыл бұрын
Mheshiwa rais watu wako wanakuangusha wilaya yakibamba shule yamsingi tegeta ( A) au goba mpakan wanafunzi wanakaa chini madarasa mabov tulichangishwa elfu 10 kila kichwa kwaajiri yaujenz toka mwaka jana mwez watisa mpaka leo hakuna chochote kilicho fanyika tusaidie mheshi miwa
@issazakaria863
@issazakaria863 3 жыл бұрын
CHUMAAA 😥😥😥😥😥😥😩😩😩😩😩😩
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 3 жыл бұрын
Hiiiiiiiiiiiiiiiii🤣
@imocymusic
@imocymusic 5 ай бұрын
Rip magufuli😢
@davidtemba4893
@davidtemba4893 5 ай бұрын
😢
@user-un9gr1tk3u
@user-un9gr1tk3u 5 ай бұрын
🤲
@blessingsgeneral93
@blessingsgeneral93 3 жыл бұрын
🙏🏿☀️🙏🏿🌻
@saymon2pack408
@saymon2pack408 3 жыл бұрын
Kichwa kama GN😂
@BarakaSegu-pd9lx
@BarakaSegu-pd9lx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@kulwamashauri5668
@kulwamashauri5668 2 жыл бұрын
Salamanca
@daudmtange8005
@daudmtange8005 3 жыл бұрын
Mama Samia suluhu mzee kashatangulia fatilia na mwezi wa sita daraja likamilikee
@edsonmunuo7112
@edsonmunuo7112 3 жыл бұрын
Good Mr president viva Tanzania viva JPM
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 3 жыл бұрын
Raisi unapiga kazi na hongera. Lakini jaribu kuongea na watu wazima kama watu wazima punguza kuwadhalilisha . Kauli Mali.
@petromtakati2975
@petromtakati2975 3 жыл бұрын
Wafanye kazi bhana mambo mengine wanajizalilisha wao sio lawama kwa raisi
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 3 жыл бұрын
Kufanya kazi kupo pale pale ndugu ila kuna namna ya kuongea na watu wazima wenzake. Kumwambia mtu kichwa kama GP si fresh ktk lugha ya kiutu uzima na si mara ya Kwanza . Kusema kwamba raisi ni mchapa kazi na anataka watu wawe wachapakazi na wakweli hilo halina mjadala linaonekana na ni vizuri ktk kuleta maendeleo lakini sio tiketi ya kuwadhalilisha watu.
@shijamakoye6013
@shijamakoye6013 3 жыл бұрын
Mimi sijaona kibaya hapo kama yeye angekuwa ametenda majukum yake ipasavyo wala Rais asingekasilishwa nakupelekea kuongea hayo maneno aliyoongea maana tunapewa logic za kishamba kweli yani daraja 25 mita then three years, and you still defending the offender siwezi support this stupidities, for real acha Rais awafokee tu cause it seems his supporters are nothing at all, yani Rais anapambana but these guys are letting him down, so let him imbalance them, maybe they will change and back on the track
@youngdevy5326
@youngdevy5326 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kichwa kama GN
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@MosesJohn-pn4vo
@MosesJohn-pn4vo 2 ай бұрын
Tyson
@sarahmwansile6007
@sarahmwansile6007 3 жыл бұрын
Dah
@hassanussein1817
@hassanussein1817 3 жыл бұрын
kama Raisi Magufuli amumpendi mtupeni Burundi tutampokea
@eliuthamangula1791
@eliuthamangula1791 3 жыл бұрын
Hahah my president
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 61 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 581 М.
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
Donald Trump speaks for the 1st time on the assassination attempt
14:17
FOX 9 Minneapolis-St. Paul
Рет қаралды 10 МЛН