Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

  Рет қаралды 303,941

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
Rais Dk John Magufuli amelitaka shirika la umeme nchini TANESCO kuwasaidia wabunifu na wazalishaji ili waweze kuzalisha umeme mwingi zaidi.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo alipokutana na John Mwafute pamoja na Gairos Ngairo ambao ni wakazi wa Mkoa wa Njombe wanaojishughulisha na uzalishaji umeme kwa njia ya maji na kusambaza kwa wakazi katika maeneo yao, Ikulu jijini Dar es salaam ambapo wazalishaji hao wamepewa jumla ya shilingi millioni 55 kwa ajili ya kuendeleza kazi zao, ambapo Rais amewachangia milioni tano,
Aidha katika hatua nyingine Rais Magufuli ametoa maagizo wabunifu hao kupewa cheti cha kutambua mchango wao katika maendeleo ya Taifa, na kuongeza kuwa kwakuwa wao hawana elimu yoyote juu ya umeme CHETI hicho ndicho kitakuwa utambulisho wao.
#IKULU
Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 347
@pastorhermantv5420
@pastorhermantv5420 8 ай бұрын
Wangapi tunaangalia 2024 tunatamani siku ziludi nyuma tuwe na raisi wetu MGFL leo umeme umekua dhahabu 😢😢😢😢😢
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 7 ай бұрын
Dah inauma sana
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 7 ай бұрын
hamna tumlaumu tu si alikua dikteta? haya sasa na tujionee..... @@sixberthcostantini9290
@blackkid7377
@blackkid7377 7 ай бұрын
Nipo naangalia baada ya shida ya umeme kutokea 2024
@khamishaji9508
@khamishaji9508 7 ай бұрын
Jamaa anatisha,, kweli hujui faida ya kitu mpaka kikutokee 😢😢
@brianeliaki9436
@brianeliaki9436 5 жыл бұрын
Huyu ndie kiongozi tunae mhitaji Tanzania. Na atakae kuja ajipange tunataka awe zaidi ya huyu "Tudhamini Vyetu kwanza".🇹🇿 kama tupo pamoja gonga like!
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 5 жыл бұрын
Hapo umeanza kuzungumza Kama umesikia gonga like apa
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 5 жыл бұрын
Huyu ni OUR HISTORY PRESIDENT KATIKA NCHI YETU,JAMANI SIJAWAHI KUPIGA KURA MAISHA YANGU,TO BE HONESTY KURA YANGU NA YA RAIS WANGU TU JPM,ni kuomba uzima tu INSHAALLAH tuombe uhai🙏🏻
@nwntz
@nwntz 5 жыл бұрын
KAMA UMESIKIA MKURUGENZI AKIMWITA RAIS MH. WAZIRI GONGA
@chedichedi1475
@chedichedi1475 4 жыл бұрын
😂😂😂 keshafurugwa yule
@fakiikibakola1300
@fakiikibakola1300 7 ай бұрын
KAMA UNAAMINI MAGUFULI ATALUDI NGONGA LIKE HPA
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 5 жыл бұрын
Yani mpaka namuonea imani huyo Baba wa Tanzania 🇹🇿 badilikeni jamani tu m support Rais wetu haya maendeleo ni ya kwetu sio yake acheni ubinafsi watu mko kwa matumbo yenu tu
@josephelisha8413
@josephelisha8413 7 ай бұрын
This man was something else... May his soul find eternal peace
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 5 жыл бұрын
Just tell me, to defend your job, Kama umesikia hiyo gonga like hapa..
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana 5 жыл бұрын
Hapana mchezo na JPM subutuu utumbuliwe...
@saidysuleiman5360
@saidysuleiman5360 4 жыл бұрын
Duh kweli ww ndio raisi
@TheMakala21
@TheMakala21 5 жыл бұрын
Najisikia kulia ninapoona Rais wangu anaumia kiasi hiki!!! Tubadilike jamani!!
@dicksonshekivuli3076
@dicksonshekivuli3076 5 жыл бұрын
Mh. Rais hongera sana kwa kuwaona wabunifu wetu wa ndani. Hao watu wapewe kibali mh. Rais wauze umeme na wapewe makadirio wachangie kodi serikalini. MUNGU AKUBARIKI SANA
@amirisingitu1631
@amirisingitu1631 5 жыл бұрын
Mh Rais wewe ni wamfano Duniani, Mwenyezi mungu akupe Afya njema ili ulitumikiye Taifa hili la Tanzania. Mh, Rais kwa uchapakazi ulionao wewe, miaka kumi ya kikatiba haitoshi , Mwenyezi mungu ametuchaguliya kiongozi sahihi, kwa maoni yangu, utuongoze miaka kumi na Tano, Inchi yetu itakuwa ya mfano wa kuigwa Duniani.
@saidysuleiman5360
@saidysuleiman5360 4 жыл бұрын
Raisi mwambie akujibu uyoo
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 5 жыл бұрын
Hili jamaa lina akili sana mpaka basi, a kind of genius president Tanzania ever had including Nyerere and Mkapa, big up JPM, karibia kila field anajua, engineering and Chemistry so far!.
@nicholausmakundi2663
@nicholausmakundi2663 8 ай бұрын
Mr President Dr Magufuli aka Ability nyingi.
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 5 ай бұрын
hili jamaa ni noma la manoma
@luganosimon4111
@luganosimon4111 5 жыл бұрын
Really if we go in this way really we are going to fly soon and reach to Canan, congraturations our beloved president
@mkumbojaphe616
@mkumbojaphe616 4 жыл бұрын
Lugano imon
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 5 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi, sisi wote tunakukubali.Kwa kweli ni hodari ktk. kila sekta, hudanganyiki. Tunakukubali ,hongera sana.
@kangongomusa9140
@kangongomusa9140 5 жыл бұрын
jembe LA tz imulike manyara kiteto Sunya utaona mapungufu makubwa sana tena sana
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 2 жыл бұрын
Nashindwa niseme nini kumpoteza uyu baba mungu ndo anae jua.nitalia mpaka na Mimi nitakapo mfata uko aliko baba angu magufuri😭😭😭
@kwisa4899
@kwisa4899 2 жыл бұрын
Who is watching this after this big mess of Tanesco & Dawasco Nov 2021
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Dah. Namkubali sana mkuu wa majeshi yetu. Hakuna keshe, mi ningejibu naenda sasa hivi mzee.
@maridadi8
@maridadi8 5 жыл бұрын
Tatizo la Africa. Tunathamini technologia ya nje
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Uo ndio ukweli tunataka umoja wa mataifa pamoja na marekani waseme ndio tuone ni kweli au haki
@brianeliaki9436
@brianeliaki9436 5 жыл бұрын
Na Global Tv. Tunahitaji Feedback za hawa Genious wa Tanzania... Please!!!!
@henryford1571
@henryford1571 3 жыл бұрын
We miss you JPM,Itatuchukua miaka mingi sana kupata kichwa kama hiki
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Hatutampata
@juvenalibrahim2929
@juvenalibrahim2929 5 жыл бұрын
Duuu kufanya kazi na Magufuli inabidi uwe na akili nyingi sana. Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Tutampata lini mtu kama magufuli? Ana akili, anambinu, mbinifu, anaamuzi. Haogopi hata kama lingeonikana gum kiasi gani
@petermasele5692
@petermasele5692 5 жыл бұрын
Rais miaka 10 hajanitosha Kwa maoni yang uendelee mpaka 2030 itakuwa powa Sana saluti kwako siyo Kwa ccm
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Mimi kwa miaka 2030 ajatosha kwa maoni yangu awe wa maisha kwangu ndio safiii iiiii
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Yaani mpaka awe anashikiliwa na watu ndio tutamuondoa
@idriisayasinimlisho5148
@idriisayasinimlisho5148 3 жыл бұрын
Kwer
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 5 ай бұрын
sio 2030 awe kama wale u.a.e ingekuwa poa Sana my opinion
@husseinkihame9542
@husseinkihame9542 3 жыл бұрын
Magu baba tunakukumbuka naendelea kujifunza kupitia kumbukizi zako #25/04/2021
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 5 жыл бұрын
Asante hiyo point ya vyura,fuvu la mtu wa kale lipo karibu kuibiwa tanzania hii,hawamsaidii raisi
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Hahahaaa. Kuna mjeshi kajibu naondoka nao. Safi sana, hapa kazi tu. Lazima tufike tu hata kwa bakora. Hakuna wiki tatu hapa. La saba yulee, kapata uboss juu. 😆😆😆Nani mwingine anataka kuongea. 😆😆😆
@issacknnko7822
@issacknnko7822 3 жыл бұрын
Lovely president its only God can provide a person like u
@kuchenavhe0028
@kuchenavhe0028 5 жыл бұрын
Tanesko wamejiumauma sana wanajifanya hawawajui hao wazee wkt wanawajua😂😂😂 Hao wazee wapo kitambo sana mitaa hiyo na habari zao zinafahamika sana
@husseinhussein4148
@husseinhussein4148 5 жыл бұрын
So proud of this president. God Bless 🇹🇿
@bedashauri8179
@bedashauri8179 5 жыл бұрын
Kunawakati mguu , useme utetee kazi
@mesutnyaryanga8932
@mesutnyaryanga8932 Жыл бұрын
And you will never see these type of people - kwasababu hamna 10% - hapa.
@hamisimkulupalile9461
@hamisimkulupalile9461 5 жыл бұрын
Our president Magufuli sina neno kwako, nakukubali haijawahi kutokea.
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 5 жыл бұрын
Magufuli has to be given more time to fix the country. Tanzanian should stand up and add more time for him
@mr.machange1377
@mr.machange1377 5 жыл бұрын
Mguu pande mguu sawa ni mwendo wa KIJESHI tu no kubembelezana
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 жыл бұрын
Njombe kuna maporomoko mengi. Kuna opportunity ya kuzalisha umeme kwa bei rahisi
@jerrjamary2649
@jerrjamary2649 Жыл бұрын
Jamani ongeeni daaaah watu wanaogopa uyu mtu alikua kichwa sana
@kivakumshana9388
@kivakumshana9388 5 жыл бұрын
Kilichobaki ni kubadili tyu utaratibu JPM_5 agonge miaka kama 35 .,..niaminini wote jaman Tanzania itakuw kama ulaya
@pilotmadata5791
@pilotmadata5791 7 ай бұрын
Baba ni baba ...ila mama hapa kwa tanesco kapoa sana ..
@drgeofreykupaza7707
@drgeofreykupaza7707 5 жыл бұрын
Kama umeona mr president akimfundisha jamaa wa tanesco toa comment yake
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 5 жыл бұрын
Aisee Global TV online,, fatilia hii kitu hadi mwisho jamanii, .!!
@waryobamahunyo4990
@waryobamahunyo4990 5 жыл бұрын
Aiseee Tanzania tumepata Rais, huyu ndio kiongozi bora kwangu.Viongozi wengine tujifunze kwa huyu.
@eliasmalisti934
@eliasmalisti934 3 жыл бұрын
Mungu aendelee kutupa viongozi kama hawa... kiongozi mwenye uchungu na maendeleo ya nchi yake.
@paulowangoma4932
@paulowangoma4932 5 жыл бұрын
Viongozi hawamsaidii Rais, plain and simple.
@emmanueljohn6672
@emmanueljohn6672 3 жыл бұрын
Jpm ni kiongozi making na anatosha
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 7 ай бұрын
Mama yupo Vatican city anakula bata nchi inaenda mlama🚮🛌
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 7 ай бұрын
Jamaa sayansi ilikuwa imelala kichwani
@mtatiromgeka7270
@mtatiromgeka7270 5 жыл бұрын
mungu wangu akuongezee hekima zaidi ktk haya
@mejamiela7436
@mejamiela7436 2 жыл бұрын
Miwani mweusi na jua halikuchomi
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Hiyo ndo rais viongozi wengi mbubu hawajui tunataka nini?
@josephyyohana7943
@josephyyohana7943 5 жыл бұрын
Baba Nkulu Wiswe Magufuli Olame Welelo..Nakupongeza nakupenda raisi wangu!!Mungu NDIYE aliyekuleta Tanzani.Wabunifu tuko wengi tumsaidie baba.
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 5 жыл бұрын
Mkawe vibaruwa wa hawa huyu mzee noma sana 😅😅
@pascalgodfrey686
@pascalgodfrey686 5 жыл бұрын
Dharau za hao wasomi ndio maana hatupush technology ya kwetu, Hapo Costech walitakiwa kubanwa pia Na watumbue
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Viongozi wengi rais ni mbumbu wamesoma siyo wabunifu
@emmapoulo3651
@emmapoulo3651 5 жыл бұрын
Yani raisi unamuita mbumbu ubarikiwe sana
@renatusmatungwa6800
@renatusmatungwa6800 3 жыл бұрын
@@emmapoulo3651 ww sio muelewa rudia tena kusoma comment yake
@victormbise3792
@victormbise3792 5 жыл бұрын
upo ofisini unavaa miwani meusi ya nini wakati jua alikuchomi JPM BANA HAHAHAHAAHAHAHAH
@giftgodson5603
@giftgodson5603 5 жыл бұрын
hahaha
@gaitanokamage7366
@gaitanokamage7366 5 жыл бұрын
Safi kwakunukuuuuu
@fredymahenge3063
@fredymahenge3063 5 жыл бұрын
"Tena huyu huyu aliongea na miwani yake miesi",khaaa kamuua
@patricejakanyadagi4069
@patricejakanyadagi4069 5 жыл бұрын
Kwa kweli JPM Una kipaji maalum,(genius) Hesabu,Fizikia,na maswali very technical hawakudanganyi.
@mariammariam1555
@mariammariam1555 5 жыл бұрын
hahaha yaaani hadi raha kumsikiliza magufuri
@peternyambo1439
@peternyambo1439 5 жыл бұрын
Aloooo MZEE BABA nakukubali , muda sio mrefu tutasonga mbele ka mishale, bravo Mr President JPM
@emmanuelyusufu6568
@emmanuelyusufu6568 5 жыл бұрын
Darasa la saba tupo apa niite mimi siku unipe kitengo chochote niongoze awo wasomi nakumbuka bibi zetu awakusoma kama hao lakin utendaji wa kazi ni zaid ata ya hao wasomi
@jamestitus7889
@jamestitus7889 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@clementmwaitebele7687
@clementmwaitebele7687 5 жыл бұрын
Big up Mr President JPM yaani tulizoe maneno meeengi upigaji mwiingi lakini utendaji ulikuwa zero... Sasa Umeingia JPM maneno kidogo vitendo super.. Good.. I admire you so much...
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Walijua kutuibia kwa maneno wakishasema habari za tathimini na research basi tunaishia apo na ndio inakuwa imeisha
@sabihimngetuka6971
@sabihimngetuka6971 5 жыл бұрын
Rais ww wazir ww hii noma
@alimakaba6170
@alimakaba6170 5 жыл бұрын
Limenishtua sana hilo tangazo nilijua ndo uchambuzi waDAMPO LEVO unakuja kwa kishindo. Dah.. Live longer than the long itself Mr. JPM 5
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
Hiki kikao kilisaidia kuanzishwa kiwanda cha kutengeneza transformer na nyaya hapa Tz
@omaryabdi2055
@omaryabdi2055 4 жыл бұрын
Huyu ndio mzalendo halisi wa Tanzania Rais J P M
@danielmgonja9906
@danielmgonja9906 5 жыл бұрын
kwel iv ndo kiongoz anatakiwa kuwa..,Dr.JPM I real appreciate this man.
@crispinbisimwa7397
@crispinbisimwa7397 7 ай бұрын
Want the full video. Rest in power Dr JPM 🎉 🙏 Forever in our hearts 💕 A true son of Africa. In our eyes, you will always be a hero ❤️
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
whose here after the pass on of our beloved President John Magufuli?
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 3 жыл бұрын
Ha ha ha magufuli nani yuko hapa baada ya kupata 84% 2020
@jacksonjackson2293
@jacksonjackson2293 5 жыл бұрын
Mzee pwagu sema ukweli usiogope
@hamisidale2704
@hamisidale2704 Жыл бұрын
Mungu akulinde mpaka tuonane, Watu wema maisha yao mafupi"Tungekuwa mbali Magufuli! Kama kulipita njama ya kuutoa uhai wako,Mungu atawaumbua mchana kweupe ' wameshaanza kuropoka hadharani"
@enockcharles6835
@enockcharles6835 5 жыл бұрын
Kweli rais wetu Magufuli una utu ndani yako, Mwenyezi Mungu akujalie hekima, busara na uzalendo ambao unaendelea kuionyesha. Tunakuombea sana, we ni wetu
@patsony
@patsony 5 жыл бұрын
jasho jasho jembamba linanitoka
@paschaljohnmwaisumo6180
@paschaljohnmwaisumo6180 8 ай бұрын
8:10 mungu turudishie john wetu japo nikama ninakukufuru ira tuurumie😢😢❤
@kaidisaidi9464
@kaidisaidi9464 3 жыл бұрын
Huu ndio uzalendo hongera baba utukomboe wengi wamekatisha tamaa ,,,
@range9882
@range9882 7 ай бұрын
2024 bado tunahangaika na tanesco dah tulimpoteza jembe
@Allyhujjat
@Allyhujjat 7 ай бұрын
Everlasting love and respect kwako uncle magufuli wewe kweli ni kocha mchezaji
@kingkizitojulius260
@kingkizitojulius260 4 жыл бұрын
Naomba ushinde nauendelee na sela ya Tanzania ya viwanda ukiweka kipaumbele kiwanda cha kutengeneza matair ya maqari saiz zote
@andrewluhamo6853
@andrewluhamo6853 5 жыл бұрын
pongezi kwako Mh Raisi asee kwakweli una uchungu na hii nchi
@jacobcharles1604
@jacobcharles1604 3 жыл бұрын
Raisi wangu mm nakupenda sana Mungu akurinde skuzote na udumu miaka mingi ktk uongozi wako
@RajanMunis-pt4js
@RajanMunis-pt4js 7 ай бұрын
Nilimchora huyu Muheshimiwa Raisi nikaiita picha citizens sugar
@ArafatHussein-e2b
@ArafatHussein-e2b 7 ай бұрын
RAIS MAGUFULI 7:16 SIMAMA KABISA UKIKAAA MAELEZO HAYATOKI VZR😂😂😂😂
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Mh Rais wapi wengi tu wagunduzi.....umeonesha njia vema....viongozi wako wakikuelewa tutafika mbali
@dullydully8863
@dullydully8863 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Rais ww safi nakukubali sana 100% president ww geneus
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 5 жыл бұрын
Zaid ya genous
@joachimbaldwin8511
@joachimbaldwin8511 8 ай бұрын
Kuna mambo mawili hapa yalinifanya nicheke nifurahi tu hahaha 1.kuitwa rais mh waziri badala ya rais 2.hapo umeanza kuzungumza ,kama umesikia kama mimi gonga like basi hata 5 tu zinatosha hahaha😂😅😅
@fredymahenge3063
@fredymahenge3063 5 жыл бұрын
"Tena alizungumza huyu huyu na miwani yake myeusi" hahahhha mbavu zangu
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@laurentharuna8671
@laurentharuna8671 7 ай бұрын
😅😂😂
@peteralfonce5848
@peteralfonce5848 5 жыл бұрын
Huko huko kusini kunamtu ameunda ndege lakini amezuiliwa kuilusha mkuu sasa huyo jamaa afanyeje sasa? Vipaji vingi sana watanzania wakifa wanaondoka navyo hatuna msaada kabisa mkuu.
@faridyassin2116
@faridyassin2116 3 жыл бұрын
Kusema kweli Tanzania 🇹🇿 imepoteza kiongozi, Africa tunahitaji kiongozi kama huyu, Mungu mrehemu msamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi Amen.
@kabangoamini8431
@kabangoamini8431 Жыл бұрын
Hapa magufuri sirahisi mtuwahivi km wewe kukupata mda mrefu sirahisi
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 ай бұрын
2024 bado tunakuona upo hai Baba
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 7 ай бұрын
Dah😢 inauma sana watamzania tulikuwa kwenye mwanga nakujikwamua kwenye umaskin Kwa mtu mahir na jasiri Daah tunaumia sana watanzania Hatuna jins tofaut nakumuombea Mungu R.i.p mwamba.tutakukumbuka daima😢
@KhadijaMohammed-z8c
@KhadijaMohammed-z8c 7 ай бұрын
Umeme umekua adhabu maji adhabu kipato kidogo Nola mzee wetu maji mengi umeme aukatiki
@elizambilinyi2880
@elizambilinyi2880 4 жыл бұрын
Watu wanjombe Wana akili Sana. Pongezi kwa watu wanjombe🤸🤸👏👏
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 7 ай бұрын
Yaani hadi nimesisimka. Huyu jamaa tulikuwa nae kweli? Hakika hii kichwa duh,. Yako majitu makwamishaji tu😮😮😢😢
@barakambise6494
@barakambise6494 Жыл бұрын
Tutachoka tutachakaa tutateseka na atutabadilika atutajifuza
@shomarimsuya8204
@shomarimsuya8204 7 ай бұрын
Alisema mtanikumbuka na kweli tunamkumbuka kweli kweli 😭
@caseyjason-ws3fr
@caseyjason-ws3fr 4 жыл бұрын
Na still watu bado wanaiba, ujue bongo nuksi kweli. Watu ni wabinafsi kinoma
@HandwrittenMemories
@HandwrittenMemories 5 жыл бұрын
Hahahaha Magufuri anaendeshaa nchi kama Baba nimependaaaa sanaaaa Nakupendaa rafisi wangu mzazi wa nchi Tanzania
@tanzanian8847
@tanzanian8847 3 жыл бұрын
Huyu mzee alikuwa ni Kama mzazi kwakweli 😁😂
@heavenlightkombe8944
@heavenlightkombe8944 7 ай бұрын
Uliwah kusema tutakukumbuka si kwa mabaya bali kwa Mazur ..Dah😢
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Halfu et utamsikia kichaa anasema magufuli alikuwa hamsikilizi mtu. Hapa anafanya nini?
@charlesenock8586
@charlesenock8586 5 жыл бұрын
Mzee anafata nyao za marais wakubwa walioleta maendeleo ya kudumu Hadi Italy-Benito Mussolini German-Adolf Hitlaa China-mao the dong Us -Ibrahim linkon Among others This the steps are same but the took long time of power A really leader is you magufuli unafaa
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 7 ай бұрын
Sasa hivi nchi inaongozwa na viongozi masikini kapata matako hulia mbwata.
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 9 ай бұрын
Viongozi wa sasa wamelewa na wawekezaji mambo kama hayo wanageuzia kisogo
@husseincheddy6112
@husseincheddy6112 5 ай бұрын
Jamaa wa tanesco alikuwa anatetemeka sana mikono angalia karatasi .. kuna muda kakosea kamuita raisi mheshimiwa waziri mkuu 😂
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Miwani myeusi hehehe na mpaka leo hii huyu bwana anamuita waziri.......hehehe
@kastorkidumu6579
@kastorkidumu6579 5 жыл бұрын
wakabe tu vipaji vipo
@kelvinchidabwa2538
@kelvinchidabwa2538 3 жыл бұрын
HApo kazi TUUU MH Rais MAGUFUli utendaji bola
@imanimasasa7042
@imanimasasa7042 5 жыл бұрын
I'm proud of you my president! This country needs you more! May God bless you.
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 24 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 7 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 50 МЛН
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA KAIMU RPC RUKWA/ "ANAKIBURI....."
8:13
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
Huu ndio uzalendo na Upendo wa Rais Magufuli kwa Watanzania
10:49
MAGUFULIFICATION OF AFRICA
Рет қаралды 26 М.
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
MJADALA MZITO, MASWALI MAGUMU MAGUMU ALIOUENDESHA RAIS MAGUFULI
58:04
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 209 М.
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 24 МЛН