AIC Shinyanga Choir - Nalilia uzima (Official Video)

  Рет қаралды 1,090,173

AIC Shinyanga Choir Official Page

AIC Shinyanga Choir Official Page

4 жыл бұрын

Nalilia uzima, ni moja kati ya nyimbo inayogusa moyo na kutukumbusha kuwa uzima wa mwanadamu uko mikononi na Mungu, shetani akijaribu kutuagusha tusikate tamaa, tuendelee kumtengemea Mungu katika kila hali.
Albam; Mbeleko Umeichana
Facebook: Aict ShinyangaChoir
Instagram: Aic_shy_choir_official

Пікірлер: 251
@nefrodimponzi5156
@nefrodimponzi5156 Жыл бұрын
Nimependa sana kama upo pamoja na mm gonga like 👍😭😭😭😭😭😭
@emmyashacha8729
@emmyashacha8729 Жыл бұрын
Congratulation
@thomasyothamu-xo4hy
@thomasyothamu-xo4hy Жыл бұрын
Like
@JimmyNathani
@JimmyNathani 2 ай бұрын
😊😅😅😊​@@thomasyothamu-xo4hy
@annazephania7463
@annazephania7463 4 ай бұрын
Nyimbo nzr hakika 2024 kma umeimbwa leo mbarikiwe sana
@user-bj2qy1nk3q
@user-bj2qy1nk3q Ай бұрын
@kokimusic
@kokimusic 3 ай бұрын
2024 Na bado nabarikiwa.
@kennedymaithya3584
@kennedymaithya3584 9 ай бұрын
This song deserves more than a million views by now.
@amosbosire6715
@amosbosire6715 4 ай бұрын
Kila nikaingia u tube huu ndio wimbo wa kwanza kuucheza....thanks be to you Ooh Lord 🙏
@deboraelias3333
@deboraelias3333 Жыл бұрын
Kanitisha ili nisikuone Bwana,, Lakini nimejitoa kwa Moyo wang wote liwalo na liwe. Huu msitari huwa unanitoa machozi maana shetani amenitisha kwa mengi sana kiac cha kufa, Ila namshukru Mungu kwa kunipigania. Hii ni 2023 najua siko peke angu kweny kusikiliza huu wimbo
@jensennashon6147
@jensennashon6147 3 ай бұрын
Namkumbuka sana marehemu JOSEPHAT akiwa anabubujika na sauti nyororo hapo.. Mungu amuangazie mwanga wa milele...AMINA
@banbutita
@banbutita 3 ай бұрын
👍
@josephkisaro1377
@josephkisaro1377 Жыл бұрын
Wimbo mzuri, na wenye kutuimarisha Kiroho..Mbarikiwe sana waimbaji wetu...
@giftedgiftchannel6553
@giftedgiftchannel6553 3 жыл бұрын
Napenda sana huu wimbo.i watch every time
@abrahamjesse4800
@abrahamjesse4800 2 жыл бұрын
Wiki nzima hii kila nikiingia mtandaoni lazima nisikilize huu wimbo,narudia na kurudia kila wakati,natafakari na kutafakari....
@sophiamniko4560
@sophiamniko4560 Жыл бұрын
Pp
@jobburiro3998
@jobburiro3998 Жыл бұрын
Wimbo unaobariki
@rachelkyando888
@rachelkyando888 11 ай бұрын
Pamoja
@levisninkunda4152
@levisninkunda4152 2 жыл бұрын
Uwimbo huu ninaupenda sana
@yusnafimbo7384
@yusnafimbo7384 3 жыл бұрын
Poleni sana kwa msiba wa mtumishi mwenzenu
@happynessnoah6005
@happynessnoah6005 2 жыл бұрын
Jmn kumbe walifiwa😭😭
@fridajohnjohntibo4761
@fridajohnjohntibo4761 Жыл бұрын
Ni wimbo mzuri unaokonga nyoyo za watu na kuturejesha kwa mwenyezi mungu.mungu awabariki sans wapendwa katika mungu
@japhetmasai9954
@japhetmasai9954 Жыл бұрын
Huu wimbo umeifanya siku yangu inaenda vizuri sana mungu awabariki aic shinyanga choir amen 🙏
@kennedykondowe4604
@kennedykondowe4604 Жыл бұрын
Wimbo unangusa sana, mungu awabariki naangaria kutoka capetown, south africa
@mirajisalehe742
@mirajisalehe742 Жыл бұрын
Wanawake jitakaseni mnailba vizuri sana lakizi Mwokozi Yesu hapenendezwi na mawigi na manywele ya Bandia ya kishetani. Na tatizo Hilo hata afufuke mtu kutoka Kwa wafu awaelezee haWawezi kuelewa Hadi watakatupwa jehannamu.
@CyrilloMabula
@CyrilloMabula Ай бұрын
Nawapenda AIC shy,huu wimbo unanibariki sana,
@Mutheu-k7l
@Mutheu-k7l 12 күн бұрын
Naipenda xana uu wimbo ,nalilia uzima ❤❤barikiweni xana
@MariamSalehe-kk9lj
@MariamSalehe-kk9lj 2 ай бұрын
Mungu azid kuwatumia aic shinyanga nawapenda sana
@js5abooki855
@js5abooki855 8 күн бұрын
Nishaa sema choir ndo zilikua naimba gospel zakubariki sio hao wafanya biashara na injili 😊
@bethuelkiberen3751
@bethuelkiberen3751 Жыл бұрын
Wimbo mzuri unaoguza kabisaa...Ahsanteni wanakwaya.mungu awabariki Sana.
@hiltrudaqamunga7379
@hiltrudaqamunga7379 Жыл бұрын
Haleluyaa,wimbo huu napousikiliza natafakari sana maisha yangu ya wengine.Mungu tusaidie
@4kafricanwildlifescenes428
@4kafricanwildlifescenes428 7 ай бұрын
I like this sweet, beautiful song ..well done AIC Shinganya..May the LORD bless you Abundantly 🙏🙏 watching from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖
@annmtaua1910
@annmtaua1910 Жыл бұрын
Amen nabarikiwa sana na wimbo huu nalilia uzima🙏
@belykasasa8477
@belykasasa8477 3 жыл бұрын
Bwana awabariki hakika wimbo huu umenibariki ameni
@aughstusmasila8673
@aughstusmasila8673 Жыл бұрын
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 9 ай бұрын
Mungu awabariki sana ninyi nyote muliohusika katika wimbo huu Yesu Kristo wakumbuke watumishi wako Bwana Amen.
@user-hl3zk7xn3s
@user-hl3zk7xn3s 6 күн бұрын
Mbarikiwe watumishi wamungu kwawimbo wenu mzuri
@andersonkorir
@andersonkorir 7 ай бұрын
This is what my heart needs❤❤ love from kenya 🇰🇪 🇰🇪
@MetrineNekesa-gv9el
@MetrineNekesa-gv9el 13 күн бұрын
Amen mzuri sana nimependa
@fidelismutune3596
@fidelismutune3596 Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏
@amirilupembe2164
@amirilupembe2164 2 жыл бұрын
Asante yesu kwa kila anaye fanya kazi yako
@teresiayohana1330
@teresiayohana1330 Жыл бұрын
Yesu ni ushindi namtegemea yeye katika Kila jambo
@dushagarimanaemmanuel35
@dushagarimanaemmanuel35 2 жыл бұрын
Wimbo mzuri kabisa.Mwenyezi Mungu awaendelezee kipawa cha kumwimbia.
@reubenmasseri6763
@reubenmasseri6763 2 жыл бұрын
Mungu akubarik Sana .. nyimbo yenu Mimi naipenda Sana na sichoki kuirudiaa Mara kwa Mara .... Mbarikiwe .. ...
@stevenalfred4413
@stevenalfred4413 Жыл бұрын
nyimbo hii imenibariki sana
@rehemaagrey8038
@rehemaagrey8038 2 жыл бұрын
Jamani Mungu awabariki sana nabarikiwa sana na huku wimbo
@EverineMushobozi
@EverineMushobozi Ай бұрын
Amina nabarikiwa sana Kwa wimbo huu
@user-iz9dr6fp9z
@user-iz9dr6fp9z 10 ай бұрын
napenda sana wimbo huu kwa kwel mngu awabaliki 🎉🎉🎉🎉
@simpassagrace6907
@simpassagrace6907 9 ай бұрын
Hallelujah sitothubutu kumwacha Mungu wangu maana Mungu ni uzima wangu.i real enjoying the life with my Jesus
@danielmathengeofficialpage4058
@danielmathengeofficialpage4058 2 жыл бұрын
Brothers and sisters in Christ you've always been inspiration whenever I listen to your music 🎼. High high !
@alphayomogunde7828
@alphayomogunde7828 8 ай бұрын
Nami nawapongeza kwa nyimbo zenyu mzuri kweli kweli, najiishi mbinguni kwa Mungu wetu!.
@collinsmaundu687
@collinsmaundu687 3 жыл бұрын
Sincerely, this song makes my mornings very bright and joyful.
@omondiguya9977
@omondiguya9977 2 жыл бұрын
Yesu ni Nuru moyoni mwangu, Yesu ni uzima wangu......
@mwajumayona7608
@mwajumayona7608 Жыл бұрын
Kwa kweli Kwa yesu ni raha
@jonathansenkondo8093
@jonathansenkondo8093 2 ай бұрын
Kati ya nyimbo bora zilizowahi kuimbwa🙏
@diocleskishambaa
@diocleskishambaa Ай бұрын
Nimependa wimbo pamoja na staili yao.mbalikiwe
@MARTHASENDE
@MARTHASENDE 5 ай бұрын
Asanteni kwa nyimbo nzuri
@YusuphYonna
@YusuphYonna Жыл бұрын
glory to god 🙏🙏🙏ni muda wakutengeneza njia zetyu japo kutakuwa na vikwazo ila yesu ni Nuru pia njia ya uzimaa daima tumtegemee yeye☝️☝️☝️
@sophiamwaipopo3072
@sophiamwaipopo3072 5 ай бұрын
Naomba mmuweke na wimbo wa achana na uovu
@kapsabet3
@kapsabet3 29 күн бұрын
So powerful always wants me to cry each time I listen to this song. So so Powerful.
@AdonisSifa
@AdonisSifa 3 ай бұрын
Siku moja Natamani nmpe Magreth Magenda zawadi. Hongera for 1M
@dennismwilu7667
@dennismwilu7667 Жыл бұрын
The song is such a blessing...keep up the work of God.
@user-eq4hs7xq8u
@user-eq4hs7xq8u 10 ай бұрын
Ameniii kila aliyeshiri kwenye hii kazi mungu wetu wambinguni amkumbuke amuongezee miaka yakuishi
@RaphaelMulei-ev7qy
@RaphaelMulei-ev7qy 9 ай бұрын
Kwa sauti zenu wengi naamini wameweza kuokolewa kutokana na nyimbo zenu nzuri
@alfredkabuty9468
@alfredkabuty9468 2 жыл бұрын
Great sounds full of Blessings. I am just crying because of the message .. I can always listen to the song again and again. God Bless you singers.
@boyochu1308
@boyochu1308 2 жыл бұрын
Nalilia uzima kutoka kwa bwana
@hilarikway4552
@hilarikway4552 7 ай бұрын
Sana tu
@cardiana_
@cardiana_ Ай бұрын
2024-2030 am still blessed with the song 🎉
@eunicenyenge5177
@eunicenyenge5177 9 ай бұрын
Watumishi wa Mungu mbarikiwe Sana napata faraja Sana Kila ninaposikiliza wimbo huu
@venaszablon5764
@venaszablon5764 3 жыл бұрын
Huwa unanifaliji wimbo huu,,mubalikiwe
@gladnessundole4950
@gladnessundole4950 2 жыл бұрын
Mage au
@neemamatayomasanyiwa1658
@neemamatayomasanyiwa1658 10 ай бұрын
Nyimbo tamu sana ameeen😊
@carlontaiya9167
@carlontaiya9167 3 жыл бұрын
Lovely song cant stop listening to it everyday.
@kimutaichelule6700
@kimutaichelule6700 2 жыл бұрын
Amen. Mbarikiwe sana
@ammiymaphieaminaamina.tumi405
@ammiymaphieaminaamina.tumi405 Жыл бұрын
MUNGU AZID KUWATIA NGUVU NIKICIKILIZA HUU WIMBO HUWA NAFARIJIKA SANA
@felixmasae
@felixmasae Жыл бұрын
I don't know whether you guys know what type of song you released uplifting ,teaching, inspirational a blessing song Mungu awabariki zaidi
@paulcosmas7941
@paulcosmas7941 Жыл бұрын
Warriors of gospel!! Thanks for this anointed song
@user-uy2fz8gv1n
@user-uy2fz8gv1n Жыл бұрын
Wimbo mzuri unaoguza,mungu awabariki sana wanachoir😊keep up🙏
@eliudwamamily5772
@eliudwamamily5772 Жыл бұрын
Wonderful ministry,this song blesses my soul
@user-mp6xi6sk6n
@user-mp6xi6sk6n 11 ай бұрын
Naupenda huu wimbo nikiusikiliza namkumbuka baba alikua anasikiliza kilasiku 😢😢
@simonmadiba2053
@simonmadiba2053 4 жыл бұрын
Nyimbo bora sana
@paulondonga5412
@paulondonga5412 2 жыл бұрын
Napenda Sana,mubarikiwe Sana choir
@MusaaJohn
@MusaaJohn Ай бұрын
Barikiwa sana
@singilikabeho2800
@singilikabeho2800 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na wimbo huu wa #NALILIA #UZIMA Bwana awabariki sana watumishi wenzangu shambani mwa Bwana
@aicshinyangachoirofficialp3482
@aicshinyangachoirofficialp3482 4 жыл бұрын
Amina. Barikiwa Mtumishi. Usisahau kusubscribe
@kennethkenny5993
@kennethkenny5993 4 жыл бұрын
@@aicshinyangachoirofficialp3482 bwana wa majesh
@datainsights352
@datainsights352 Жыл бұрын
oh bless the lord... thank you Shinyanga for this timeless blessings. The lines are everything.
@NdelisoMateru
@NdelisoMateru 9 ай бұрын
Weee. Kuna dada mmoja hapo ana imbaaa weeeeeee.🎉🎉
@richardmakigo4492
@richardmakigo4492 9 ай бұрын
Pamoja kabisa, MUNGU Nisimamie zaidi nishinde.
@akilimfuko9289
@akilimfuko9289 2 жыл бұрын
Asante mungu kwaupendo wako
@MetrineGalelwa
@MetrineGalelwa Жыл бұрын
These song inspires me very much, I plays always whenever I feels bored 🙏🙏🙏
@SarahLameck-sy9yq
@SarahLameck-sy9yq Жыл бұрын
Xan yaan nabarikiwa cn
@happylonhambi861
@happylonhambi861 Жыл бұрын
Nimshnd cku zote kwangu sitaogopa chochote bwana you pamoja Nam mubarikiwe wa kwetu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@AlexNyanga-wz4ob
@AlexNyanga-wz4ob Жыл бұрын
Yani haitachuja hii mpaka ajapo bw yesu
@albunusmatundu248
@albunusmatundu248 2 жыл бұрын
Mungu ambariki wambaji wetu wa saa ii na wale wakitambo hawepe nguvu na uweso wakusidi kutunga nyimbo xenye mfuto wa kumutukuze yeye milele mungu ambari waibaji sana
@CYRUSONGERA-hb2xm
@CYRUSONGERA-hb2xm 8 ай бұрын
Wimbo unaoguza mtima wangu hadi kulia... Nashukuru sana... Good vocal from the first soloist, and the 2nd soloists (tenor)... Watching from Kenya.
@elviskoech6271
@elviskoech6271 4 ай бұрын
My heart always yearns for the love of God ....Thanks A .i.c shinyanga for such a great song
@neemaambepwile4084
@neemaambepwile4084 Жыл бұрын
Nice 🥰 naupenda saaana wimbo huu
@enockmokaya564
@enockmokaya564 3 жыл бұрын
This song always touches my heart and soul till I shed tears??? God bless u all abundantly
@joshuajeremia3045
@joshuajeremia3045 6 ай бұрын
nalilia uzima saa 8 usiku huu dec 23
@edwinfelix6298
@edwinfelix6298 Жыл бұрын
Akika bwana ndio mtuliza moyo wangu akuna mwingine kama bwana yesu yesu ndio mwanga katika Dunia wa milele na milele yesu kanifanha niwe na uruma niwe mvumilivu kwake mimi na ishi amee
@lenonleyian2354
@lenonleyian2354 3 жыл бұрын
Good work may the Lord bless you people
@wallacekatini3424
@wallacekatini3424 Жыл бұрын
Barikiwa dada magreth
@abelijacob6218
@abelijacob6218 2 жыл бұрын
Nyimbo rozi muhando mpya
@mwaminiemmanuel4338
@mwaminiemmanuel4338 Жыл бұрын
N bora kubaki na huyu yesu kwasabbu ukiwa nae unakua salama
@Domiciangenand
@Domiciangenand Ай бұрын
Hata Mimi nipenda
@kusuriekombe154
@kusuriekombe154 Жыл бұрын
Hakika Yesu kaniwekea walinzi najivunia kwakeee
@christophernyagawa5485
@christophernyagawa5485 2 жыл бұрын
Mbarikiwe na MUNGU
@simeosafari4066
@simeosafari4066 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na huu wimbo
@user-qc9sp7sc1z
@user-qc9sp7sc1z 5 ай бұрын
Huu wimbo unahuisha sana na hautakaa uchuje kamwe
@MrBARAKA1981
@MrBARAKA1981 9 ай бұрын
Binge LA ujumbe. MUNGU awabariki
@janelukundo8803
@janelukundo8803 Жыл бұрын
I feel so smooth when listen ing this song it blesses me
@user-yb6yu8ve8v
@user-yb6yu8ve8v 6 ай бұрын
Very nice
@annangeranko309
@annangeranko309 Жыл бұрын
Ameeeeni yani nimebarikiwa sana kupitia nyimbo hii
@danielntabaungu9206
@danielntabaungu9206 2 жыл бұрын
Huu wimbo unanibaliki sana
AIC CHANG'OMBE CHOIR. MIX OLD SONGS PART 1//SOPHIELINAH TV
51:42
AIC Shinyanga Choir - Ng'ang'ania Baraka (Official Video)
5:29
AIC Shinyanga Choir Official Page
Рет қаралды 1 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 19 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 110 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 78 МЛН
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 4,7 МЛН
AIC Shinyanga Choir - Amua (Official Video)
5:48
AIC Shinyanga Choir Official Page
Рет қаралды 447 М.
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 2,4 МЛН
AIC SHINYANGA CHOIR/ KAA TAYARI/ ZILIZOPENDWA AFRICA MASHARIKI.
6:19
Msalaba MEDIA Video Pro
Рет қаралды 191 М.
Gusa
5:47
isaackrp
Рет қаралды 1,3 МЛН
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 21 МЛН
Choir best collection  -  Arusha Sounds
1:20:34
Arusha Sounds
Рет қаралды 296 М.
AICT MAKONGORO VIJANA CHOIR - NJIA PANDA
5:33
AICT Makongoro Vijana Choir - KEKUNDU
Рет қаралды 260 М.
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1,9 МЛН
Nenda na Uzima
4:57
isaackrp
Рет қаралды 1,2 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 19 МЛН