Maeneo Sita (6) Ya Kuzingatia Katika Kujenga Nidhamu - Joel Nanauka

  Рет қаралды 164,949

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 527
@lomeombata3985
@lomeombata3985 5 жыл бұрын
Nimefurahi saaana hili somo na ntakuwa naludia Mara nyingi video ili kila ntakachofanya nifanye kwa vitendo elimu tunayopata hata vyuoni haifundishwi na unatufundisha bila malipo mungu amekuleta kwa namna ya tofauti elimu ya kujitambua ni ya msingi saaana kuliko hata elimu ya darasani asante saaana nanauka
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 5 жыл бұрын
That's true
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
lomeo mbata Ahsante kwa kuwa mfuatiliaji mzuri na kufanyia kazi.Nakutakia mafanikio Makubwa zaidi 2019
@lomeombata3985
@lomeombata3985 5 жыл бұрын
@@joelnanauka amina
@bedaphidelis7769
@bedaphidelis7769 4 жыл бұрын
Kutimiza malengo kwa wakati
@stellahsanga8214
@stellahsanga8214 5 жыл бұрын
Mh asante san kaka kwa hili somo jmn yani mimi hapo vitu vyote ulivovitaja vinanihusu kuzingatia 1-6 sana ....you can help me to ascape from those things ..... GOD bless you my Brother . sijui nikuite Doc Joeli maan sio kwa sindano hizi
@mussaameir5230
@mussaameir5230 3 жыл бұрын
kwa kweli ndugu Joel mimi nimefarajika sana na malengo uliofundisha na kwa kweli mimi ninaona kwa upende wangu nilikuwa nikifanya makoso sana kwani nilikuwa sina malengo ya kuweze kuchagua marafiki wenye tija na mmm na vile vile nilikuwa sina nidhamu katika matumizi yangu lakini kwa kweli sasa nimejifunza. ahsante sana . Mungu akupe upeo zaidi ya zaidi
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Mambo ya msingi sana haya kaka. Asante kwa kuitumikia vyema jamii yetu. #Powerful
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ezden Jumanne Ahsante sana Ezden,pamoja sana
@aishaothman4418
@aishaothman4418 5 жыл бұрын
asante Nataka nianze namuda
@noeljailo7651
@noeljailo7651 5 жыл бұрын
kaka nakuona tena uku basi WOTE NI FAMILIA MOJA
@shaffihsiraji3141
@shaffihsiraji3141 4 күн бұрын
Kaka Ezden nyie watu ndo mnatubadilisha sana kutoka Maisha mabaya kwenda mazuri🙏
@edwinzacharia3501
@edwinzacharia3501 4 жыл бұрын
MUNGU akubariki saana, umekuwa mwalimu wangu tangu nikujue, na tatizo langu kubwa nidhamu inapungua, unakuta napanga jambo au lengo lkn nidhamu ya kufanya jambo ilo kwa mwendelezo inapungua. Ila leo nimeamua kuanza upya katika mambo ambayo nimekosea kufanikiwa. MUNGU akubariki saana
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 4 жыл бұрын
Salute Mzee,huliyosema nimeyasikia na nikweli kabisa ,Shida yangu Mimi nimekuwa mtu wa huruma sana na hicho naona nikama kinanifanya nistaki ktk maendereo nifanyeje? Lakini yote hulioyazungumza kiukweli nimshukuru Mungu niliyafaamu kabla kutokana na mapito niliyo pitia.
@jacobnduya798
@jacobnduya798 3 жыл бұрын
Asanteni Joel wewe sasa ndo mwalimu wangu muhimu sana katija maisha!!! Mimi nipo chuo kikuu lakini naona kabisa elimu ninayopata hapa ni nzuri sana na haipatikani mashuleni!! Nimeipenda na ninafanyia kazi Mungu azidi kukubariki Mimi nimependa nidhamu ya malengo .lkn kiukweli zote ni muhimu sana naweza kusema ni vizuri kuwa nazo zote kwasababu zina husiana sana
@evancemosha7862
@evancemosha7862 5 жыл бұрын
asante sana kwa somo zuri. nidhamu ya mda imenigusa sana inabidi nichukuwe hatua
@daudintambala3896
@daudintambala3896 5 жыл бұрын
Sir joel "nitangulize shukurani kwako kwa elimu ulionipa saiv naweza jisimamia mwenyewe na kuna marengo niliwek na nimefanikisha ila kuna vitu sjaviweza sijui nashindwa nn "1:bajeti 2:nidhamu ya fedha na3:muda ila hili naliweza maana niweza kujali muda " shauri hapa joel
@joshuadavid3377
@joshuadavid3377 2 жыл бұрын
Ahsante sana Joel wish siku moja tutaonana maisha yangu sasa yanabadilika kila siku, your my mentor.
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 5 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri sana. Mungu azidi kukubariki na kukuepusha na mabaya yote.
@freyzeelovesea1807
@freyzeelovesea1807 2 жыл бұрын
Daah nimegundua katika nidhamu zote sita hamna hata moja ambayo nafwatilia
@alakhy9448
@alakhy9448 5 жыл бұрын
Kaka joel mimi baada ya kuskiliza clip zako nimebadilika sana,mwanzo nilikuwa na ndoto za kuwa docta jambo ambalo lilinifanya nipende sana PCB shuleni,lakini kutokana na kuogopeshwa na wenzangu physics miliacha,baada ya kumaliza shule licha ya kuwa nilipata four,Bioligy na chemistry nikafaulu kwa wastani ambao naruhusiwa kwenda nursing ila ajabu na bahati mbaya niliacha physics,basi mission ikafeli,kumbe ningekuwa na uwezo wa kwenda nursing na baadae kujiendeleza zaidi nifikie ndoto zangu ila tatizo ilikuwa physics niliacha. Ni zaidi ya miaka mitano tokea nimemaliza form four na sikujiendeleza Lakini baada ya kumfatilia huyu mtaalamu nanauka nimejikuta narudia ndoto yangu ambayo nilikuwa nayo na nimekuwa mtu tofauti kabisa,na hapa ninapozungumza nimefanya yafuatayo. .wiki ijayo naenda kununua mtihani wa kidato cha nne na kituo cha mtihani,naanza kusoma PHYSICS NA CHEMISTRY ILI NIPATE CREDIT za kwenda advance nikasome PCB na nina hakika NAWEEZA. Nikimaliza advance nina amini 100% ntafaulu vizuriii kwa sababu ntakuwa nasoma kwa uchungu na then nitaenda chuo kusomea doctor . Miaka minne mbeleni kaka joel nitaleta ushuhuda juu ya hiki ninachokisema,namtegemea Mumgu lakini nina juhudi na pia ninapenda na kuwa na molari na ninachokifanya. Kusomea malengo yako ukubwani kuna raha sana kwa sababu unajua unachokitafuta. Nashkuru sana kaka JOEL NANAUKA. UPDATE : ikiwa leo ni tarehe 28 mwezi wa 7 mwaka 2021 miaka miwili baada ya kuweka hiyo comment hapo juu. Sasa hivi ninamaliza mwaka wa kwanza kusoma clinical medicine bado miaka miwili. Nilisharudia mtihani na nikafaulu vizuri na nikaomba chuo diploma nimekubaliwa na sasa nasoma. Nina hakika nitafika malengo yangu ya kuwa daktari aliyespecialize kabisa katika utaalamu fulani.
@mimiwewe6617
@mimiwewe6617 2 жыл бұрын
Nimependa sana ushuhuda wako.
@hendrylema5640
@hendrylema5640 Жыл бұрын
Hongera sana kaka,
@mwamvitakilima4104
@mwamvitakilima4104 Жыл бұрын
Inspired,powerful &motivation comment
@lilianmongate9827
@lilianmongate9827 5 жыл бұрын
Mr Joel, huwa unanibariki Sana kwa makala zako. Mungu azidi kukuinua na kukupa ufahamu zaidi
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba kama ingekuwa nimeambiwa nimebakiza siku moja ya kuishi ningeutumia muda kwa nguvu zangu zote na kujutia mambo ambayo sikuyafanya ktk muda niliokuwa nao kuliko niliyoyafanya.. Somo hili ni adhim limegusa maeneo mengi ktk maisha.. Mungu akuzidishie
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Omary Shafii ni vizuri umejua mapema Omary,ni Muda sasa wa kuanza kutumia kila sekunde yako vizuri
@Teacher-Yasilini
@Teacher-Yasilini 3 жыл бұрын
Umenibadilishaaa sanaaa
@rebeccanassary1720
@rebeccanassary1720 3 жыл бұрын
Nashukuru sana nimejifunza kitu ntaanza kuweka malenngo
@sirlemsontv9201
@sirlemsontv9201 5 жыл бұрын
Hakika kaka Joel Mungu akuzidishie baraka... Maana masomo yako mazuri...
@successmbizo3209
@successmbizo3209 5 жыл бұрын
1,Malengo, 2.muda, 3.vipaumbele, 4.kujifunza, 5.fedha 6.marafiki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Mbizo Supanova 👏👏👏
@joshuajastin5763
@joshuajastin5763 5 жыл бұрын
Nimeshukuru kwakweli kaka Ungonjwa wangu ni kwenye nindam ya vipaombele Na matumizi ya muda nachukia sana kuzikosa hiz kakaangu Ubarikiwe saana kwa kuniongezea thamani
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
Nidhamu ya muda ni muhimu sana kuanza nayo. Time is everthing, zingine zitafuata baada tu ya kupangilia muda wangu vizuri. Knowledge is power God bless u
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
zuhura Abdilah safi sana tafuta pia video niliyoelezea vitu vinavyoiba Muda wako
@agreyminja9412
@agreyminja9412 2 жыл бұрын
Somo zuri sana Kaka katika swala zima la muda kwakweli nahitaji msaada mkubwa sana
@carrencatherine2018
@carrencatherine2018 4 жыл бұрын
Asante Kaka joel kwa elimu yako inayonitia nguvu naimani unanitengeneza kua bora zaid ya hapa nilipo ,muda marafik Na midham ya fedha naendelea kuvifanyia kaz
@ibzanruheta
@ibzanruheta 5 жыл бұрын
Nice teachings, ahsante bro masomo yako yananifundisha sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Ibzan Ruheta nashukuru sana,pamoja
@asantendosi3787
@asantendosi3787 5 жыл бұрын
Thank you broo Joel, umenifundisha kufanya self-evaluatio. Na nilichojifunza kikubwa ni kuwa "My net friend is my net worth " nadhani eneo la kushughulikia sana kwangu kwa wakati huu ni eneo la marafiki.
@nasrashabani4699
@nasrashabani4699 5 жыл бұрын
natakiwa kuwa makini na muda
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Asante Ndosi safi sana,anza kulifanyia kazi mapema kabisa ni kuchelewa
@sephaniamsongole7801
@sephaniamsongole7801 Жыл бұрын
Kaka nashukulu Sana umenibadilisha sAna
@janicekim9767
@janicekim9767 5 жыл бұрын
Kweli kaka unatu inspired sana mungu azidi kukupa nguvu tunufaike na matunda yako
@jameskulwa6530
@jameskulwa6530 2 жыл бұрын
Thank you joel, nilikua na changamoto juu ya displine ya muda na vipaumbele now i know what to do
@farmpridetz8974
@farmpridetz8974 5 жыл бұрын
Aiseee hili moja kati ya masomo bora kabisa kwenye mwanzo wa mwaka huu” i wish kila mtu angeskiza
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
EntertainmentVevo safi sana naamini Kila atakayesikiliza litamfaa
@pandoemmanuel2051
@pandoemmanuel2051 4 жыл бұрын
Joel umetuvusha watu wengi sana. Keep this up for the benefit of swahili listener all over the world. Barikiwa.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Pando Emmanuel Ameen kaka,endeela kuniombea kaka🙏🏻
@emmanuelmsengi6920
@emmanuelmsengi6920 5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu #be_blessed
@swalehabubakar7661
@swalehabubakar7661 5 жыл бұрын
Shukran sana imenisaidia
@anethmajura
@anethmajura Жыл бұрын
Nakukubali sana brother Joel unansaidia sana ubarikiwe
@jumaseif9894
@jumaseif9894 5 жыл бұрын
toka nianza kukufatilia na miez minne sasa lakn na mabsdiliko makubwa sana tena sana,shukran nanauka,kuwa na nidham ya fedha ni msing sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Juma Seif safi sana Juma Nafurahia kusikia hivyo kwa kweli
@mohamedmakungu1609
@mohamedmakungu1609 4 жыл бұрын
Mimi binafsi ya na Sita muhimu sana
@NeemaMsanga-wg9je
@NeemaMsanga-wg9je Жыл бұрын
Ahsante saaana kwa mafundisho yako. Nitayafanyia KAZI.
@kelvinmamuya902
@kelvinmamuya902 2 жыл бұрын
marafiki ndio watu wameweza kunirudisha nyumaa be blessed bro video is awesome
@gloryolomi7
@gloryolomi7 4 жыл бұрын
Asee haya madini sana kaka Joel. Asante kwa kunifunza. Video imeisha haraka haraka. Vile nilitamani niendelee kuskiza😀😀
@lemsnyigu4699
@lemsnyigu4699 Жыл бұрын
Ahsante kwa ujumbe mzur Nina shida kwenye nidham ya fedha na marafiki
@juliekagine5486
@juliekagine5486 Жыл бұрын
Thanks brother Joel,umenifundisha vizur
@emmanuelnyengella4839
@emmanuelnyengella4839 4 жыл бұрын
Nidhamu ya Kujifunza, nafikiri kwangu hii ni ya muhimu zaidi kwa sababu ni kupitia nidhamu hii nimekutana na somo hili leo...katika Kujifunza unajua wapi unakosea na wapi upaboreshe
@januaryneville4578
@januaryneville4578 3 жыл бұрын
Asante Sana ndugu
@gerraldndelwa4808
@gerraldndelwa4808 4 жыл бұрын
Nidhamu ya kujifunza,na nidhamu ya pesa ni changamoto kwangu ,be blessed bro nimepona nw
@silatango5975
@silatango5975 5 жыл бұрын
Unabarikiwa upeo kaka, nimefatilia sana speech zako.
@s.simponda138
@s.simponda138 5 жыл бұрын
Ahsante sana mm nahitaji kitabu chako.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
spriano simponda wasiliana na 0756094875 utakipata
@antigonimathew5090
@antigonimathew5090 5 жыл бұрын
@@joelnanaukaelimu unayonipa siwezi kukulipa ila mungu atakulipa zaidi..
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 5 жыл бұрын
Umetisha kaka yangu umenifanya niwe mtu wakubana pesa ndugu sasa hivi niko poa sana asee mungu akubariki sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Hilary Godfrey 💪💪💪
@annahchristian8645
@annahchristian8645 3 жыл бұрын
Nakushukulu sana umebadlsha maisha yangu kutokana na semina zako
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 жыл бұрын
50,30,20 hii mbinu imenisaidia sana mwana jana 😍
@hmutabuzi4438
@hmutabuzi4438 5 жыл бұрын
points zote ni logical kabisa na wakati mwingine zinategemeana. ntajifunza zaidi kadri ninavyoendelea kupata dondo hasa bullet ya 4 (Self development). Its so inspiring you know! hongera Ndg. Nanauka. Quotation "education will make a leaving but self development will make your fortune, Jim Lone" impact fully in daily life.
@mariamnestory6715
@mariamnestory6715 Жыл бұрын
Nashukuru kwa mafundisho yako naitaji kitabu chako nipo kigoma
@mariamnestory6715
@mariamnestory6715 Жыл бұрын
Naitaji malengo yakutunza pesa pamoja na marafik maana mm sinabaati marafiki asante
@abrahammwita8520
@abrahammwita8520 5 жыл бұрын
Kuwa na maisha marefu mwalimu
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 5 жыл бұрын
Uyo umeongea number 6 imenigusa sana kabisa mimi ni mtu mmojapo naongeaga na watu sana afu najisahau na mwisho haohao ndiwo wananihusudu .pls nashindwaga kujiziwia kuongea na watu up a nikipata mafunzo yakujuwa kujifunza kuwa Suriesly tashkuru
@29WavesTV
@29WavesTV 4 жыл бұрын
Nidhamu ya kwanza na pia ya mwisho Asante sana.Mimi ni mpeenzi mkubwa sana ya kazi zako.please let see each other at the top
@mygodisgreaterabraham6841
@mygodisgreaterabraham6841 5 жыл бұрын
kweli kaka, nimekuelewa, marafiki waliniponza sana mwaka Jana, ila tangu nianze kukusikiliza nimewaacha nasonga mbele, barikiwa sana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
MYGODISGREATER Abraham safi sana 👏👏👏
@swaumuabdalaha1521
@swaumuabdalaha1521 5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mlefu zaidi
@veromkami3831
@veromkami3831 2 жыл бұрын
Nakufatilia sana na kujifunza sahii nashukuru sana mungu akuobariki kwa kazi nzuri
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 11 ай бұрын
Hkk kaka Joel point zote nitazizingatia kbsa. Be blessed more yamkin najifunza mengi pitia kwako .
@stephenmabinza9043
@stephenmabinza9043 4 жыл бұрын
Mimi ni Mining Tchnician vilevile nimesoma Mechanics (Mitambo) Nilipokuwa na Kazi, nilikuwa na watu wengi kwangu, Nimesomesha, nimesaidia na nimejinyima sana kwa ajiri ya watu! Lakini sasa Mimi sina hata pakukaa! Kuna kazi ya mikono nimeanzisha lakini kwakuwa sina support inakwenda kwa kukwama sana. Siwezi kukopa mtaji kwakuwa sina chochote cha kuwekeza kama dhamana! Nimejiuliza sana sababu, jibu sina! ... Naamini katika kufanya bidii na kutumia maarifa, lakini kiukweli naona nipo peke yangu na mambo kama hayaendi kabisa! Kazi niliyoibuni ni ya Kiufundi, natengeneza Mashine za mkono ili kunisaidia kuifanya ile kazi niliyoianzisha. Sijakata tamaa ila sijui ni lini na kwa namna gani nitakamilisha Lengo langu hili!
@dianahcheropngaina9496
@dianahcheropngaina9496 2 жыл бұрын
Iam very proud of u afrucan conitinent we need people genious like u 20/05/2022
@rahemahrahemah2719
@rahemahrahemah2719 5 жыл бұрын
Hili somo ni zr Sana nimekuelewa Kaka Joel shukran
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
rahemah Rahemah nashukuru,pamoja sana
@Felixkomba97
@Felixkomba97 4 жыл бұрын
Nafikiri au kwauhakika kama ningekuwa natoa uprofessor au doctrine yaheshima ningekupa but siwezi ila nakupa uprofessor katika kutusaidia sisi vijana katika kutupa relevant education katika maeneo muhimu ya maisha nasema ASANTE SANA kunasiku nikifanikiwa takukumbusha kuwa huu ni mchango wako
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Asantee sana nimejifunza somo zuri marafiki wanarudisha nyumaa na wanarokho za wivuu
@ibrahimAhmed-zq5hj
@ibrahimAhmed-zq5hj 2 жыл бұрын
Mungu hakupe maisha mrefu ndugu
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwakuniongezea ujuzi,nitafanyia kazi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Josée Faida Butu Ameen nashukuru sana
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Pamoja na mafundisho mazuri kaka.Umependeza sana.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Clara Prosper nashukuru sana 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@beatricemapembe8941
@beatricemapembe8941 5 жыл бұрын
Hakika nahitaji mabadiliko makubwa ktk utendaji wangu. Asante sana.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Beatrice Mapembe 👏👏👏
@florachanga6983
@florachanga6983 5 жыл бұрын
Nidhamu ya muda hapa ndo naona ni mhimu sana kwangu kuaza nayo Asante kaka
@happycostack6963
@happycostack6963 5 жыл бұрын
Asante mwanangu sikuwa najua chochote kuusu mpangilio WA Maisha Mungu akubaliki ssna
@princeholy2536
@princeholy2536 4 жыл бұрын
Umebadilisha maisha yangu
@apostlejohnamani.8661
@apostlejohnamani.8661 Жыл бұрын
Ama kweli Mungu akubariki sana kaka...kwa elimu muhimu namna hii..
@kissmwalabu2452
@kissmwalabu2452 4 жыл бұрын
dah mada nzuri sana me nimependa nidhamj ya fedha na kuweka malengo
@user-no9gu3mn8h
@user-no9gu3mn8h 6 ай бұрын
Be blessed kaka Joel Ilike ue work much
@jacksonkinange4605
@jacksonkinange4605 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana unafungua mengi
@donardmussa3263
@donardmussa3263 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka kwangu mim nidhamu ya muda imekuwa ikinisumbua sana, naahidi ntalifanyia kazi kuanzia sasa.
@godhopeuiso
@godhopeuiso 5 жыл бұрын
Asante sana ndugu yangu kila leo napata kuwa mpya kwa mafundisho sahihi. Mungu akubariki kaka... Endelea kutumegea mafundisho mteule.
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 2 жыл бұрын
Asante kwa masomo mazuri,Mungu akubariki sana .
@saidyshoka1872
@saidyshoka1872 3 жыл бұрын
Nimejifunza broo ubarikiwe zaid
@aishamipiko4364
@aishamipiko4364 4 жыл бұрын
thanks sana Mr.Joel eneo la marafiki ndilo nitaanza nalo
@faridaiddy6015
@faridaiddy6015 5 жыл бұрын
nidhamu ya muda na kueka malengo ni nidhamu kubwa sana kwani huwezi tumia muda vzuri ikiwa hujajua unataka kufika wapi... thank you bro Joel I learn something... u are my inspiration.
@silatango5975
@silatango5975 5 жыл бұрын
Kweli tujiwekeze kusoma vitabu tuongeze maarifa... Ahsante Nanauka..
@josiahjoas8526
@josiahjoas8526 5 жыл бұрын
Pastor Joel, Praise Jesus Christ.. I love the lessons you teach us. Nimeanza kuweka malengo na kuwekeza(nidhamu ya fedha) ahsante kwa elimu,
@shau78
@shau78 4 жыл бұрын
Joel sio pastor. Is he?
@francentinda9221
@francentinda9221 5 жыл бұрын
Nakushur kk kwa elim yako naimani itatusaidia ktka maisha yet kama tutazingatia
@anjelasaid6098
@anjelasaid6098 3 жыл бұрын
Daaaah maneno yako yamenigusa sana,nawezaje kupata soft copy ya vitabu vyako kaka!
@marcopeter4091
@marcopeter4091 Жыл бұрын
Asante Mwalimu wangu
@papakefa2201
@papakefa2201 4 жыл бұрын
Ubalikiwe mon frère
@rehemanicemgeni1308
@rehemanicemgeni1308 5 жыл бұрын
Kujiepushana na malafiki Ambo hawana mtazamo wa maisha ya mbele
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Safi sanaaa 👏👏👏
@anethmkawe5391
@anethmkawe5391 4 жыл бұрын
nashukuru bro joe ubarikiwe sana
@bensonynchimbi1039
@bensonynchimbi1039 4 жыл бұрын
Asante kwaushauriwako nimejifunza kitu sasa
@leonidaskalumuna8350
@leonidaskalumuna8350 5 жыл бұрын
Ahsante sana,Shida yangu sina rafiki yoyote,wale ambao natamani wawe ni marafki ni watu ambao wapo busy sana kukutana nao ni vigumu.Lakini naendelea vzr na mafundisho yako.
@canny255
@canny255 5 жыл бұрын
Ahsante Sana Mr. JN! Since knowing you, everyday in every way I'm getting better and better!! See you at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Paul James so happy to hear about that 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@emmywanungu2137
@emmywanungu2137 5 жыл бұрын
Joel Nanauka kwakweli nidham zote maana nimegundua sina nidham hata moja ya kieleweka. Asante sana na utusaidie zaidi hata ushauri wa inbox
@scolasticakilosa5775
@scolasticakilosa5775 3 жыл бұрын
Nithamu na muda
@martinmaami5853
@martinmaami5853 5 жыл бұрын
Nimefurahia sana sana mafundisho yako,naomba nisaidie juu ya nidhamu ya fedha na marafiki
@emanuelsulle6122
@emanuelsulle6122 5 жыл бұрын
Asante kwa kutupa elimu nzuri
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
Kuongeza nguvu kwenye malifa na malafiki Yani wengi majanga tu Asante kaka kwa somo zuli 🙏🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Mwajuma Mwishehe 👏👏👏👏
@mariayunza7436
@mariayunza7436 5 жыл бұрын
Barikiwa zaidi, ahsante
@shebahchannel1138
@shebahchannel1138 3 жыл бұрын
Aseeeee nilikuwa wapi Mimi ila sijachelewa Sana,nmekuelewa bro Joel naamka Sasa.
@majimotomalole9812
@majimotomalole9812 4 жыл бұрын
Kaka nimekuelewa.ubarikiwe Sana
@daudimwabulambo4240
@daudimwabulambo4240 5 жыл бұрын
Mmmh... Bro uko vzr saan hapa nimejifunza nidham ya marafik wasio na maan kweny maisha yang
@naomykenee7051
@naomykenee7051 3 жыл бұрын
Nimehudumiwa sana nahitaji kujenga nidhamu zote sita kwa usahihi kabisa!
@AbdillahHusseindaudHussein
@AbdillahHusseindaudHussein 2 ай бұрын
😮vijana tubadilikeni
@victoriatety4650
@victoriatety4650 5 жыл бұрын
Mr.joel mungu akuinue zaidi na zaid......nidhamu ya fedha na marafiki imenigusa sana
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 5 жыл бұрын
Mimi pia nipo hapa kwenye nidhamu yafedha namarafiki tusaidie
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Victoria tety hongera kwa kugundua maeneo ya kufanyia kazi,anza mara moja bila kuchelewa
@geofreykatto3726
@geofreykatto3726 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwangu hasa nidhamu maeneo ya Malengo na Pesa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Geofrey Katto Maadam umeshayajua,anza kushughulika nayo mapema
@geofreykatto3726
@geofreykatto3726 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka
@jacklineomae7832
@jacklineomae7832 5 жыл бұрын
Shukurani za dhati kaka Joel.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
Jackline Omae karibu sanaa
@worshipertv9968
@worshipertv9968 5 жыл бұрын
Umenigusa sana Kaka Joel
LIFE WISDOM: VITU AMBAVYO VIPO NDANI YA MAONO - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
Dr. Chris Mauki:     Kanuni 3 za kujenga nidhamu kwenye kila ufanyacho
7:08
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,9 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 108 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 7 МЛН
Inawezekana Kufikia Malengo Yako Usikate Tamaa   Joel Arthur Nanauka
23:06
Aina Nne (4) Za Watu Wanaoua Ndoto Zako - Joel Nanauka
8:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 107 М.
MFUKO WA UKWASI (LIQUID FUND)
11:59
UTT AMIS PLC
Рет қаралды 819
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 61 М.
JINSI YA KUFANYA AKILI YAKO IWE MSAADA KWAKO | Ezden Jumanne
7:31
Success Path Network
Рет қаралды 11 М.
Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?
11:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.