AJALI ARUSHA: MIILI 6 YA WANAFUNZI YAOPOLEWA MTONI, GAMBO ATOFAUTIANA NA TANESCO 'MOCHWARI'

  Рет қаралды 60,773

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 128
@GreceWeitalo
@GreceWeitalo 3 ай бұрын
Polen sana wanaarusha, mungu ailaze roho zao pema peponi Amina,
@nyemowanyotanjemaudm4360
@nyemowanyotanjemaudm4360 3 ай бұрын
Polen Sana wazazi.wa Hawa watoto wazuli amakwel bwana alitoa bwana ametwah😢😢😢
@VERONICALAIZER-vt3ui
@VERONICALAIZER-vt3ui 3 ай бұрын
Jamani huyo mtu alikua anaokoa naye amefariki??😭😭😭Mungu awalaze pema peponi
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi ndugu na familia wote mlio ondokewa na watoto.mungu awape subira. Pia azilaze roho za watoto mahali pema peponi.
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 3 ай бұрын
Mungu akawe faraja kwa wazazi waliopoteza watoto wao.😢Kufiwa na mtoto inauma sikia tu kwa mtu. Innalillah wainna ilayh rajiun 😭😭
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Poleni sana na madaraja yajengwe ya viwango vizuri jaman daraja lenyewe hilo kama chaga ya kitanda madaraja yawekewe kingo imara😢😢
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 ай бұрын
Kweli 😢😢😢😢😢😢
@roselinasandi6509
@roselinasandi6509 3 ай бұрын
Poleni sana wafiwa Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@user-pe9hv3hx3c
@user-pe9hv3hx3c 3 ай бұрын
Poleni wazazi wenzangu munguawatie nguvu sana
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 ай бұрын
Dahh pole kwa wazazi na Familia kiujumla. Mungu awalze mahal pema pepon Amina 🙏
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s 3 ай бұрын
Thank you Gambo mbunge wetu mleta maendeleo.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 3 ай бұрын
Arusha walipata Mbunge mzuri sana, Gambo anajua sana kujenga hoja basi tu kapata jimbo limejaa watu wabishi na wakwamishaji
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Halafu bado kijana watamzeesha tu na la maana hamna😂
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 3 ай бұрын
Pole Sana Kwa Familia zote na Mungu wangu awatangulie
@ZulayfaSalum-ws2rj
@ZulayfaSalum-ws2rj 3 ай бұрын
😢😢 mungu awalaze mahali pema peponi 😭😭
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 ай бұрын
Amen❤❤❤
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 3 ай бұрын
Pole sana kwa msiba huu.Mwenyezi Mungu awaweke roho za marehemu mahali pema peponi.😭🙏
@winifridanyenza4585
@winifridanyenza4585 3 ай бұрын
Mungu Linda watoto wetu ni maumivu sanaaa
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 ай бұрын
Poleni sana wana arusha kwa ujumla
@maryobedi6807
@maryobedi6807 3 ай бұрын
Inauma saana, dah poleni saana wazazi Mungu awafariji
@Markomnkondya
@Markomnkondya 3 ай бұрын
Polen wenzetu mungu awatie nguvu na janga hilo
@mlangiralameck9158
@mlangiralameck9158 3 ай бұрын
Poleni sana kwa familia, mwenyezi mungu awajalie pumziko la amani , milele daima.
@williamunjiku6742
@williamunjiku6742 3 ай бұрын
Ila Viongozi Watanzania wanazingua sana, mpaka litokee janga ndo hua wanafikiria kufanya vitu walivyotakiwa kuvifanya kabla. Manyoni ilivyotokea ajali ya basi na treni ndo wakaweka kizuizi, sahv ndo wanawaza kujenga kivuko.....too late. Mpaka litokee janga ndo tunakumbuka kufanya maamuzi😢😢....real!!!😮 Pole kwa familia na ndugu zetu wa Arusha.
@mtolela12
@mtolela12 3 ай бұрын
Tengenezeni miundo.mbinu Arusha siasa za maji taka acheni,,,kila siku mnajenga hoja mpaka wafe watu wangapi mnaboa sana
@mtewelemtewele0260
@mtewelemtewele0260 3 ай бұрын
Polen sanaaaa familia zoote kuondokew na watoto wenu
@hpenyika7686
@hpenyika7686 3 ай бұрын
Poleni sana Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@lucykiwelu4451
@lucykiwelu4451 3 ай бұрын
Poleni Sana wafiwa
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 3 ай бұрын
Familia poleni, mbunge Asante kwa taarifa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Arusha mbona vifo vya wanafunzi vinatokea mara kwa mara? Jamani wazazi mjiulize . Mara nyingi ni Arusha tu kwa nini? Hizo shule zina nini?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 3 ай бұрын
Kweli kabisa isije ikawa kafara
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Kwa kweli Arusha hapana Inaumiza sana
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f 3 ай бұрын
Mungu awemfariji wao wazazi wa watoto waliopoteza maisha
@kaka_e_athletes
@kaka_e_athletes 3 ай бұрын
Dah pole sana kwa hizi familia 😢
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 3 ай бұрын
Pole sana wafiwa
@alexvenas2699
@alexvenas2699 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi na Wana Arusha kwa hayo yote,lakini pia hongera sana Mbunge mrisho gambo kwa kuwa beneti na wananchi tangu mwanzo mpaka Sasa Bado uko pamoja nao huo ndio uongozi na tunahitaji wabunge kama wewe na si wabunge wanaakaa mjini hawako kwenye majimbo Yao.
@callicevallice7383
@callicevallice7383 3 ай бұрын
Sasa yeye jimbo lake si liko mjini.?? Ulitaka awe wapi zaidi ya hapo..?
@agneslaurent9702
@agneslaurent9702 3 ай бұрын
Mungu tulindie watoto wetu poleni sana wazazi
@prezderdesulley2865
@prezderdesulley2865 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi jamani inauma sanaaa mtoto kumuacha mzazi Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi
@lightouma477
@lightouma477 3 ай бұрын
Poleni sana wafiwa na watu wa Arusha kwa ujumla
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 3 ай бұрын
Mmmh nimeumia sana, mpaka nikawaza kwa nn idd isingeangukia alhamis na ijumaa huenda wasingekufa watoto wazuri, mzazi umemuandaa mwanao dk chache wapokea habar za huzuni, aaah 😭😭😭😭, Mungu awatie nguvu wazazi jaman uwiiiii
@husseinmaingo5009
@husseinmaingo5009 3 ай бұрын
Kwan kulikuwa kuna sababu gan ya msingi ya kufungua shule jumatatu baada ya pasaka wakat Jumatano ni Edd wakafungua shule jumatatu ijayo baada sikuku zote kupita!! Vitu vingine ni ujinga tu
@adkajisi4536
@adkajisi4536 3 ай бұрын
@@husseinmaingo5009 hiyo point kabisaa
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j 3 ай бұрын
Mungu tunaomba uwape haqa wazazi faraja😭
@babraathumani5923
@babraathumani5923 3 ай бұрын
poleni sana wazazi Mungu awatie nguvu
@mariamumusa4116
@mariamumusa4116 3 ай бұрын
Kiukweli mweshimiwa Allah atakulipa nakuombea mungu aendelee kukupa moyo huo huo
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 3 ай бұрын
Nyie mnaojiita selikali mnasubili maafa yatokee ndio mje mtatue
@olivernyange2349
@olivernyange2349 3 ай бұрын
Roho mtakatifu wafariji wazazi hawana faraja ingine
@MohamedMustafa-id5gr
@MohamedMustafa-id5gr 3 ай бұрын
Poleni sana Arusha ni maumivu makali sana kuondokewa na mtoto 😢
@AnnaSanga-bs7pl
@AnnaSanga-bs7pl 3 ай бұрын
Poleni sana sana
@annathomas-wy8yt
@annathomas-wy8yt 3 ай бұрын
Inauma sana jamani,poleni sana wafiwa,Mungu akawe faraja yenu.
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 3 ай бұрын
Wewe Mbunge unakiri kuwa hii changamoto unasema ni ya mda mlefu huoni kuwa hilo ni kosa?
@Namtumbo
@Namtumbo 3 ай бұрын
Sasa anasemaje Bora kaongeza ukweli madereva wanamsubiri sana.Tenesco
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 ай бұрын
Hujaskia kuwa amepambana tanssco wanasema haliwezi kujengwa kwakuwa kuna umeme sijui
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 3 ай бұрын
Mungu awatie moyo wazazi na walezi, kwa kupotelewa na watoto wenu
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi kwa hili pigo linaumiza sana
@upendosanga9205
@upendosanga9205 3 ай бұрын
Acha nilie 2 sina chakuandika inauma inauma
@verombwambo3703
@verombwambo3703 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi Mungu pekee ndio awafariji
@mariaparadiso2997
@mariaparadiso2997 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi Mungu akawe mfariji mkuu katika wakati huu mgumu, mpumzike kwa amani watoto wetu😢😢😢
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb 3 ай бұрын
@mariaparadiso2997Mungu awalaze kwa amani
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 3 ай бұрын
Naumia sanaa km mzaz😢😢
@fifo262
@fifo262 3 ай бұрын
Kazi ya mungu haina makosa , ila dereva nae mzembe
@adammbuba7230
@adammbuba7230 3 ай бұрын
Poleni sana
@user-oc5lb8lk4y
@user-oc5lb8lk4y 3 ай бұрын
Poleni sana wazazi
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 3 ай бұрын
Mungu awapumzishe mahala pema peponi watoto, too sad jmn
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 ай бұрын
Inalillah wainaillah rajighuun
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 3 ай бұрын
Mungu awape faraja wazazi kwenye kipindi hiki kigumu saaa
@gracemkoba3256
@gracemkoba3256 3 ай бұрын
Poleni Sana inaumiza sana
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 3 ай бұрын
Polen Sana wazaz na familia kwa ujumla
@sund2553
@sund2553 3 ай бұрын
Ifike mda wananchi kwenye vyombo vya usafiri tukion hatari yyte kam mnamwambia dereva kitu hasikii tuanze kutembea na fimbo tuwachape hakiiiii😢😢mtu unawaza hiko kidaraj mtu analazimish kupita na mvua hiz kweli 😢😢😢
@AntoniFrenki
@AntoniFrenki 3 ай бұрын
Poleni Sana wananchi
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 ай бұрын
Poleni sanaaa wazazi😢😢
@MonicaMussa-gy6nb
@MonicaMussa-gy6nb 3 ай бұрын
Jamn jamn jamn daaa mbna haya maumivu makali
@JacklineKivuyo
@JacklineKivuyo 3 ай бұрын
😢😢inauma sanaa jamani
@JeniLembris
@JeniLembris 3 ай бұрын
😢😢😢😢r.i.p watoto wetu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 ай бұрын
Polen Sana wafiwa na watt mpunzike kwa aman 🙏😭
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 3 ай бұрын
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪 mungu ni mwema nyakati zote🙏🙏😪😪😪
@naimatemba8061
@naimatemba8061 3 ай бұрын
Uuwi jamani mbona madereva hawasikii jamani
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 3 ай бұрын
Aiseeee inaumiza sana
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 3 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiun
@JaphetNalaa
@JaphetNalaa 3 ай бұрын
Tatizo wanamkwamisha mbunge Gambo.
@roseafrael75
@roseafrael75 3 ай бұрын
Huyu mbunge nae ni bure tuu hana lolote analolifanya kazi haiwezi.
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 3 ай бұрын
Kafanyaje?
@robytechnicalservise
@robytechnicalservise 3 ай бұрын
Poleni sana wafiwaa R.I.P all
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 3 ай бұрын
Huyu dereva msenge sana akapimwe akili kwnz pengn msenge na ANAFIRANA hasa huyu
@rahmakhamis5972
@rahmakhamis5972 3 ай бұрын
Poleni wazazi mungu atwapa subra
@user-yg8yo3ul8h
@user-yg8yo3ul8h 3 ай бұрын
Ivi tanesko walizuia kwanini jaman serikali si moja jamani ila huyu dereva mungu atamlani maisha yake yote na hata hiyo tanesko ingejengwa dalaja pia maafa yasingetokea labda
@user-wc5ho2ln6o
@user-wc5ho2ln6o 3 ай бұрын
Ninjia ambazo Tanesco wanapita kupitisha nguzo zao watu wakatimia kama njia tu. Hapo serikali ingetafuta barabara si njia ya Tanesco, Serikali ifanye mpango wa barabara zake.
@user-we3or9ol4o
@user-we3or9ol4o 3 ай бұрын
NA HUYO MTU MZIMA MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI, KWANI ALIKUWA ANAJARIBU KUOKOA BAHATI MBAYA NA YEYE KAFARIKI,, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
@upendondelwa7510
@upendondelwa7510 3 ай бұрын
Inaumiza janani daaah😢😢
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 3 ай бұрын
Poleni jamani MUNGU AWAINUE
@fatimahants1526
@fatimahants1526 3 ай бұрын
Innalilah wainna illah rajioon, allah awape subra waliopoteza wapenda wao
@Ali-uh9wb
@Ali-uh9wb 3 ай бұрын
@fatimahants1526allah awpe subra wafiwa
@GraceMakenga-zd1vn
@GraceMakenga-zd1vn 3 ай бұрын
Sasa walizuia kujegwa kwa daraj ili iweje???
@Rich-wo
@Rich-wo 3 ай бұрын
Pls Lord 😢
@masikimhina158
@masikimhina158 3 ай бұрын
Inna lillah wainnailaihi rajiuna 😭🙏
@Jajamte
@Jajamte 3 ай бұрын
😢😢😢
@janethzacharia7967
@janethzacharia7967 3 ай бұрын
😢😢😢😢 mungu wangu
@victoriajoachim7271
@victoriajoachim7271 3 ай бұрын
Huyo tapeli mwizi gambo anajisogeza ili akale rambirambi tena kama zile za lucky vicent mwizi mkubwa huyo pumbavu zake hata haya hana. Jambazi sugu huyo hana lolote tapeli huyo.
@FatumaKishasha-ph6ii
@FatumaKishasha-ph6ii 3 ай бұрын
Innailaih wainna illaih rajuun
@ReynaMrema-qy3fw
@ReynaMrema-qy3fw 3 ай бұрын
RIP ANGELS🥺🥺🥺🙏🏻🙏🏻
@halimamremi5375
@halimamremi5375 3 ай бұрын
DAAA POLENI SAANA JAMANI INAUMAA SAANA MUNGU AWAPE NGUVU WAZAZI WOTE MLIOFIWA NA WATOTO HUYO DEREVA AKAFUNGWE JELA SABABU NI MJEURI KABISA HUYOO
@user-up2ix5vq1o
@user-up2ix5vq1o 3 ай бұрын
😢😢
@YasryBilali-il9ws
@YasryBilali-il9ws 3 ай бұрын
Jamani nilikuepo dampo jamani polen familiyaa
@RamadhanSongwe
@RamadhanSongwe 3 ай бұрын
😭😭mungu awalaze mahalipem pep0ni
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 ай бұрын
Tanescoe,jeuri kawaida yao n wa unguu MTU, Daraja inahusiana,na umeme,,c nyumba, jamaaa, Halafu,maendeo gani ngaramtoni, kisongo,mbauda+kwa moromboo, Sinon watu wanasombwa,na maji,
@edenelias1830
@edenelias1830 3 ай бұрын
😢😭😭
@davidlinus6940
@davidlinus6940 3 ай бұрын
Naumia mm r.i.p watoto tanzania
@salumchema5098
@salumchema5098 3 ай бұрын
Kwaninimsijenge.dalaja.hadi.maafayatokee.maanaya.ubunge.kutetea.watu
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 ай бұрын
😢😢😢😢
@jamilally3916
@jamilally3916 3 ай бұрын
polen sn familia😭😭😭
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@Juma-om7ho
@Juma-om7ho 3 ай бұрын
TATIZ KUBWA HAPO NI DARAJA
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 3 ай бұрын
Wajenge madaraja sio mbaka yauwe ndio viongozi wakumbuke huo ni uzembe madaraja Toka hukoron mbaka Leo mnashindwa kubadrisha msimpe rawama dereva uzembe ni viongozi mnajari mijin tu mnapopita nyie ndio mnatengeneza balabala
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 3 ай бұрын
Ila Dereva....... 😢😢😢😢
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 82 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
BREAKING: ALLY KAMWE ATANGAZA KUJIUZULU YANGA SC
2:01
Millard Ayo
Рет қаралды 5 М.
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 67 МЛН