Polen sana wanaarusha, mungu ailaze roho zao pema peponi Amina,
@nyemowanyotanjemaudm43603 ай бұрын
Polen Sana wazazi.wa Hawa watoto wazuli amakwel bwana alitoa bwana ametwah😢😢😢
@VERONICALAIZER-vt3ui3 ай бұрын
Jamani huyo mtu alikua anaokoa naye amefariki??😭😭😭Mungu awalaze pema peponi
@azzaalhabsi15053 ай бұрын
Poleni sana wazazi ndugu na familia wote mlio ondokewa na watoto.mungu awape subira. Pia azilaze roho za watoto mahali pema peponi.
@shyfettymtunda46193 ай бұрын
Mungu akawe faraja kwa wazazi waliopoteza watoto wao.😢Kufiwa na mtoto inauma sikia tu kwa mtu. Innalillah wainna ilayh rajiun 😭😭
@edinakyaruzi92263 ай бұрын
Kweli kabisa
@joycekalago5323 ай бұрын
Poleni sana na madaraja yajengwe ya viwango vizuri jaman daraja lenyewe hilo kama chaga ya kitanda madaraja yawekewe kingo imara😢😢
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
Kweli 😢😢😢😢😢😢
@roselinasandi65093 ай бұрын
Poleni sana wafiwa Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@user-pe9hv3hx3c3 ай бұрын
Poleni wazazi wenzangu munguawatie nguvu sana
@aminatanzanya74753 ай бұрын
Dahh pole kwa wazazi na Familia kiujumla. Mungu awalze mahal pema pepon Amina 🙏
@user-jh4hg2ev9s3 ай бұрын
Thank you Gambo mbunge wetu mleta maendeleo.
@callicevallice73833 ай бұрын
Arusha walipata Mbunge mzuri sana, Gambo anajua sana kujenga hoja basi tu kapata jimbo limejaa watu wabishi na wakwamishaji
@joycekalago5323 ай бұрын
Halafu bado kijana watamzeesha tu na la maana hamna😂
@nassorowaziri30763 ай бұрын
Pole Sana Kwa Familia zote na Mungu wangu awatangulie
@ZulayfaSalum-ws2rj3 ай бұрын
😢😢 mungu awalaze mahali pema peponi 😭😭
@adelinelyaruu30363 ай бұрын
Amen❤❤❤
@Mamatonny20653 ай бұрын
Pole sana kwa msiba huu.Mwenyezi Mungu awaweke roho za marehemu mahali pema peponi.😭🙏
@winifridanyenza45853 ай бұрын
Mungu Linda watoto wetu ni maumivu sanaaa
@user-ex9sd8wm4l3 ай бұрын
Poleni sana wana arusha kwa ujumla
@maryobedi68073 ай бұрын
Inauma saana, dah poleni saana wazazi Mungu awafariji
@Markomnkondya3 ай бұрын
Polen wenzetu mungu awatie nguvu na janga hilo
@mlangiralameck91583 ай бұрын
Poleni sana kwa familia, mwenyezi mungu awajalie pumziko la amani , milele daima.
@williamunjiku67423 ай бұрын
Ila Viongozi Watanzania wanazingua sana, mpaka litokee janga ndo hua wanafikiria kufanya vitu walivyotakiwa kuvifanya kabla. Manyoni ilivyotokea ajali ya basi na treni ndo wakaweka kizuizi, sahv ndo wanawaza kujenga kivuko.....too late. Mpaka litokee janga ndo tunakumbuka kufanya maamuzi😢😢....real!!!😮 Pole kwa familia na ndugu zetu wa Arusha.
@mtolela123 ай бұрын
Tengenezeni miundo.mbinu Arusha siasa za maji taka acheni,,,kila siku mnajenga hoja mpaka wafe watu wangapi mnaboa sana
@mtewelemtewele02603 ай бұрын
Polen sanaaaa familia zoote kuondokew na watoto wenu
@hpenyika76863 ай бұрын
Poleni sana Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu
@lucykiwelu44513 ай бұрын
Poleni Sana wafiwa
@gladistaemanueliy63363 ай бұрын
Familia poleni, mbunge Asante kwa taarifa
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Arusha mbona vifo vya wanafunzi vinatokea mara kwa mara? Jamani wazazi mjiulize . Mara nyingi ni Arusha tu kwa nini? Hizo shule zina nini?
@adkajisi45363 ай бұрын
Kweli kabisa isije ikawa kafara
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Kwa kweli Arusha hapana Inaumiza sana
@user-nb2jw4km6f3 ай бұрын
Mungu awemfariji wao wazazi wa watoto waliopoteza maisha
@kaka_e_athletes3 ай бұрын
Dah pole sana kwa hizi familia 😢
@fatmafatu11283 ай бұрын
Pole sana wafiwa
@alexvenas26993 ай бұрын
Poleni sana wazazi na Wana Arusha kwa hayo yote,lakini pia hongera sana Mbunge mrisho gambo kwa kuwa beneti na wananchi tangu mwanzo mpaka Sasa Bado uko pamoja nao huo ndio uongozi na tunahitaji wabunge kama wewe na si wabunge wanaakaa mjini hawako kwenye majimbo Yao.
@callicevallice73833 ай бұрын
Sasa yeye jimbo lake si liko mjini.?? Ulitaka awe wapi zaidi ya hapo..?
@agneslaurent97023 ай бұрын
Mungu tulindie watoto wetu poleni sana wazazi
@prezderdesulley28653 ай бұрын
Poleni sana wazazi jamani inauma sanaaa mtoto kumuacha mzazi Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi
@lightouma4773 ай бұрын
Poleni sana wafiwa na watu wa Arusha kwa ujumla
@lucypatrick78303 ай бұрын
Mmmh nimeumia sana, mpaka nikawaza kwa nn idd isingeangukia alhamis na ijumaa huenda wasingekufa watoto wazuri, mzazi umemuandaa mwanao dk chache wapokea habar za huzuni, aaah 😭😭😭😭, Mungu awatie nguvu wazazi jaman uwiiiii
@husseinmaingo50093 ай бұрын
Kwan kulikuwa kuna sababu gan ya msingi ya kufungua shule jumatatu baada ya pasaka wakat Jumatano ni Edd wakafungua shule jumatatu ijayo baada sikuku zote kupita!! Vitu vingine ni ujinga tu
@adkajisi45363 ай бұрын
@@husseinmaingo5009 hiyo point kabisaa
@user-qh2bx5em6j3 ай бұрын
Mungu tunaomba uwape haqa wazazi faraja😭
@babraathumani59233 ай бұрын
poleni sana wazazi Mungu awatie nguvu
@mariamumusa41163 ай бұрын
Kiukweli mweshimiwa Allah atakulipa nakuombea mungu aendelee kukupa moyo huo huo
@fatmafatu11283 ай бұрын
Nyie mnaojiita selikali mnasubili maafa yatokee ndio mje mtatue
Poleni sana Arusha ni maumivu makali sana kuondokewa na mtoto 😢
@AnnaSanga-bs7pl3 ай бұрын
Poleni sana sana
@annathomas-wy8yt3 ай бұрын
Inauma sana jamani,poleni sana wafiwa,Mungu akawe faraja yenu.
@KamwandaNzowa-eo4ur3 ай бұрын
Wewe Mbunge unakiri kuwa hii changamoto unasema ni ya mda mlefu huoni kuwa hilo ni kosa?
@Namtumbo3 ай бұрын
Sasa anasemaje Bora kaongeza ukweli madereva wanamsubiri sana.Tenesco
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
Hujaskia kuwa amepambana tanssco wanasema haliwezi kujengwa kwakuwa kuna umeme sijui
@linnetmbotto72123 ай бұрын
Mungu awatie moyo wazazi na walezi, kwa kupotelewa na watoto wenu
@joscamwoshezi29863 ай бұрын
Poleni sana wazazi kwa hili pigo linaumiza sana
@upendosanga92053 ай бұрын
Acha nilie 2 sina chakuandika inauma inauma
@verombwambo37033 ай бұрын
Poleni sana wazazi Mungu pekee ndio awafariji
@mariaparadiso29973 ай бұрын
Poleni sana wazazi Mungu akawe mfariji mkuu katika wakati huu mgumu, mpumzike kwa amani watoto wetu😢😢😢
@Ali-uh9wb3 ай бұрын
@mariaparadiso2997Mungu awalaze kwa amani
@user-uj5wg9mm2t3 ай бұрын
Naumia sanaa km mzaz😢😢
@fifo2623 ай бұрын
Kazi ya mungu haina makosa , ila dereva nae mzembe
@adammbuba72303 ай бұрын
Poleni sana
@user-oc5lb8lk4y3 ай бұрын
Poleni sana wazazi
@atoshamkingule72583 ай бұрын
Mungu awapumzishe mahala pema peponi watoto, too sad jmn
@user-ex9sd8wm4l3 ай бұрын
Inalillah wainaillah rajighuun
@JoalAlma-ci1hi3 ай бұрын
Mungu awape faraja wazazi kwenye kipindi hiki kigumu saaa
@gracemkoba32563 ай бұрын
Poleni Sana inaumiza sana
@paterinishayo-ef4sx3 ай бұрын
Polen Sana wazaz na familia kwa ujumla
@sund25533 ай бұрын
Ifike mda wananchi kwenye vyombo vya usafiri tukion hatari yyte kam mnamwambia dereva kitu hasikii tuanze kutembea na fimbo tuwachape hakiiiii😢😢mtu unawaza hiko kidaraj mtu analazimish kupita na mvua hiz kweli 😢😢😢
@AntoniFrenki3 ай бұрын
Poleni Sana wananchi
@itanzaniaAS3 ай бұрын
Poleni sanaaa wazazi😢😢
@MonicaMussa-gy6nb3 ай бұрын
Jamn jamn jamn daaa mbna haya maumivu makali
@JacklineKivuyo3 ай бұрын
😢😢inauma sanaa jamani
@JeniLembris3 ай бұрын
😢😢😢😢r.i.p watoto wetu
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Polen Sana wafiwa na watt mpunzike kwa aman 🙏😭
@remidusmwanandenje-yy5gs3 ай бұрын
😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪 mungu ni mwema nyakati zote🙏🙏😪😪😪
@naimatemba80613 ай бұрын
Uuwi jamani mbona madereva hawasikii jamani
@denisimaliyaweni91833 ай бұрын
Aiseeee inaumiza sana
@ngulathfundikira42053 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiun
@JaphetNalaa3 ай бұрын
Tatizo wanamkwamisha mbunge Gambo.
@roseafrael753 ай бұрын
Huyu mbunge nae ni bure tuu hana lolote analolifanya kazi haiwezi.
@teddygabriel56623 ай бұрын
Kafanyaje?
@robytechnicalservise3 ай бұрын
Poleni sana wafiwaa R.I.P all
@hamidmweusiii353 ай бұрын
Huyu dereva msenge sana akapimwe akili kwnz pengn msenge na ANAFIRANA hasa huyu
@rahmakhamis59723 ай бұрын
Poleni wazazi mungu atwapa subra
@user-yg8yo3ul8h3 ай бұрын
Ivi tanesko walizuia kwanini jaman serikali si moja jamani ila huyu dereva mungu atamlani maisha yake yote na hata hiyo tanesko ingejengwa dalaja pia maafa yasingetokea labda
@user-wc5ho2ln6o3 ай бұрын
Ninjia ambazo Tanesco wanapita kupitisha nguzo zao watu wakatimia kama njia tu. Hapo serikali ingetafuta barabara si njia ya Tanesco, Serikali ifanye mpango wa barabara zake.
@user-we3or9ol4o3 ай бұрын
NA HUYO MTU MZIMA MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI, KWANI ALIKUWA ANAJARIBU KUOKOA BAHATI MBAYA NA YEYE KAFARIKI,, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
@upendondelwa75103 ай бұрын
Inaumiza janani daaah😢😢
@LucyKapinga-fg4dk3 ай бұрын
Poleni jamani MUNGU AWAINUE
@fatimahants15263 ай бұрын
Innalilah wainna illah rajioon, allah awape subra waliopoteza wapenda wao
@Ali-uh9wb3 ай бұрын
@fatimahants1526allah awpe subra wafiwa
@GraceMakenga-zd1vn3 ай бұрын
Sasa walizuia kujegwa kwa daraj ili iweje???
@Rich-wo3 ай бұрын
Pls Lord 😢
@masikimhina1583 ай бұрын
Inna lillah wainnailaihi rajiuna 😭🙏
@Jajamte3 ай бұрын
😢😢😢
@janethzacharia79673 ай бұрын
😢😢😢😢 mungu wangu
@victoriajoachim72713 ай бұрын
Huyo tapeli mwizi gambo anajisogeza ili akale rambirambi tena kama zile za lucky vicent mwizi mkubwa huyo pumbavu zake hata haya hana. Jambazi sugu huyo hana lolote tapeli huyo.
@FatumaKishasha-ph6ii3 ай бұрын
Innailaih wainna illaih rajuun
@ReynaMrema-qy3fw3 ай бұрын
RIP ANGELS🥺🥺🥺🙏🏻🙏🏻
@halimamremi53753 ай бұрын
DAAA POLENI SAANA JAMANI INAUMAA SAANA MUNGU AWAPE NGUVU WAZAZI WOTE MLIOFIWA NA WATOTO HUYO DEREVA AKAFUNGWE JELA SABABU NI MJEURI KABISA HUYOO
@user-up2ix5vq1o3 ай бұрын
😢😢
@YasryBilali-il9ws3 ай бұрын
Jamani nilikuepo dampo jamani polen familiyaa
@RamadhanSongwe3 ай бұрын
😭😭mungu awalaze mahalipem pep0ni
@HamisMghuna-fj3vz3 ай бұрын
Tanescoe,jeuri kawaida yao n wa unguu MTU, Daraja inahusiana,na umeme,,c nyumba, jamaaa, Halafu,maendeo gani ngaramtoni, kisongo,mbauda+kwa moromboo, Sinon watu wanasombwa,na maji,
Wajenge madaraja sio mbaka yauwe ndio viongozi wakumbuke huo ni uzembe madaraja Toka hukoron mbaka Leo mnashindwa kubadrisha msimpe rawama dereva uzembe ni viongozi mnajari mijin tu mnapopita nyie ndio mnatengeneza balabala