Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 41
@KelvinJoseph-ix9wd2 күн бұрын
Wote mnaosema 50 cent n hamjui kuhusu swala la brand... 50 cent n mfanyabiashar mkubwa knomah na Ana fan base kubwa marekan huku bongo si mnajua nyimbo ya like tu hamjui mziki wa rap unaingiza hela huko mambele ... Na Yuko sahihi kabsa kumshtak
@alibinali_2 күн бұрын
50 cent is a businessman ataki mchezo
@FranckDaniel-cc5rg2 күн бұрын
50 cent Ana tamaa tu mshenz
@shaibukhamis8632 күн бұрын
Hiz pesa ndog 2 kwa sonar lakin ni huy msanii anaa vibe lakin natamani siku moja nyinyi waandishi muje kwenye comenti tunazo comenti muwe japo munatka like maan watu maaru huw wanawajibu mashabiki zao na nyinyi mufikirie hilo swal tujuw kwel munasoma hiz coment zetu 😅
@AloycceSospeter2 күн бұрын
Ila huyu Jamaa anaye jiita @AFRICA kwanini comment zake huwa zinazuwaga gumzo :et enzi za uhai wake:😂😂
@AFRICA_D6692 күн бұрын
Mimi au 😷
@PlatnamMogo2 күн бұрын
50 cent siku hizi sijui amekuaje na hata ngoma zake niliacha kuziskliza.
@asukulubashilwango19072 күн бұрын
Tupostiye abari ya Grammy mwamba katuwakilisha Uko na wakina mwijaku kuzarau comasava.
@hamisaally968Күн бұрын
Ameandika mda tu angalia posti zilizopita
@benjo_brighterКүн бұрын
Jamaa kakutanishwa na kausha damu 😳🤔 Ila 50 Cent 🤣🤣🤣🙌
@vibetz99912 күн бұрын
Not fair
@YED-B2 күн бұрын
😂😂😂 Imma need my money by Monday 😅
@KesslyTravelZanzibarКүн бұрын
Amaesha mpa umarufu sana
@lisawilliam24912 күн бұрын
hatariiiii
@hitngwasutv9712 күн бұрын
Sasa ubayawake niupi sasa 😅😅😅awawasani wa usa minaona wemeshakuwa kama hamorapa wabongotu hawanajipyatena
@mburatech84022 күн бұрын
Biashara hio Kafanya Tangazo kupitia Jina lake
@mwalitv4555Күн бұрын
Atalipa tuu huyu sonara ni tajiri pia....
@sharifabahar99052 күн бұрын
Huyu jamaa ni mwijaku wa marekani
@alibinali_2 күн бұрын
Ata hujielewi unacho kiongea 😂😂😂😂😂
@sharifabahar99052 күн бұрын
@@alibinali_ ukijielewa ww inatosha mke wa p Diddy
Hujui ulisemalo ndo shida ya wabongo hamjui brand za watu
@mtulivu-ir1nq2 күн бұрын
Uyo 50 sijui hata likoje😂😂
@ip_header2 күн бұрын
Kila mtu anaangalia maokoto😂, ngoja tuone lkn kama ndio kesi kwa maneno hayo tu, hapo kushunda ni ngumu.
@AFRICA_D6692 күн бұрын
Pesa ningumu sana kuipata
@timetravellor53672 күн бұрын
Uyo 50cent inaonekana njaa inamsumbua
@hitngwasutv9712 күн бұрын
Njatu ndo zinawasumbuwatu
@shubebunyesi5422 күн бұрын
😂😂we bwege kweli njaa kwa 50 h😂😂😂 chukua ukowako wa kikeni na kiumeni changanyesi utajiri wenu yaani ata robo amuingii kwa 50 ni kosa kisheria kumwita mtu ananjaa wakati ata punje amumpati 😂😂