Mwijaku nakupenda kwa kua muwazi..hila nakushauri na zingatia hili..naomba uanze upya uko na mambo mapya bila kumkwaza alikiba..alikiba ni mtu na nusu ana baya ishi umo tena anakupenda toka moyoni kama hamo jeshi ana baya na wewe kabisa..hata leo tena waheshim sana sana ndiko uliko toka nakuomba sana sana...kuna maisha baada ya hayo yote..uwo ndio ushauri wangu kijana wangu..nakutakia maisha mema uko heshim kila mtu usionekane wewe zaidi..ila kubari kushauliwa na kueshim ushauri ña mungu akubaliki sana.
@user-cp9cq4cy4d2 ай бұрын
Kiba bhana anaongea kama utani vile kumbe ndokaongea