ALIKIBA: NIMEJIFUNZA ROHO MBAYA, NDOTO YA KUMILIKI MEDIA,CLOUDS NI NYUMBANI, DIDDY SIJAKUTANA NAE

  Рет қаралды 30,654

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Mfalme @officialalikiba ame-share na sisi feelings za kuwa Mmiliki wa Media, akitujuza kuwa haikuwa safari ya muda mfupi, ikianza kama ndoto na sasa anaishi ndani ya ndoto hiyo! • #XXLyaCloudsFM
King @officialalikiba anadai hana mpango wa kukutana tena na msanii wa Marekani kutokana na story hizi anazozisikia zinazoendelea kuhusu Diddy! 😂 • #XXLyaCloudsFM
@officialalikiba anakiri kuwa moja kati ya vitu ambavyo vimemfelisha kwenye maisha ni kuamini watu! Kitu ambacho amejifunza na matokeo yake anayaona kwa engo chanya ni kuwa na roho mbaya! 🤔 • #XXLyaCloudsFM

Пікірлер: 127
@mrsinia3064
@mrsinia3064 Күн бұрын
Kingkiba unashine sana aisee! 🎉🎉🎉🎉
@HagaBoy127
@HagaBoy127 Күн бұрын
namkubali sana king kiba
@OkoaAfrika
@OkoaAfrika Күн бұрын
Nakubali sana kiba unatumia akili sana
@westonyjob1747
@westonyjob1747 Күн бұрын
King
@BarakaMugisha-g2m
@BarakaMugisha-g2m Күн бұрын
King 🤴
@NemesMasawe
@NemesMasawe Күн бұрын
King kibaa true boy
@DaudomataAmade
@DaudomataAmade Күн бұрын
Nakukubali😮😮😮
@superwhitetz3258
@superwhitetz3258 Күн бұрын
King 👑
@omarathuman5813
@omarathuman5813 Күн бұрын
Nimependa apo Wameenda mbele yetu😅😅😅
@michaelcretus1490
@michaelcretus1490 Күн бұрын
🔥🔥🔥🎧🎶
@ghaniaabdalla2189
@ghaniaabdalla2189 Күн бұрын
He is real
@mdbosco1640
@mdbosco1640 Күн бұрын
@AllyMeshack
@AllyMeshack Күн бұрын
Kibaka ❤❤
@barakamgindo
@barakamgindo Күн бұрын
First one🎉
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 18 сағат бұрын
Ndugu yangu nakuusia pamoja na kutanguliza kwanza kuiusia nafsi yangu juu ya suala zima la kumcha na kumuogopa Allah kariim mola wetu mlezi mola wetu kipenzi
@HussainMaula-f9b
@HussainMaula-f9b 8 сағат бұрын
Jambo zuri sana nna imani amekusikia
@AishaNgoyi-vi2ku
@AishaNgoyi-vi2ku Күн бұрын
❤🎉❤🎉❤🎉
@michaelmisana650
@michaelmisana650 Күн бұрын
Alikiba masta
@RamadhaniMkwama
@RamadhaniMkwama Күн бұрын
Kiba
@jacksonAlmasi-d2k
@jacksonAlmasi-d2k Күн бұрын
Nomaaaaa
@YogweMwakulola
@YogweMwakulola Күн бұрын
😆😆😆😆😆King haeni kwa Diddy kabsaa
@BarakaMugisha-g2m
@BarakaMugisha-g2m Күн бұрын
Nini😂😂
@barakasandey1980
@barakasandey1980 18 сағат бұрын
Huyu nae r kely kamuacha kweli?😂😂
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 12 сағат бұрын
​@@barakasandey1980r Kelly Hana skendo za kula masela, Didi ndio Mzee wa kudidi
@stern_boi
@stern_boi Күн бұрын
rapper mkali ajae ni mimi plzz🙏🏾 ni follow kama utaki hama Tz🇹🇿
@Chui_lama_chui
@Chui_lama_chui Күн бұрын
piga maombi sana 😂
@cheyemedia9303
@cheyemedia9303 Күн бұрын
Daaah mwamba kaza sana unamiaka 6 lakn eeeeee😂
@nassirsalim6679
@nassirsalim6679 Күн бұрын
😂😂😂
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Күн бұрын
Muziki ni pesa Sasa hivi haijarishi unapiga muziki wa aina gani ...
@jumakibwana1810
@jumakibwana1810 16 сағат бұрын
So wewe unazo hizo pesa ama wewe pia ni chakula cha Diddy😅😅😅
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 8 сағат бұрын
@@jumakibwana1810 mkundu wa mama Ako wee Kwan Mimi mpiga mziki kenge wee tafuta pesa ya kula ona ulivyo pauka mbwa
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx Күн бұрын
Sudi acha usenge babu sisi tunaskiliza vitu vya maana
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 Күн бұрын
Hiyo bongo flava mpige mpaka mufe hautafika popote coz bongo flava ni copy ya muziki wa afro na bolingo ndani yake
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 Күн бұрын
Sasa wamekwambia wanataka kufika popote liziki ya mwenzio uwezi ilalia mlango wazi pambania maisha yako acha kiele ele mkuuu au wendo moja ya wake wa p didy
@SifranLove
@SifranLove Күн бұрын
Nyinyi mnaofika mbali tumeshawajua kumbe mnaendaga kwa Diddy, sisi mtuache na bongo yetu nyinyi wa Diddy endeleeni😊
@Chida
@Chida Күн бұрын
Mkataa chake ni mtumwa basi kaa ukijua ww ni mtumwa
@georgeaggrey425
@georgeaggrey425 Күн бұрын
Huyo aliefika mbari ni nani au ndio yupo kwa bby oil
@KamanaMangolwa-xe8de
@KamanaMangolwa-xe8de Күн бұрын
Msani wako daimond ni demu wa diddy😂😂😂😂😂
@JovinPeter
@JovinPeter Күн бұрын
King
@NemesMasawe
@NemesMasawe Күн бұрын
Katikaaa interview za alikibaaa naonaaa hiii amejibuuu kiutuzimaaa sanaaaa
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 18 сағат бұрын
Simaanishi wavae hijaab au niqaab au jalaabiib hapana wavae mavazi ya heshima hats kama ni skirt basi skirt iwe ndefu pana au gauni pana refu lakini sio wavae mavazi ya nusu uchi au wawe uchi kabisa
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Күн бұрын
*chuma kama mwamba baba yao hujawahi imba ujinga kaka mimi ni mtoto wa 1877*
@gansolizo
@gansolizo 21 сағат бұрын
Naipendaaaaaa sana iyiiiii Huwezi Jitekenya mwenyewe alafu ukachekaaaaaa😂😂😂 KIBABAAAAAAA Niko CONGO UVIRAAA Mimi Mdogo wako niliye kupokea ulivyo kuja congo uvira iyiiiii umeongea kama yote Mzaziiiii😂❤❤ OWA utukuze cheooo Babaaa😂😂😂😂
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 18 сағат бұрын
Ndugu yangu kipenzi katika iiman alikiba nakuusia na nakuomba kwa hisani ya moyo wako na hisani ya imaan yako usiimbe au usifanye colabo na wanawake au wasichana au mabinti wakiwa wamevaa nusu uchi au wakiwa uchi hats kama utapata pesa nyingi kiasi gani
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 18 сағат бұрын
Mpaka wavae mavazi ya heshima
@officialseif6422
@officialseif6422 Күн бұрын
King kiba majibu yamenyooka sana kwenye hii interview ✌️✌️
@ankalmzito254
@ankalmzito254 19 сағат бұрын
nilidhani Alikiba kwa kua anamiliki Media yake ndio basi tena kuonekana huku....
@MariootzViewskhoursago
@MariootzViewskhoursago 14 сағат бұрын
King m mmoja
@fisosaint
@fisosaint 12 сағат бұрын
Ali Salehe Crown
@gansolizo
@gansolizo 21 сағат бұрын
Namuita mimii kiba kibabaaa❤
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 18 сағат бұрын
😂😂😂 Maisha Bhana yaninipaga Raha sana Nakumbuka kipindi Cha Mwanzo wa Aso zangu Kuna Mtu alinambiaga kwakiburi hicho Hautafika Mbali Sasa Chakushangaza Yeye asie nakiburi Namimi mwenye Kiburi wato Hatujafika Mabali kwaiyo tukiangaliana tunabakua😂😂😂 Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Africa Mungu Bariki Kazi Zetu amin
@SafichrispinDalla
@SafichrispinDalla 16 сағат бұрын
Yeee baba
@glassamo3847
@glassamo3847 Күн бұрын
Sawa
@BahatiPascal-t6i
@BahatiPascal-t6i 21 сағат бұрын
😂😅hamuja fikiya Congo kwanza. Muache kujitiya ku Nigeria
@narcesphilip
@narcesphilip 9 сағат бұрын
Aagh fanya mziki wewe acha kuwataka wengine waonekane wabaya kama video zako mbayaa usilete maneno janja janjaa invest pesaa kijana video ujui ata kuvaa unataka kushindana na watu aata jaymelody tu anakushinda quality ya video
@bonfacebonafide012
@bonfacebonafide012 14 сағат бұрын
KING 👑🙌
@YusuphSomo
@YusuphSomo Күн бұрын
Saf
@MussaMalunguja
@MussaMalunguja Күн бұрын
Yeeeh baba
@badmeetsevil7643
@badmeetsevil7643 22 сағат бұрын
King ni moja wale wengine wambieni waende kwa P DIDDY 😂😂😂😂😂
@khadija5761
@khadija5761 15 сағат бұрын
Nampenda sana sana huyu kaka anajuwa kuimbaa na aheshima nzur
@officialyasum5390
@officialyasum5390 15 сағат бұрын
alikiba hajui kufany interview, hajui kujib maswali, anaulizw hich anatoa maelekez mengin aaakh, cjui hamn mtu wakumwambia
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 14 сағат бұрын
Mafate ukamwambie wewe boss unaushauli mzuri maana walomzunguka Awana Akiri wewe unazo
@Asha-v8c
@Asha-v8c 14 сағат бұрын
Sawa
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 4 сағат бұрын
Duuuuuuuuh haya ndio yanakuwaga machaw uzeen
@swalharajab8365
@swalharajab8365 18 сағат бұрын
King anazeek na u handsome wake😍😍😍😍
@martinmuthoka7930
@martinmuthoka7930 12 сағат бұрын
chungeni huyu,didy kaua simba
@barakasandey1980
@barakasandey1980 18 сағат бұрын
Huyu nae r kelly ajapita nae kwelii?
@KudraEliasa
@KudraEliasa Күн бұрын
Nic san king
@SifranLove
@SifranLove Күн бұрын
Nachompendes kiba sio muoga kasema kama jay melody kamfunika ni viziri wala hakutaka kuvimba kwake ni kawaida na anapenda wanaoimba sio wengine waoga kisa kifunikwa
@khadija5761
@khadija5761 15 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉maua yako king kibaaa🎉🎉
@RamadhanWanga-t1q
@RamadhanWanga-t1q 3 сағат бұрын
Much love from +974
@allyjumaally8353
@allyjumaally8353 Күн бұрын
Inatakiwa uwe ubaya ubwela 😢
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 14 сағат бұрын
Kingkiba salute
@jeremiahevodius925
@jeremiahevodius925 Күн бұрын
Mbona ninyi hamsapotiani
@HarunaFundii-lw1zr
@HarunaFundii-lw1zr Күн бұрын
King uchape mwingi
@khalifamotocar1862
@khalifamotocar1862 Күн бұрын
Nakubali sana King
@Ara-MozDaddyFina-sp6we
@Ara-MozDaddyFina-sp6we 4 сағат бұрын
Alikiba is alright
@SamwelKebo
@SamwelKebo 9 сағат бұрын
Tamu sana
@stenobway3602
@stenobway3602 Күн бұрын
King is really for all time
@mtotowasophy4212
@mtotowasophy4212 Күн бұрын
King of good music🙌🏾
@AsteriaMontgomery
@AsteriaMontgomery 22 сағат бұрын
Upo juu
@VictorGosbert
@VictorGosbert 17 сағат бұрын
Big time Shekhe
@KanikiIvanChris-w7j
@KanikiIvanChris-w7j Күн бұрын
King kiba 🥰
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 23 сағат бұрын
King kiba
@swabilimohamedi4630
@swabilimohamedi4630 Күн бұрын
Ata alingi😅😅
@humbleshoal
@humbleshoal Күн бұрын
Afu kuna watu wanasema anadharau
@FloraKikoti-d1m
@FloraKikoti-d1m 39 минут бұрын
🎉🎉🎉
@Mbaley
@Mbaley Күн бұрын
Nice one
@kingsmusicfans1416
@kingsmusicfans1416 Күн бұрын
King🔥🔥
@AswilaChacha
@AswilaChacha 10 сағат бұрын
🎉🎉🎉
@dottombilinyi5979
@dottombilinyi5979 Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JumaNkungu
@JumaNkungu Күн бұрын
❤❤❤❤
@malkavoice2570
@malkavoice2570 23 сағат бұрын
Ukimkataa Didy je R Kelly alikuachaje ikiwa yeye ndio mapema kabisa kala nondo?
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 11 сағат бұрын
Wewe pambana na hali yako, Did kashamfanya Mond kubalini tuh
@MohdOmar-w4r
@MohdOmar-w4r 53 минут бұрын
R Kelly kesi yake ni kutafuna under 18 young girls nasio kuwala wenzie kama Diddy
@GeorgeEdward-e1e
@GeorgeEdward-e1e Күн бұрын
Tunaomba alikiba afundishwe kuvaa asee kma ni gym sahv anaenda ajitahd bx kuvaa kma msanii bhna duuh
@humbleshoal
@humbleshoal Күн бұрын
Mbona yupo poa tu, au cjakuelewa avaaje labda
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 Күн бұрын
Kwani wasani wanavaa vp et
@humbleshoal
@humbleshoal Күн бұрын
@@Sampovoice8088 Unataka avae hereni labda, mi nampenda yupo simple
@AngelmackieCharity
@AngelmackieCharity Күн бұрын
Avae bikin aende kwa diddy au😢
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 14 сағат бұрын
Kwani kavaa uchi 🤣🤣🤣 ila mond ndoanajua kuvaa achakufata mkumbo kila mtu ana life style yake
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
The day of the sea 😂 #shorts by Leisi Crazy
00:22
Leisi Crazy
Рет қаралды 1,5 МЛН
JUA KALI LEO ALHAMISI 26-9-2024 | FULL VIDEO HD
22:54
Mr. Zahir
Рет қаралды 5 М.
The Spirit of Father - Day 3
1:51:56
Radiant Life Ministries
Рет қаралды 503
CMD - Command Prompt Training for IT Professionals (Full Course)
3:18:32
Jobskillshare Skills-Based Platform
Рет қаралды 1,3 МЛН
The Open Forum Episode 58
3:48:17
EFDawah
Рет қаралды 79 М.
PLAN B _ Episode 18
40:31
kp wa Aquino
Рет қаралды 22 М.
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17