DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA

  Рет қаралды 58,683

Crown Media

Crown Media

13 күн бұрын

Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 175
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 12 күн бұрын
Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 10 күн бұрын
sasa wewe kwa akili zako unazani hii media ya kiba 😆😆,,yani kikeke ndo mwenye media then kiba ni brand tu katumia yani ni kama unavyoona wasafi ni ya kusaga alafu diamond ni brand ametumia ,,
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 10 күн бұрын
@@fredmbossa-kc3qn sasa wewe kwaakili zako. Unajua nini acha ujuaji
@allykwaya
@allykwaya 9 күн бұрын
​@@fredmbossa-kc3qn Hujui kitu kuhusu kampuni, ndo maana unasema hivyo
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 8 күн бұрын
@@allykwaya hongera kwa wewe unaejua
@gloryjohn4531
@gloryjohn4531 4 күн бұрын
Haswaa huyu baba apewe maua yake
@SuleimanJembe-qj9nd
@SuleimanJembe-qj9nd 11 күн бұрын
Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima
@rahmatsumo3274
@rahmatsumo3274 11 күн бұрын
Si wa kwanza kuna marehemu mbaraka mwishee na pia alikufia mombasa kenya hapo kengeleni kwa ajili ya ajali ya gari
@salumuseif3324
@salumuseif3324 3 күн бұрын
bo kidude unamjua
@BonusNdamcho-gx2mq
@BonusNdamcho-gx2mq 12 күн бұрын
Founder of bongo fleva💯🇹🇿
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 11 күн бұрын
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 We recognize him as the first bong flavor creater
@elisharuhonkonya
@elisharuhonkonya 12 күн бұрын
Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 11 күн бұрын
Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele
@mcshujaa6496
@mcshujaa6496 11 күн бұрын
Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d 10 күн бұрын
👋👋
@mikidadyhamis4070
@mikidadyhamis4070 11 күн бұрын
Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑
@adorateurpaulbukuru6864
@adorateurpaulbukuru6864 10 күн бұрын
Big 🆙 King KIBA 👑 Big 🆙 Mr Kikeke Salim, we are proud of you from DR C.O.N.G.O🇨🇩 Lubumbashi WANTANSHI🇨🇩✌️
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 12 күн бұрын
Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima
@salumuseif3324
@salumuseif3324 3 күн бұрын
crown ya motooo kila kipind hot ❤
@Dianibeach718
@Dianibeach718 11 күн бұрын
Munipe likes hapa natokea kenya
@nesymichael4286
@nesymichael4286 12 күн бұрын
Jamani tutafutieni na marrow
@JescaShirima-ko7gx
@JescaShirima-ko7gx 11 күн бұрын
Noma san ❤❤❤
@salomewandya7257
@salomewandya7257 12 күн бұрын
Dully Sykes yuko Vizuri ❤❤
@tasamtv
@tasamtv 11 күн бұрын
Syo vizuri tu vzur sanaa😂😂😂
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 12 күн бұрын
Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa
@user-ok5cv2ux2z
@user-ok5cv2ux2z 10 күн бұрын
Salute kikeke kutuletea maojiano hayo bwana dury
@S.king_7
@S.king_7 11 күн бұрын
Crown on 🔥🔥🔥
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 11 күн бұрын
Huyu ni LEGEND wallah ❤
@JumakhalifaMuhammady-w3f
@JumakhalifaMuhammady-w3f 2 күн бұрын
Nakukubali xana silimu kike mungu akulinde na akusimamie kwenye mapambano
@silashemed4849
@silashemed4849 11 күн бұрын
uzur wake dull hanaga sijui mambo ya kingeleza
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 12 күн бұрын
Kikeke wallah wewe ni number one
@user-yj6uk1jl1m
@user-yj6uk1jl1m 12 күн бұрын
Kikeke broo uko vzr
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 10 күн бұрын
studio kali sana ,,ila hii media itafika mbali sana
@AmaniAnzuruni
@AmaniAnzuruni 12 күн бұрын
Asante sana
@pablotm3231
@pablotm3231 9 күн бұрын
Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 9 күн бұрын
Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 11 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu bro dullysykes
@josephbundala7277
@josephbundala7277 10 күн бұрын
King Kikeke 👑 🔥 🔥
@BrunojnrMz
@BrunojnrMz 11 күн бұрын
Ongera sana Crown 🎉
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 12 күн бұрын
Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn
@sergebaleke695
@sergebaleke695 11 күн бұрын
Uko sahihi kabisa hata mimi nina maoni hayo
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 10 күн бұрын
Kabisa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 12 күн бұрын
Kali sana aiseee ❤❤🔥🔥
@milalaemmanuel445
@milalaemmanuel445 12 күн бұрын
Kumbe ALIKIBA DOGO KWA dully
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 11 күн бұрын
ulikuwa ujui nikababu
@MrNdanguza
@MrNdanguza 8 күн бұрын
Dully 1982 ally 1986
@buanaquendaabdalaabdala8260
@buanaquendaabdalaabdala8260 11 күн бұрын
Kaka Dully ❤❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 12 күн бұрын
Safisana Dully Sykes
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 11 күн бұрын
Inshaallaah muweke pia na vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu masuala ya dini I vipindi vinavyozungumzia dini shukran
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 11 күн бұрын
upo sawa kaka
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 9 күн бұрын
Duli skykes hazeeki ... mashalah..tuliosikia salim kikeke kalikwepesha swali la Daimond fasta akamzungumzia alikiba tujuane🤣😂
@RaymondMuga
@RaymondMuga 11 күн бұрын
Crown fm mnatuangusha, Dully Sykes sio muasisi wa bongo flava, hebu fanyeni utafiti kabla hamjarusha hewani
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 11 күн бұрын
Tuambie wewe
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 10 күн бұрын
Hawa ni waongo muasisi ni TID alianza na Tutakumbuka na malaika
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 10 күн бұрын
​@@TwalibuAlbaamiryShokaTID kamkuta dully na juma nature washa toka kitambo2😢😢😢
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 5 күн бұрын
​@@bonnymakuke3153 wew kweli mtoto
@mrsinia3064
@mrsinia3064 12 күн бұрын
Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 10 күн бұрын
Najaribu kuidowlod
@bonnypaul1516
@bonnypaul1516 12 күн бұрын
Kali sana
@Oficialkb
@Oficialkb 12 күн бұрын
Safi sana, ❤❤❤❤
@JeremiahWilfredy
@JeremiahWilfredy 12 күн бұрын
Hapa ni nyumbani
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 11 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh all jumaa kariim all jumaa Mubarak mashaallaah tabaarakallah ndugu zangu wapendwa we crown FM crown kasri nawaomba kwa hisani yenu na iimaan yenu inshaallah muweke pia vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu Dino shukran afwan
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 11 күн бұрын
Asante kwa kufikisha
@williamsongoro4397
@williamsongoro4397 11 күн бұрын
Crown fire
@jibrilmohammed3698
@jibrilmohammed3698 12 күн бұрын
Wanyama
@djtobasoba3660
@djtobasoba3660 12 күн бұрын
Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa
@mrsinia3064
@mrsinia3064 12 күн бұрын
Maana ya neno founder ni kuwa mwanzilishi wa jambo au kitu fulan linatokana na neno foundation yaan msingi
@octavian54
@octavian54 11 күн бұрын
HIP HOP from America Zuku Rumba from Congo Rage from Jamaica Takeu from TZ Muhasisi Mr Nice Bongo frava from TZ muhasisi Dully but wengi wa walikuwa wanaimba ZUKU identity ya Congo
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 11 күн бұрын
​@@octavian54very explained
@simpleboytz255
@simpleboytz255 11 күн бұрын
Yeye ni founder ndiyo kwa sababu ni msanii wa kwanza kutumia biti la bongo flavor kuimba. Wapo sahihi
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 күн бұрын
Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@ce-08
@ce-08 7 күн бұрын
Tukianza na nyambizi ❤️‍🔥🔥❤️‍🔥
@ShabaniAssumani
@ShabaniAssumani 11 күн бұрын
Crown❤
@LavieStrong
@LavieStrong 11 күн бұрын
Crown naifata 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@JoaquimMashalangende-fw7xs
@JoaquimMashalangende-fw7xs 8 күн бұрын
Moto sana
@Lando_Anthony
@Lando_Anthony 12 күн бұрын
Unyama mwingi sana
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 12 күн бұрын
Mmetixha crown mmmh hatalbxana
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 2 күн бұрын
Ki Keke ndo maana unashambikia Simba kunbe unakili sana 🎉
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 11 күн бұрын
Kikeke ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Othmanog
@Othmanog 12 күн бұрын
Good
@user-kh7bc4js1m
@user-kh7bc4js1m 12 күн бұрын
Safi cnaaa
@JhoseMulokozi-fl4io
@JhoseMulokozi-fl4io 11 күн бұрын
Mungu ni mkubwa 🎉
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 11 күн бұрын
big up kikeke nakukubali
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 6 күн бұрын
The time had gone l'm remember him him very well
@saadaliy3979
@saadaliy3979 11 күн бұрын
Nakubali
@sk-wj9or
@sk-wj9or 4 күн бұрын
Bahati mbaya hiyo inamfata ktk familia yai Dully. Hata uhuru wa nchi hiyo Tanzania ulianzishwa na babu zake lakini hawakumbukwi wala kutajwa. Hakina jipya kwake
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f 7 күн бұрын
Mashaallah nawakubali wote
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 10 күн бұрын
Hahahah asante duli ni wapeke lkn leo umejielezea vzr sana kk kitenge unajua❤❤
@emmanuelkituma
@emmanuelkituma 12 күн бұрын
safi
@user-jz7bn2kx9o
@user-jz7bn2kx9o 12 күн бұрын
Ila crown inasikika vizr kinoma
@Finalist29
@Finalist29 11 күн бұрын
Kwahyo wasafi haisikiki vzur? acha unafki mzee
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 11 күн бұрын
tuipende sana iwe kubwa
@RamadhananMambo
@RamadhananMambo 9 күн бұрын
Baby candy,I like it
@justinefocus5445
@justinefocus5445 Күн бұрын
The 1 & only bhim self. Baba wa Bongo flavor
@abinikaka2579
@abinikaka2579 11 күн бұрын
Daaah G kawatoa wing halafu yeye wala hatabuliki jmn ktk hili wasani muwatazame hawa jamqn
@JofreyAmi
@JofreyAmi 11 күн бұрын
Here is home.
@chodohbbway2843
@chodohbbway2843 8 күн бұрын
KING KIKEKE KWENYE HII ANGLE KING KAUA KINGS NA CROWN FOR LIFE
@adamsonmwasumbi4201
@adamsonmwasumbi4201 12 күн бұрын
❤️❤️🙌
@user-ez9vi4pf3g
@user-ez9vi4pf3g 11 күн бұрын
Kali
@JescaShirima-ko7gx
@JescaShirima-ko7gx 11 күн бұрын
❤❤❤
@theophilwisdom2308
@theophilwisdom2308 11 күн бұрын
Young Journalist mnaosikiliza Sikiliza jinsi kikeke anavyofungua kipindi kwa umahiri na utulivu wa hali ya juu bila kukosa ubunifu mkubwa #uzoefu
@JosephMutambala
@JosephMutambala 12 күн бұрын
❤❤
@user-ur6eu8eb9w
@user-ur6eu8eb9w 11 күн бұрын
Uko vzr
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 күн бұрын
Kikeke🎉
@jumaahmadi
@jumaahmadi 8 күн бұрын
Mwamba azeeki jmni duuuuh
@AlexGwambie-xr2hm
@AlexGwambie-xr2hm 11 күн бұрын
Nkbl San dur
@matambitvog8786
@matambitvog8786 12 күн бұрын
@allykwaya
@allykwaya 9 күн бұрын
Sykes Prince.
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 11 күн бұрын
🎉
@lukasmnyethi5903
@lukasmnyethi5903 12 күн бұрын
Owaaaaa
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq 10 күн бұрын
Kikekebwaaa
@denisfranciskibindu6951
@denisfranciskibindu6951 11 күн бұрын
💥💥
@YusuphSomo
@YusuphSomo 12 күн бұрын
Saf namiss malaw nae pia.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 5 күн бұрын
Brother salimu mbona mnatufunga kamba mchana peupe walioanzisha mziki wa bongo fleva wapo sio dully sax
@keyla3641
@keyla3641 4 күн бұрын
Duli ana roho nzuri leo watu ni vurugu tu
@DaudiJoseph-s1s
@DaudiJoseph-s1s 11 күн бұрын
Yoo!ooo clouwn nawakubari kinoma noma sema nini daa! Iyo story ya uyo mwamba apo dully amenifuraisha sana kumgusia uyo mzee dagaa,rabembe siyo pow nimecheka kweri kweri!😅😅😅
@Soso12nov
@Soso12nov 7 күн бұрын
Sikiliza kwa makini dakika ya nne , Alikiba ni Raisi sio mmliki 🫡
@michaelbwoma2760
@michaelbwoma2760 7 күн бұрын
Huyu alipata bahati babake alikuwa mwanamuziki ikawa rahisi kwake kujulikana mtoto wa Mzee Sykes
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 12 күн бұрын
👍✌️👊.
@keyla3641
@keyla3641 4 күн бұрын
Iki faa kikubwa. Sana halafu haringi
@echasafuraha3423
@echasafuraha3423 12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@elgibborpro
@elgibborpro 9 күн бұрын
Iwaaaaaq Camera Leo zipo clean...
@swahilifashion2206
@swahilifashion2206 7 күн бұрын
Anazuga bwege huyo😂😂😂😂 alitupasulia sana mademu wetu wa kariakoo na magomeni kinoma sana😂😂😂
@waziribakari122
@waziribakari122 5 күн бұрын
Dully Mwanangu kitambo alikuwa akizinguliwa anatuita tunaenda kumtetea dah tushakuwa watu wazima
@ankalmzito254
@ankalmzito254 11 күн бұрын
Ndio mkoko umeanza kualika maua
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 11 күн бұрын
Nyambizi nakupenda. Wapi hiyo
@ahmedsaid2223
@ahmedsaid2223 8 күн бұрын
Saleh Jabir founder of Bongo flave since 1992 he live in London
@ce-08
@ce-08 7 күн бұрын
Not true
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 32 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,2 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 62 МЛН
NACHATI NA MWARABU
10:31
Joti TV
Рет қаралды 127 М.
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 3,5 МЛН
So Cruel!😩 Say No To Turtle Painting🐢🎨 #catvideos #catmemes #trending
0:24
Простой дворник с большим сердцем 🫶
0:25
Не плавайте тут! 🏊🚫
0:24
Взрывная История
Рет қаралды 5 МЛН
Radmiru small or big? 🤔 #shorts
0:18
radmiru
Рет қаралды 10 МЛН