Ayo TV nawakubali Sana kwa taarifa za uhakika na za ukweli, mana mnafika hata vijijini ambako wengine hawafiki.
@marthahozza29642 жыл бұрын
🥺🥺 nafikiri mungu alituletea late Magufuli ili tujue aina za viongozi tuliowah kua nao na alipomchukua mungu alitaka tuone utofaut pia Tuna viongoz wa ajabu sana 😓😓 mungu atusimamie
@nicolausside67832 жыл бұрын
Misifie ww magufuli kwa kuwa wewe nibumbubu na hakupiga lisasi mtoto wako
@salmaalimusa68092 жыл бұрын
@@nicolausside6783 risasi sio lisasi. MAGUFULI hakuna kama yeye. Ni mara 100 kuliko hiz mburura zilizobaki
Hili jamaa kuu la wilaya liko vzur sema ndohvyo Tena angali watu wasije wakala kichwaa maana sirikali hata ikikoseaga Huwa hawatak kukosolewa Tena na mtu w a sirkali mwenzao kama wew ulivyokuwaa upande wa wananchi wako 👏 good job tunataka viongoz kama Hawa wasiobabaika Wala kupepesa👀.
@cleophacephelician67392 жыл бұрын
Wanachi mliojitokeza kupinga dhuluma tunawapongeza sana endeleeni na moyo huo huo!
@zuwenaalamin89852 жыл бұрын
Gonga like Kama umeisikia rais wenu
@penuelybrayson41902 жыл бұрын
😂
@kenosman47802 жыл бұрын
Toka Mzee wetu atwaliwe na mwnyezi Nchi hii usenge umekua mwing
@sazanahussen67152 жыл бұрын
Huyo nimboga ya wananchi aendelee kukaa uraiani ole wake💔🤮
@floraashery2242 жыл бұрын
Sema viongozi wa aina hii ya mkuu wa wilaya hawadumu nchi hiii iliyojaa uonezi na wizii
@happynescostat74202 жыл бұрын
Mungu ampigania mkuu wa wilaya🙏🙏
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Sana uyu kwa maongezi haya tunaweza sikia mengine ndani ya wiki ijayo
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Hii serikali jamn kweli muuji simple tuu yupo nje kwa zaman inauma sana jamn has kwa Familia wanapomuon
@gracegrace62002 жыл бұрын
Kwa sasa Tanzania ina sheria mbili. Moja ya watu kama Sabaya. Na sheria nyingine ni ya watu kama Mbowe. Tanzania Kwa sasa wa lala hoi, hawana chawo. Wenye haki ni wenye fedha na wawekezaji.
@mamboleotv2552 жыл бұрын
NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE} /masantura /teddy /mima /rayana /mgoma kufa.
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
Tanzania ya samia hiyo , ya wenye fedha tuu
@leiratykisura67182 жыл бұрын
Ndiomana watu wanajichukuria sheria mkononi wanauwa kabsaaa...serekari yetu ya hovyo sana rushwa zimetawala mbaka mahakaman mtu kauwa hanachiwaje aje hauwe tena wananchi fanyeni mamuzi yenu?
@mamboleotv2552 жыл бұрын
NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE} /masantura /teddy /mima /rayana /mgoma kufa.
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Hakika maumivu.
@happynelson11802 жыл бұрын
Hata hivyo huyo muuaji aliyeachiwa hatoishi kwa amani wananchi wenye hasira kali watamuinda usiku na mchana labda ahame nchi
@lawabidingcitizen34272 жыл бұрын
Hao wanasheria wamejaa ofisi za umma. Sisi tumechezewa faulo na majaji Majaji watatu, rushwa ipo sana siku hizi!
@mamboleotv2552 жыл бұрын
NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE} /masantura /teddy /mima /rayana /mgoma kufa.
@rashidyally87152 жыл бұрын
Ndio maana raia hua tunajichukulia hatua mikononi dawa yake Kama wamemuachia mkimkamata mmalizenu tu ndivo wanavyotaka
@mariamgodfrey532 жыл бұрын
Kabisa
@cleophacephelician67392 жыл бұрын
Huyu mkuu wa wilaya anastahili kupandishwa cheo na kupewa mkoa kabisa, yaani tungekuwa na wakuu wa Wilaya wote ka hawa, tungefuta mikoa maana hakuna haja. Baba Mungu atakusimamia na kukulipa chapa kazi!!
@godfreysamson30692 жыл бұрын
👏🤝
@msowamhokole77142 жыл бұрын
Daa point kweli
@mamboleotv2552 жыл бұрын
NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE} /masantura /teddy /mima /rayana /mgoma kufa.
@danielkamendu21532 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya Kama huyu mwingine yupo wilaya ya Ilala Dar es salaam
@abdonmwombeki23832 жыл бұрын
DC ana hekima...isipokuwa ana uchawa uchawa mwingi
@mzeeomary57802 жыл бұрын
Kipivi kaka mbona yuko poa tu
@wisperfect53202 жыл бұрын
Wa kuwataka wananchi wampigie makofi samia😂😂
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
JPM WILL LIVE FOREVER. THE MAN WOULD HAVE MADE A TOUGH DECISION HIMSELF...KUANZA NA POLISI, WATUMISHI, NA MAHAKAMANI. LAKINI ANGALIA LEO WALIOKO CHINI HAWAWEZI NA WALIOKO JUU WAKO BUSY KWENDA UARABUNI. MSEMAJI AMESEMA "....NA WENGINE WANGEKUA WAMESHABWAGWA...."** KAMA HUJUI HUYU BADO ANA ITIKADI YA JPM SIO YA AWAMU HII YA UCHUNGUZI. NA HUYO DC MZUSHI...KAZI YA SERIKALI SIO USALAMA WA RAISA NI KUBWA ZAIDI YAANI KWA UWEZO HUO NDIO MAANA MAMBO MADOGO YANAWASHINDA...USALAMA WA RAIA NI KAZI YA JESHI TENA JESHI LA POLISI.
@lastkinglastking33262 жыл бұрын
Umeongea vizuri DC yani siku hizi upelelezi umekuwa ndio Chakula
@mamboleotv2552 жыл бұрын
NDOA YA YA MASANTURA {FULL MOVIE} /masantura /teddy /mima /rayana /mgoma kufa.
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Serikali yetu jamani' haki wanyonge hatuna haki
@dionisiabaynit29162 жыл бұрын
Ombay unabusara Sana babaangu Mwenyezi Mungu akutunze
@jennytugara94702 жыл бұрын
Dhamana Mtu aliefanya mauaji hapana Wananchi lazima sasa waamke usingizini wananchi sio maboya tena hakuna masihara na upuuzi umefika mwisho!!!!
@kiddmagrking16472 жыл бұрын
Watanzania muache kujifanya mnajua sana sheria ....unajuaje km ameachiwa baada ya kuonekana hana hatia
@jennytugara94702 жыл бұрын
@@kiddmagrking1647 kwa hiyo Maiti aliyochoma kisu ilifufuka au? Sawa wewe unajua sheria lkn hii ni universal kesi ya mauaji hainaga dhamana.
@kiddmagrking16472 жыл бұрын
@@jennytugara9470 hio ni kazi ya polisi na mahakama sio kazi yako wewe ...yaani hujui hta sababu iliyofanya wamuachie unapayuka tu kupitia vidole vyako
@jennytugara94702 жыл бұрын
@@kiddmagrking1647 unafikiri huo umati wote hawakwenda shule ndio maana wanapayuka acha madharau hivi ndivyo rushwa ilivyoota mizizi Mr get it. Sasa mwizi wa ngombe siku 52 Muuaji wiki mbili hata mwendawazimu haitaji majibu hapa!!!!!
@kiddmagrking16472 жыл бұрын
@@jennytugara9470 huna mamlaka ya kumuita mtu muuaji halafu ushahidi huna kipi kinakuaminusha kwa 100% kwamba huyo mtuhumiwa ndio muuaji?
@neemaruben54272 жыл бұрын
Safiii Sana baba umeongeaaaaa ukwel kbsaaa hii rushwaaaa kbsaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@idinado45242 жыл бұрын
Ila kusema ukweli police ndio wanoongoza tanzania kwa lusho niwatu wabaya sana viongizi watuone tunanyasika
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
wamefahamu nzuri ya kuwa , kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake "
@chinamichael33402 жыл бұрын
Wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji na wapo gerezani wapewe dhamana kupunguza msongamano Sasa.
@yusramadodo82692 жыл бұрын
Serekali ya mama samiya haifai wamedharau serekali ya mama samiya mauwaji yamekuwa mengi sana Tanzania
@leinaamos2 жыл бұрын
Kunawakati nikifikiria sana nakosaga neno LA kusema zaidi ya machozi kunitoka E Mwenyezi Mungu tusaidie
@salmaalimusa68092 жыл бұрын
Wakiliona waliue. Sheria mkononi bora
@safiyasafiya50142 жыл бұрын
angekua magufuli hai wasingejaribu kufanya ushenzi hii yote ni madharau Kwa mama s jamani Tanzania imekua Kongo Kwa mauaji poleni Sana ndugu zangu haya ni majaribu yatapita tu
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
Tanzania kwa mauwaji chini samia "gunia tupu ' imekiwa kuliko congo kwa mauwaji
@hindisaid24132 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 we Una chuji binafsi na raisi Kule nyuma kulikua kunaokotwa maiti pwani na wasiojulikana ndio wauwaji Samia alikua makamo wa raisi
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
@@hindisaid2413 maiti hizo aliziona tundu lisu tuu na wewe ? pwani ya wapi ziliokotwa hizo maiti , kama unangeleo kibiti wauwaji wanajulikama , walikuwa ni magaidi wa kiislamu , pia ongele maiti 36 za wamasai wa ngorongoro walio uliwa na utawala za samia , samia kalishwa rushwa na waarabu akawauwa wamasai kwenye ardhi yao . vipi wamachnga wanawindwa kwa tochi kama paa na samia ,. hao askari wa samia wakikukamata wanakukwapua kila ulicho nacho .. na wanauwa kila siku .
@sadockchengula55422 жыл бұрын
Kitabu cha "KUSADIKIKA", mwandishi Shaban Robert, Majivuno waziri mkuu wa nchi ya Kusadika anampinga Karama kwa kitendo chake cha kuanzisha elimu ya sheria katika nchi ya Kusadikika. Waziri mkuu Majivuno anasema " elimu ya sheria ni elimu ya kupingana na sheria". Kuwa askari na kuwa mwanasheria ni kazi zinazohitaji sana hofu ya Mungu na uadilufu wa hali ya juu.
@toniychambo86242 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@teddyhenry25792 жыл бұрын
Mkuu hoyeee wapi vibe la mkuu wa wilaya
@neemazee18642 жыл бұрын
Daaaaaah m2 anaua thn anapata dhamana😭😭😭😭
@ibrahimusen87132 жыл бұрын
Ndio nchi yetu ya sasa
@stefanomasolwa89792 жыл бұрын
Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli umelala Mapema sana baba yëtu sisi wanao twauwawa kama Kuku
@ezekielsimon11932 жыл бұрын
Nani ambaye hatakufa? Achane izo ata enzi zake watu walikuwa wanakufa
@shedrackdamian28702 жыл бұрын
Wamempa matango tango
@olenyghosho70082 жыл бұрын
RIP jpm, kweli tutakukumbuka,hii serekali hiyo ni ya ajabu
@malakigerald85862 жыл бұрын
Watu wanaojielewa wanajisimamia safi sana.
@sabatoelia3122 жыл бұрын
Mkimaliza mkaangalie mahubiri Jion azam 466 chanel. Karatu net event kila jion
@mussaathumanimshema77252 жыл бұрын
Watanzania tuliletewa JPM na akaishi kwamudamfupi ili tujifunze natujue aina ya viongozi na uborawao,,hakika JPM atakumbukwasana
@ezeedi8712 жыл бұрын
Hakika yaan
@lindaadolph46002 жыл бұрын
Iludiweeee...🙋🙋🙋
@leahsamson93542 жыл бұрын
TUMERUDI KULEE ALIKOTUTOA MAGUFULI
@kenosman47802 жыл бұрын
Siasa inaingilia vtu vya msing, mkuu WA wilaya maneno mengi sn
@valenakomba92182 жыл бұрын
Sanaaaa.wamekula rushwaa. MAGUFULI AMEONDOKA SASA WANAFANYA UNYAMA BILA WOGA.
@ejulaizerjulaizer1282 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya umeupiga mwingi sana tunapenda viongozi kama hawa wanaopaza sauti kwaajili ya wananchi
@sashahauke20322 жыл бұрын
Magufuli lala salama baba
@amenaameeena33172 жыл бұрын
Ifike mahali tufanya kama wachina wao wanalipa damu Kwa damu aiwezekani mtuhumiwa anaachiwa wakati msiba bado ikibidi ndugu WA marehe walipe kisasi wenyewe
@michaelkwatlema21242 жыл бұрын
Tatizo ndugu ndio hao hao muuaji ana alieuawa wote familia moja
@abdallahsuleimani74162 жыл бұрын
Sio wachina tu hata waarabu damu Kwa damu
@rehematanzania71962 жыл бұрын
Hahaa kweli warusha wakinunuliwa wanafuta kez weka ndani hao wenyekit badala ya huyo muwaji
@uviko88482 жыл бұрын
Kashatolewa nje tayari, kwani visu vinauzwa shilingi ngapi.
@husseinmaula42172 жыл бұрын
Huyo mpelelezi anakukebehi mkuu cheki anavyokutaza ungeanza na yeye hapo tuone kama anaweza kujipeleleza.
@bestkaunda77082 жыл бұрын
Kwa hilo mtanishauli 👍👍👍
@annastaziamwita69372 жыл бұрын
Dc ur intelligent
@grandpa77202 жыл бұрын
Very smart & fresh man.. ila ilo backvocal la wananchi sasa😂😂
@fakiikibakola13002 жыл бұрын
RIP magu
@abednego38762 жыл бұрын
🤣😂 uandamaji wa bongo bn. 😂
@josephatanazi21902 жыл бұрын
Osidii mwenyewe kavaaa miwani mweusi ili asionekane macho happy akuna kazi
@aishakimaro97582 жыл бұрын
Mmh mwendo wa kucheza rede ngoja name nikakojoe nikalale maana niule mchezo wa tangulia kaniwekee nafasi mm bado nakula maisha kitaa mmh ila Mungu yupo
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Kwani kesi ya mauaji ina dhamana Tanzania nchi ya mavi kunuka
@aairraahseif56482 жыл бұрын
😂😂😂Sorry!Nimejikuta nacheka,lkn umeongea kweli
@kennethbenjamin2752 жыл бұрын
Mtu anaua anaachiwaje?ehh
@halpajordan28412 жыл бұрын
Apo Kuna vitu viwil, rushwa iliotukuka na ushilikina
@telaamtauta22272 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mungu tuteteeeee yarabi rushwa imezidi lakini r. Sikuhizii hatuna pakwenda kulalamika tukasikilizwa
@jehidahamisi24042 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa wilaya.
@franciscakija17022 жыл бұрын
Kilichokabi alipo achomewe Hadi nyumban na yeye afia mbele
@godlivasanyawitimu90482 жыл бұрын
Yan huy wamemtowa ili wanaichi wamuuwe wao wameshindwa
@mosesmosesmuhia68692 жыл бұрын
Anyongwee
@msuyatztv52012 жыл бұрын
Dc ana akili nyingi sana
@zeddybass66722 жыл бұрын
Hivi Hawa wanaoandamana wanajua uchungu wa mapenzi au wanashabikia tu
@francisedson9042 жыл бұрын
Tanzani hakunaga serikali bali kuna ujinga wakutosha ktk kukandamizaji wa haki na sheria
@albatrose98652 жыл бұрын
Hawa ni watu wenye kujielewa,siyo kama waarusha wakinunuliwa piwa wanafuta kesi..
@zuleyvendor65772 жыл бұрын
😂😂😂😂
@zainabhatib44112 жыл бұрын
Umenikumbisha piwa 🤣🤣🤣🤣
@mkalywagoka99132 жыл бұрын
Hukumu ya muuwaji ni kuuwawaaaa
@frankandrew32022 жыл бұрын
Sheria ifate mkondo Wake
@shaphiasabani57602 жыл бұрын
Mpigieni makofi Raisi wenu mama samia
@jareengeorge54782 жыл бұрын
Hivi muuaji anapataje dhamana????? Hiii nchi Sheria wanaijua kweli??? Hapana,hapana.hakimu nawote waliohusiku futilia mbali hao.fyuuuuuuuu.
@yukundapeter82002 жыл бұрын
Hata mtoto wa cku moja haiingii akilini,Mungu atawauwa hadharani.
@neykessy89982 жыл бұрын
😭😭😭
@efraimobadia49442 жыл бұрын
Tupate WAPI viongoz wenye akili km HUYu Dc
@nmconsultinggrouplimitedpr2452 жыл бұрын
Ukiona hivyo jua serikali inadharauliwa, huwez muua mtu aliyeiba kuku, halafu aliyemuua mwenzake aachiwe anapeta, jamani mi naona hawa watu tuwe tunamalizana nao humo humo tu, police mahakama tena wanaangalia pesa tu
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Ndugu unamtetea mpelelezi mwana sheria hamuhusu mwana sheria
@matwigabakari84822 жыл бұрын
sasa mkuu wa wilaya wakati unatoa hayo maelekezo ilitakiwa askari tayari wawepo eneo la tukio kwenda kuwakamata hao wahusika....otherwise watakimbia wote hao
@monicahovda58902 жыл бұрын
Hivi hawa, Wabaofanya hizo kazi za ujaji mahakamanu wanafikiri ni wako katika kucheza Makida, Makida, tena hakuna kazi ngumu kama hizo, Maanake unaweza Ivuruga Jamii, na ukalibeba wewe Zigo lote. Hajaona huyo hakimu Tena week hii Miland Ayo Imelipot toka Njombe waliofanya kesi ya Mauaji huko Njimbe wamehukumiwa kunyongwa. Alafu yeye huyo Hakimu anacheza Makida Makida
@namelockmaasailady80022 жыл бұрын
Ww mpelelezi huoni aibu???🙆🏻🙆🏻🙆🏻
@mpjackson95432 жыл бұрын
Mwandishi kuwa na weledi wa kuwasilisha ujumbe ,wewe unasema polisi wamemuachia mara mahakama imemuachia lipi tulielewe hapo
@sadockchengula55422 жыл бұрын
OCD yupo vizuri ila hasahau kumfagilia aliyemteua.
@wivinemwamini91102 жыл бұрын
Museme musiteswe mungu
@salmanmagwe2222 жыл бұрын
Ila wa TZ tunapenda kuilaumu serikali kwa kila kitu,huku tunaiacha MAHAKAMA ikidunda tu kwa madudu mengi na huku wanasema hawataki iingiliwe, Ni vizuri sheria zirekebishwe ili tuweze kuilaumu Mahakama waziwazi kama tufanyavyo kwa SERIKALI, badala ya kujificha kwenye RUFAA.
@biggievandar2542 жыл бұрын
Serekali hyo haya langu jicho rest in peace jpm
@kennyrogers47342 жыл бұрын
DC mbona unazunguuuka toa kauli moja iishe bc mtu kafa unamlembea lembea tu
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani
@gabrielymatembo87702 жыл бұрын
Mh....hapo siyo bure kuna kitu
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Unaonyeshe ww mwenyewe wa kwanza kula hongo kwa sbb huja towa ukweli wa kauli yako pia kikubwa zaidi hujatowa amri ya kukamatwa muhusika tatu unamlalamikia mwana sheria kuliko kulalamikia police
@maulidmwamba66452 жыл бұрын
Huyu Mzee wa kwanza amejua kumzungumza kiundani zaidi
@happynescostat74202 жыл бұрын
Ata ukukwetu bukoba kijiji busingo uku kamachumu kijana wa miaka 20 alimuua ndogo wake wa miaka5 ndogo wake wa kambo akukaa magereza ata miezi3
@Elizabeth-777-r3p2 жыл бұрын
Poleni sana kweli
@mussaharun72572 жыл бұрын
Wananchi wa Mbulu, Karatu, Singida, wamekuwa na uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja.
@ibraheemiddy86122 жыл бұрын
Watu wamechoka bhana
@amolonyogea86862 жыл бұрын
Yaani dogo tumemzika ijumaa ya tarehe 1 alafu muuaji anaachiwa huru tarehe 5 daaaa 😭 kweli pumzika MWAMBA JPM
@rehemajuma97332 жыл бұрын
Huyu atakua mboga ya wananchi kma sheria haitachukua mkondo wake...moyo wenye maumivu ni moyo mgumu mnooo kuondokewa na ndugu au mtoto sio kwa mapenz ya mungu inauma sana
@zikenims61672 жыл бұрын
Mtafuteni mmalizen wenyewe police mahaka Na hao vilanza wengine Lao Rushwa tu
@nottyally91872 жыл бұрын
Sasa aende ndani wa nn kama katoka nayeye auawee
@nottyally91872 жыл бұрын
Nyie wana kijiji mnamatatizo,...mletea mbuzi mchinje amnaleta kelele kimyakimya
@jenjoseph72702 жыл бұрын
😱😱😱
@richardburengengwa69982 жыл бұрын
Magufuli yupo waze
@imeldasamwel5392 жыл бұрын
Pgen mpelelez huyo wamezid 🤣🤣🤣🤣
@emanuelandedela27712 жыл бұрын
changa LA macho poleni
@danielrwegasha50632 жыл бұрын
Mkuu unapenda ushauri ..halafu unasema wakamatwe s watatoroka?