Tatizo kubwa kama hili kiongozi wa nchi unashindwa kunyanyua mdomo ukamaliza ujui machafuko yanaazia ivi mdogo mdogo
@Mumewangu3 ай бұрын
Anapeleka viongozi kwanza baadae kauli mwisho atatoa
@petro80103 ай бұрын
Yeye aendelee kukaa lkn kwa wenzetu tunaona
@birianination70973 ай бұрын
Viongozi wahusika wapo, wacha kazi iendele.
@jerome31433 ай бұрын
kwa ujumla bara la afrika akuna viongozi kuna genge la wauni tu
@sponsor78823 ай бұрын
Magufuli angeshafika hapa tangia juzi
@Mumewangu3 ай бұрын
Na yupo njiani anakuja msubiri tu
@petro80103 ай бұрын
Ni kweli JPM hakuwa mtu wa kudelay namna hii
@birianination70973 ай бұрын
@@petro8010 sio kudelay, ila hakuwa mtu wa mazungumzo, wote tunajua angesha teka hao viongozi wote
@salmanmagwe26123 ай бұрын
Magufuli asingekuja bali angeagiza wote wanyan'ganywe leseni au watiwe ndani,ila watanzania ukienda nao polepole hawakuelewi na mwisho wanaanza kugoma kama hivi
@samsonsimon31383 ай бұрын
@@birianination7097 ww ni ignorance kweli magufuli alikuwa anasikiliza kero za watu na kuzitatua mda huo usimlibikiziie màovu aliekuwa raisi wetu alikua anawapenda wananchi wake
@witnesskagirigiri37633 ай бұрын
Kenya oyeeeeeee.mkeka umetiki
@EmmanuelMajele-ny2hk3 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 wanakiwasha tu haki lnaweza kutafutwa kwa Damu kunaviongozi Tz Hawata badilika adi kiwaswe ndani ya miaka 2 patanyooka tu
Ile kamati iliyoundwa na waziri mkuu iliyokuwa na huyu jamaa na Vunja bei ilikuja na ripoti gani? Iliishia wapi mbona hatukuwasikia tena?
@Jean-marieNiyonzima-f3e3 ай бұрын
Rais awemakini sana kwani haonikenyaa
@ce-083 ай бұрын
Sasa ww mwenye kiti wa wafanya biashara alafu unalindwa na polisi wanini wakat hao ni jamaa zako na jana ulikuwa nao kwenye kikao😂
@Mumewangu3 ай бұрын
Lazima manake watakuwepo na hasira
@mtotowamanka3 ай бұрын
Siasa,znafurahisha kweli ila hapa ndy ubaya wake😊
@Deppe-rv2vg3 ай бұрын
Good leader
@eliasizubhakwa82123 ай бұрын
Mama samia hatufai kabisa
@birianination70973 ай бұрын
Anakufa nani
@rukiaiddyyahaya95063 ай бұрын
Hakuna kulipa kodi
@eliasizubhakwa82123 ай бұрын
Mama samia haoni kabisa kweli
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Hajui chocolate yule bibi , anaweza ni kusoma alicho andikiwa kwenye karatasi tuu
@othmanali53623 ай бұрын
Ah.karagosi huyo
@remidusmwanandenje-yy5gs3 ай бұрын
Atuna rais kwani mlikua amumuoni hayati magu apo mbona nikama siasa ndani yake mungu tusaidie😪😪🎎🙏
@ZaituniNyenzi3 ай бұрын
No.
@RichWise6713 ай бұрын
Kuna siku Tanzania itajaa kwenye mfumo #SAEL_STATE💝💝
@jackmabirangacharles93983 ай бұрын
Mimi nina Imani sana na Serikali ndio Maana Amefanya Mabadiliko TRA Lakini najiuliza kesho wakija na malalamiko tena atapangua safu au ndio maduka hayata funguliwa Pamoja na kila mtu anahaki ya kusema pale anapo ona kunashida
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao walipa kodi tutalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina na sio kupitia kwenye mikono ya vishoka TRA
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
Bi Samia ati mpak August 8th, wakati bos wake Magufuli lingetatuliwa kwa muda wa masaa mawili..Mama Samia mpaka aagize watu badala kuwaface w/biashara uso kwa uso. Mama Samia mmmh
@linnusaloyce65593 ай бұрын
Mzee kisha chimbwa biti kurudishwa kijijini kwao ⚰️ ndio maana kawa mpole😂
@obedkiswaga27903 ай бұрын
Kabisaa Kwa anavyoongea Tu kashachimbwa mkwara
@thosmaenterprises99683 ай бұрын
ameshaingizwa kwenye mfumo pimbi uyoooo
@ismailsoud36343 ай бұрын
Kwani Waziri wa Biasha yupo wappi?
@dicksonulotu74273 ай бұрын
Huyu bwana Mbwana mbona kama kuna kitu nyuma ya pazia?
@NjitiMohamedmzee3 ай бұрын
Huyo Samia anajua nyinyi wajinga tuu ndio mana aji kuwasikiliza
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
eti Serikali ya mama Samia inazungumzika 😂😂😂
@JninjaH2R3 ай бұрын
Kiongozi mkubwa yupo bize na mambo yake ila ipo siku
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Raisi uvundo uvundo na kunuka
@Kabwela7763 ай бұрын
Si Samia anawachekea enzi za Magufuli wasingethubutu kufanya mgomo JPM hakuwa mtu wa nonsense!
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
Usilinganishe serikali ya JPM na hii ya SSH, ni kweli Jpm hakuwa na nonsense lakini kwenye serikali yake kodi zilikuwa zinakusanywa na kufanyia kazi inayo stahili hata walipa kodi wali rizishwa na serikali ile mana waliona maendleo yakifanyika tena kwa mda mfupi lkn serikali hii ya Samia kodi zinakusanywa na bado sheria zingine za kikodi zinatungwa kuwabana wananchi serikali hii linakopa mikopo mingi kuliko ya Jpm lkn maendeleo hatuyaoni elimu iko chini walimu wachache, vituo vya afya vimejengwa lkn madawa hakuna, reli ya kisasa ndo kama ivo adi leo haijaisha bwawa la umeme halijakamilika muundo mbinu ya, barabara bado haiko sawa huku ripoti za CAG ZINASEMA MATILIONI YANAIBIWA NA viongozi wa serikali na bado hao viongozi hawachukuliwi hatua kwa magufuli haya mambo haya kuwepo kulingana na serikali ile ilikuwa na nidhamu ya Haku kuwa na kusafiri nje mara kwa mara viongozi wakiumwa walitibiwa ndani ya nchi, serikali ili hamia yote dodoma tofauti na sasa viongozi wakiserikali ni kama vile wamerudi daresalam mana tunaona matukio mengi ya kiserikali YANAFANYIKA daresalam zaidi kuliko kufanyikia dodoma in short ni kwamba zile anasa za miaka ya nyuma kabla ya Jpm kuingia madarakani zimerudi tena
@festohaule97163 ай бұрын
Mtu anaonyesha wazi kuwa ni mwongo!!!Huyo Mchaga bhana!!!!
@mmassyferguson49593 ай бұрын
Kashabanwa huyooo
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Usicheze na Serikali ya Tanzania, Jana tu alikua anapayuka Leo kalowa kama paka aliyemwagiwa maji😂😂😂😂
@danielmakelemo23953 ай бұрын
Huyo kiongozi mwenyewe amesema kuwa Rais anawapenda wafanya biashara yeye kajitoa 😂😂
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
😂😂😂😂 Jana tu alikua mkali anapayuka tufunge biashara Leo anasema Raisi anawapenda, huyo keshaonyeshwa saizi ya jeneza linalomtosha kapoa kama maji ya mtungi 😂😂😂😂😂
@knight67573 ай бұрын
Heshima iwe upande zote !!
@Zanzibar-e4h3 ай бұрын
Wakenya wafundisheni watanganyika kudai haki wewe mwenye kiti kuongo halafu wewe usalama tu
@callicevallice73833 ай бұрын
Huyo jamaa kashalamba asali 😂😂
@RenatusMatungwa3 ай бұрын
Waleteni wakenya wasolve hili tatizo
@IbrahimIdrisa-tl6wm3 ай бұрын
Wewe ndy umeongea point kiasi chake
@modestalois25353 ай бұрын
Naona huyu kiongozi 😢😢😢amekuwa mwanasiasa,hastahili kuwa m/kiti wa wafanyabiashara,huyo anafanya kampeni 😢😢😢,yeye anaiponda Serikali ya Hayati Magufuli!!?
@Kabwela7763 ай бұрын
Samia hawa watu sio wa kuwachekea hata kidogo wanaanza kukupanda kwenye kichwa fanya kama Magufuli angewaambia fanyeni biashara au mkatafute nchi ingine mkafanyie biashara, ndio maana enzi ya Magufuli kulikuwa hamna migomo nchi ilikuwa inatawalika watanzania wamezoea kuburutwa kama ng’ombe hawajazoea mazungumzo !
@smallscaleminingsupplies96703 ай бұрын
Waziri ajiuzulu aheshimu watu
@NadeemKhan-zo8dc3 ай бұрын
Kwnn Rais asiende hpo kkoo kuongeanao mbna kwenda nje ya nchi anaenda hizo dharau hmna rais hpo
@devissyprian15263 ай бұрын
Nakwambia hauna Rais hapa mwkann hasigombee namshauri
@allymaulid93913 ай бұрын
huyu afai kuwa kiongozi
@leocadearzengo46063 ай бұрын
Sijaelewa 😢
@hapaupdates92773 ай бұрын
MNAZINGUA WAFANYABIASHARA
@viralvideostz82503 ай бұрын
Msaliti huyu katuuza
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Tatizo la kuwa raisi tundu choo , kutoa gharufu mbovu tuu
@zachariangoyo64953 ай бұрын
Tz pako vibaya aiseee siku zinakauaja kitanuka tiumechoka aseee
@nicodemuswidambe51323 ай бұрын
Tatizo nchi hii upigaji tu. Mama mnamwonea tu afanyeje? Sahizi Kariakoo vurugu tupu barabara zote zimefungwa watu wamepanga bidhaa barabarani ukiuliza eti ndo wapiga kura, huu ni ujinga ambao haupo duniani isipokuwa Tz. Tunakuwa kama hatuna sheria ni upuuzi tu. Inakera sana hadi mtu huelewi.
@peacedondo83543 ай бұрын
Serikali ya nyuma kidogo meaning ya Magu alafu serikali ya mama samia imekubali kukaa kuongea... hahahahahaha jamani anampigia kura mama anamkandia magu... noma huyu amekaa kisiasa ili aendelee kukaa kwenye hicho kiti kuwasemea wafanyabiashara... nomaaa na naona kuna wafanyabiashara wamemuelewa ndo mana wameguna 😅
@salmanmagwe26123 ай бұрын
Ila hakuna siku wafanyabiashara watakuwa wakweli,hata ukiwapunguzia kodi bado tu watakwepa,ukijijengea hulka ya kulipa kodi ndio utakuwa na uzalendo na nchi yako
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Wahuni hao kuna wanaharakati wameingia Kati yao na wao kama manyunbu wanafunga biashara mtafilisika na Serikali mtaiacha inaendelea😂😂
@heaventv46683 ай бұрын
Nyoko@@darajalakidatukilomgi2362
@aminasittusaid38303 ай бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362 halafu wengi walohojiwa wanalalamikia faini ya milioni 15 kama wasipotoa risiti kwa mteja. Kwa kuwa sababu ya faini wanaijua basi watowe risiti ili waepukane na hiyo faini ya 15m. Kutotoa risiti ni kukwepa kulipa kodi, sasa wanataka Rais awaruhusu wasilipe kodi au?🤔😇
@MauFundiElectronics3 ай бұрын
Siasa hapoooo
@saidramadhan713 ай бұрын
Mwenyekiti wewe ni kuma tu
@NipoNipoTV3 ай бұрын
Sasa wafungue tu>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
@binseif22163 ай бұрын
Nyie wafanya biashara wajinga sana,vp mnafunga maduka wakat hasara ni yenu mnadhani serikali itatetereka?
@cosein3 ай бұрын
Mama hapa anawakati mgumu sana
@browskymuba69233 ай бұрын
Kipindi cha magufuli mlikuwa kama sisimizi
@JosephthobiasMwita3 ай бұрын
Nchi inakopa mikopo kibao wawekezaji kibao sasa kodi haishuki mbona hivyo sasa maana tunataka na sisis tuanzishe vibiashara ebullient wekeni mambo sawasawa
@saidyfikirini96793 ай бұрын
Mm sitaki comment kibaya naupenda ugali😢😢😢
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Kazi iendelee wazee na vijana let's work continue kumbukeni kuwa mjenga nchi ni mwananchi
@ibramayno84473 ай бұрын
Tunajenga nnchi ipi wakati mafisadi wanakula nnchi
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
Maisha ni safari na yanahitaji uvumilivu mkubwa, tatizo la TRA ni kubwa kweli
@BenjaminMetanyau3 ай бұрын
@@abdulhajiahmed8735halafu nyie wenye itikaidi hizi sana huwa CCM ndo mnajifanyaga KAZI ienderee 😡 hujawahi hata kuuza mandazi huwezi erewa maumivu wanayo PATA
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
@@BenjaminMetanyau mimi ni mkulima wa kiteto Kalale usingizi kijana, nimeanza kuuza mahindi n kulima kupeleka soko la Tandale miaka 35 sasa
@abdulhajiahmed87353 ай бұрын
@@BenjaminMetanyau CCM MUNGU AIBARIKI KUTOKA TANU wakati wa hayati mwalimu Julius Nyerere mpaka CCM sasa chini ya Rais wa kwanza mwanamke katika Afrika ya mashariki Mweshimiwa Samia Suluhu mtaisoma number mpendwa msipende kwa heri kijana nenda shule ujifunze maisha
@antonytheodory20053 ай бұрын
Kwani mpaka raisi apige simu,mbna ni swala la mkuu wa mkoa, yani hii nchi na Mambo ya kiki 😢
@faustinedeogratias43373 ай бұрын
Ningekua mfanya biashara ningekua nsharuka nae
@salmamlokela19873 ай бұрын
Mwaka jana mligoma mwaka huu hivo hivo
@EmmanuelErnest-xd1rc3 ай бұрын
Akuna unacho zema
@yuzotv4583 ай бұрын
KWA HERUFI KUBWA,MH RAIS SAMIA MTAMWONEA TU YEYE HANA MAKOSA ,SHIDA KUBWA IPO KWA BAADHI YA WATEULE WAKE.SIO KILA SEHEMU RAIS AWEPO NDO SURUHISHO LIPATIKANE MEANS HAKUNA MAANA YAKUCHAGUA WASAIDIZI SASA ILI YOTE AYAMALIZE YEYE.
@EAM4able3 ай бұрын
Mteule kateuliwa ili arudishe nyuma juhudi za kuleta haki kwenye utendaji wa Serikali? HASHA! Mtawaonea sana wale wateule walio kwenye Mifumo ya utendaji kazi isiyo wazi. Mifumo ikiendelea kuwa hivyo, hata ukiteua watu waadilifu bado utendaji wao haitazaa matunda mema ya Kodi zetu na itaonekana si watendaji kazi wazuri. Hata hao waadilifu wakifanya maamuzi ya kujiuzuru, Bado haitabadili mifumo. Tuige mifumo mirahisi tu ambayo kampuni binafsi hutumia kuthibiti mapato yao na haileti kero kwa watumiaji au wateja wao na mapato yao yanaongezeka Kila mwaka. Hivyo kwa maoni yangu wateule si shida kuu, ila ni mifumo ya utendaji inayoruhusu mianya ya rushwa , wizi wa mapato ya serikali, matumizi mabaya ya mapato, makusanyo kutofika kunako husika, nk. Mfano ukimtumia mtu hela kwa njia ya kielektroniki una uhakika atapata yote baada ya Kodi kukatwa, lakini ukimpa mtu/wakala aipeleke cash, Kuna uwezekano mkubwa SANA mpelekaji asipokuwa mwadilifu isifike, au iibiwe njiani.. So, huenda Kodi zetu nyingi zinaishia njiani au hufika nusu nusu.. na matokeo yake huathiri walipa Kodi kwa kujaribu kuanzisha vikodi vingi ili kufidia zinazopotea njiani. e-Payment na ukadiriaji Kodi viboreshwe kuakisi uhalisi wa mlipa Kodi.
@halimoabgal50393 ай бұрын
Huyu kiongozi pia wa kubadilisha
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Keshawageuka, acheni ujinga fungueni biashara mtakufa njaa😂😂😂
@ilynpayne74913 ай бұрын
Bandari imesha uzwa sasa ata rekebisha kipi huyo ana wa danganya ana piga sim kivipi badala atoe tamko
@anicetminde33623 ай бұрын
Umemaliza kwa hekima😂
@JamesMisalabaPalu3 ай бұрын
Huyo M/Kiti ameanza kuwageuka
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Ndio imepita tena, imebaki aibu kwenu chezeya Serikali 😂😂😂😂 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
@fathermore97723 ай бұрын
Viongozi wanafiki kama hawa hawafai .kujikombakomba wakati watu wanateseka
@vicentmapunda31463 ай бұрын
Yan hpo ingekuwa hivi... hakuna kufunguwa duka!mbak system iwe imekamilika yna hakun kusubr.. mkigunguwa nao wanaemdelea kunyoosha miguu!
@mligogodfrey88823 ай бұрын
Njaa Haina baunsa kaka.
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
@@mligogodfrey8882😂😂😂😂 ndio wale anagoma kula mpaka abebelezwe wakati mji umejaa wenye njaa, jaribu tukuone anachekesha sana😂😂😂
@storytownTv3 ай бұрын
Mwenzenu yuko bize analipa wasanii wamtungie nyimbo za promo ,mitano mbele..🎉🎉😂 rip uncle John Pombe yote haya uliyaona ndo maama ukasema tutakukumbuka
@husseinkatunka75483 ай бұрын
Kwani kuja apo kunaumbali gani mpaka apige simu
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp3 ай бұрын
Tanzania niyetu hakuna kutishiana aje
@jameskunogoleka58053 ай бұрын
Aje rais nyie do wajir wenu
@PhilipoMwita-wc1ku3 ай бұрын
Chagua kufungua au kutokufungua. Hii nchi bhana nimali ya Rais sisi wananchi ni takataka omba omba
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
wananchi wameshaona nchi sio yao tena. ni mpaka wapige magoti na kujigaragara kuomba haiki zao. nchi inaonenkana wanaofaidi ni wacheche sana ambao hao wamewekwa na wananchi sie..mbona viongozi kama wamefumbia macho matatizo ya watu? kesho wanaingia mtaania kuwaomba kura na kuwa danganya watu wa wtu. ni vibay sana🥲🥲🥲🥲🥲
@cricwambali13523 ай бұрын
Mbona mwenyekiti huendi paka mgomo utokee au hua husikilizwi
@sixmundleonard21353 ай бұрын
Uko nyuma kulkuwa hakuna izo mambo 🎉
@birianination70973 ай бұрын
Mambo gani😂😂
@Kidamui3 ай бұрын
Ndo wale wale tu kudadeki tutapigana kama kenya
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Hakikisha umeachia Ndugu zako pesa za kusafirisha mwili Kijijini kwenu, chezea Tanzania 😂😂
@yousuphnzira32093 ай бұрын
@@darajalakidatukilomgi2362😂😂😂😂😂🎉😂
@yousuphnzira32093 ай бұрын
Hii nchi ina mifumo ya kipekee.
@ANNAKISIGA-pc5qs3 ай бұрын
Tuige mfano wa kemya hivi watanzania tutakuwa wema mpka lin lakin tunachezewa akili zetu oneni wenzetu kemya mswada haujapitishwa baada yakuchukua maamu magumu laki. Sisi kila siku tume tume ila watoto wetu wapo na wanaamka
@hamadsheni89973 ай бұрын
WIZARA ZINAZOTAJWA KWENYE RIPOT Y CAG. WALIO POTEZA PESA.WABANWE WARUDISHWE HAYA YASNGE TOKEA.
@PhilipoMwita-wc1ku3 ай бұрын
Saiv mama YENU amekalia mbali kabisa hataki aonekane kwamba anamakosa .. Wakati Sheria zinasema kwamba maswala yoyote yanayohusu Kodi na Tozo nimaswala yanayomuhusu rais kwasababu anapeleka bungeni bunge lenyewe ni ndio Bunge likipitisha mama YENU anasaini Sasa inakua Sheria rasmi ndiomnaanza kusakamwa na TRA na harmashauri halafu munawaona TRA wabay kumbe mama YENU ndio mbaya Kila mtu mama mama ma.a autafiri wote hapa hamna mama zenu
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Government is a systemnmade by group of people to care the country or nation
@witnesskagirigiri37633 ай бұрын
We mwenyekiti akili hazikutoshi .unaposema huko nyuma serikali ilikuwa huna uwezo wa KUFANYA majadiliano unawakosea watanzania . Huko nyuma manyanyaso hayakuwepo na majizi yalishika adabu.Acha woga kuwa imara na kwanini upigiwe simu na wenye nchi wasijitokeze kutoa kauli?
@GoodluckTarimo-u3j3 ай бұрын
Wewe ushawasalit wafanyabiashara mshamba ww Hadi unalindwa na police tz hovyo
@barakamnazareti57453 ай бұрын
Kuna ulazima gani wakuongea unaonyesha ishara ya dole gumba😂😂
@mosesmahinya96543 ай бұрын
Majibu ya kisiasa hayo mwenyekit
@lugelosanga57983 ай бұрын
Wanatuona mbumbu cc wananchi da kazi kwelkwel
@TangaMashewa-qe8kk3 ай бұрын
bado haituingii akirini tunamtaka raisi mwwnyewe
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Ndio imeshatoka hiyo kama wewe jeuri funga biashara uone kama utaenda choo wakati unamsubiri Raisi aseme😂😂😂😂😂😂
@philemornmutta15973 ай бұрын
Hapo umekosea au mbona watu wamekupgia kelele hakuna ambalo halizungumziki kaka
Endeni kazini muache ujinga kwani hii ni mgomo wa aina gani??
@darajalakidatukilomgi23623 ай бұрын
Kuiga iga mwisho wameishia aibu, fanyeni biashara Siasa waachieni wabunge majinga sana haya😂😂😂😂
@Alexismadimo3 ай бұрын
M nadhan wangetawanyika wasinsikilize tu
@Mumewangu3 ай бұрын
Lazima wasikilize ili na wao wajenge hoja
@afropatriot77693 ай бұрын
CHAWA
@knight67573 ай бұрын
🤔🤣
@rkcomercialenterprises32093 ай бұрын
Rais atoe press conference
@ilynpayne74913 ай бұрын
Hawezi toa tamko ye anakula maisha
@hassankongolilo84083 ай бұрын
watuachie inchi yetu wameshindwa kutuongoza basi.
@deogratiusyudatadei56583 ай бұрын
Kwani huo mgomo umeanza leo acheni kuona wananchii ni wasengee sana
@Kabwela7763 ай бұрын
Si Samia anawachekea enzi za Magufuli wasingethubutu kufanya mgomo JPM hakuwa mtu wa nonsense!
@TangaMashewa-qe8kk3 ай бұрын
bora huyu kaongea kiustaarab sio charamira sijui kasomea wap
@samsonsimon31383 ай бұрын
Ni mpuuzi huyo akaangizwa na akaingiziwa ujinga kichwani mwake , magu alikuwa hapendi kuona maandamano ya vyama pizani tu ambayo hayana faida lakn migomo kma hii do alikua anawahi kuitatuq