ANGUKO la VIONGOZI wa kidini TAnZANIA laonekana. Toba Toba Toba
Пікірлер: 9
@rastheuniqueАй бұрын
Eeeh Mwenye Enzi Mungu Turehemu sisi waja wako😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@marympochela7903Ай бұрын
Amina sana mtumishi wa MUNGU, Elijah
@Elijah-TheSeerTvАй бұрын
Blessings
@richardmariki45122 ай бұрын
Pata habari ya leo juu ya askofu shoo.soma nipashe
@mabondolawrence18123 ай бұрын
Siyo kwa viongozi wa serikali tu bali hata ndani ya makanisa wamekuwa watafuta pesa na mali hawakemei dhambi bali kulea wadhambi ila wenyepesa, hawajali maslahi ya injili bali kila jambo linaenda ki maslahi, Mungu shusha moto watu hawa wazinduke!
@janengaga29283 ай бұрын
Shusha mapigo MUNGU MKUU maana viongozi wengi wa kidini wanawaza na kufundisha na kuwa na tamaa nafedha na madaraka tu.Hawafundishi kumcha MUNGU na utakaso wa roho na mwili.Ajabu kuu
@edwinmbunda67093 ай бұрын
Bora Mungu afanye hilo.....viongozi wengi wa kidini wamekuwa mabepari
@matiredms9173 ай бұрын
Hakika mtumishi. Viongozi wa kiroho kama Malasusa ni wanafiki kupitiliza kiasi. Hakika Mungu atampatiliza kwani amedhalilisha KKKT Tanzania kabisa. Malasusa ni msaka fedha za kanisa tu.