Nimeona Tena zaidi ya mara Mbili Dk. Bishop Josephat Gwajima atakuwa Raisi wa Tz 2025. utatokea mpasuko mkubwa Sana CCM lakini MUNGU amemchagua Bishop Gwajima Kuwa Rais
Пікірлер: 139
@samwelmwakipesile80704 ай бұрын
Ninaomba lile lililo kusudi la Mungu likasimame yalio makusudu ya Wanadamu ninayaangusha katika Jina La Yesu.AMINA
@Maryc2G4 ай бұрын
yes. Bishop Joseph Gwajima, kweli, kweli. Wengi tumeona lakini sikupewa time flame 🔥. Mungu atimilize maono ya wengi, Asante Mtumishi wa Mungu umesema ukweli
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
2 Petro 1:21 [21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
@msamgunda7684Ай бұрын
Roho mtaka kitu@@Elijah-TheSeerTv
@tabithakajuju1374 ай бұрын
Waaaaaw! Tunamsubiri...Awe awe awe aweeeeeeee❤
@user-zm7ie5lg1kАй бұрын
Let it be in Jesus mighty name. U deserve the sit. You are full of wisdom.
@SmilingFlowerBouquet-hs2hvАй бұрын
Naiwe ivo kwa maana gwajima ana hofu ya mungu tutashukulu sana mungu tenda muujiza
@christianmurhula89494 ай бұрын
Namiye nimesha ona mambo haya, mara na kwa mara. Na nika baanbia Watanzania wengi. Mwezi wa ine 2023
@maryworkman635Ай бұрын
Mimi hapa naona ni kumuombeya Gwajima, na kama ni ukweli MUNGU, atatumiya mtumishi wake wa kweli. Wewe umesema hutaki kumtisha Mama Samia na mbona umeyasema hote hapo, jumani tuzipimeni hizi Roho tujuwe ni kweli za MUNGU au? Na tuanzeni kuwaombeya sana Wachungaji shetani anawatumia sana sahi anajuwa hana muda uko mbioni sana, na Wana wa YESU tuamkeni piya tupendane na tuombeyane, YESU atatushindiya yote Amena!
@EvethaMpakasiАй бұрын
Amen
@user-iu4du7ws6sАй бұрын
As Kody Gwajima anafaa sana hâta ukisikiliza kwenye Bunge tangu anaingia hoja zake zote Zina NGUVU sana ukilinganisha na wenzake, ana maono y’a msingi
@WiselightOfficial2 ай бұрын
Nitampa kura yangu kbisa❤❤❤my president josephat gwajima
@mazibondahamika58574 ай бұрын
Utamuletea vita kali kwa bure , na hatakama ni kweli umeona ungeita hekima kwa jambo hilo sababu unahatarisha maisha ya Gwajima na wanao kuwa naye.
@nurumwita903417 күн бұрын
Uzuri wa hii nchi wanapuuzaga hizi nabii
@AbubakaryOmary-m6l8 сағат бұрын
Unabii unasemaje kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Watabiri mtamletea Gwajima zengwe, angalieni sana jambo hili.
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr4 ай бұрын
Amina mtu ishi niombee pia mimi ni kijana nina changamoto nyingi uhakika natamani kumjua Yesu Kristo na kumuabudu katika roho na kweli,majina yangu ni mganga ruban
@barakalawrence7424 ай бұрын
Nashauri umtafute Mchungaji aliye karibu nawe, akuongoze yanayokupasa uyafanye kisha uendelee na Yesu Chini ya Mchungaji anayetakiwa akuchunge
@mgonzamsuya20394 ай бұрын
Nijuavyo Mungu amesema asi kuhusu Hilo lakini ukweli utatokea ugomvi mikubwandani ya ccm na gwajima atateuliwa na ccm na atachukua nchi
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur21 күн бұрын
Kusudi la JEHOVAH MUNGU Litimie
@EmmanuelMajele-ny2hk3 ай бұрын
Sio kwel gwajima hawezi kuwa rais
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
Pole sana
@user-fx4pr4vp8p8 күн бұрын
We ninani mbaka upinge hayo
@festinamwakipale391922 күн бұрын
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
@sophiamalinga184 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@vumiliambogela8413Ай бұрын
Naiwe hivo kwajina LA Yesu
@musakatwale19593 ай бұрын
JPM IN BLOOD
@nurumwita903417 күн бұрын
Huuu unabii kuna mtumishi wa Mungu ni wa kijijini ata smartphone hana aliambiwa na Mungu 2025 Rais hatakuwa samia ila hakuambiwa raisi atakuwa nani aliambia Samia hataendelea
@elishampoki87513 ай бұрын
Jamani mtu unapoonyesha Siri na Mungu,unapewa kazi ya kuomba ,sio kulopoka ,Kama umeona katika roho unatakiwa uingie Tena katika roho kwendelea Kuomba ,kuwa Kama niwewe Mungu umesema Basi litimie Kama sio wewe lisitimie jama mbona mnakosa Hekima waonaji tutawamini vip Kama nikweliiiii ,
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
Hiyo ni kazi ya Watoto wachanga kiroho. Hata ufafanuzi wako ni wa kitoto. Ukikua utaelewa Ni Nini maana ya kutoa Maono yanayoihusu nchi kulingana na Mamlaka ya aliyetoa Maono
@feliciankabasa89952 ай бұрын
Baadae ikitokea ndo aseme kwamba niliona,unabii hauko hivo,unabii ukiona sema ila baadae ikitokea MUNGU atukuzwe na inulikane kwamba alisema kupitia mtumishi wake,..uko sawa mwonaji MUNGU azidi kukupandisha viwango zaidi
@brightergermanus216315 күн бұрын
MASWALA YA KIROHO NI NGUMU KUFANYA SIRI, KWA SABABU UKIKAA BILA KUSEMA WAKATI MUNGU AMEKUAMURU USEME, NI HATARI . SASA JE? NI VEMA TUMUOGOPE NA KUMTII NANI MWANADAMU AU MUNGU ? JIBU NI KWAMBA MUNGU PEKE YAKE NDIYE ANASTAHILI KUTIIWA. WATU WOTE TUMTII MUNGU
@user-vq3zu8ne9b4 ай бұрын
Ikiwa hvo ataokota kula nyingi mno
@hajiramadhanihaji3553 ай бұрын
Ni kweli kabisa gwajima hawezi kuwa rais.
@barryhezron27644 ай бұрын
Mtumishi uko sahihi na maono2025 Mungu alikuonyesha,usisahau maombi vita nikali sana mnaposema live muhisika mawindo yanakuwa......)lakini kama Mungu aishivyo mabaya hayatampata kwa jina la Yesu
@margarethsolomon98234 ай бұрын
Umewaza kama Mimi kiukweli.
@ZENAMHUMBA4 ай бұрын
Kama Bwana asipolinda mji walindao wakesha Bure,Mungu kamwambia aseme means atamlinda pia.
@nicodeleva82074 ай бұрын
Mtumishi uwe makini ktk maono yako si kwamba ukiona leo jambo hilo linatokea leo inawezakuwa hata miaka kumi ijayo na si kila uonalo inabidi ulitangaze kwa umma labda uwe umeelekezwa na Mungu kufanya hivyo,acha kuropoka kwa kutaka sifa na unayoongea hayo hakuna Mtu anakuunga mkono kwanza unamhalibia Gwajima acha siasa hubiri Neno
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Waefeso 4:7 [7]Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo.
@anafikamugisha8834Ай бұрын
Natamani SANA sanaaaa Hata kura nitapiga SANA huyu ni MTU mwema SANA na ni Mtumishi wa MUNGU wa Kweli. Gwajima ni ana sifa zote za kuongoza taifa letu.
@thomasmwakatobe820723 күн бұрын
Mmmmh sijui ila Mimi namwona tena Mama Samia tena ndugu
@alexmzumbwe13283 ай бұрын
Hilo liko wazi saaana
@robertwottson910025 күн бұрын
Ni shauri kwamba ni vzr jambo kama hili kuwa Siri na si mitandaoni. Mama yetu Samia akimaliza kipindi chake ndo jambo kama hili lingefaa kusikika ila Kwa sasa nikumchanganisha na mwenekiti wa chama(ccm). Mm nijuavyo baada ya mama Gwajima ataongoza kupitia ccm. Na bora bishop Gwajima asieleweke kuwa amewatuma wanaotoa taarifa hizo. Hata mm najua bish.Gwajima ni Rais ajaye baada ya mama.
@happymrema7487Күн бұрын
Yan huyu hatumtak kabisa mb aje kijan makond
@user-zp6kv3ir3v4 ай бұрын
This could spell good to the Nation, however, some prophesies may spell bad to the appointed,no wonder, Samuel did not anoint David publicly..... narudia, Samuel alimuendea Yese pole pole na bila kijiji kujua ili kuhepusha shari.....sijapingana na unabii ila Amani ya pande mbili mhimu
@@Elijah-TheSeerTv Kwa Mungu lolote linawezekana ila mimi kwangu sioni ni Sawa kuliweka hadharani,my take on this
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
@@user-zp6kv3ir3v Mpaka limewekwa hadharani lazima ujue limeruhusiwa. Ni mengi mtu anaweza kuyaona lakini yapo anayoruhusiwa kuyasema mbele ya public
@gp.mavukiro62204 ай бұрын
Una tafuta kiki Mtumish
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
@@gp.mavukiro6220 pole
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Hivi mnawaona watanzania ni matahira wamchague gwajima?
@KokoloLambinguni4 ай бұрын
Hana ubaguzi wa watu yeye ni mkristo lakini kwa waislam na dini nyingine yukonao bega kwa bega na nikiongozi mwenye uluma sana na watu
@AlodiaAlodiaaloyce4 ай бұрын
Nalitokee kwakweli, mimi binafsi namuelewa sana.
@festinamwakipale391922 күн бұрын
Mungu hana.haraka.gwajima.atakuwa.rais.Tanzania ila haieleweki tuendelee kumuomba.Mungu.wakina.yehu.waliambiwa.watakuwa.wakasahaulika.baadae ikawa usiingie kimwili utaiharibu.Tanzania.ulimwengu.wa loho unaonyesha.gwajima.ni.raisi lakini muda haujaonekana.wito.wa Mungu.hauna.majuto Askofu gwajima aendelee kuomba na Tanzania kwa ujumla
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI LIHIMIDIWE MILELE!
@mustie58914 ай бұрын
Ndoto za mchana hizi. Lots of Hallucinations
@micahnjoroge3685Ай бұрын
Atakosana. Na Mungu kabisa. Na wewe na bii tumia hekima. Kwa unabii wako. Usiwe hio ni mapezi yako
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Sio kweli
@janethsadock45594 ай бұрын
Mnalichafua jina Yesu,na nyie ndiyo mnafanya ukristo usemwe. Vibaya
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Ukikua utaelewa kila anasema Roho wa Mungu. Kwa Sasa vumilia tu ukue hatua kwa hatua
@ntibashirinzigo4 ай бұрын
Ombea taifa punguza udaku
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
@@ntibashirinzigo ombea wewe unaejua kuomba. Au unifundushe kuombea
@melanialeonard40314 ай бұрын
Duuuh asipokuwa raisi unyongwe mpk ufe mbela ya watanzania😏😏😏
@DeogratiusAndrew-zi7zv4 ай бұрын
Jina la Yesu limetukanwa kabla hujazaliwa
@yordanyona123419 күн бұрын
Naaamini
@blessingcharles-lc1rrАй бұрын
Mtumishi ukko sahihi lakin utabiri Kama huu uliwakutolewa na shekhe yahya baada ya mwanamke upinzani utatawala Sa mimi najiuiliza haya mambo ya kiroho ni ajabu
@sendemwasende44583 ай бұрын
KIKUBWA TUMBEMBE KWA MAOMBI KUSUDI LA MUNGU LITIMIE
@josephmwakabelele23924 ай бұрын
Ngoja tyone
@KokoloLambinguni4 ай бұрын
Tumepewa nchi na bahari tuvitawale kwaiyo kama atakua Gwajima jua tutakua mikononi mwa MUNGU kwanza hanaga ubaguzi wala na anaakili za kutuongoza na maisha yakawa mepesi bila kutegemea wazungu mala misaada
@Maryc2G4 ай бұрын
Kweli, kabisa namuombea mema
@adamsonmwaisumo67913 ай бұрын
Angalia maneno yako
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
2 Petro 1:21 [21]Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. Nakupa pole wewe uliye gizani usiyejua kwamba MUNGU huwa anaongea kupitia WATUMISHI wake kwa kuwapa watu TAARIFA. Yaweza kuwa wewe ni mkristo mfu
@nabiimgongolwa8728Ай бұрын
JAMANI ACHENI UHUNI MBONA SASA MNAMUHARIBIA GWAJIMA
@angelsulle71773 ай бұрын
Hizo ni ndoto,Gwajima labda mtajirisheni kwa kupewa tonge anyamazeee!!!
@michaelrweyemamu10684 ай бұрын
Kwa mwakani ni uongo labda 2030... Hizi tabiri zenu ni mihemko tu
@Shalom8034 ай бұрын
Mnaropoka sana
@christophersikaonga44124 ай бұрын
Je mm nitakuwa lini raisi
@trophywilson72113 ай бұрын
2040
@lightmashauri1725Ай бұрын
😂😂😂
@asungushepatrick54144 ай бұрын
Watu tulishaona kitambo, huyo naona anakomaa na urais ambao kimsingi hata uwezo wake haujathibitika.
@BahatiSinkamba-yu2dr3 ай бұрын
Uongo rais ni samia
@isaacmollel3453 ай бұрын
Tofautisheni sauti yaMungu na mashetani😊
@nelicekelly62893 ай бұрын
Jaman lisemwalo lipo,nimeshasikia mara nying kuhusu huyu mtumishi kuwa rais,inaweza kuwa kwel jmn
@franksingano95043 ай бұрын
Kweli kabisa hata mimi nimesikia mpaka manabii wawili kutoka nje ya nchi wakimzungumzia Gwajima kuwa Rais na manabii wa ndani watatu ikiwemo huyu
@user-ix5jq9ks6q4 ай бұрын
Acha attendee haki
@studio..074 ай бұрын
Umekosa kazi kalale uote tena😂😂😂 lowasa aloshinda 2015 kilichotokea sasa maono nayo yalipindishwa ndio kwaanza kuona hata kusudi la mungu kupindishwa😂😂😂
@abdullramadhanii6264 ай бұрын
Hata weza kuwa raisi labda raisi wa kawe
@AshilatAbas-qe4fh4 ай бұрын
Iyo imepita asee
@isaacmollel3453 ай бұрын
Tofautisheni.ndoto maono.naufunuo.ngwajima niAskofu.ktk.kanisalake.Anaweza kuwa.Rais ktk kanisa lake.kwasababu.ameandaliwa.nakuaminiwa na watu wake inawezekana muonaji kaona hivyo chadema niwatu makini usimlinganishe.ngwajima na lowasa chadema.tunaviongozi wazirituu wachungaji kaeninakutafarini sana latoya sauti ya Mungu aliyehai nasauti yaasheyani
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
Subiri ukue kidogo usilazimishe kuelewa Mambo yanayokuzidi kifikra
@maikolema61404 ай бұрын
Tapeli weww
@AgustinoMsemakweli-om7qx3 ай бұрын
Ndoto siyopato mama bado atendeleakuwa rais tu hili halina ubishi.
@user-nn7uf1mr7x4 ай бұрын
Wee msenge nn
@trophywilson72113 ай бұрын
Sasa Chadema Mbowe Hawezi kugombea Mwenyewe??
@ibramakula23033 ай бұрын
Na siku asipokuwa rais uo mwaka uache na kuhubiri
@cosmasshauri90024 ай бұрын
Mtumishi unahitaji miwani ili uone sawa sawa,
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Nitafutie tafadhali
@HosianaBuuta2 ай бұрын
Watu wa Mungu SI Kila mambo ukionyeshwa na ni ya kuongea mtandaoni,hekima inahitajika
@Elijah-TheSeerTv2 ай бұрын
Pole Sana
@Mahershalalhashbazi-kf6xiАй бұрын
Siku ya kuapishwa rais utauweka uso wako wapi?
@edwardkasubi5135Ай бұрын
😂😂😂Yaaaaaaani Taifa lina matatizo kibaoooooo hamuonagi Solutions ila mnapewaga maono ya nani atakuwa RAIS ? Wachungaji kama wewe mna mchango mdogo sana ktk TAIFA
@vumiliambogela8413Ай бұрын
❤💟❤💟💕🖐🏻🖐🏻🖐🏻🙌🏻🙋🏻🙈😀😀😀😀
@KudraWanguvu-em1xw4 ай бұрын
Wazimu unanamna nyingi hiyo nayo ni moja wapo wa fani ya wazimu mmesnza mambo ya Makenzi wa Kenya hivi nyinyi wakristu mna nn subirini muone
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Uupokee huo wazimu kabla mwaka huu haujaisha. Na itakua ivyo
@trophywilson72113 ай бұрын
@@Elijah-TheSeerTvmtumishi wq kweli si wa kukasirika kila kukicha ,Punguza hasira hii dunia ina mengi
RAISI NI YULE ATAKAEPATA KURA HALALI TU.NA ATAKAEJARIBU KUZUIA KWA HILA LITATUMIKA JESHI LA BWANA KUWAKOMESHA WASIOPENDA HAKI KUANZIA MITAA HADI TAIFA
@annevilembwa49504 ай бұрын
Neema itoshe
@Hapomwanzo3 ай бұрын
2025 nitakuwa ni mimi hao wengine bado sana.
@trophywilson72113 ай бұрын
hahahha
@HosianaBuuta2 ай бұрын
Kweli kabisa
@alicekilima65293 ай бұрын
Gwajima chukua form ya urais usipuuze wewe Ni rais 2025
@livingmunisi59633 ай бұрын
Kueni makini na nabii zenu
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
Subiria akili yako ipevuke kidogo utaanza kupata Nuru ndani yako na kutambua THAMANI ya MANENO ya MUNGU yanayotoka kinywani mwa masihi.
@isaacmollel3453 ай бұрын
Wachungaji.acheni kuwapotosha.watu.huu unabii mnatoa.wapi kitabu kipi asipokuwa sasa tuwamini.kinanani? Ngwajima hawezi kuwaRais hata.akihama chama.Nabiii tupe andiko.mnasema.tuu bila kutoa maandiko
@Elijah-TheSeerTv3 ай бұрын
Endelea kuvumilia na kunyenyekea chini ya madhabahu ya babayako
@festinamwakipale391922 күн бұрын
Ukute ni miaka.ijayo.maana Mungu.hawahi.wala.hachelewi.msije mkaanza.kuleta.lazima.apite tuende.taratibu watanzania mama samia alisogezwa na magufuli mama samia atamsogeza.gwajima msilazimishe.acha.Mungu.afanye.mambo.yake mm namuona.gwajima.2030.lakini.2025.ni.samia Mungu.mwache.atende
@rehemagunda10333 ай бұрын
Naiwe hivyo Kwa jina la yesu
@christianmwabukusi81324 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@silvanusmwamlima7734 ай бұрын
Acha uchonganishi wewe Gwajima ni mbunge wa kawe.
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Nadhani aliyemwonyesha Mchungaji hayo Maono hajui kuwa Gwajima ni mbunge wa kawe sio?
@user-zp6kv3ir3v4 ай бұрын
Na huku kumbeza pia hakuna maana yoyote manake michuano ya kufikia top 5 iliyotuletea Dr.J.P. Magufuli,no one expected him among even top 10 aspirants.....just like the brothers of David least expected him to be the killer of Goliath,bandidu lililotishia Israeli.Mkubwa wake na Daudi alikua anamwona kama shabiki aliekuja kutazama pambano but ukweli kumbe ndiye mpambanaji
@samsonhamery38094 ай бұрын
Wewe si mwonaji bali unatoa yaliyojaza moyo wako.
@Elijah-TheSeerTv4 ай бұрын
Pole, na MUNGU akuokoe kwenye hiyo roho ya uzinzi la sivyo utaangamia
@samsonhamery38094 ай бұрын
@@Elijah-TheSeerTv Nani kakupa wewe malmaka ya kuhukumu Watu. Roho ya uzinzi hukaa katika vinywa vya Uongo. (2) Tafuta viewers kwa busara siyo kutumia Roho ya uongo kutaka kuchonganisha Mtumishi wa Mungu na Serikali na kuleta mtafaruku Nchini. Ninyi manabii wa uongo hamjajifunza kilichotokea Rwanda Nabii Kama hizi zilipelekea mauaji ya kimbali Rwanda.Embu hubirini Injili acheni kubadhiri mambo ya uongo.
@nuswemwakasala86874 ай бұрын
Kuna mtumishi kaishatabili hivi hivi
@festinamwakipale391922 күн бұрын
Ndio maana paulo akasema hata akili zangu nazitumia mama samia alisogezwa na magufuli.shujaa wa africa na magu.Mungu.kampenda.zaidi mama samia.asipotawala 2025 basi magu.hukumfanya awe makamu.wa raisi Tanzania gwajima miaka ijayo.2025.mama.samia.ataongoza.akili za kibinadamu zitumike ikiwa shujaa wa africa alimteua.ataongoza Wantanzania tupunguze maneno mabaya yatatuhaibu.tabia.zetu
@EvethaMpakasiАй бұрын
Tuombe tuombevtuombe watanzania kusudi la Bwana lisimame,lisimame