FOLLOW US BY CLICKING THESE LINKS BELOW: INSTAGRAM: / edmound_mys . . KZbin: / edmoundmuye. . AUDIO PODCASTS: player.fm/seri.... . FACEBOOK ACCOUNT web.facebook.c.... . church.heavenl...
Пікірлер: 229
@deborahmwaipopo8337 ай бұрын
Tunapotoa comments, ni vyema kujua namna ya kuandika neno la muumba wetu. Ni Mungu au ukipenda andika MUNGU, HATUNA neno mungu likamaanisha Muumba wa Mbingu na Nchi. Pitia Biblia na tuone inavyoandikwa. Ameeen Ameeen, Shalom Maranatha.
@stephenkalidush54462 ай бұрын
hilo ni dogo sana herufi kubwa iko moyon, unaweza andika herufi kubwa ila moyon hayupo. lakn asante kwa ukumbusho mzuri
@usembiphonedar56326 ай бұрын
Mapenzi ya Mungu yatimie,Amen.Ccm ife kama inavyouwa wengine!
@rastheunique6 ай бұрын
Tena ife na ioze kabisa japo hatutaisahau Kwa ilichotufanyia
@personpeter22215 ай бұрын
Hujausikia unabi unasema watashka serikali za majimbo
@mariamfaicalhassan28908 ай бұрын
Bwana tunamuomba Mungu atuletee mtu kama JPM
@frankjohn87067 ай бұрын
Nani alimuondoa
@mariamfaicalhassan28907 ай бұрын
@@frankjohn8706waliomuondoa
@mariamfaicalhassan28907 ай бұрын
@@frankjohn8706nyie majambazi
@rastheunique6 ай бұрын
Jpm nammiss ila kamwe asitokee kiangozi kama huyo tena Tanzania! Ilikuwa ni ajali
@sethymagyo34055 ай бұрын
Una roho ngumu wewe dada
@solomoneglesias97527 ай бұрын
Nitamuombea Samia kwa kuwa tu imeandikwa,, waombeeni mema maadui zenu ila moyo wangu uko mbali kabisa nae so aruhusu katiba mpya ili wizi ukome ktk nchi hii
@rehemakanyere41887 ай бұрын
Naungana na wewe
@rosemuhandoofficial56768 ай бұрын
Amina NABII wa Bwana
@ryobanchagwa24996 ай бұрын
Rose nimefurahi kukuona king wa Muziki wa injili
@edmoundmystic6 ай бұрын
2:56 wa kwangu…Prophecy has began to be fulfilled.
@JosephLeonardMatemba6 ай бұрын
Suree prophecy confirmed kbsaa Mambo yasha anza
@Gaynor12347 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe ulio wazi. Na iwe vile Mungu mwenyewe apendavyo kwa Jina la Yesu. Amen
@patrickJosse-t7hАй бұрын
Tunachoomba Huyu mama asiendelee kuongoza inchi 😂😂tunapigwa mno
@ustawiwetu7 ай бұрын
Kama sijaelewa vizuri namba 4 ni Kikwete, 5 Magufuli na 6 ni Samia
@magrethmbuma30457 ай бұрын
Ndiooo
@kepharichard4183Ай бұрын
Kitu ambacho huwa nashindwa kukuelewa ni unabii wako unavyokuwa unauongea kwa mafumbo, wakati manabii walikuwa wakiongea direct na kutoa solutions ili jamii na uongozi ujiandae au ubadilike. Lakini manabii waleo utadhani Mungu yupo mbali nao. ni jamaa mmoja wa arusha @huduma ya kristo you tube ndiye anaenda direct
@brunomchalla44397 ай бұрын
Huo sio utabiri ila ni UCHAMBUZI wa hali ya kisiasa nchini. 😮Tunajua mgawanyiko ulioko ndani ya CCM kwa sasa. Tunajua jinsi upinzani unavyozidi kujiimarisha kwenye mikoa yote. Tunajua mkakati unaofanywa wa kuwa na Tume ya Uchaguzi itakayo hakikisha Chama fulani kinashinda.
@elibarikimollel71497 ай бұрын
AMEN Mtumishi wa Mungu aliye hai. Hakuna kundi lolote linalomuishia MUNGU wa kweli aliye hai...! Tunamuombea yupi kati ya hawa wasioamini?! Nabii wa Mungu, je, sio sahihi tukiomba kwaajili ya Taifa lote badala ya makundi haya?
@PascalPascual-rn6fx8 ай бұрын
Pascal Bujimu classmate wako shule ya msingi, nafarijka sana kwa hatua uliyofikia Mungu akubariki sana katika huduma yako.
@Shedrackwilfred Nuhu alitumwa na Mungu hilo halikupi shida. Yohana alitumwa na Mungu, hilo nalo halikupi shida. Moses Kulola alitumwa na Mungu najua haikupi shida. Unataka Mungu amfufue Nuhu wa Biblia aje Tanzania aseme ndo utaamini n Mungu anaongea?? Ni nani ulitamani Mungu amtume, na mwenye vigezo gani ungemsaidia Mungu kuchagua! Fungua macho yako uone jinsis maisha yako unavyoyaingiza penye jangwa!
@Shedrackwilfred7 ай бұрын
@@edmoundmystic ndugu Kama Umeweza Muita Geodavie Mtumishi wa Mungu basi *ni wazi njia unayoipita sio ya Kweli*
@SuperGenius-t6o7 ай бұрын
Acha Mungu awafyeke wote walioharibu nchihii tukiwaombea wanakuwasalama wanaendeleakuharibu nchiyetu.
@NeemaRamadhani-wm8vv2 ай бұрын
Amina mchungaji naomba tupate kiongozi bora ajaye.
@YusufuNyangusi6 ай бұрын
Mungu akurnde hofu yangu usje ftwa kwenye uso wadunia maana unayaweka lehani maisha yako' talatbu unawatoto tofauti naiman yako ebu tzama yesu mwenyewe aliumizwa unaongea mwri wangu unatetemeka navja jasho mungu akurnde mtumishi.
@FelistaMushi-n8n8 ай бұрын
Mapenzi ya mungu yatimiye . Amen
@qmanelikemwenda26218 ай бұрын
Hakuna unabi hapo. Ila ni uchawa na kujipendekeza tu. Kweli makanisa ya kujipendekeza ni shida tu.
@MeruWilliam-w9n8 ай бұрын
We pumba tu mambo ya rohoni hujulikana kwa jins ya rohon
@AverinaShirati6 ай бұрын
Kanisan mambo siasa Nini
@mrhekimasuleiman3884Ай бұрын
Mtumishi halisi hana chama, Kazi yake kuombea watu wote, ni wakiri wa Mungu anaye wanyeshea mvua wanao amini na wasio amini, wala kwenye siasa hayuko kabisaa, kwani imeandikwa kila alitajaye Jina la Bwana na auache uovu! uliona wapi mwanasiasa ameacha uongo.
@alphoncewilliam43257 ай бұрын
Mama aligeuka mipango ya magu kuusu taifa
@NeemaJoseph-uo2gw7 ай бұрын
Kusudi la MUNGU litimie katka nchi yetu tupate kiongoz mwenye hofu na MUNGU tu bas
@OzonMwangosiАй бұрын
Aminaa,mtumishi wangu wa ibrahimu na isaka,mungu azid kukuonyesha na jina lake libarikiwe sana,ntajinyenyekeza mbele za bwana ili atakaporud nimlaki mawingun,mungu aisaidie tanzania
@lemalema52218 ай бұрын
Kazi nzuri classmate...nakuona mbali sana..Mungu akusimamie
@edmoundmystic8 ай бұрын
Ameen
@samuelmakara7 ай бұрын
Wewe ombea katiba ambayo itaweka wagombea katika mizani sawa.
@pastorabraham75518 ай бұрын
Nalipokea Neno la Bwana .
@WamoyothenumberoneАй бұрын
Sina neno japo unaongea yaliyoo mazitoo
@c.bproduction25767 ай бұрын
Amen. ..Camera man na editor jitahidini muaplod material ambayo ipo clear mtumishi aonekane sisi tunaona gizagiza tu
@MicahLutambiАй бұрын
MUNGU atuepushhe na dhoruba hiyo nchini TANZANIA amen
@ilovemiginamygodblessumany24663 ай бұрын
Nitumie namba yako mtumishi nifanye jambo
@ahazichunya42652 ай бұрын
Hakika Mungu amekuita kutusaidia katika macho ya rohoni tutambuee yatupayao kutenda mbele za Muumba wetu Mungu wa Mbinguni akutunzee
@graceshayo57637 ай бұрын
Jmn hakun mtu ambaye ni nabii Mungu pia amemwonyesha haya ili unabii uwe na usibidiashwe
@MSHUA1985Ай бұрын
Huyu nabii ni msenge Sana tena ni nabii wa mchongo sasa hapo anahubiri injili au anasimulia hadithi alizozitunga mwenyewe na waumini wake ni kama mazuzu wanavomsikiliza Aache uongo na atafute kazi ya kufanya nabii choko
@WamoyothenumberoneАй бұрын
Wewasema ila chunga sana kinywa chako wekijana,usiwe kam yule aliyekuw na YESU msalabani
@jumamario-vr1mwАй бұрын
We mwenyewe no Zuzu kwakuwa umemusikiliza
@CecolenaMalliya3 күн бұрын
Chunga maneno yako
@AnneyAmablique-tw5mi7 ай бұрын
The prophecy is very clear what we all need is prayers. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@JulianaSanga-h1f7 ай бұрын
Nabiii ubarikiwe na bwana na Mungu aendelee kukupa maono zaidi naamini napokea unabii kwaj kina la yesu
@SeperaKahabukaАй бұрын
Mbona wote wanatabili makundi?mabaya?
@rosemuhandoofficial56768 ай бұрын
Amina NABII wa Bwana
@edmoundmystic8 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@esterndullu3908 ай бұрын
Sina mashaka na unabii huu Maana huyu Mtumishi wa Mungu amewahi kuongea vitu vitakavyotokea kwenye Maisha Yangu 2023 na alisema 2021 na vikatokea🙏
@memoryngambi75708 ай бұрын
Nahitaji maombi yako mtumishi
@endeshyamat67738 ай бұрын
😢😢😢😢
@MichaelMjika2 ай бұрын
Kama ni manabii kwanini msiwatabiliye wanao angamia na
@AlphaBukuku-f9j2 ай бұрын
Acha siasa bro mungu sio wa mchezo wanao kusikiliza ni wengi kwanini uciongee yanayo Toka ktka biblia acha ubbaishaji
@JoshuaNzali2 ай бұрын
Wewe ni Mungu..!?
@RizikiVincent7 ай бұрын
Poleni sana afrika sida tu usaliti utaisha lini?ni ole ole kabisa
@fredrickjohnson26926 ай бұрын
hawachelewi kujiita UFUNUO WA YOHANA🤣🤣🤣MUNGU ATUSAIDIE HAWA WATU WANAPATA HSBARI HUKO KWENYE VYAMA VYAO VYA GIZA ,KISHA WANAJIFANYA KUTOA UNABII
@christinewomanoffaith54797 ай бұрын
Ndo tunachotaka Mungu atamweka anaeona anafaa
@ibrahimgwasma2357 ай бұрын
Sina shida na unabii wa uliooteshwa ,lkn swali langu ni kwamba tutaaminije kuwa niya KIMUNGU
@sabinaboas67608 ай бұрын
Mungu isaidie Tanzania
@EustochiaJohn8 ай бұрын
Mamayetu amjiingiza kwenye vita isiomhusu kwahio Mungu atamazibu. Yeye nakikwete mshauri mbaya wataazibiwa vibayasana😂
@reginaldmapunda67023 ай бұрын
Unabii gani unaandika notisi kama darasa la saba. Jamani hayo mawazo au fikra zako ukiziongea bila kumsingizia Mingu kunashida gani? Waovu wengi wanatimiza maleno yao kwa mgongo wa dini. Narudia tena hakuna unabii kama huo bali kuna mipango kama hiyo hiyo inayopangwa na watu haohao .
@edmoundmystic3 ай бұрын
Kuna shida gani mtu kuandika maono aliyoyaona? Au hujasoma Habakuki 2:2? Rudi usome biblia vizuri. Prophecy zote zilizo kwenye biblia including za kuzaliwa Yesu kwenye kitabu cha isaya, Majuma 70 kwenye kitabu cha Daniel, Sanamu na falme nne alizoona mfalme Nebukadneza kuhusu mambo yajayo YOTE YALIANDIKWA KABLA HAYAJATIMIA. Na ndo maana leo unasoma! Ufunuo wa Yohana Je, huo si unabii?? Yesu mwenyewe anamwambia Yohana andika maono haya!! USIPOTOSHE WATU Kwa kutolijua neno!!
@reginaldmapunda67023 ай бұрын
@@edmoundmystic Hata mimi naota ao kuoteshwa lakini ifike mahala tuheshimu uwepo wa Mungu na kuacha kumfanya Mungu kama kichaka cha dhamira zetu. Alichopanga Mungu kipo tu hata kisiposemwa au kuandikwa na Mungu alishasema na kuandika kila kitu kuhusu mwisho wetu na huu unabii wenu ni kasehemu tu ya unabii mkuu ulioandikwa na wala hauihusu Tanzania tu bali kwa ulimwengu mzima. Sasa kama unaona kila mtu anahaki ya kuandika au kuongea anachooteshwa kwa nini uniulize kuhusu hicho nilichooteshwa kuwa huu sio unabii wa Mungu bali ni wa mtu au watu kwa dhamira zao nzuri au mbaya. Manabii tumekuwa wengi mno na woote tunaiandama Serikali tu kwani huyu Mungu alituagiza tuifuatilie na kuikosoa serikali au ni kumpinga shetani ? Nani wa kusakamwa kati ya viongoxi wa serikali na shetani ? Hii serikali inaongozwa na waumini wetu ambao licha ya uwingi wetu tumeshindwa kuwajaza NENO la uzima na sasa hawana hofu ya Mungu tena kwa ababu ya udhaifu wa viongozi wa dini. Tumemwacha shetani akiteka watu wetu na badala yake tunatishana binadamu kwa binadamu huku HUKUMU ya Siku ya mwisho inatusubiri bila kujali kama wewe serikali au Nabii au mchungaji au askofu au shehe. Kwa nini mnahangaika na serikali ? Hangaikeni na waumini wenu ndio wanaoiongoza serikali. Mnafeli wapi nyie manabii?
@امزكرياالجابري-ه7ق6 ай бұрын
Amina mtumishi tuombe sana jamni.usiogpe kufa kimwili maana utaurithi ufalme wa mungu muumba mbingu na ichi
@livingmunisi59637 ай бұрын
Nyie manabii Wa uongu mtazidi kulitabiria taifa mabaya mpaka lini ushuhuda Wa uongo utawapeleka jehanam
@GidionRaphael-j8gАй бұрын
Mapenzi ya mungu yatimizwe
@princenelsonsinko52378 ай бұрын
Huu unabii ni WA kweli ni muhimu kumuombea sana sana mama Samia
@mariamfaicalhassan28908 ай бұрын
Ili mapenzi ya Mungu yatimizwe tumechoka na uongozi dhalimu
@agnesspaul18667 ай бұрын
Na yeye inatakiwa ajimbee alone jee aliyoyaacha Magufuli alifuatisha au
@princenelsonsinko52375 ай бұрын
@@mariamfaicalhassan2890 kwahiyo hujamuombea
@josephatkajange87147 ай бұрын
Unabii gani, mbona unasoma badala ya kusimulia? Acha kudanganya watu wewe!
@saalim54015 ай бұрын
Hakuna hiyo uongo mtupu tafuta kaz hivi mm nashangaa wakristo mnakuaje mnadanganywa hivi mmebweteka tu kweli mmepotea poleni sana kila mtu utabiri utabiri hamuoni aibu wehu Nyie?
@ValerianAidani22 күн бұрын
Ee mwenyez mungu tusaisie
@SallaGwimo6 ай бұрын
munguu nimwenye haki kuna viogozi wanatunyanyasa baadhi yawanaichi
@fredrickjohnson26926 ай бұрын
hivi kwanini mnapenda kujifanya kutoa unabii Mambo ambayo ni ya kweli tangu JPM yupo huu ugomvi ulikuwepo na Jpm alipambana na hili swala gumu Hadi anakufa.
@SamweliMwamulimaАй бұрын
Tusilaumu manabii Bali tuombe ili Mungu atuonyeshe walio wa kweli tusikimbilie kuhukumu Bali tuombe kwa bidii ili tupewe macho ya Kuna maana imeandikwa
@SofiaMvungi-zu5tg8 ай бұрын
MUNGU TUNAKUOMBA UTUINULIE KIONGOZI MZALENDO MWENYE UCHUNGU NA TZ
@stevenmigata8914Ай бұрын
Tayar yeanza kutokea
@jesusismyeverything16307 ай бұрын
Huyu mchungaji anapatikana wapi?
@mselimsuya69527 ай бұрын
Kimara Baruti uliza bodaboda Kanisa la Nabii Edmond utapelelekwa.
@mamyomar12416 ай бұрын
Ulikuwa kushashiba tu, nabii wa siasa , kazi uongo tu.
@franciswillfred97637 ай бұрын
Mungu atupatie Raisi sahihi 2025
@KokoloLambinguni5 ай бұрын
Mwenye uruma na watanzania ni Gwajima na anauwezo wa kuendesha nchi bila kuiuza
@juliuskasasa74857 ай бұрын
Usanii katika ubora wake
@ChristinaJulius-ss7irАй бұрын
MUNGU tusaidie
@MdauCrown7 ай бұрын
Haya maelezo kama samia anapita tena 😭😭😭😭
@mariamfaicalhassan28907 ай бұрын
Samia hapiti ng'o
@festokemibala58326 ай бұрын
Hakuna unabii hata mitume hapo bali ni pepo la utambuzi hilo. Kwa hiyo huyu ni Yohana?
@godsonshoo19597 ай бұрын
Kama ni unabii mbona unasoma?😮 Unabii naamini ni kama maono, you see the end before the beginning. I'm not objecting. Sorry!
@ZenaJarufu-g7e6 ай бұрын
Hikawe ivyo ivyo ktk jina la YESU
@careenworksgroup5 ай бұрын
Upo sahihi mwaka 2025 Kuna makundi mengi yapo kinyume na mama ila tutashinda
@BakariCheo2 ай бұрын
Kwan kanisa ni siasa au mbn kila mtumisha anazngmza habar za siasa kisa uchagz umekarbia kanisa bwana wat ata awaamki bongo zao toeni maubr acheni siasa
Hujui hata maana ya ramli,let the prophet do the work of a prophet
@JoshuaMutinda-fb4fu5 ай бұрын
Mungu aliichukia ccm kitambo
@CharlesMwakanyanyila6 ай бұрын
Amina ila kama unasukumwa naMungu safi
@masungajp17 ай бұрын
Nani anaukubali upumbavu huu? Only Stupid people.
@barnabasjosiah25547 ай бұрын
Jiombee mwenyewe mkuu hujui ulisemalo
@mbikamtanganaki6 ай бұрын
Siamini mwanadamu yeyote aliyeumbwa kama mimi naamini mungu ndyo muamuzi wakila jambo😅😅😅😅😅😅
@salama11138 ай бұрын
Acha uchawa waimize waumini kufanya mema na ibada
@ElishaJohn-ws5ix6 ай бұрын
Nabii unazingua tushachoka aya maisha ya ccm kama umeota ccm itachukua madaraka tena saa ccm tumeichoka sana wananchi
@ramadhanabdala86117 ай бұрын
Utawajuaje manabii wa uongo???? Kazi mnayo ya kufumbua fumbo hili katika bible .
@agnesspaul18667 ай бұрын
Muñgu atusaidie ni hatari 😊
@KokoloLambinguni5 ай бұрын
Tena magu alikua akisema niletee .... na alisimama kutokomeza corona
@Shafiikabelwa5 ай бұрын
Mh! Mtihani huu wakristo mnapotea xana dini ya uongo mtupu na mnakalilishw kila kitu na mnaamin
@nurumnyumba79648 ай бұрын
Uchawa kanisani!
@kobylwaho31917 ай бұрын
😂😂😂😂uchawa tena?😂😂
@rehemakanyere41887 ай бұрын
Hahahahaah
@rizicksaruni35386 ай бұрын
Mungu atusaidie
@mbikamtanganaki6 ай бұрын
Asante mtumishi kama unasukumwa na mungu saw ila kama ni binadamu umefeli😢😢😢😢😢
@edwardelias69845 ай бұрын
MUNGU NA Si mungu
@WamoyothenumberoneАй бұрын
😢
@richardnganya23117 ай бұрын
Ninavyojua Awamu za uongozi zinaundwa au kutokana na uchaguzi mkuu kwa mabadiliko . Utabiri huo unagusa namba na makundi .. Maana kuna Unabii na Utabiri na Maono..!!
@MohamedMage7 ай бұрын
Hiv mtu ukitukia akili ktk kutafsir matukio ni Unabii? Tumien akili
@KokoloLambinguni5 ай бұрын
Mnamjua mtu mwenye uruma na watanzania na mwenye akili nyingi na Muombaji
@emmanuelbusuti8800Ай бұрын
Maandiko yametimia watatokea manabii wa uongo si ndiyo hawa
@festokastory52827 ай бұрын
Mmmh 😮😮😮
@barakabusima7 ай бұрын
😂 wacha bwana hiyo ni uongo huo unabii wa wapi anyway sababu ndiyo mafundisho watu wanayohitaji wape vyuma
@امزكرياالجابري-ه7ق6 ай бұрын
Acheni.kulumbana chukua na changanua na akili yako pia
@getrudankole7445Ай бұрын
Natamani awamu ya nne ikufe na ya sita , Nimechoka
@HAAM6708 ай бұрын
Amen Prophet, unabii upo clear kabisa. What we need is to pray for this Nation ili tuvuke salama.
@belovedflorence41097 ай бұрын
Mnyama, demons
@sophiamalinga187 ай бұрын
Hapo ndipo nawashangaa serikali inavurunda halafu mnaitetea kuendelea kuharibu nchi
Ninatafuta kwenye huduma ya Yesu na mitume, labda sijasoma biblia yote bado nione kama nao walifundisha siasa.😢. Biblia siyo ya mzaha na wavivu, ndo maana wanafanya siasa na saikolojia kwenye madhabahu ya Bwana.
@teyllalugazia7 ай бұрын
Siasa ni mfumo wa Dunia , kilicho mfanya shetani awe adui mkubwa wa Mungu na wanadamu ni madaraka
@rynerlinuma84847 ай бұрын
Tena tamaa kweli
@Punda2847 ай бұрын
Uongozi hutoka kwa Mungu,tofauti kabisa na inavyidhaniwa kuwa siasa.
@magrethmbuma30457 ай бұрын
Ukisikia kikulacho ndioo hii sasa😂😂Walimsaliti kipenzi chetu wacha watafunanee tuu