Рет қаралды 26,269
Naitwa Ester Emanuel au kama nilivyozoeleka kwa jila la nyumbani Nzeta. Nilizaliwa miaka 28 iliyopita katika Mkoa wa Singida, wilayani Iramba kwenye Kitongoji cha Old Kiomboi. Kwa kweli maisha katika familia yangu yalikuwa ya shida sana.