Annoint Amani - Usikimbilie ndoa ni Moto (official Video 4k)Skiza tone 9047805 to 811

  Рет қаралды 1,705,218

Annoint Amani

Annoint Amani

4 жыл бұрын

#usikimbilie#ndoa#nimoto
NAAMINI KUNA KITU MUNGU ATASEMA NAWEWE KUPITIA UJUMBE HUU UKIUSKIRIZA KWA MAKINI UTAELEWA MAANA YA HUU WIMBO,
USIKIMBILIE NDOA NI MOTO JE NDO MAANA HARISI YA HUU WIMBO??
BAS SKIRIZA VIZUR UELEWE .
MAANA LAZIMA TUJUE ILI KULIPONYA KANISA AU JAMI INAYO TUZUNGUKA,
LAZIMA NDOA ZIWE SALAMA BILA USALAMA WA NDOA JAMI INAYUMBA SAANA.
PIA VIJANA WAWEKEWE MSINGI MZUR KATIKA MAHUSIANO.
WATAMBUE YALIYO YA KWAO,
NA YASIO YA KWAO.
KILA MTU AJUE UZINZI NI DHAMBI NA UWASHERATI NI DHAMBI.
.
KWA MWANANDOA UNAE MTUMIKIA MUNGU SHIDA IKITOKEA KWAKO, KABRA HUJACHUKUA HATUA
KUMBUKA WEWE NINANI KATIKA JAMII,
HAKIKISHA MAHUSIANO YAKO HAYAWAONDOI WATENDA KAZI SHAMBANI MWA BWANA.
MAANA KILA MTU ANA MTU AU WATU NYUMA YAKE..
MAAMUZI YAKO YANAWEZA KUWA FAIDA KWAKO NA HASARA KWA WALIO NYUMA YAKO..
HAPO NDIPO MUNGU ANA CHUKIZWA NA MTU WA AINA HIYO, MAANA UNA HARIBU MWILI WA KRISTO KWA FAIDA YAKO MWENYEWE.MUNGU ATUPE HEKIMA ZAID
ILI TUMALIZE MWENDO SALAMA,
I BELIEVE THERE IS SOMETHING THAT GOD WILL SAY TO YOU THROUGH THIS MESSAGE.
DON'T RUN AWAY MARRIAGE IS FIRE DOES IT REALLY MEAN THIS SONG ??
PLZ LISTEN WELL UNDERSTAND.
FOR WE MUST KNOW TO HEAL THE CHURCH OR THE COMMUNITY AROUND US,
MARRIAGES MUST BE SAFE WITHOUT THE SECURITY OF MARRIAGE SOCIETY.
YOUNG PEOPLE ALSO HAVE A GOOD FOUNDATION IN RELATIONSHIPS.
Let them know what is theirs,
AND NOT FOR THEM.
EVERYONE KNOWS THAT ADULTERY IS A SIN AND ADULTERY IS A SIN.
.
FOR A COUPLE WHO IS SERVING GOD WHEN TROUBLE HAPPENS TO YOU, BEFORE YOU TAKE ACTION
REMEMBER WHO YOU ARE IN THE COMMUNITY,
MAKE SURE YOUR RELATIONSHIPS DO NOT REMOVE WORKERS IN THE LORD'S FIELD.
I MEAN EVERYONE HAS SOMEONE OR PEOPLE BEHIND HIM ..
YOUR DECISIONS CAN BE BENEFICIAL FOR YOU AND LOSSES TO THOSE BEHIND YOU.
THEN GOD HATES A PERSON OF THAT KIND, BECAUSE YOU ARE DESTROYING THE BODY OF CHRIST FOR YOUR OWN BENEFIT. GOD GIVE US MORE WISDOM
TO END THE SAFE TRAVEL,)
artist Annoint Amani
song Usikimbilie ndoa ni Moto
album Fainal ni Kesho
(language Swahili)
Skiza tone 9047806 to 811
Studio A.E.A Tones
.Video A.E.A Dir by meddy
Tanzania Dar es salam
Instagram annointamani
For bookings +255767240181=+255755099942
Email.amananoint@gmail.com

Пікірлер: 528
@annointamani3285
@annointamani3285 4 жыл бұрын
NASHUKURU KUONA KILA MTU AMEGUSWA NA HUU UJUMBE, BAS NAOMBA TUOMBE MUNGU TUMALIZE MWENDO SALAMA KAMA UNAOGOPA KUFA PRESHA BURE GONGA LIKE HAPA,, TUFIKE LAK 5 KISHA M1 NA KUENDELEA MPKA MUNGU ABEBE HESHIMA NA UTUKUFU,,
@cymonsengerema7321
@cymonsengerema7321 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana Mungu azidi kukubariki.
@berniceonegbmusic2324
@berniceonegbmusic2324 4 жыл бұрын
Niko hapa Dubai tunaskiza na marafiki wanzangu.... my dia hongera sana
@mlokolekaokoka8962
@mlokolekaokoka8962 4 жыл бұрын
@@berniceonegbmusic2324 Kwanza ana sauti nzur alafu ni Handsome hatar ,ujumbe mzito sana naamini hii nyimbo itafika mbali saana sana,,yani VIEW M1 SASAIVI INAFIKA
@rispergwaro8817
@rispergwaro8817 4 жыл бұрын
Surely i love your songs and i ave them more i download them thanks alot am much blessed
@princessfay5414
@princessfay5414 4 жыл бұрын
Better wait long than marry wrong,ujumbe mzuri saana,afadhali kuomba na kusubiri wakati wa mungu🙏🙏
@lucysteve3077
@lucysteve3077 4 жыл бұрын
254 kaa umekubali hii piga like hapa
@emanuelikipobota6902
@emanuelikipobota6902 4 жыл бұрын
Hatar
@luckypreiss3389
@luckypreiss3389 4 жыл бұрын
Ujana ni maji ya moto
@vailethmalema
@vailethmalema 3 жыл бұрын
Ujumbe mzuri ,hongera sana Annoint
@felisteredward164
@felisteredward164 Жыл бұрын
Vumilia mud bado
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 3 жыл бұрын
Tunaoangalia hii nyimbo sasa hivi gonga like tujuwane hapa
@rosendungwa1915
@rosendungwa1915 4 жыл бұрын
Kazi nzuri...wap likes za mwimbajj kama umekbaliana nae
@violalawrence4337
@violalawrence4337 3 жыл бұрын
Upo vzr kaka angu hongeraaa
@corneliusapara4209
@corneliusapara4209 3 жыл бұрын
Pressure is not my portion am waiting for the right time as adviced by brethren Annoint,,,,am soo blessed brethren,,gudozz,,,,,,wapi watu wa 254 na likes zenu
@paulkakame7916
@paulkakame7916 2 жыл бұрын
Nina sababu yakupendezwa na nyimbo zakwako mungu akupe nehema kibali pia na ujaziri Ili utueleze ukweli kaka angu🇰🇪Liz from Kenya
@broWillie92
@broWillie92 Жыл бұрын
Rewind
@lydiashisia2169
@lydiashisia2169 4 жыл бұрын
Shida ya ndoa haibagui tajiri au maskini.Ndugu Esau Mungu akubariki.lnjili mbele.Maombi ni dawa ya ndoa sugu.
@bambuguyasamuel3107
@bambuguyasamuel3107 4 ай бұрын
❤❤❤🎉Jamani wimbo yako ni moto kila mara
@saraimuziki6376
@saraimuziki6376 4 жыл бұрын
Tell them again my boyfriend, likes zangu from +254
@SaraSara-xc1bx
@SaraSara-xc1bx 4 жыл бұрын
Hi
@mariahkosgei1166
@mariahkosgei1166 Жыл бұрын
Hope Muslim wanaskia hii wimbo
@johnbrianoshea3040
@johnbrianoshea3040 3 жыл бұрын
True inspiration kaka. Ndoa sio football. Wapi likes zake Amani
@pamelapamela2599
@pamelapamela2599 Жыл бұрын
This has touched my heart 😭😭😭 goosebumps tuu😭😭😭I have been worried about relationship issue....but last night I asked God to give me directions...and today he has revealed to me wat to do😥😥😥Thank you Lord Jesus for this revelation 🙏🙏🙏much love from Kenya ❤️❤️
@ruth-lb4qf
@ruth-lb4qf Жыл бұрын
Amazing songs...from kenya
@yobrake6349
@yobrake6349 9 ай бұрын
this guy my guy nmeona nyimbo zake na zmenpendeza hakika ana kipaji toka kwa mungu
@prosscoviabisoboka7319
@prosscoviabisoboka7319 2 жыл бұрын
Praise God brethren
@benmtatemusic
@benmtatemusic 4 жыл бұрын
Gospel artist From Kenya, kazi poa
@lilyanokaddy7187
@lilyanokaddy7187 3 жыл бұрын
Lyk mother lyk son gud work
@abdullahiwarsame5951
@abdullahiwarsame5951 3 жыл бұрын
Barikiwa sana...nyimbo yako inafunzo kubwa sana
@faydee5488
@faydee5488 3 жыл бұрын
Sisemi usioe lakini usifanye haraka sisemi usiolewe lkni usifanye haraka ,,,I got the point bro congrats ,,,luv from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@carolinemutisya1467
@carolinemutisya1467 3 жыл бұрын
Jameni nani atanikutanisha na huyo mkubwa wangu
@owasistravel9621
@owasistravel9621 2 ай бұрын
bwana yesu asifiwe? mtumishi Amani. ubarikiwe sana nyimbo zako uwa zinanijenga sana na kutia moyo, ni bright city from kenya Trans_nzoia county
@godfreybambary6148
@godfreybambary6148 2 жыл бұрын
Annoint anaimba vizur sana
@jesikakamwabusila15
@jesikakamwabusila15 6 ай бұрын
Haleluja,Asante Mungu kama utani milioni Moja.
@puritymbithe4483
@puritymbithe4483 Жыл бұрын
Kale katabia kako kasiria mwenzio lazima ajue tu 💯
@mlokolekaokoka8962
@mlokolekaokoka8962 4 жыл бұрын
Naona ngoma ina kwendaaa twemde mpka lak 5 najua twafika sasaivi ili tuenze kuekea M1, huu mwaka Mungu kumuinua na atainuka kweli
@elizabethkalu9100
@elizabethkalu9100 2 жыл бұрын
😃 yes, marriage need preparation and prayers. Good wisdom!
@susanbadili1179
@susanbadili1179 11 ай бұрын
Kweli kabisa inabidi ukabidhi ndoa yako Kwa maombi
@keilabrenda4037
@keilabrenda4037 2 жыл бұрын
Nice song, it's true ndoa ni moto sikimbilii ndoa nooooh
@evalinecheminusi6216
@evalinecheminusi6216 3 жыл бұрын
This boy is talented
@jeffkeff8625
@jeffkeff8625 2 жыл бұрын
Bro am in love with this song just watched it tonight when coming from mombasa kwa rosy shuttle...bro be blessed
@isabellakwedho8878
@isabellakwedho8878 3 жыл бұрын
Kweli kaka upo sahihi kabisa acha Mwenyezi Mungu azidi kkubari
@rahelgika3870
@rahelgika3870 4 жыл бұрын
Wenye NDOA tumekuelewa sana sana ahsante kwa ujumbe mzuri, kweli NDOA basi kwa sababu mtu unakuwa hujui tu yatakayo jiri baada ya kuolewa au kuoa. MUNGU tusaidie.
@beverlykadenge2095
@beverlykadenge2095 4 жыл бұрын
Yes dear, no one never knows what is install for him or her
@tinahfelix4501
@tinahfelix4501 3 жыл бұрын
Mkesema ivo mnatisha mbona, unataka kusema wale wanaoliaga wakat bint anaaga sio kwamba atammic ni kwamba anamwazia atakoyokutana nayo huko???
@agathaaroni7783
@agathaaroni7783 3 жыл бұрын
@@tinahfelix4501 ndo ukweli ndoa syo send off na sherehe ya harus inahtaj moyo mgum na uvumiliv wa hali ya juu.
@joelomusugu8617
@joelomusugu8617 Жыл бұрын
Very powerful song iko na mafundisho
@cynthiawangarindungu
@cynthiawangarindungu 11 ай бұрын
Wow....mob love from 🇰🇪 KENYA
@evawayesu7848
@evawayesu7848 4 жыл бұрын
Wow thank you so much my Son l.m so happy for this song because is a good message 🥰🥰🥰🥰🥰👍🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@girukwishakaetienne4485
@girukwishakaetienne4485 Жыл бұрын
Mubarikiw kabisa nyimbozako nzuri
@brigidnaomi2786
@brigidnaomi2786 4 жыл бұрын
Ndoa ina chakamoto zake lakini kwanza Mungu mbele kwa yote. Nice song be blessed Esau
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 3 жыл бұрын
Kimi kabisa iyi ni Fundisho la kueli Ndoa Ni Hatari Mulangoni Hai ko mchezo Ah Amen Amen Amen Shalom Shalom
@Debbyobabi
@Debbyobabi 4 жыл бұрын
Amazing be blessed brother Esau,watching from Nairobi kenya.
@bashimbechikos6379
@bashimbechikos6379 3 жыл бұрын
Nafurai n'a wimbo naYesu akubariki Na umevaa vizuri leo Usiwe navaa Sawa rasta.
@eliasbonda9802
@eliasbonda9802 2 жыл бұрын
Aise nakuelewa sana mtumishi, MUNGU wa mianga azid kukuuinua
@ericktito2623
@ericktito2623 3 жыл бұрын
Mwanzilishi wa ndoa niwewe MUNGU tusaidie baba
@lynnasokwo8493
@lynnasokwo8493 4 жыл бұрын
I am blessed with your song brother God bless you
@karisajustin8872
@karisajustin8872 Жыл бұрын
Ndoa ina changamoto nyingi lakini kwa mungu hakuna lisilo wezekana mungu akubariki kaka
@beckysumba5038
@beckysumba5038 4 жыл бұрын
GOOD msg alike the song,God bless you brother
@peterochogo546
@peterochogo546 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana kijana wa yesu
@salomepaul3989
@salomepaul3989 4 жыл бұрын
Ameeen 🥰
@millieligala597
@millieligala597 4 жыл бұрын
What a nice and encouraging song! Thank you so much my brother. Everything is perfect ❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. May God continue blessing your work. Perfect combination of everything. From instrument,vocal name it. From Nairobi-Kenya. Thank you. We love you from +254.🙏
@niyonizigiyekarithas4710
@niyonizigiyekarithas4710 4 жыл бұрын
Hi.nimeipenda ngoma yake .ila musikose kuowa na kuolewa. But acha 🍠 tamaambaya. 😍😍😍 mana ni sumu ya ndoa. Daaa😍💝😀💝
@user-fo8pe8ob8n
@user-fo8pe8ob8n Жыл бұрын
Nimekubali sana hiyo nyimbo
@rghttyy2148
@rghttyy2148 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka kwenye kipaji cako 🙏🙏❤❤❤❤
@evawayesu7848
@evawayesu7848 4 жыл бұрын
Thanks Amani be blessed dear great message 👍👍👍👍🥰🥰🥰🥰🥰
@lukamutsami2644
@lukamutsami2644 Жыл бұрын
Kipande cha rayvanny cha song NAOGOPA 💙💙💙💙
@gracemagereli93
@gracemagereli93 Жыл бұрын
Kazi zako nazikubali sana
@jamesmickison8624
@jamesmickison8624 Жыл бұрын
Kazinzuri Sana munguakujalie
@mumwickylifehistry2997
@mumwickylifehistry2997 4 жыл бұрын
Ukweli haya,ndoa rasmi ndio yatakikana ki Kristo,nimebarikiwa Sana zaidi kupitia kwa hii wimbo
@hshshshddjjdd8544
@hshshshddjjdd8544 4 жыл бұрын
Mtuletee huyu mchukue bahati😂😂
@mlokolekaokoka8962
@mlokolekaokoka8962 4 жыл бұрын
Tunawataka woote maana ni Watumish wa Mungu washambani mwake,, Tuenderee kuombea Ipate heshima kwa mataifa
@mlokolekaokoka8962
@mlokolekaokoka8962 4 жыл бұрын
MUNGU ANA WATU BHANA NYIMBO MPKA UNASKIRIZA INAISHIA HUONI UREFU WA NYIMBO ,
@auntiemylee3157
@auntiemylee3157 4 жыл бұрын
Haha
@susanwafubwa6386
@susanwafubwa6386 4 жыл бұрын
😂😂😂😅
@oboikovelorine7845
@oboikovelorine7845 4 жыл бұрын
This is a nice song ever.😘😘😘. Congrats for this song.
@JosephBahati-pq6lp
@JosephBahati-pq6lp Жыл бұрын
safi sana kaka kazi nzuri
@carolinemoraa4885
@carolinemoraa4885 3 жыл бұрын
Thank you so much our brother for your good advice really am the one that ur telling no rushing to marriage let me wait plz be blessed alot
@nashynashipai4114
@nashynashipai4114 3 жыл бұрын
I can't get tired listening to this song quarantine manenos Sanitize put on your masks stay safe
@danfordgodfrey3571
@danfordgodfrey3571 2 жыл бұрын
Nice song
@SamwelOmwenga-ny9th
@SamwelOmwenga-ny9th 11 ай бұрын
Kazi nzuri
@carolynelipule2112
@carolynelipule2112 3 жыл бұрын
Wimbo mtamu kwelikweli mungu akuinue zaidi
@nehemiamminza4663
@nehemiamminza4663 Жыл бұрын
Ameimba vzr sana
@eucabethbosibori3321
@eucabethbosibori3321 Жыл бұрын
True message bro I love ur song hata dancing style
@janetojwangmusic221
@janetojwangmusic221 3 жыл бұрын
I love this. It's reality. Most of us youths fear talking of the reality of life. Especially born again Christian. I represent Kenya
@mercykache4235
@mercykache4235 Жыл бұрын
Amen 🙌🙌🙌❤
@mayakakasoft4795
@mayakakasoft4795 4 жыл бұрын
Nyc song my dear singer. Watching it from Australia .May God bless your work Amen
@isaackilaguva9837
@isaackilaguva9837 Жыл бұрын
Nyimbo zako za baraka sana🇰🇪
@joyceenos4397
@joyceenos4397 3 жыл бұрын
Naludy tena kuweka cemented yang ujumbe umefika
@jessicahmokaya4761
@jessicahmokaya4761 3 жыл бұрын
very beautiful song with a message on point .... no hurry
@RachaelWanyama-kw9em
@RachaelWanyama-kw9em 9 ай бұрын
Good work bro keep it up your are going far
@nikitavyleen8337
@nikitavyleen8337 4 жыл бұрын
For real, utamchunguza mpaka lini, watu ni kuamiana, if two love birds truly love each other, then they'll be no other second love or choice. If you fall in love with two people, marry the 2nd one, because, if you truly loved the first, you couldn't fall in love with any other! Wimbo wako kaka wabariki roho yangu kila kujao. Barikiwa milele.
@agathaaroni7783
@agathaaroni7783 3 жыл бұрын
Kweli mtumishi ndoa ni ngumu syo ya kukurupukia
@magdalinamwikali7251
@magdalinamwikali7251 Жыл бұрын
Oh my god very true 👍bother
@joyceenos4397
@joyceenos4397 3 жыл бұрын
Jaman Mungu akuinue zaidi ya hapo
@nashipaeagnes7576
@nashipaeagnes7576 3 жыл бұрын
This is lovely, much love from 🇰🇪
@alexenderbruno4291
@alexenderbruno4291 3 жыл бұрын
Ahsante Sana mtumishi wa Mungu
@edachengula7134
@edachengula7134 3 жыл бұрын
Sauti yako tu nmeipenda imekamilika kabisa hauhitaji wasaidizi,barikiwa!
@janeachila7309
@janeachila7309 2 жыл бұрын
Hurry,hurry has no blessings.God's time is the best.Thanks brother for bringing it up clearly,,,be blessed as you proceed with your mission of spreading sweet and so encouraging words.Through your wonderful gospel songs Amen.
@user-ws9lp9zl3k
@user-ws9lp9zl3k 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@davidoricho1707
@davidoricho1707 3 жыл бұрын
🙏🙏nice song
@sharonchelangatkorir1066
@sharonchelangatkorir1066 Жыл бұрын
Mungu akutendee MEMA Ni jivunza xana Kwa nyimbo zako
@cecilianeema8254
@cecilianeema8254 4 жыл бұрын
Kweli tusikimbilie ndoa
@joycesinkala225
@joycesinkala225 2 жыл бұрын
Nimekupenda bule kaka unajuwa sana kuimba umefunika yaani unaongea ukweli kabisa jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️💓💓💓💓💓💓💓
@berniceonegbmusic2324
@berniceonegbmusic2324 4 жыл бұрын
Hii song nimeikubali 100% congratulations bro
@brianobaga5498
@brianobaga5498 2 жыл бұрын
Thanks aman kwa nyimbo zako nimezikubali
@brianobaga5498
@brianobaga5498 2 жыл бұрын
May God continue lifting you up and up
@sendrenrr7264
@sendrenrr7264 2 жыл бұрын
Indeed you are not just a musician but a superhero in music s accompanied by plenty of blessings may God the supreme being lift you up to the other level
@abdulhamis2393
@abdulhamis2393 4 жыл бұрын
Hunahakili wewe baba ako asingeowa ungezaliwa na panya au . Muulizee baba ako aliishije na mama ako uchukuwe hatuwa. Hata vtabu vmeandkwa mwanamke uishiena kwa hakili wewe.
@rehemakisalambi9901
@rehemakisalambi9901 4 жыл бұрын
Kwani amekuambia usioe au kaongelea matatizo ya ndoa hebu msikilize vizuri sio unatoa lawama ambazo hazina msingi
@keligabriellah168
@keligabriellah168 3 жыл бұрын
Thanks God bless you
@andreamwembe3566
@andreamwembe3566 3 жыл бұрын
Ok sawa nimeikubali
@tabithamumbua2659
@tabithamumbua2659 3 жыл бұрын
Good song I like it,,,God bless you brother
@dolamwafyuma6177
@dolamwafyuma6177 3 жыл бұрын
Nzur Sana barikiwa
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 6 ай бұрын
Ukamanda kwenye kituo ca majeshi kabsaaaaaaaass siyo kwa mkeo bila hivo utabaki peke yako baba.ukifika mbele ya mlango ukamanda achia pale pale kwaani unaingia kwenye ingine office , utaupitua ukienda kazine kesho usubuyi
@effieawuor8936
@effieawuor8936 4 жыл бұрын
Wow Amen .....God bless u Amani
@dorcaslor2166
@dorcaslor2166 3 жыл бұрын
Ahhh Vraiment Ni Kueli Hatari
@davenjogu7890
@davenjogu7890 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua mengi
@zarinacomfort3532
@zarinacomfort3532 3 жыл бұрын
Ameni
@floramanufari9408
@floramanufari9408 3 жыл бұрын
Kabisa yaani duu!!noma sana
@rosewoiemitau8376
@rosewoiemitau8376 4 жыл бұрын
That's true anoint ndoa nikufumilia aiseee wacha tu ikae
@leonard8853
@leonard8853 Жыл бұрын
Good may frebdss
@mlokolekaokoka8962
@mlokolekaokoka8962 4 жыл бұрын
Hii video ni nzur hapa kweli umetuweza
@acholadevans301
@acholadevans301 Жыл бұрын
real braza
Annoint Amani - Chumba cha siri ( Official music Video )
11:52
Annoint Amani
Рет қаралды 223 М.
William Yilima-Hii siyo ndoto yangu {Official Video HD}
8:50
Muhubiri Production
Рет қаралды 20 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 13 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
EMMANUEL MGOGO - USIPOTELEE MWISHONI (Official Video)
9:37
EMMANUEL MGOGO Official Tz
Рет қаралды 736 М.
Annoint Amani - Msizike bado yuko hai ( official music video )
8:54
Annoint Amani
Рет қаралды 134 М.
Annoint Amani-Chidume (OFFICIAL VIDEO SMS SKIZA 9047800..TO 811..
5:39
Annoint Amani
Рет қаралды 1,6 МЛН
AKUPE USHUHUDA WASHUHUDIE-SIFAELI MWABUKA SKIZA  DIAL  *860*413#
8:18
SIFAELI MWABUKA OFFICIAL
Рет қаралды 4 МЛН
BEST OF ANNOINT AMANI TZ MIXED BY DJ COLLITER
48:30
DJ COLLITER TV
Рет қаралды 82 М.
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН