arusha is my city. its green cool developed and perfect
@raphaelmtui Жыл бұрын
True❤
@peternassari76347 ай бұрын
👏 ❤
@raphaelmtui Жыл бұрын
People of all folks are sincerely welcome to the city, karibu sana!
@thomascastor3500 Жыл бұрын
Beautiful!
@isabelsilva9046 Жыл бұрын
I love the purple trees
@filamupictures93494 ай бұрын
They are called jacaranda trees
@isabelsilva9046 Жыл бұрын
One day I will go
@isabelsilva9046 Жыл бұрын
So many trees 🌲
@lullebolle808 Жыл бұрын
Arusha yetu ninzuri sana ila maendeleo nitofauti saaàaana nasifa zake inazopewa bado hata singida inanafuuu
@omarybakunda2554 Жыл бұрын
Picha nzuri.
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Arusha kuna miti mingi mjini ndo maana hakuna joto kama dar na mwanza
@raphaelmtui Жыл бұрын
Sure!
@briansiva7474 Жыл бұрын
Maji ndio huleta joto jingi
@magdalenazacharia52147 ай бұрын
Arusha yangu
@johnymelkiory54517 ай бұрын
❤
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Жыл бұрын
Pakawaida sana pia mbna halusha ndogo sana sema watu wauku kaskazini wanapenda sana kujisifia kwao vidaladala vinyewe vyaajabu pia magengo mengi msaada wa selikali
@raphaelmtui Жыл бұрын
Ukiandika halusha badala ya Arusha inaonesha wewe ni wa kawaida mr Frenk frenk frenk frenk.😂
@malcomg1004 Жыл бұрын
Kama kuandika kwenyewe kunakupa taabu kiasi hiki huwezi kuilewa Arusha,rudi shule kwanza kenge wewe
@malcomg1004 Жыл бұрын
@@raphaelmtui😅😅😅jamaa wa hata kwenye ukawaida hayupo bablai😂😂
@BarakaNnko-er4sn Жыл бұрын
Kwani ?anatoka mkoa gan mpaka aseme Arusha niyakawaida yeye ndy e wakawaida
@raphaelmtui Жыл бұрын
@@BarakaNnko-er4sn labda anatokea New York
@lullebolle808 Жыл бұрын
Bararbara mpaka leo nimtihani relini engo
@alhajisaidngubanguba-sm1zd5 күн бұрын
Kumbe sopakitoto
@isabelsilva9046 Жыл бұрын
It’s so far from Canada
@raphaelmtui Жыл бұрын
Sure. Very far
@emagervas4522 Жыл бұрын
Ila tuache utani Arusha n kuzuri kinoma
@raphaelmtui Жыл бұрын
Sure!
@emagervas4522 Жыл бұрын
@@raphaelmtuiRaphael tunataka nyingine ambayo n ndefu kidogo au uchukue Jiji lote
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl Жыл бұрын
Pakawaida sana pia mji wake si mkubwa ivile sema watu wauku kaskazini wanapenda sana kusifia kwao
@emagervas4522 Жыл бұрын
@@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl mji wake c mkubwa hapo n makao mkuu ya EAST AFRICA, UN, MAKAO MAKUU YA UTALII, unasema sio kubwa ebu Sema mkoa wako tuone🤭🤭🤭..?
@saidimandala8342 Жыл бұрын
Itabidi iwekwe sheriya ya ujengaji mjini lazima uweke (parking) maegesho ya magari katika kiwanja Chako utachaguwa ue na Ander ground parking au ujenge nyuma ya nyumba au gorofa lakho ILI kupunguza wingi WA magari Yanayoo egeshwa nnje BILA mpangilio. Hapo itapendeza zaidi . MAJIJI YOTEE YA TZ.🇹🇿
@raphaelmtui Жыл бұрын
Kweli kabisa. Ila sheria (utaratibu) utakuwa umechelewa, mji ushajengwa, labda huko mji unakopanukia, department ya Town Planning ijue cha kufanya.