I proudly to be Muslim Straight dawa ni mwanga kuwandoka katika Giza
@kennodhiambo3 ай бұрын
Kutoka katika giza ama kuingia gizani! Majini yanaleta mwanga gani... je kuna nuru katika shetani (majini)?? Hebu njoo katika Kristo ili uone mwanga na upate mwelekeo wa uzima wa milele
@adrisshagi12553 ай бұрын
MR ASKOFU. MUNGU AKI KU ONGOZA. KUWA MUISLAMU. JINA LAKO. ITA KUWA ( OMAR) INSHALAH I WISH MEET U ONE DAY IN MOSQUE .
@kennodhiambo3 ай бұрын
Anayemjua Mungu hawezi kudhubutu kuingia katika uislamu. How can I leave the freedom I have in Christ to follow slavery in the name of Islam.
@Maajidabdillah3 ай бұрын
Wakristo mnafata kitabu gani kwani naona hamjielewi maana biblia hamuifati na mgeifata basi mngeshakua waislamu @@kennodhiambo
@adrisshagi12553 ай бұрын
@@kennodhiambo Sija fahamu hapo Una sema slave. Kuhusu nini ama wapi??
@adrisshagi12553 ай бұрын
@@kennodhiambo Niki fahamu indo maweza ku Sema. To understand is a have of answer
@FearlessAfrican3 ай бұрын
@@kennodhiambo Even Mohammad was fearful at death because he didn't know where he was going.
@ginazngo43172 ай бұрын
Hu baba mweusi lakini roho yake nyeupe mashaalla alla amuongozi katika njia iliyo nyookaa nampenda sana shekhe wetu piga kazi tupo tunakuskilizeni tunakomnti ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@ahmadadan93953 ай бұрын
Kazi nzuri mashaallah.....Takbiir!
@Noorein-ws8wk3 ай бұрын
Askofu anazidi kupotea kwa Kiburi chake ALLAH amuongoze njia ilio nyooka ya kiislam Amiin
@kennodhiambo3 ай бұрын
Allah ni nani!!! Hatumtambui katika ukristo jameni
@hythamhashiem44583 ай бұрын
Muulize yesu sababu yeye ajuwa mwenye ezzi mungu ni Allah
@chiefmkalikibz15033 ай бұрын
@@kennodhiambo KWANI WEWE WATAMBULIKA NA NANI?
@kennodhiambo3 ай бұрын
@@chiefmkalikibz1503 Mimi natambulika na Yesu Kristo - Mungu wa pekee
@chiefmkalikibz15033 ай бұрын
@@kennodhiambo LETE ANDIKO , wacha kujipaka supu.
@ARNOLDKARISA-fs3ht3 ай бұрын
yaani askof nampenda kwa ajili ya Allah na namuombea aipate nuru ya Uislamu na hatimaye akuwe muislamu
@SalmanMughal-lq5lt3 ай бұрын
InshaAllah
@kennodhiambo3 ай бұрын
Nuru gani iko katika uislamu, hebu nieleweshe ndugu yangu
@noorkhalil13063 ай бұрын
Nuru inaotokana na kuabudu mungu moja muumba wa kila kitu na kutoshirikisha na yye mtu yeyote @@kennodhiambo
@AssdfAssd-g3y3 ай бұрын
@@kennodhiambokungekuwa na Nuru kwa ukiristo angetapatapa kweli uyo bishop wenu na bdo mnapotea pamoja nae endeleeni ila mungu awaongoze katika Nuru ya uislam
@kennodhiambo3 ай бұрын
@@AssdfAssd-g3y Hebu nielezee kinagaubaga nuru iliyoko katika uislamu
@LaithNasser-o4w3 ай бұрын
May Allah subhanallah wata'ala guide him yarab,subhanallah
@HassanJabir-g2e3 ай бұрын
Allah akupe Kila la kher
@rayaalhabsi17253 ай бұрын
Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab amu onyeshe njia ya haqi
@salmaminja77143 ай бұрын
Subhanallah uctdh pole na unayokutana nayo. Subra ni muhimu snaa. Allah Akbar
@hassanalfan69413 ай бұрын
ALLAH amuongoze huyo askofu.. InshaALLAH
@SalmanMughal-lq5lt3 ай бұрын
AaminaYaarabiSote.LeoTenaKajanaMpya
@ARNOLDKARISA-fs3ht3 ай бұрын
amiin
@Kachuba-w9p3 ай бұрын
Ameen yaarab amuongeze kwenye ilionyoka in sha Allah
@hythamhashiem44583 ай бұрын
Amin
@bacteria51843 ай бұрын
ASKOFU UKISILIMU NTAKUFANYIA SHEREHE KAMA NDUGU YANGU MUISLAMU.ALLAH AKUONGOZE KTK DINI YA HAKI.
@josemu8703 ай бұрын
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
@everlynechepkoech56493 ай бұрын
Mashallah tabarkala kazi mzuri maustadh
@Nora-v1m3p3 ай бұрын
Allah akbar Allah akbar.Allah akuogoze umjue na umuabudu kwaukweli
@MuhashamKhalil3 ай бұрын
Assalam aleikum,kama kusoma ni huku Bora Mzee angemaliza pesa kwa kula mandazi😂😂😂😂😂
@StraightPathDawah3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@MimahMimah-b7k10 күн бұрын
Yan apo katoka kusoma ndio kazidisha ujinga maandiko anayasoma kwa nguvu ni kama anagombana😂😂😂😂 lol sheikh wetu ukitaka apo kameze painkillers mana na makelele hayo kichwa kitauma
@fahimabeid69533 ай бұрын
Masha Allah kazi mzuri Allah awalipe kula la kheir❤ support dawaah Inn shaa Allah
@aburaasmedia36823 ай бұрын
innaa lillahi waina ileyhi rajiuun. subhanna Allah. huyu ameanza kujiita mungu tena!!!Glory to Allah and exalted above all the evil they attribute to Him.
@NshimiyimanaShafy3 ай бұрын
Allah akbar huyo askofu mungu amuzamehe aelewe awongoke
@BashirHussein-d5c3 ай бұрын
Sheikh Ramadan Mungu akubariki ❤❤❤
@adanabdi52493 ай бұрын
Subhana Allah
@allymkumba703 ай бұрын
inshallah mungu atamuongoza tu yeye umuongoa amtakaye Allah
@hadijaebrahim99263 ай бұрын
Allah akbar
@abdallahjuma26083 ай бұрын
Mashaallah ❤
@khadijaabdulaziz82973 ай бұрын
Askofu Allah akuongoe uijuwe haki usilimu
@SalehM2003 ай бұрын
Sheikh Ramadhan naona Askofu MaashaAllah ana ku follow video zako zote one by one, Hata Oman ka ku notice very clear ume tumia cari gani ya kifakhari, mkaribishe siku moja Oman..
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im3 ай бұрын
Inafaa kina ndacha wajifunze majadiliano kwa askofu
@ginazngo43172 ай бұрын
Hatari sana daa kamungu kadogo 😂😂😂😂
@UMMYYFATMA3 ай бұрын
ALLAHU AKBAR ♥️
@mamasiham92873 ай бұрын
Mashaalah
@aminarama16333 ай бұрын
Innah Lilah waina ilah rajiun
@Nora-v1m3p3 ай бұрын
Allah àwaogoze waona haki nakufuata
@MudiDadi-b2h3 ай бұрын
Shekhe ramadhan Mungu atakulipa ishallah
@jimjam-xg7rv3 ай бұрын
MASHA ALLAH 💚💚
@abduljaffer3 ай бұрын
Hapa iko sawa sasa sio waseme mitaani kwa wasiojua Bible. Wasome waone udhaifu kwa viongozi wao. In-sha-Allah mtaona nuru
@ginazngo43173 ай бұрын
Hatari sana mashaalla tacbiru allahu acbaru 😂😂😂
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im3 ай бұрын
Askofu nampenda hana jazba kama viongozi wengine wangekua wasabato hapo pasingekalika❤
@jamalkishangu3 ай бұрын
Duuu dunia ina miungu wa ajabu ajabu😊
@FarhiaAbdilahi-r5z3 ай бұрын
Subhnalah bado Iko bale bale 😢
@aliissa-je6gtАй бұрын
kwanzah haoni joto huyo askofu wa mchongo hahaha maana hayo maguo sio mchezo wallah 😄😅🤣
@ibruzah0013 ай бұрын
Innaa Lillahi wa innaa Ileihi rajiu'n Ati yeye ni mungu mdogo 😢😢😢
Askofu wetu mstaarabu sana lkn kaka Askofu kumbuka bible imeandika km kalamu za waandishi imeifanya kua uongo kwahio chunguza ujue hicho kilichosemwa cha uongo sisi ni watu wazima tukisikiliza tunajua kuchanganua la uongo na ukweli.
@JohnOuya-w7j3 ай бұрын
Unaeza tofautisha kati ya kufanywa na kukuwa,
@JohnOuya-w7j3 ай бұрын
Kama hujui kiswahili nyamaza
@saumbliz89833 ай бұрын
Takbiir
@aishasalim95463 ай бұрын
Loo askofu unakufuru waziwazi .hii mimba ya nabi Isa Allah ameijaaliya kufanya vile kwa sababu watu wasione kupata mimba ni mpaka uwe na mume laa ni uwezo wake Allah
@mwanaidiissa103 ай бұрын
Haswa jko sshihj kabisa ila was wanajizima data
@ismailmbarak38623 ай бұрын
SHEIKH RAMADHAN ALLAH AKUBARIKI SANA INSHAALLAH
@aliissa-je6gtАй бұрын
uyu mzeeh hajasoma hata kidogo hahah atafute pahali akalale tu 😁😆
@RossaMengo3 ай бұрын
Askofu ALLAH akuongoze
@SaidMgeni3 ай бұрын
سبحان الله العظيم 😮
@ChadCommaz-bx6xf3 ай бұрын
Not insulting pastor doesn't make sense may Allah guide him to the right path
@njurno3 ай бұрын
Assalam Aleykum Shaikh Ramadhan naona Ile setting ya studio ya juzi ni Bora kuliko ya Leo kwa sababu Leo chumba kina onekana finyo yaani kidogo lakini Jana studio ili kuwa ime enea vizuri na ya kupendeza. Naomba Samahani lakini huu ni Muono wangu Tu ina wezekana ni kawa nime kosea
@mifunga34143 ай бұрын
Asl alkm rtw wbt. Sasa Askof anaelekea wapitena!! Any way Atujachoka badotuna zidi kukuombea in shallah. Mwz Mungu akuongoze in shallah. Sheikh Ramadan ongera kwa kazi kubwa unawalingania nasi pia tuna jikumbusha in shallah 😂🎉🎉
@hythamhashiem44583 ай бұрын
Bwana askofu hujatowa hoja yoyote ya kumfanya mtu awe makristo una ruka ruka tu
@allyabdallah43573 ай бұрын
Daa kweli ana hitaji maombi sana huyu mzee
@warsameabdi93663 ай бұрын
Ustadhi ningependa u ulize maswali Tatu kwa Mara Moja..1)Yesu Ni Mungu? 2)Yesu Ni mwana wa Mungu? 3)Yesu na Mungu Nani amekufa kwa msalabani??? Uliza kwa wakati Moja plz
@OmarAli-m2p3 ай бұрын
Huyo askofu 😅😂 amepotea Sana Allah amuongoze
@SafariJamal3 ай бұрын
Bishop katoka chuo na bado anasaidiwa kuuliza swali lake mwenye 😅😅😅
@hamisiramadhani103 ай бұрын
😂
@mimahmimah15953 ай бұрын
😂😂😂😂😂yan kasoma lakin ndio kaharibu kabsaa ata afadhal asingesoma
@maymunamakungu62653 ай бұрын
Hao wakristo wanaokukataza wanaona jinsi unavoshindwa hoja
@maymunamakungu62653 ай бұрын
Astaghfirullah! Kamungu kadogo?
@salmaminja77143 ай бұрын
Inña lilah waina ilah rajooon.
@madiqlahotvibeshunter41163 ай бұрын
Askofu najua unaona ukweli mwenyezi Mungu hakuongoze InshaAllah
@aishasalim95463 ай бұрын
Ndipo nae Paulo akaja kuwa angamiza poleni
@ZayyanaBamuni3 ай бұрын
Ila wakristo nyie,eti kamungu kadogo😅
@ibrahimadab91513 ай бұрын
Allahu Akbar
@aminarama16333 ай бұрын
Allah akuongoze bishop
@ahmadadan93953 ай бұрын
Inshaalah akiislimu tutabadilisha hayo makanisa yake yote Kwa miskiti
@Kachuba-w9p3 ай бұрын
In sha Allah
@وزيرهالوزير-ذ8س3 ай бұрын
Huyu askofu anachekesha 😂😂 na usikosi kua unamtembelea mwisho ataionana haki na atasilim
@abdinassirhussein1903 ай бұрын
Sahi ndyo nimejua Kwa nn yesu WA tongareni anajuta mungu
@faridbashuu3 ай бұрын
Wasipo laani Shetani kabla ya kusoma, matokeo ni kama haya. Shetani atawapoteza. Alhamdullilah Kwa Neema ya Quran. Alhamdullilah Kwa Neema ya Uislamu.
@JohnOuya-w7j3 ай бұрын
Bibilia si kama qurani yakukemea,bibili ni mwangaza wa mungu,usiku na muchana haipatani ndivyo bibilia na kurani kurani inamajini na bibili inamwangaza tofautisha hiyo
@user1873anon53 ай бұрын
Angalia huyu,smh
@user1873anon53 ай бұрын
Hata shetani haumkemei?
@faridbashuu3 ай бұрын
@@JohnOuya-w7j Mwangaza wa mungu yupi ( mungu wewe ama yupi ) ? Tuweke Sawaa... Naweza kuwa na chart na Ka mungu kidogo 🤔
@CalebMaina-lf5po2 ай бұрын
Yeah, prophet David said we are gods,and Jesus also said
@collinstogoch7613 ай бұрын
Alhamdullilah for Islam
@ginazngo43172 ай бұрын
Heee kamungu kadogo hata mimi nimecheka kwa sauti
@mahdiyusuf34313 ай бұрын
Askofu anakufuru zaidi calling himself little god
@StraightPathDawah3 ай бұрын
Very sad
@hassanfarid24993 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@nakundwamkubwe78233 ай бұрын
Me nacheka tu 😅😅
@muddathirkassim24073 ай бұрын
Mbona amevaa nguo za kidevoo😂😂😂
@martinchambala93993 ай бұрын
Ww devo uliona wapi amevaa za hivyo
@Nora-v1m3p3 ай бұрын
Izzo n nguo zakuhitimu graduation anatuonyesha kweli alitoka kusoma.Allah amuogoze
@Inagole42333 ай бұрын
He is GENIUS,,according to the Bible god turned himself to become man,,Askofu has gone one step more,,,,hahaha
At that time Jesus declared, “I thank you, Father, Lord of heaven and earth, that you have hidden these things from the wise and understanding and revealed them to little children; yes, Father, for such was your gracious will.” Matthew 11:25-26
@irenengina43503 ай бұрын
Gicúhí thaa icio cia gúcindana na ithíram úraruta kú? Na níúí andú aya mehokete majini
@shuwehaharuna63093 ай бұрын
Huyu askofu namkumbuka kipindi kile na kina shekhe yahaya ,yusuph wambungu, mazinge naona miaka imeenda sasa huyu kazeeka
@FarhiaAbdilahi-r5z3 ай бұрын
Kitu gani amebaki subhanalah askofu rudi mgu
@saudahassan38043 ай бұрын
Innalillah wainnalillah rajoon,
@wazirisaid83262 ай бұрын
Wanaisoma bibiliayao Ila hawaijuisijui shida ni nini!!!
@KashthuriKashthuri-n7u3 ай бұрын
Hawa wakristo nashindwa kuwaelewa ivi akili zao zimepelekwa wapi naona wanajizonga. Maswali rahisi tu wanashindwa kujibu, kisha wanashingizia maadishi. Hivi hawayatakari hayo maandishi kwa undani. Kitu ni cheusi wanakiona kuwa ni cheusi lakini maandishi yanasema ni cheupe basi na wa wao wanakubali kuwa ni cheupe !!! Eh, Allah waongoze kwenye njia iliyo nyooka
@Alithoya-qr7di3 ай бұрын
Akili zilioshwa na Clorox
@AbuurabiuJuma-wn5il3 ай бұрын
Mbona Kuna msalaba hapo
@SalmanMughal-lq5lt3 ай бұрын
AnapewaUhuruWake.LazimAheshimiwe.Askofu.msom🤣🤣🤣🤣
@mimahmimah15953 ай бұрын
@@SalmanMughal-lq5lt😂😂😂😂 na nguo za chuo kavaa yan ananichekesha uyu bishop duh askofu katoka chui😂😂😂
@kennodhiambo3 ай бұрын
I just wonder how Muslims believe in scripts from someone who wasn't inspired by God, someone who just lived around the Jews and Christian, learnt from their belief and their way of life then put up a religion to counter the Jews and Christians. The writings of the Quran prove me right in the following verses:- The Quran is written in the 3rd person meaning it is a narration. If it is God as you claim it would have been written in the first person. Aal-e-Imran 3:19 Indeed, the religion in the sight of Allāh is Islām. And those who were given the Scripture did not differ except after knowledge had come to them - out of jealous animosity between themselves. And whoever disbelieves in the verses of Allāh, then indeed, Allāh is swift in [taking] account. Aal-e-Imran 3:85 And whoever desires other than Islām as religion - never will it be accepted from him, and he, in the Hereafter, will be among the losers. An-Nisa' 4:171 O People of the Scripture do not commit excess in your religion or say about Allāh except the truth. The Messiah, Jesus the son of Mary, was but a messenger of Allāh and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So, believe in Allāh and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allāh is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allāh as Disposer of affairs. Al-Ahzab 33:56 Indeed, Allāh confers blessing upon the Prophet, and His angels [ask Him to do so]. O you who have believed, ask [Allāh to confer] blessing upon him and ask [Allāh to grant him] peace. NB: Allah is saying the religion in the sight of Allah!!! God is vouching for a religion??? God is saying "do not say three" when it implies that Christians believe in "three" gods? God cannot be speaking in the Quran.
@softymoha54843 ай бұрын
ungeliandika kwa kiarabu....maana lugha ya mtume ni kiarabu... tafsiri ya lugha...huwa inatafutiana na lugha kamili.. ndio maana...yesu hakuwa mzungu wala muswahili,,, injili iliyo sahihi... ambayo iliandikwa kwa lugha ya yesu hakuna....maana kila nabii alikuwa anapewa kitabu kwa lugha yake...so ninyi mnaamni yesu alikuwa mzungu?...leteni injili sahii ambayo iliandikwa kwa lugha ya aramaic...maana ndio lugha ilikuwa yake....wacheni kuamini vitabu mmeletewa na lugha za wazungu...na kama mnadanyantwa... mnaamini tu?
@fardoshnassor78473 ай бұрын
🥺
@muddathirkassim24073 ай бұрын
Huyu askofu Anamikwara sana,,
@lebaijeremiah45403 ай бұрын
Askofu hajakosea jana MUNGU linaandikwa na herufi kubwa na jina mungu kwa herufi ndogo ni miungu sio Mungu mkuu.
@salumkagame5093 ай бұрын
wa hio na yesu sio mungu
@adrisshagi12553 ай бұрын
SKOFU. KAKA KIRISTO. NI DİNİ SISEMI SIO SABABU. QURAN. INA SENA DİNİ ISBAKUWA ISLAMU SIO DİNİ KUWAKE. TAFAUTI YA UKIRISTO. NA ISLAM TAFAUTI YINYI. YENU HAINA USHAHIDI LAKUTOSHA LAKINI MUSLIM IS ONLY. FAIT WITH PROOF. BUT CHRISTIAN FAITH NO PEOOF . BIBLE IS HISTORY
@saidam.k2133 ай бұрын
Astaghfirullah 😅😢
@SalunumaulidmsumiMsumi-cc2im3 ай бұрын
Yani askofu huyo amesoma hapigi kelele tu Mungu amuongoze
@kamole33 ай бұрын
3:33 having degrees doesn’t mean having a knowledge.
@gechtv5803 ай бұрын
Elimu imefanya ukachanganyikiwa zaidi
@chiefmkalikibz15033 ай бұрын
We are an ummah of 3 million people, but we are being disrupted by the tiniest entity, made up of the weakest army, which has failed to defeat a group of resistance for nearly a year. This is happening because we lack a ruler. We lack a force that's meant to unite us. #Khilafah
@mody-guyngido27922 ай бұрын
Yaani hapa wakristo bado Tu watasema Wana viongozi wadini kweli?
@MohamedMeja3 ай бұрын
Ndugu waisilamu tuweni na subra huyu tasilimu muachieani ramadhani tu tusichukanea
@jumahili81213 ай бұрын
Biblia inatuita miungu. Sisi wanadamu ambao tumekubali neno lake.