Askofu Gwajima alipua moto tena | Atokeza mbele tena kwenye vita

  Рет қаралды 434,681

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

3 жыл бұрын

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 612
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
" Kama unatamani 2025 achukue urais gonga like hapo
@missmwayway4704
@missmwayway4704 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Yn kama mm namkubali xana huyu mwamba ni Mzalendo kwelikweli💪💪💪💪
@mestonsimzosha2899
@mestonsimzosha2899 3 жыл бұрын
Huyu mbona nirais wa nchi yetu ya Tz ajae??hilo tumelithibitisha na ndivyo lilivyoooooooooooooooooo????
@simontamba1285
@simontamba1285 3 жыл бұрын
Nanii?
@gabrielnyanga8155
@gabrielnyanga8155 3 жыл бұрын
Ana elekea huko huko!
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
@@simontamba1285 gwajima
@sarahmichael7538
@sarahmichael7538 3 жыл бұрын
Nafurahia sana mtumishi wa Mungu anavoongea kwa vitendo muda wote! Barikiwa Sana Sana Sana. We love you!
@mwigulumanyandi6663
@mwigulumanyandi6663 3 жыл бұрын
Tuko pamoja mtumishi was mungu
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Yaan amen!!! Askofu kweli ww ni askofu yaan BWANA YESU akutie nguvu sana, ahsante sana kwasababu ww una moyo wa ushujaa sana.
@veronicaoman8764
@veronicaoman8764 3 жыл бұрын
Nakataa hofu ya Corona ishindwe ktk jina na yesu 🇹🇿🙏
@abdallahrunwa1886
@abdallahrunwa1886 3 жыл бұрын
Kwa mtaji huwo wa kumutegemea Mwenyezi Mungu bwana gwajima hapo sina swali hapo msaidieni mkuu wetu wa nchi ili shutuma zidi yake zipunguwe niwaombeni ndugu kwa hili tushikamane sote tuwe kitu kimoja tutashinda MUNGU NIMWEMA...AMIIIYN...!
@antonmwaveya8780
@antonmwaveya8780 3 жыл бұрын
May the Lord Jesus Christ of Nazareth Bless you Man of God
@rensonmwawughanga5819
@rensonmwawughanga5819 3 жыл бұрын
A true man of God,,, natamani huku kenya tungepata watumishi kama hawa
@janetjanet8669
@janetjanet8669 3 жыл бұрын
Amen Asante Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli nmebarikiwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@OmanOman-gp7xm
@OmanOman-gp7xm 3 жыл бұрын
Gwajima safiii mungu Akubariki nikweli mie niko uku oman nakuambia mwanzoni atamimi nimeuguwa tukaangaika kwenda kumuona DAKITARI AKUONA UGONJWA NIWAMUDA MLEFU UGONJWA BC TU WALIKUWA AWAJAUGUA WAOGA KWELI TENA
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 жыл бұрын
Kenyan... Watching and following from Doha... Umenikuwa wa ufunuo na kweli katika maisha yangu... MUNGU AKUTIE NGUVU UENDELEE KUOKOA WATU WA MUNGU... MANENO YAKO YANA NGUVU... YANAMEA KWA MOYO WANGU.
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 3 жыл бұрын
ni mbunge wa kawe now
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 жыл бұрын
@mathias sielewi
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 3 жыл бұрын
@@mathiasmsese6128 bado ni MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 3 жыл бұрын
@@mathiasmsese6128 Ni mbunge na Ni Bishop hapo Sasa ,akienda bungeni anapiga injili akija kanisa injili inaendelea. Go deeper papa, mpaka korona iyeyuke Kama samli
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 жыл бұрын
@@neemamasimba2981 amen
@immaculatajoyce4321
@immaculatajoyce4321 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeen my Daddy Gwajima napokea mapafu yasiharibika kamwe Kwa jina la Yesu
@isackmwakibete4559
@isackmwakibete4559 3 жыл бұрын
Yesu ni mshindi
@lucasbunuma9824
@lucasbunuma9824 3 жыл бұрын
Asante mtumishi maana mwenye haki wangu ataishi kwa imani
@thesub-zero4277
@thesub-zero4277 3 жыл бұрын
Emen baba hakika wew ni sauti ya Mungu nakataa Covid19 katika jina LA Yesu🙌🙌
@nasserm.nasser5087
@nasserm.nasser5087 3 жыл бұрын
Wengi kama wewe walijifanya wana imani kali wakaperish. Walikunywa sumu wakidhani hawatokufa, waliogelea majini wakidhani watatembea juu, wote wakafa Na nyie extremists ndio mtairudisha nchi nyuma
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 3 жыл бұрын
Amen. Ishi Tanzania kwa nguvu za Mungu. Hama corona kwa jina la Yesu, hofu ondoka Alleluya🇹🇿
@mirimbanyamuhirwa853
@mirimbanyamuhirwa853 3 жыл бұрын
Ubarikiwe zaidi askofu. Mungu akupe kuishi sikunyingi ili ufundishe ulimwengu kuelewa
@thomasmuyya7221
@thomasmuyya7221 3 жыл бұрын
Thank you Mtumishi kusimamia Neno si kama wajiitao viongozi wa dini wanaokana Neno la Mungu. Mungu atatupigania sisi Mabaki yake. Tangaza ufalme tupo pamoja nawe. Mchungaji Godda
@blessedone5834
@blessedone5834 3 жыл бұрын
What I should say is TANZANIA is blessed,God bless you MOG
@immaculataroeser8428
@immaculataroeser8428 3 жыл бұрын
Very good Gwajima!!!!Ubarikiwe sana
@marisblessingmuruthi4592
@marisblessingmuruthi4592 3 жыл бұрын
Hallelujah. Amen Like mount Zion so we are, we shall not be moved.
@kelvinmbela7778
@kelvinmbela7778 3 жыл бұрын
Amen mtumishi hakika wewe ni CHUMA, Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu💪💪💪
@marrykomba9201
@marrykomba9201 3 жыл бұрын
Nakataa
@marrykomba9201
@marrykomba9201 3 жыл бұрын
Nataa kwa jina la Yesu
@davisnkoba2683
@davisnkoba2683 3 жыл бұрын
You are so right Bishop, Sema tukombolewe tupate kupona.
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atatuvusha katika hili janga. Asante kwa kutokomeza woga kwa Watanzania Askofu. Hakuna kinachomshinda Johova. Tuzidi kumuomba Baba aliye hai na kumtegemea. Alleluya
@christophertweve98
@christophertweve98 3 жыл бұрын
Izo bangi tu? Kwamba nawewe ni mchungaji sasa apo ndo umehubili nn
@christophertweve98
@christophertweve98 3 жыл бұрын
Gwajima wewe usituchanganye wewe ni waupande gan serkali am upande wa Mungu
@chescomnyangali8601
@chescomnyangali8601 3 жыл бұрын
AMINA AMINA KUBWA🙏🙏🙏 MUNGU ANASEMA YEYE NDIO KILA KITU YEYE NI ALPHA NA OMEGA
@happyshuma9304
@happyshuma9304 3 жыл бұрын
ⁿⁿ 0000000000
@mtewatina9471
@mtewatina9471 3 жыл бұрын
Amena baba! Nakataa corona kwa Jina la Yesu.
@manasekijangayamba2023
@manasekijangayamba2023 3 жыл бұрын
Tina usimsikilize kila anaye litaja jina la Yesu kuna wengine wanalitaja mdomoni na sio moyoni
@apostleedwinmarknatembeya8775
@apostleedwinmarknatembeya8775 3 жыл бұрын
Barikiwa sana baba Askofu, nimebarikiwa na ujumbe wako, tangu nianze kufuata maagizo yako na kufunga na kuomba hapa kwetu Bungoma Magharibi nchini Kenya korona haijaua watu kwa maeneo yetu. Nilizunguka eneo hili na ukuta wa moto.
@eliakimchaiikobellah358
@eliakimchaiikobellah358 3 жыл бұрын
Sauti hiyo inatosha kabsa, haina haja ya kuongeza baba, imefikaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@davidfabian5625
@davidfabian5625 3 жыл бұрын
Kweli kabisa mm huwa ananitia nguvu sana Mtumishi
@margaretrukerebula6826
@margaretrukerebula6826 3 жыл бұрын
Preach jemadari was Yesu Kristo asante can't have nami naafiki nawe Alleluia kweli kabisa🙏🇬🇧
@Philipoupdates
@Philipoupdates 3 жыл бұрын
Mtumishi naomba tuwasiliane wasap +255767204792
@venelandakundi63
@venelandakundi63 3 жыл бұрын
Asante mtumishi hapo umeinua imani yangu maana tumechoshwa n.a. watu wasiyomwamini Mungu ubarikiwe
@adammjomba7112
@adammjomba7112 3 жыл бұрын
Imeandikwa mji usipolindwa na BWANA alindae Akesha BURE ( Ameen mtumishi wa Mungu)
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Askofu Gwajima nisamehe nilikuwa nikuelewagi ila kwa hili Umenitia Imani na MUNGU Akupe Afya njema 🙏
@mwaumark4372
@mwaumark4372 3 жыл бұрын
Only those who are in true spirit of God can understand what this man is saying.
@holinezabron5965
@holinezabron5965 3 жыл бұрын
Natal an in wekeyutubu
@edwardvelidiana1864
@edwardvelidiana1864 3 жыл бұрын
Ameni
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 3 жыл бұрын
Amen mtumishi
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Ameen
@nyendwabhanya2175
@nyendwabhanya2175 3 жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 ni vizur kuwa mhumili
@johnnawapatavizulisanaandr4320
@johnnawapatavizulisanaandr4320 3 жыл бұрын
MUNGU akubaliki sana Tundulisu ndiye anawatisha wa Tanzania kwa hasira yake yakijinga
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 3 жыл бұрын
Hill tundu ni mbwa koko na lilegee.
@bettykhamesse6894
@bettykhamesse6894 3 жыл бұрын
Kanyaga twende babaaaa.......mtumishi wa Mungu.
@joycemella7676
@joycemella7676 3 жыл бұрын
Ameeen ...sitakufa wala familia yangu uzao wangu na watu waTaifa hatutakufa na co19
@petitebulenge6104
@petitebulenge6104 3 жыл бұрын
Imani tunayo, ila tunati tu sheria. Kama vile Kristu anasema yakaisari mupe kaisari. Ila tuombeyane. Safari ni ngumu. Pia korona hakuna ila tukuze imani. Kwa sababu hari ya munyama inatisha. Fuguweni masho. Na Mungu wa rahisi Magufuli apewe sifa. Tena kubukeni kumuombea Magufuli Mungu akulinde sana.
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 жыл бұрын
Nimekubali ana nawe waondoe uvivu Hao Wana kawe God motivational Asikofu AMEN
@kahungu1able
@kahungu1able 3 жыл бұрын
Tatizo anategemea kisicho tegemeka tegemeeni Elohim Yahuwah alietegemewa na Ibrahim isaka na yakobo mulungu wa watanzania hataweza hilo
@edinanchimbi702
@edinanchimbi702 3 жыл бұрын
Mungu wa watz ndie MUNGU wa Isaka na yupo hai mpaka leo. Upooooo
@edinanchimbi702
@edinanchimbi702 3 жыл бұрын
@@kahungu1able MUNGU wetu ndie MUNGU wa waTZ. Upooooooo
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 3 жыл бұрын
@@edinanchimbi702 Nili Manisha kwamba vijana waondoe uvivu wamsikilize Asikofu Ni Maono mazuri Kwa Maisha Yao Good motivational Ni uhamashishaji Bora kwao
@edinanchimbi702
@edinanchimbi702 3 жыл бұрын
@@edwardmsongelwa5455 sasa nimeelewa. Ubariwe
@serahmutemi
@serahmutemi 3 жыл бұрын
Ameelaniwa amtumainiye mwanadamu amen
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 3 жыл бұрын
Maasikofu wanatumaini barakoa!!!!! Badala ya Muumba wetu. Wanadiliki hata kuilaumu serikali!!!! Waumini tukimbilie wapi?
@nyendwabhanya2175
@nyendwabhanya2175 3 жыл бұрын
@@edwardmizambwa237 ni kweli
@fredrickkagwa8853
@fredrickkagwa8853 3 жыл бұрын
Be blessed pastor. God still loves Tanzania
@francokamugisa296
@francokamugisa296 3 жыл бұрын
Mungu mlinde mtumishi na rais wetu magufuli.
@johnzacharia2308
@johnzacharia2308 3 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai, sintakufa nakorona Mimi pamoja na familia yangu na ndugu zangu kwajina la Yesu,sintaogopa Yesu ameshinda mauti hata milele
@jacmueni7907
@jacmueni7907 3 жыл бұрын
Umenipea nguvu sana.. watching from Kenya...
@mahewalekwasa210
@mahewalekwasa210 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Askofu kwa kweli umenisaidia sana
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu kwa kukaza imani, nimepata jambo, tumtumaini na kumwamini Mungu kuwa anaweza.
@rupertoako8417
@rupertoako8417 3 жыл бұрын
Amina
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa Baba hii Mitandao hii ndiio balaaa ya kila kitu . Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike Milele . Yaani ni Mungu pekee ndio tegemeo letu. Tumeshaumwa wote basi tu haya Mahofu ndio balaa. Siogopi kwa Jina la Yesu.
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 3 жыл бұрын
Baadhi ya Maaskofu wenzako hawakuelewi!!!! Sijui ufanyeji Askofu wangu. Kwa mazingira haya tumaini liko kwa MUNGU TU.
@kaniogachief6151
@kaniogachief6151 3 жыл бұрын
Safii Dr nafatilia maubiri yako mimi islam pia mpiga kura wako
@pandelababaofficial5056
@pandelababaofficial5056 3 жыл бұрын
Haya mahubiri yanatufaa sana hasa kwa wakati huuu
@christinenelima2641
@christinenelima2641 3 жыл бұрын
Massege saa ufufu na uzima uwa sinaninjenga sana
@febronianyangwala7524
@febronianyangwala7524 3 жыл бұрын
Hakika nimetiwa nguvu na maneno ya mtumishi wa MUNGU.
@sharonnasambu6753
@sharonnasambu6753 3 жыл бұрын
Amtumaniae mwanadamu amelaani roho ya uogaah Hamaaa kwa jina la yesu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Mm. Mwiislam. Ila kweri timuamini Mungu pia tuache kufanya zambi Mungu atatutolea maladhi yoote lnshallah
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Hapo nimekupenda bure,unasapoti vitu unavyoona vinakusaaidia
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
@@sarahmsangi7243 hakuna ujanja nikuruditu kwa Allah yy ndiye katuletea malazi na atayatoa lnshallah
@malikaalimwashaka2444
@malikaalimwashaka2444 3 жыл бұрын
Amen inaeleweka man of God (methali :20:5) God blss you.
@lightnesssolomon4830
@lightnesssolomon4830 3 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu kwa msimamo wa imani ulio nayo
@shijamtobela9864
@shijamtobela9864 3 жыл бұрын
Asante baba sema napenda kazi yako
@ernestmwakalambo3938
@ernestmwakalambo3938 2 жыл бұрын
Ameeeen, barikiwa mtumish wa Mungu
@sallygrace1495
@sallygrace1495 3 жыл бұрын
Tumeirudisha corona kwa la Yesu.⚓👩‍👦🙏
@charlesjohn5792
@charlesjohn5792 3 жыл бұрын
Dunia inahitaji watumishi wa Mungu Kama huyu...haleluya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 жыл бұрын
Siyo kina Bagonza
@immaculataroeser8428
@immaculataroeser8428 3 жыл бұрын
Yeeeeeeeeees !! Hongera sana .
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 3 жыл бұрын
Amina,watumishi wote wangekuwa na Imani Hii.Tanzania tungepona
@margaretrukerebula6826
@margaretrukerebula6826 3 жыл бұрын
Preach it ask if I wangu ni kweli kabisa ongea pasua kabisa🙏🙏🇬🇧
@geoffreymbotwa7745
@geoffreymbotwa7745 3 жыл бұрын
Congratulation my brother wewe ni shujaa
@herryallymaneno8052
@herryallymaneno8052 3 жыл бұрын
Huyu ni askofu wa kweli tofauti na wale
@tintz3157
@tintz3157 3 жыл бұрын
Eimeeeen Bishop God is with us as a nation No Fear No Corona
@episonfelician7670
@episonfelician7670 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mtumish bishop kwa ujumbe mzuri
@mohammedmnasi3228
@mohammedmnasi3228 2 жыл бұрын
Kweli gwajima tanzania inakupenda sana unamuenzi magufuli kwelikweli nakutabilia kuwa rais ongera
@douglaskomba2304
@douglaskomba2304 3 жыл бұрын
sauti ya mtumishi wa mungu
@emmanuelytunduma8127
@emmanuelytunduma8127 3 жыл бұрын
Moto juu ya Moto gwajima tuko nyuma yako
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
That's my only man of God. I so love this vessel of God almighty.
@janethcharles1146
@janethcharles1146 3 жыл бұрын
Amen semasema Baba mtumishi
@luckyvitalis7235
@luckyvitalis7235 3 жыл бұрын
👊👊👊👊kula tano baba ss huku ulaya tunavaatu kufata sheria ila tunamsimamo kama huu ndani mwetu maana aliendani yeti ni mkuu kuliko covid hallelujah!
@monicanelisha1299
@monicanelisha1299 3 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN this is a powerful message
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 3 жыл бұрын
Real
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 жыл бұрын
Haleluyah Haleluyah Haleluyah Utukufu Sifa Heshima na Adhama anastahili Mungu Mwenyeenzi corona bye bye hakuna Corona nakataa kwa Jina LA YESU Mungu Baba katushindia asante Baba na Mungu wetu kwa Kutushindia
@rosemwangome8996
@rosemwangome8996 3 жыл бұрын
Amen Mungu ndie kimbilio na nguvu na msaada.
@sunguramwassa5782
@sunguramwassa5782 3 жыл бұрын
Wooo! Woow! This is right and fabulous
@santamaria715
@santamaria715 3 жыл бұрын
Hongera babà.
@jacquelinepaight1472
@jacquelinepaight1472 3 жыл бұрын
Amen Baba sitakufa na corn kwa Jina la Yesu
@maandaziimakavuu3790
@maandaziimakavuu3790 3 жыл бұрын
Asante mchungaji upo vizuri sana!!!!
@immaculataroeser8428
@immaculataroeser8428 3 жыл бұрын
Ameeeeeen!!Yesu atasmama.
@dominicmligo7926
@dominicmligo7926 3 жыл бұрын
Sauti inatosha mtumishi upo sahihi ujasiri useme kwa vitendo kwa nn? Hofu? Mungu yupi mabaya yote yarudi kwao waliyopanga na kutufanya watumwa kwa magonjwa na mengine yaliyotarajiwa na yamegeuka yawe yooooo!!!!!
@rodgersmenza5261
@rodgersmenza5261 3 жыл бұрын
Am greatly aspired
@gracenyangusi6230
@gracenyangusi6230 3 жыл бұрын
Ameeen daddy Gwajima
@thomasmuyya7221
@thomasmuyya7221 3 жыл бұрын
Tupo pamoja tunaomtegea BWANA JEHOVAH
@davisnkoba2683
@davisnkoba2683 3 жыл бұрын
TANZANIA TUMEPENDELEWA NA TUNA VIONGOZI WENYE IMANI NA TANZANIA ITASIMAMA KWA JINA PEKEE LA YESU KRISTO WA NAZARETH
@evansinyami9485
@evansinyami9485 3 жыл бұрын
Mungu wetu hapendi wajinga kama huyu mch
@estermsuya8818
@estermsuya8818 3 жыл бұрын
Amina mchungaji Mungu atuwezeshe kumtegemea na hofu ishindwe kwa Jina la Yesu
@josephsimiyu5211
@josephsimiyu5211 3 жыл бұрын
Barikiwa mtuele wa MUNGU
@ama90
@ama90 3 жыл бұрын
Unafaa kuwa raisi wa Tanzania.Nakuombea Askof
@immaculataroeser8428
@immaculataroeser8428 3 жыл бұрын
Hongera sana .
@mtumishiwamungunelson1684
@mtumishiwamungunelson1684 3 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KAMANDA WA YESU KRISTO SHETANI AMEONA WEWE NI RUNGU LA BWANA NDO MAANA AKAONA AKUZAWADIE UBUNGE WEWE ULITAKIWA UKAE KWENYE NAFASI YAKO YA KUMTUMIKIA MUNGU TU SIYO BWEBWE ZINGINE.
@ikrammichael833
@ikrammichael833 3 жыл бұрын
Ameeeen jina la bwana lihimidiwe daima
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
WAWOOOOooooooooooooo 😁😁👏😁👏 Apigweeeeeeee! Corona Rudi ulikotokaaaaaaaaaaa!!
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 жыл бұрын
Haleeeeeelujah
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 3 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeen
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
Tunakataaa chanjo zao, haugui mtu hapa, Wala hafi Gwajima Wala mtoto wa Gwajima. Usiogope Bali utaishi uyasimulie matendo makuu ya Bwana.
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 3 жыл бұрын
Amen!
@nasrahassanmasesa3745
@nasrahassanmasesa3745 3 жыл бұрын
Amina
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 3 жыл бұрын
Watake kuwauwa mbona hamkatai dawa zao? Wanaleta chanjo za Yellow fever, Polio walitaka kuwauwa si watatia huko.... Ukristo ni ugonjwa
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 HEKIMA hutunza kinywa Cha mnenaji. Kukashifu dini ya mtu na Imani yake, yatosha kutokuiona pepo yako. Rejelea kauli yako, kwani hujawahi kuonana na MUNGU ana kwa ana. Tunaishi kwa IMANI.🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@user-ws2sg7un7z
@user-ws2sg7un7z 3 жыл бұрын
Amen
@benjaminmwambene4897
@benjaminmwambene4897 3 жыл бұрын
Umenena HAKIKA 🙏🙏🙏
@makrinakalinga6034
@makrinakalinga6034 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaaaaaa mchungaji kwakweli 💪💪💪💪💪💪
@anitagathoni
@anitagathoni 3 жыл бұрын
Tuombee taifa la Tanzania. Mungu awafariji mioyo kwaajili ya kifo cha Raisi wa nguvu sana Magufuli. Mimi mkenya nilimpenda sana sana
@ashuraosea280
@ashuraosea280 3 жыл бұрын
Asanteee japo katuacha mapema sanaaa 😭😭😭😭😭
@gracesamson924
@gracesamson924 3 жыл бұрын
Nakataa kwa jina la YESU Ameeen
@FatimaFatima-fy7yv
@FatimaFatima-fy7yv 3 жыл бұрын
Amina Baba!!!
@kayomboange5429
@kayomboange5429 3 жыл бұрын
Wewe ni sauti ya mungu,neno la mungu nalisikia kupitia wew naweza kusoma na kuandika,lakin sielewi ila wew unatujenga na kutufundisha kujitegemea ata kama hautakuwa mchungaji leo naweza kusimama pekeangu mungu awe nasi Tanzania
@oswaldshayo2758
@oswaldshayo2758 3 жыл бұрын
Ameen baba Askofu gwajima Mungu wetu wambinguni akulinde
@peterkobaai2639
@peterkobaai2639 3 жыл бұрын
Yes very true man of God "they might kill the leader but they will kill his vision" Magufuli vision will leave on
Askofu Gwajima atoa ya moyoni kuhusu Mama Samia Suluhu | Atoa ushauri kwa serikali
22:44
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 236 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 51 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,6 МЛН
Ndoto na Tafsiri zake - Askofu Gwajima Full Sermon 12/06/2015
1:49:41
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 119 М.
Nakumbuka siku yule dogo aliponitaja | Askofu Gwajima asimulia kisa hiki tena
15:58
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 191 М.
VITA YA HALI Ep 2/5 - Bishop Dr Gwajima
40:41
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 16 М.
Ukweli kuhusu Freemasonry Episode 2/5
1:02:21
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 55 М.
MTU WA MBINGUNI (ROHO MTAKATIFU) | 13.01.2022
2:04:18
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 10 М.
Siri kuu kupita siri zote ni hii HAPA | Askofu Gwajima
7:36
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 42 М.
THIS GRACE CALLED FAVOUR WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN (KOINONIA SUNDAY SERVICE)
2:42:31
TANGU ASILI | BISHOP DR. JOSEPHAT GWAJIMA | 14.07.2024
3:03:46
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 3,1 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 51 МЛН