RAIS DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA MAFINGA APRILI 11, 2019
Пікірлер: 14
@sebastiansalamba82365 жыл бұрын
Fanya kazi baba yangu,waafrika niwepesi kusajau,pia hawachelewi kujuta,Fanya kazi watakumbuka utaishi kwa heshima,watakapopata kiongozi mwingine watajifunza kutoka kwako.amen
JPM asanteni sana Ikulu msichoke kutuwekea mambo mazuri kama haya Tanzania oyee awamu ya 5 oyee
@josephnchunga12472 жыл бұрын
Huyu ndie alikuwa rais Mwenye maono na wanainchi wa hali ya chini Kuwa tatulia shida zao na kwa ujasri Mkubwa yani tunalia kila siku tukiangalia hotuba zako dah aiseee tulikuwa na Bonge la mh rais John Joseph pombe Magufuli rip baba yetu rais Wetu Magufuli ulifanya kazi kubwa sana
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
President John Magufuli na sasa tuna Mama Samia binti Suluhu wake Hassan///asanteni sana kwa uongozi wenu Mungu wtu Awabariki mnooo
@joeljoeledsonkisabo26455 жыл бұрын
Walinzi mtutunzie Rais wetu jmn tunampenda na ongoze milele.
@edoboy65655 жыл бұрын
joel joeledsonkisabo daa mgufuri mungu amuweke sanaaaaaa