Askofu KILAINI awaliza watu kanisani/aeleza sababu za Mdomo wake Kupinda mbele ya Makamu wa RAISI.

  Рет қаралды 65,785

Breez Online Tv

Breez Online Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 47
@sofiaoman5901
@sofiaoman5901 2 жыл бұрын
Atanishika mkono tuu Nitaamka tuu Mungu akulinde
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Dr M ana unyenyekevu Sana katika Mambo ya Imani. Hajikwezi
@NowelaRaymond-zq4ys
@NowelaRaymond-zq4ys 10 ай бұрын
Mungu akutunze Baba Askofu wetu!
@genovevakato3409
@genovevakato3409 2 жыл бұрын
Hongera Sana Baba Askofu kwa Mungu kukujalia kuinjilisha katika kipindi cha miaka 50. Mungu akubariki uwe na afya njema, hekima na busara🙏🙏🙏
@korentinisilayo8125
@korentinisilayo8125 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuogoza kiroho baba asikofu amina
@andrewmunishi8484
@andrewmunishi8484 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu nayaishi yote uliyotufundisha katika semina za uchumba na ndoa makuburi baba
@meckymethy9225
@meckymethy9225 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu na afya njema Baba
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutia nguvu na uzee mwema.
@amanimakombe7141
@amanimakombe7141 2 жыл бұрын
Ubarikuwe baba askofu kwa utume mwema
@FrolenceRogath-fv6ku
@FrolenceRogath-fv6ku Жыл бұрын
Baba mwenyezi mungu ahenderee kukupigania . Kwel din yetu unaijua vizur
@restitutanjau2585
@restitutanjau2585 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza Baba.
@wilbrodtungaraza6204
@wilbrodtungaraza6204 2 жыл бұрын
Hongera sana baba askofu kwa kumbukizi ya miaka hamsini ya upadre
@urumtewele9693
@urumtewele9693 2 жыл бұрын
Hongera sana BABA Mungu azidi kukushushia baraka zake
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 жыл бұрын
Heri sana baba Askofu. Pension yako ipo miguuni pako.
@marthakimalila4268
@marthakimalila4268 Жыл бұрын
Mungu akulinde
@ibel4lf
@ibel4lf 2 жыл бұрын
Mungu akuwekee tunakupenda sana
@mekumeku2484
@mekumeku2484 2 жыл бұрын
Hongera sana baba
@magdalenasanga6378
@magdalenasanga6378 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie neema na baraka baba yetu. We missed you in DSM
@andrewmunishi8484
@andrewmunishi8484 2 жыл бұрын
Tunamshukuru mungu kwa zawadi ya uhai kwako tulikufaidi sana ulipokuwa dar na mafundisho yako na semina zako za vijana Jimbo kuu la daresalaamu
@rafaellamba6724
@rafaellamba6724 2 жыл бұрын
Hongeara sana baba kilain wew ni chachu katika kanisa la Tanzania na kanisa la Mungu hapa dunian
@robertigohe7477
@robertigohe7477 10 ай бұрын
Bwana Yesu ni wa rehema mno na anaponya udhaifu wote. Zaburi 103:3-5
@benny4345
@benny4345 2 жыл бұрын
Askofu Methodius Kilaini ni tunu kwa Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwengu.
@rwelamira
@rwelamira Жыл бұрын
Proud of you Baba Askofu
@respiciusjoseph2293
@respiciusjoseph2293 2 жыл бұрын
our Father...
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 25 күн бұрын
Kongore mtumishi wa Bwana
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Si atanishika mkono nitaamka tu!.Usikate tamaa.
@chazyshadrack2558
@chazyshadrack2558 2 жыл бұрын
Amina baba 🔥🔥🔥
@luciansanga5195
@luciansanga5195 Жыл бұрын
Muna Bebana sana Sisi hapa tuna jua Hata Waovu wapo kwa kusudi la MUNGU HIVYO Hata Ninyi Mpo kwa kusudi lake
@hildambielmasawe9467
@hildambielmasawe9467 2 жыл бұрын
Niseme nini mimi kwa zawadi ya baba askofu kilaini. Tunakupenda baba tunakuombea.
@hildambielmasawe9467
@hildambielmasawe9467 2 жыл бұрын
Thanks
@maryjoseph6973
@maryjoseph6973 Жыл бұрын
Amina🙏🙏
@AronKaseiza
@AronKaseiza Жыл бұрын
jamani mbona anatulazimisha atuachie bandali yetu aende zanziba kaweke mkataba sis hattaki
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 2 жыл бұрын
Asante Mungu kwa zawadi ya Askofu Kilaini. Baba Kilaini umekuwa zawadi na chachu nzuri kwa Kanisa la Tanzania na ulimwengu mzima. Nimefurahishwa na hotuba yako 🤣
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
nakule kusini mwa Tanzania tunataka kujitenga atuoni faida gas yetu kusini kama maasikofu wachukia kuwekezwa bandali kusini tunaibiwa gassi bila yawatu wakusini kunufaika
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Makuzi yao ya upendo. Neno kubwa sana.
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
kama kila kinacho semwa na wengi tunataka selikali tatu ndio tunasema muungano utakua umefika mwisho
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
kama tutaongozwa na maasikofu basi muungano ndio mwisho wake umefika
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
mbona amtoi tamko kuhusu gasi mtwara imeporwa na wananchi wame kufa mbona hamkutoa tamko kwakua kanisa lina hisa yake
@dativafidelis388
@dativafidelis388 Жыл бұрын
Ila BABA ETI DAISALAMU🤭🤭🤭. NIMEFURAHI TUNAKUPENDA SANA
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Tunae Rais na Mama. Nani Kama Mama?
@EutropiaMinja-rx8sv
@EutropiaMinja-rx8sv Жыл бұрын
Mijitu mingine haina akili kama hili linalojiita user. Hili user halina akili kabisa sijui ni chizi hili!!!
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 жыл бұрын
bukoba tunakupenda baba askofu wewe uwe askofu wa jimbo letu
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
tunasubili kuona selikali au maasikofu ndio wataiongoza Tanzania
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
kanisa limeiba madini ndanda kue masasi rondo chidia namtumbo mbona selikali imekaa kimya nyie maasikofu ndio wala rushwa sugu hamlipi kodi mnaonaselikali ikiwekeza mtatakiwa mlipie na biashala zenu za pembe za ndovu zitakwama
@manyoponganju
@manyoponganju Жыл бұрын
biashara chafu mtakosa kufanya ndio maana mlimchukia magufuri akujali udini halikua muwazi
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Tumebebana
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 48 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
Mkuu wa KKKT Mstaafu na Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini
23:38
DK-Jimbo Kilimanjaro Kati
Рет қаралды 4,3 М.
Mhashamu Askofu Method Kilaini Atoa Mada na Kujibu Maswali Kongamano la TMCS Taifa
1:16:24
Jimbo Kuu la Mwanza | JKM Online tv
Рет қаралды 710
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Ngasa Tv
Рет қаралды 193 М.
Kardinali Rugambwa ndani ya Dayosisi ya Karagwe. Ateta na Ask. Bagonza.
24:28
ELCT-Karagwe Diocese
Рет қаралды 35 М.