Askofu Mwamalanga: Genge Limuachie Rais, Lisimzonge Kabisa | Sakata la Bandari na DP World

  Рет қаралды 57,699

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Kupitia kampeni yao ya #OkoaBandariZetu CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati mbalimbali na viongozi wengine wa kijamii wanafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Bulyaga Temeke.
Wanaharakati na CHADEMA wameendelea kusisitiza mkataba wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hauna maslahi mapana kwa nchi. Mkutano huu wa CHADEMA unafanyika ikiwa ni wiki mbili toka CCM kuanza mikutano yao ya hadhara ya kufafanua kuhusu suala la bandari.
Endelea kufuatilia The Chanzo tupo hapa katika viwanja vya Bulyaga kurusha Live
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 239
@godwinkadinda6837
@godwinkadinda6837 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana Viongozi wa Chadema, Wanaharakati,Maaskofu & Wananchi waliokusanyika hapo uwanjani,pamoja tutaijenga nchi.
@mukhtaribura6159
@mukhtaribura6159 Жыл бұрын
Pongezi baba Askofu na m,mungu akubaliki
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Safi sana kiongozi wangu kwa speech nzuri ya umoja ya kuleta faraja.
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Huyu askofu bwege sasa huo mikutano wa nccr...mchochezi
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf Жыл бұрын
Mungu akubariki kiongoziwetu WA dini na wengine wafungue midomo Yao kuhusu hili LA bandari
@isaacmollel345
@isaacmollel345 Жыл бұрын
Askofu.tunakuomba watanzania umwambie Rais aachane nahuu Mkataba tena mwambie Awaambie.polisi.hasa kingai awache wanasiasa namawakili wetu watusemehe tusiyoyajuwa tena waambie awaambie.wasiojulikana hatukikuwasikia tena.waambi wakrsto na.waislamu.sisi.nikitukimoja tunaudamini Muungano wetu wa Tanganyika nazanzabaa Mungu akubariki na Roho mtakatifu akusaidie kusema zaidi
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana Viongozi wa dini mliothubutu kutetea Watanzania wanyonge.
@benjaminmwaipungu279
@benjaminmwaipungu279 Жыл бұрын
Hongera baba, wewe ndiwe Askofu wa kweli. Walio wengi ni wachumia tumbo.
@user-nb1zd1ll2j
@user-nb1zd1ll2j Жыл бұрын
Ubarikuwe sana
@lionmkushi9641
@lionmkushi9641 Жыл бұрын
Safisana pazeni sauti zenu kwa watanzania Mungu ibariki tanzania mungu ibariki african
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 Жыл бұрын
SAAFI SANA MTUMISHI WA MUNGU ULIYEITWA NA MUNGU WA KWELI NA KUISHIKA KWELI YA MUNGU ALIYEHAI WATUMISHI WA IBILISI WOTE WAMEKAA KIMYA WANAFURAHIA KAZI YAO OVU. NASEMA WASHINDWE NA MKATABA WAO USHINDWE KWA JINA LA YESU .
@anthonykishiwa5334
@anthonykishiwa5334 Жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa kusema ukweli serikali yetu itusikilize wananchi wake
@user-cd9re4wt2b
@user-cd9re4wt2b Жыл бұрын
Baba Askofu uko vizuri sana,sema tupone
@user-wx4no9mv8u
@user-wx4no9mv8u Жыл бұрын
Asante Sana mungu yu mwema
@shahakaisi1920
@shahakaisi1920 Жыл бұрын
Haya hareluya!
@franklutindi4167
@franklutindi4167 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awàsimamie viongozi wetu wa dini huo ndio utume kwa watu wa Mungu tupo nyuma yenu endeleeni kuwa imara kusimamia rasilimali za nchi yetu isitumbukie kwenye mikono ya wakoloni mamboleo wanyonyaji wakubwa
@user-wx4no9mv8u
@user-wx4no9mv8u Жыл бұрын
Mungu akubariki askofu
@hassanmuhidin871
@hassanmuhidin871 Жыл бұрын
CCM oyeeeeee......daima mbeleeeee
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Oyeeee
@user-uj4il3ri7q
@user-uj4il3ri7q Жыл бұрын
mungu akubariki sana baba.
@hadimznz
@hadimznz Жыл бұрын
Ndugu zangu wa Arusha muishukuru royal tours, neema ya wageni mnaiona, June ......July sio mbaya, sisi wa pwani tunasubiri DP World ifungue milango ya uchumi, wale wapiga ma deal poleni sana. mama Samia funga milango, ondoa mirija, wakimaliza kesi ya DP World, tufungue kesi ya wahujumu uchumi kwa visingizio vya dini. ule mkataba usio na kikomo wa mwaka 1992 alio saini Lowassa, nao ujadiliwe mahakamani. Watanzania wataelewa tu.
@jmo2018
@jmo2018 Жыл бұрын
Mindless
@hadimznz
@hadimznz Жыл бұрын
@@jmo2018 better than dickhaed 🙂
@methewbuzuruga-eg8oz
@methewbuzuruga-eg8oz Жыл бұрын
Naona lile genge karibu linaumbuka Bado kidogo msicheze na mungu
@ernesttomas85
@ernesttomas85 Жыл бұрын
Safi
@chegebukoli1914
@chegebukoli1914 Жыл бұрын
Hakuna kutetea mkataba unaogawa kipande cha nchi yetu kwa mgeni
@saidmtenda1628
@saidmtenda1628 Жыл бұрын
Unaumia na bandari kupewa mwarabu mbona Wazungu wanamiliki rasilimali nyingi tu, makanisa mangapi yamehodhi ardhi ya Watz?
@c.l.g.mchurch6426
@c.l.g.mchurch6426 8 күн бұрын
@@saidmtenda1628tuliza komwe uyo mwarabu ninani ndio maan ubongo umelal 😢
@jacoblongo6814
@jacoblongo6814 Жыл бұрын
Pamoja bishop tanganyika yetu tunaitaka
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Жыл бұрын
KWA HIKI TUNACHOKISHABIKIA SIKU IKIFA TANZANIA TUTABAKIA NA TANGANYIKA, HALAFU TUTAGAWANYIKA TENA KUNA WAPO WATAKAOSEMA SISI NDIO WATANGANYIKA HALISI WENYE TAGANYIKA YETU (YANI BARA) NA WENGINE WATAIBUKA NA KUDAI TANGANYIKA MWISHO MOROGORO NA PWANI YOTE SIO TANGANYIKA HUKU WAKISEMA WAO NI WAAZANIA NA NCHI YAO NI AZANIA YANI NCHI YA WATU WA PWANI (NCHI ILIYOTAWALA ZAMANI IKAHARIBIWA NA WAZUNGU WAKAUNDA TANGANYIKA, WAKIDAI AZANIA ILIKUWA NA PESA YAKE NA MJI MKUU WAKE ULIKUWA KILWA KISIWANI KABLA YA KUTEKETEZWA NA WARENO, BAADA YA HAPO YATATOKEA MAKUNDI YA HAWA WAKRISTO NA WALE WAISLAM, HAWA WA KABILA FLANI NA WALE WA KABILA JENGINE... NDIPO HAPO SASA MZIKI UTAKAPOLIA HUKU TUKICHINJANA KAMA KUKU MABOMU NA RISASI ZIKIRINDIMA TUKIJUTA NA KUIKUMBUKA HII TANZANIA YETU YA AMANI TINAYOTAKA KUIHARIBU...
@user-sw3hs6go5v
@user-sw3hs6go5v Жыл бұрын
God bles you askofu
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 Жыл бұрын
Asante umetuwakilisha bila woga
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 Жыл бұрын
Safi muchungaji
@TwahaSaidiLigoola-kr1rt
@TwahaSaidiLigoola-kr1rt Жыл бұрын
Amna akili nyote nyie maana mnatumia vibaya ukanisa wenu waislamu wanasubra sana katika hii dunia
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Kaa usubiri huku usichangie kama huna hoja.
@adamubakari6624
@adamubakari6624 Жыл бұрын
Haiwezekani mikutano wahudhurie maaskof mashekh hawapo. Huu ni udini waziwazi
@josembeyaa9032
@josembeyaa9032 Жыл бұрын
Wacha upumbavu wewe
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 Жыл бұрын
Haumsikii kasema mashehe wametishiwa na wakaogopa waambiwa wavue kanzu waende Kama watazamaji
@banihashim5347
@banihashim5347 Жыл бұрын
MUNGU AMEWAFEDHEHESHA MNAPIGA HADI HALELUYA NDANI YA MKUTANO WA SIASA, DAH
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 Жыл бұрын
KONGAMANO LA MAKANISA HAO MASHEHE NI WAONGO NI MASHEHENA
@banihashim5347
@banihashim5347 Жыл бұрын
@@omaryramdhani9823 UNAJIITA OMARY NA UNATAKUTANA VIONGOZI WAKO WA DINI YA KIISLAM AMA KWELI WEWE NI JAHILI MURAKKABU
@christinangondi4212
@christinangondi4212 Жыл бұрын
MUNGU ndiye aliyeliitisha Kusanyiko hili
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn Жыл бұрын
Ubarikiwe bishop
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Wanatuona watanzania wajinga sana Hawa watu
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Hao watu ni matajiri duniani wanataka kufanya kazi kwa maslaha ya tanzania uzalishaji nchi yenu ni maskini tu duniani samia anaakili sana kuvuta mali kwa tanganika
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm Жыл бұрын
Kanisa ndio liko mbele poleni sana Kwa sabb Mwarabu ndio maaana munafanya Kila njia Mola hatosimama na nyinyi
@chungimuhidini347
@chungimuhidini347 Жыл бұрын
Usiangalie udini ndugu hii nchi yetu sote
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm Жыл бұрын
Wachanana na udini hvi hiyo kampuni hapa Tanzania tu ndio inaanza kuwekeza ama vpi
@amanilucy
@amanilucy Жыл бұрын
Shule no muhim Sana ndio maana makanisa yalijengashule nyingi kuliko makanisa,,,ungeenda shule ungeelewa kwanin hili taifa nimaskin
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm Жыл бұрын
Wapuuuuzi sana kumbe nyinyi
@ZephaniaNdaki-vq1ti
@ZephaniaNdaki-vq1ti Жыл бұрын
Serikali inapoendelea kutumia nguvu na kutojali maelezo na maoni ya watanzania wasio wana ccm, Mungu anazo njia ki-vingine kuwatetea wenye kilio cha kweli. Na CCM watashangaa kwa huo "ungangali" wao yatakapo watokea puani.
@mohamedmoledina6403
@mohamedmoledina6403 Жыл бұрын
Chadema rasmi chama Cha kanisa
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Utakoma wakristo cc ni wengi wewe vip ata uhuru tulileta cc nyie Cha maana nikutaka ujinga
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Mna uwingi gani nyie...wakristo mabwege tu....soma jiografia
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
@@karimkassam571 geography kweli nyie akili zenu maduu washa Tanzania bara pwani tunagawana nenda kanda ya ziwa wanahesabika kigoma wew mpuzi kweli ndio maana shulen hamusomi mnakimbilia madrasa wajinga wengi ni nyie Pole hapa anabishana na mtu wa PhD stupid fools like you you have no point even to argue shameless all Muslim fools.
@paulkangajaka2486
@paulkangajaka2486 Жыл бұрын
​@@karimkassam571Ukiitwa kwenye vyombo vya haki unaweza kuthibitisha UBWEGE wa WAKRISTO?Chunga ulimi wako!Haupo madrasa huku ni mtandaoni ni dunia!!
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
​@@benson20301🤣🤣🤣uhuru wameleta nani?🤔
@user-jx4mv4ij7o
@user-jx4mv4ij7o Жыл бұрын
Viongozi wa dini simameni imara tunapita lakini watoto wetu watakuwa wageni wanani?
@geofreychitamu366
@geofreychitamu366 Жыл бұрын
Ninawaombea kwa muumba wote watendao kwa haki walindwe na yeye.
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Жыл бұрын
Wahuni watupu wote.yamekuudhiwewe Askofu.
@clemencelisonga8261
@clemencelisonga8261 Жыл бұрын
Yaani siamini kama Kuna mtu aanajiita clemence halafu Taaira kama wewe huna jipya unatutia aibu wenye majina hayo
@malindimalindimerinyo1632
@malindimalindimerinyo1632 Жыл бұрын
Mumezungumza vizuri sana mno hamuna udini ama uchochezi ila kipofu na mlarushwa haonikwakuwa rushwa ni adui wa haki
@chegebukoli1914
@chegebukoli1914 Жыл бұрын
Tunaongelea bandari zote za Tanzania bara ,hatuongelei mambo ya makanisa.Mkataba gani wa kumpa mwekezaji milele?Tunawadhurumu vizazi vijavyo?
@josephmanyambania5404
@josephmanyambania5404 Жыл бұрын
Heri kunyamaza, kulikoni kumfagilia mhalifu bila aibu kadamnazi ya watu, tena kwa MTU anayeonekana km mtumishi wa Mungu , Swala la bandari ni nyeti sana wa kuandamwa ni kiongozi aliyepanga safi ya kumsaidia kazi ya kuongoza Na kuilinda nchi.
@hassanmuhidin871
@hassanmuhidin871 Жыл бұрын
Upuuzi mtupu. CCM oyeeeeee
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k Жыл бұрын
Watanganyika fungueni akili tabaka tawala hatari sana wezi wa kupindukia hawashibi hawana aibu hata tone Samia jiondoe katka hili
@JackM.-mh5cs
@JackM.-mh5cs Жыл бұрын
Mwambini aache wizi wa kitoto waridishe trioni hamsini walizouza!!
@ahmedyunus7211
@ahmedyunus7211 Жыл бұрын
Yani nguvu mnayotumia ni kubwa sana mbona hiyo nguvu haitimiki ktk mikataba ya Barik geita gold nyamongo ila tumeshawafaham lengo lenu kama kanisa na chama chenu mfereji unakatwa mbona hatusikii mkataba wa mungona mwisho lini?
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Жыл бұрын
Tulishaga pigwa saaana na barick, Tusifanye kosa tena
@MackDMeckD-tw3rc
@MackDMeckD-tw3rc Жыл бұрын
Watanzania wenzangu mnadanganywa swala la bandari kila mmoja anajua kinachoendelea msithani atujui mnacho kula tumekaa kimya lakini sio vizuri kabisa
@urbanmission3072
@urbanmission3072 Жыл бұрын
PONGEZI KWAKO ASKOFU ,BARIKIWA SANA,HILO GENGE LIMUACHE RAIS AFANYE KAZI
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Жыл бұрын
Yakaizar mwachie kaizar yesu aliyaona haya mwanz kbs
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Жыл бұрын
WALIINAMISHA VICHWACHINI
@user-nb1zd1ll2j
@user-nb1zd1ll2j Жыл бұрын
😢
@ladislausriwa7768
@ladislausriwa7768 Жыл бұрын
Viongozi wa dini wana platform yao ya kuzungumza na Rais. Na walishaita wawakilishi wa Serikali wakatoa ufadanuzi na bado wanaendelea kupata uhalisia upitìa wataalam wao. Tutawasikia wao na siyo huo uhuni wa kisiasa.
@user-qo2nf6vm7k
@user-qo2nf6vm7k Жыл бұрын
Hujitambuwi wewe
@brunolwambano6752
@brunolwambano6752 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 Жыл бұрын
Nawapa hongera viongozi wa dini mliohudhuria
@mohdali2408
@mohdali2408 Жыл бұрын
Chama cha kitimoto hakifai
@user-qo2nf6vm7k
@user-qo2nf6vm7k Жыл бұрын
Chama cha wanafiki na washirikina hakina nafasi tene.
@user-pd1kk3xd4u
@user-pd1kk3xd4u Жыл бұрын
Huko DUBAI EXPO NDO WALIMUWEKA MAMA KWENYE BANGO KUUBWA ILI KUMULEWESHA MISIFA ILI AUZE NCHI VZR SAMIA HAJISOMI KABISA
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 Жыл бұрын
Safi sana askofu mungu akubarki tena akulinde
@MaryamKudra-gf8zs
@MaryamKudra-gf8zs Жыл бұрын
Hamna lolote hakuna hoja polojo
@hajiali-cd6sz
@hajiali-cd6sz Жыл бұрын
Nyinyi. Makanisa munamikataba na serikal inataka ijadiliwe Tena hospital za serikal zinamikataba na makanisa ijadiliwe hii nchi sio ya makanisa
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Makanisa wasomi,
@yohanamgulu4544
@yohanamgulu4544 Жыл бұрын
Asante mtumishi!nimependa sana hiyo karam uloshika mkonon"hakika kama ukiandika hoyo!ni sawa na neno ulo lisema.hata ulimi huandika tafiri ya ubongo' watanzania wanatafsiri yote kati ya haki na iso haki.barikiwa baba.
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Hana lolote NI bwege amenunuliwa na mbowe
@JoshuaNyato-gc6fp
@JoshuaNyato-gc6fp Жыл бұрын
Hakika mbingu utaiona kwa kuwatetea watanzania dhidi ya wakoni weusi ccm watumishi mmeiinua huduma yenu kwa wokovu
@mohamedmoledina6403
@mohamedmoledina6403 Жыл бұрын
Leo mungu amewaumbua mnawakilisha maslahi ya kanisa labda mbona Sasa silaha hamtaingiza kama slaa alivyosema
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
Haleluyah Haleluyah Ee mola mwingi wa rehema Uwe pamoja nasi Tutasimama kutetea Taifa letu. Haki zetu tutazilinda sisi wenyewe Tanzania itajengwa na sisi wenye Ee mwenyezi Mungu sikia.kilio cha watu wako. KOMBOA TAIFA HILI KWENYE MIKONO YA MAFISADI. AMENI
@deodatusmwaipopo3961
@deodatusmwaipopo3961 Жыл бұрын
Asante mungu kwa zawad ya viongozi wetu wadini kwani niwewe uliwaita wakutmikie ktk roho nakweli
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Жыл бұрын
Dini ni uslamu tu NA mtume wa mwisho ni mohamed NA dini kwa mungu ni moja tu
@hamzamohammed8902
@hamzamohammed8902 Жыл бұрын
Kanisa limepoteza muelekeo mtachanganyikiwa sana na huyo padri silaa wenu
@mohamednamdimba4370
@mohamednamdimba4370 Жыл бұрын
Mama piga kazi walete dp na wengine walete achana hao wapinga kila kitu mbona kwe ye royo tua hawakusema au kwa saba ya ilikuwa kwao harafu unaitu ishia .isuli selekaki kwali ni sawa hiyo
@vladiminlenin8883
@vladiminlenin8883 Жыл бұрын
Tuepukane na ukolon jaman
@user-kc6hg1se7b
@user-kc6hg1se7b Жыл бұрын
Baba Askofu sema yote, msema kweli ni Mpenzi wa Mungu.
@fredrickakyoo
@fredrickakyoo Жыл бұрын
Tanzania hatuna Rais.
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 Жыл бұрын
Samia ni nani?
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Mabwege...bado hawajui rais NI nani
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
​@@gabrielmoses6860msimamizi wa mirathi
@hadimznz
@hadimznz Жыл бұрын
​@@gabrielmoses6860Amir jeshi Mkuu wa Tanzania tena ni mwanamke, akisema ulale mchana utalala.😂😂😂
@brunolwambano6752
@brunolwambano6752 Жыл бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@abi-onlinetv4181
@abi-onlinetv4181 Жыл бұрын
Mbona Mkataba ulio ingiwa na Serikali na Kanisa kuhusu Bil 36 point kila mwaka hamuuzungumzii kama ni Mkataba mbovu. Kanisa linapewa mgao huo pekee yake na wakati Kodi ni za Watanzania wote.
@machano5690
@machano5690 Жыл бұрын
Hakika hii ni vita ya Waislamu na wakiristo, waislamu amkeni.
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 Жыл бұрын
HAWASEMI KWA KUA WANA MLO WANAUPATA
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Kama ukijua mkataba huo ni mbovu na hauna maslahi kwa nchi halafu ukakaa kimya wewe ni Mpumbavu
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Waislamu ni wajinga inchi hii
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Hawa wakristo wanawivu sana....na ndio maana yanakula nguruwe .
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 Жыл бұрын
Upumbavu mtupu, watu wote wa mfumo kristo ndio wanehudhuria
@mubarakchishako500
@mubarakchishako500 Жыл бұрын
jamaa wameumbuka watu hamna
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 Жыл бұрын
Hao ni mkojo wako
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Mbona hayo majamaa NI mabwege tu ninachosikitika wanawahusisha viongozi wa dini wanadhani ndio salama yao
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Жыл бұрын
Anachoongea anakijuwa mwenyewe mpk watu wanajiondokea hawamuelewi
@HudhaifaDjuma
@HudhaifaDjuma Жыл бұрын
Tambueni watanzania,ktk bandari kulikuwa na fungu la fedha likiingia ktk kanisa,na kanisa linafungu ktk nchi hii,sasa wanajua sasa hivi fungu limekatika ndo maana wanapiga kelele maaskofu na kuwatafuta wanasheria,na ndo maana hawaogopi kwasababu wanajua nyuma yao kuna kanisa linawaangalia
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 Жыл бұрын
Acha uongo kama huna data usiandike kitu hiyo ni dhana
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Wasenge wenye akili za madrasas hamjitabui kweli tumesoma kasome madrasas wew
@shilindebusolwa8887
@shilindebusolwa8887 Жыл бұрын
"Hata hueleweki,,,,Kuwa na watu wenye mawazo ya aina Yako ni hasara kubwa kwa taifa''
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Muongo mkubwa Mali za taasisi zote za dini hupitishwa bandarini bureee! Kama huna hoja fyata shanxi! Hakuna anayepinga uwekezaji ila masharti ya mkataba
@HudhaifaDjuma
@HudhaifaDjuma Жыл бұрын
Sisi ndiyo watu wa hizo kamati unazozisema ndo maana nimeyasema hayo
@mashakaalfred7827
@mashakaalfred7827 Жыл бұрын
Baba ongera sana
@fidelludemwa7223
@fidelludemwa7223 Жыл бұрын
Mwambie na lisu apunguze Mzee
@fidelludemwa7223
@fidelludemwa7223 Жыл бұрын
Mbona lisu katukana humusemi
@majaliwakulanga3806
@majaliwakulanga3806 Жыл бұрын
Nakupongeza
@Kakamkubwa3564
@Kakamkubwa3564 Жыл бұрын
Dah Huyu ndie Askofu sasa
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Askofu wa maana sana kama hioni
@karimkassam571
@karimkassam571 Жыл бұрын
Askofu bwege
@user-or8ow5vr7m
@user-or8ow5vr7m Жыл бұрын
Huyu mama hafai Tena kuwa raid maaana anaongea hili anageuka tena
@banihashim5347
@banihashim5347 Жыл бұрын
MASHEE GANI HAO UNAOWAZUGUMZIA HAO?? WATAJE BASI MNAFIKI MKUBWA
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Mnafiki wewe kalisha matako wewe msenge waislamu hamna Cha maana
@hadimznz
@hadimznz Жыл бұрын
😂😂😂😂 haya, mambo Bwana, wacha tu.
@user-xo1kj8cf4d
@user-xo1kj8cf4d Жыл бұрын
CHADEMA NI CHAMA CHA KIKATORIKI TANZANIA.
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Жыл бұрын
Tumewashitukia
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln Жыл бұрын
Ma askofu wana hofu wanaona hawatoweza kupitisha mambo maovu bandarini na wanataka kukwepa kodi wamezoeya kupitisha mambo yao kinyemela
@user-xo1kj8cf4d
@user-xo1kj8cf4d Жыл бұрын
WEWE NI ASKOFU WA MCHONGO.CHADEMA NI CHAMA CHA DINI YA KIKRISTO,KIPO CHINI YA KANISA
@obeidchamila6392
@obeidchamila6392 Жыл бұрын
KWAN nyie biongozi wa dini Hanna nafasi ya kuonana na Raisi rasmi KUONGEA nae mpk muende kwenye majukwaa ya siasa Kama sio vurugu ?? Unatoa matusi hadharani NN busara yako iko wapi ???
@user-kc6hg1se7b
@user-kc6hg1se7b Жыл бұрын
Tunawashukuru kwani tulikuwa hatuna uelewa leo nimepata somo.
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Asnt yesu tumejua ukweli utuweke huru huu upumbavu uwatoke haw viongozi wetu ndo mana wanaogombea ccm wengi ni wezi kwn wanafuata mfumo unaowalinda
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy Жыл бұрын
Haaaaha wizi wenu umejulikana hakuna kupitisha makontena burebure dp njoo hata kesho
@Emmanuellobelo
@Emmanuellobelo Жыл бұрын
Hahahahahaha feki proffessors wa CCM
@user-yb6ut9in5c
@user-yb6ut9in5c Жыл бұрын
Maa askofu mbona mlisema mnachombo chenu cha kusemea yani saut ya umoja yani cptc lakini sasa kila askofu anasemalake jukwni je ukweli upo hapo
@mussakiyondomagoga5051
@mussakiyondomagoga5051 Жыл бұрын
Nyiee mnagombaniaa akiyeenu mkataba wabandalii mnachomekeaaa mkataulee
@saidmtenda1628
@saidmtenda1628 Жыл бұрын
Nyie wakristo mnadhani wamisionari ndo waliwapeni mmiliki Tanzania.
@user-hb1iw9uj3x
@user-hb1iw9uj3x Жыл бұрын
Acha udini fanya hoja ya bandari
@fidelludemwa7223
@fidelludemwa7223 Жыл бұрын
Huyu mchungaji kakodiwa nacha Dedema mjinga tu
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Жыл бұрын
Wa kwanza ni mpina si mbowe
@benson20301
@benson20301 Жыл бұрын
Muongo ww wa kwanza ni mbowe how stupidity ar u
@lulujidahbrighton5148
@lulujidahbrighton5148 Жыл бұрын
Sio kweli nyinyi ni Wapumbavu tu
@Emmanuellobelo
@Emmanuellobelo Жыл бұрын
CCM ishajaa waizi tu,ndio maana baada ya Magufuli tu kufariki Genge lote la wezi limerudi
@Pharadge
@Pharadge Жыл бұрын
tupo kwenye ibada ya jumapili
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
ROSTAM NDO KIONGOZI WA GENGE HILI KIKWETE NAE NDO VIONGOZI WA HILI LKN WATANZANIA WANALIFAHAMU HILO TAYARIII
@emilyKassiano-oo5iy
@emilyKassiano-oo5iy Жыл бұрын
Waambie waambie tuko nyuma yako
@NellyMadeni-yv6fd
@NellyMadeni-yv6fd Жыл бұрын
Mbona mna zunguka zunguka tu, fanyeni maamuzi magumu ya kiume. Tumalize mchezo
@adamubakari6624
@adamubakari6624 Жыл бұрын
Udini nihao maaskofu nachadema yao
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
MADA ILIYOKO MEZANI NI MKATABA ACHA UDINI UNAKIMBILIA KWENYE UDINI MAANA HUNA HOJA FACT
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
Tatizo ni inferiority ndio maana unakimbilia kuingiza udini . Mkataba wa bandari ndio hoja
@hamisilutungu7293
@hamisilutungu7293 Жыл бұрын
Makanisa mna shida gani jamani...
@aishakaumbya4082
@aishakaumbya4082 Жыл бұрын
Embu fafanua mkuu
@gtgmediaproduction764
@gtgmediaproduction764 Жыл бұрын
Kwani naninyi misikiti mna shida gani
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 Жыл бұрын
Misikiti ina shida gani siyo kila mwaraabu ni mwislam hilo mtambue
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Жыл бұрын
Kwa sababu misikiti inasapoti isichokijua
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,9 М.
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 17 МЛН
NO JOKES! LISTEN TO WHAT DP GACHAGUA SAID IN CHURCH TODAY!
16:36
Kenya News Alerts TV
Рет қаралды 652
Dk.Slaa Atoa Ujumbe Kwa Rais Samia Kuhusu Mkataba wa Bandari
8:58
JE NI HAKI KUBEMBELEZA KUPATA KATIBA MPYA?
22:35
BISHOP PROF VICTOR CHISANGA
Рет қаралды 23 М.
ASKOFU HUYU BILA UOGA CCM ANENA MAZITO ARUSHA YAZIZIMA.
7:14
IPINDA ONLINE TV
Рет қаралды 25 М.
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН