Kbs hayupo kizembe zembe anajiamini anajielewa sana hana hofu kbs
@williammwamalanga10654 ай бұрын
Hiyo itembezwe kila kijiji cha Tanganyika ili watanzania waione
@SundaySteven-bz4yq4 ай бұрын
Na tutachangia mara dufu asingekuwa yeye hata swala la bandari,,wamasai kufukuzwa na aridhi ya watanganyika kupewa wageni ametuonesha anavyotenda haki hata ukipigwa sim anapokea tofauti na wale viongozi walivimba vichwa lisu oyeeeeeee
@LuganoMwakalinga-p3k4 ай бұрын
Ndio shida Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa maelezo yako mazuri.
@SundaySteven-bz4yq4 ай бұрын
Huyu lisu anafaa kuwa rais maana anasifa kwanza ni mwanasheria tofauti na wale wanabatizwa doctor huku hamna
@aloycemisigalo39834 ай бұрын
Mwanamapinduzi kiukwel huwa unajua kufafanua na kujibu maswali ya waandishi wa habar, wewe ni lulu katika nchi.
@drsumatz75394 ай бұрын
Nachangia tena
@dillonfoya3 ай бұрын
Tulimwomba Mh. Aweke Hilo gari kwenye makumbusho si kwamba CDM hawawezi kumpa gari ila kwa mahaba makubwa ni haki tuonyeshe kuwa tunaweza nasi kumpatia gari na lile waje Watoto na wajukuu waje waone ulivyokuwa katika kufikisha Tanzania ilipo
@AbhaiyaAbhaiya4 ай бұрын
Kweli kabisa
@abdallavictory67234 ай бұрын
Unaposema alikuwa anapigania Uhuru sikuelewi, au Unadhiaki Waliopigania na kudai Uhuru,
@rebekakulwa61594 ай бұрын
Mi nimeshachanga na nitachanga Tena na tena
@laupetpet77794 ай бұрын
Safi Sana kamanda
@solomoneglesias97524 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni tu mbele yako na azidi kuibariki kazi ya mikono yako
@nixonjohnson49084 ай бұрын
Naombeni namba za mchango wangu 5000 jamani nipeni namba tu
@knight67574 ай бұрын
🚘
@daudimaembe33604 ай бұрын
🚗🚗🚗🚗🚗
@SaidAlly-uh4qw4 ай бұрын
Yani wale jamaa walompiga risasi ni wapumbav sana wamemkosaje huyu lisu wangemmaliza tu tukapumzika
@nixonjohnson49084 ай бұрын
Pumzika kama wenzako subiri muda si mrefu maana mungu anatenda..
@JoachimKisoka-d5l4 ай бұрын
Anayetukana Hana hoja na kama unafurahia kumwaga damu ya nduguyo wewe ni mfuasi wa shetani na kama ni hivyo umeshaandaa makao yako na shetani ndiye mwenyeji wako.
@JovinPeter4 ай бұрын
Mchunģaj wa mbuz
@humphreymkony89154 ай бұрын
Weka jina lako hapa ushikishwe adabu
@ndogoroedson1994 ай бұрын
Na ninyi waandishi feki cjui hamna kazi zingine za kufanya? Washenzi kabisa labda nchi ya mkeo ndyo ilipita kwenye hilo bonde kwenda zako mbwa ww
@ULUMBIADAM4 ай бұрын
K Yako ya nyuma
@Nedjadist4 ай бұрын
Watanzania kwa nini si wastaarabu, ni ukosefu wa elimu nini? Haya mambo mmeyavaa tu bilaya kuwa na masomo wala ufahamu. Umeandika matusi hapa, wajua yatadumu zaidi ya miaka 100 ijayo? Mwenyezi Mungu atakuwa anakuandikia madhambi ya matusi kwa muda wote huo! Wamtukana mtu bila sababu, jamani!
@deogratiustweve26114 ай бұрын
Hivisisi bnadam tumeumbwaje
@usembiphonedar56324 ай бұрын
Najaribu kukutafakari sana sababu ya kumtukana huyo mwandishi nimeshindwa kukuelewa! Ila nahisi hauko sawa kichwani! Afya yako ya akili haiko sawa! Pia yawezekana kichwani kuna kinyesi badala ya akili! Hovyoooo!