KAULI YA LISSU NA UZANZIBARI YAZUA BALAA/ KWELI RAIS MZANZIBAR? / KURA YA MAONI IWE SERIKALI 3

  Рет қаралды 29,137

Dar24 Media

Dar24 Media

27 күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 295
@drallan6879
@drallan6879 25 күн бұрын
ubaguzi Gani kusema ni mzanzibar na ameuza bandari na mbuga zetu na misitu so mama amejenga fikra hizo
@mkude
@mkude 25 күн бұрын
Wewe unabandari wewe
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 25 күн бұрын
Ufafanuzi umetolewa maana ya ubaguzi hujaelewa? Sikiliza tena
@fatmaabdalla1641
@fatmaabdalla1641 24 күн бұрын
Mwambien uyooooo
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 24 күн бұрын
Rais Samia bora ungewapa hao WaArabu au Wazungu, Wachina bure bandari ya Zanzibar wakaifanyia kazi mambo yangekuwa mazuri. 😂😂😂 lakini pia ungeambiwa umefanya ubaguzi umetengeneza kwenu. Lakini usisahau kwenu pia. Magufuli hajasahau kwao .
@abdullahalsharji9428
@abdullahalsharji9428 24 күн бұрын
Kina wenye ufahamu wa inzi
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 26 күн бұрын
MHE TUNDU LISU HAJAKOSEA NINYI NDIYO MNAKOSEA WEWE NI ZANZIBAR HUWEZI KUIELEZA VIZURI KAULI YA ZANZIBAR NA UTANGANYIKA TANGANYIKA ....
@twahirshali8014
@twahirshali8014 21 күн бұрын
Wazanzibar kawafungua macho
@AugustinoPeter-rn9bn
@AugustinoPeter-rn9bn 26 күн бұрын
Kaka hapo imechemsha soma katiba ya Mzanzibari
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 25 күн бұрын
Mtangazaji uwe mkweli au ufanye kazi yako vizuri. Wazanzibari hawajawahi kuwa watanzania. Acheni kupotosha mambo. Pia, huyo unayemhoji afanye utafiti. Huwezi kuwa mzanzibari na mtanzania kwa wakati mmoja hasa ikizingatiwa kuwa Tanzania tayari ina uzanzibari.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 25 күн бұрын
Vivyo hivyo Mtanganyjka hajawahi kuwa mtanzania, huwezi kuwa Mtanganyjka papi hapo ukawa mtanzania. Hivyo katika Tanzania Kuna watanganyika na wazanzibari. Sawa?
@richardnganya2311
@richardnganya2311 25 күн бұрын
Huyu Miraji apewe jukwaa la kongamano na Lissu halafu tutajua rangi yake.
@user-me9nr2qc3x
@user-me9nr2qc3x 25 күн бұрын
Kwa nini mnakwepa hoja ya msingi mbona hajawaahamisha Wapemba anahamisha wamasai
@WolterKamera-bv7hq
@WolterKamera-bv7hq 25 күн бұрын
Kama nimunga Kwa mini watanganya hawatawali nzanziba
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 25 күн бұрын
Mbona mtanganhika hawezi kuwa rais au mbunge zanzibar?
@malkavoice2570
@malkavoice2570 25 күн бұрын
Huyu mzee mwenyewe ni Mzanzibar bro,unapoteza muda wako hapo. Samia hana zuri aliloifanyia Bara labda Tz kwa mbaali na kwa faida zaidi ya Zanzbar
@JumanneMagafu
@JumanneMagafu 21 күн бұрын
❤ Thanks 👍 for
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 25 күн бұрын
Kwanza huuu mungano sielewi faida yake Nini Bora tuuuvunje Hauna faida yoyote
@abdulsaid1015
@abdulsaid1015 11 күн бұрын
Bro..miraji uko vizuri sana ...mungu akutae akili.
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 26 күн бұрын
Huyu mzee hana anachokijua ni mtu wa kukopi na kupest,mzee jibu maswali usilete maelezo mengi,huna uwezo wa kujibu hayo maswali,hayo maswali ni very critical,
@amanimanase8799
@amanimanase8799 25 күн бұрын
Tundu umeongea points sana
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 25 күн бұрын
Umepwaya sana mzee. Ungejaribu kujibu hoja Kama msomi na sio kwa mihemko ya uzanzibari
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 26 күн бұрын
Tundu amekoti katiba ya Zanzibar
@qassimkc5898
@qassimkc5898 25 күн бұрын
Inasemaje
@iddiali8057
@iddiali8057 25 күн бұрын
MBONA SIMPLE SANA! TUPIGE KURA YA MAONI YA KUUVUNJA MUUNGANO!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 25 күн бұрын
Short and clear
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 25 күн бұрын
MMUNGANO FEKI KBIS HUU
@drallan6879
@drallan6879 25 күн бұрын
speak in a professional manner;lissu is genius you can't compete with him or challenge him;leave our genius lissu a lone
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Lissu ni mjinga2 hana uginious wowote
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 25 күн бұрын
Wasojuwa wanamuona Genius . Makosa Rais Samia kamrejesha Tena Bara huyu Genius mnae msema. Magufuli alimtowa mbio allimfukuza. 😂😂😂
@AhmedZahor
@AhmedZahor 24 күн бұрын
Kwani nyie Watanganyika nani kakwambieni Sie Zanzibar tunataka Muuongano na nyie si Munatulazimisha tu Kwa mitutu ya Bunduki
@user-gq6vz6we3m
@user-gq6vz6we3m 17 күн бұрын
Wazanzibari ni wabaguzi sana Tanganyika inawalea hawana hata shukran wanasema paspoti kwa mtanganyika tu wao waje bila. Paspoti ubaguzi mtupu
@usafiaps318
@usafiaps318 25 күн бұрын
Mr Said Miraji Jibu Swali Kama Jinsi Ambavyo Tundu Lisu Alivyosema Tundu Alivyosema.Katiba Ya Zanzibar Inasemaje???
@AugustinoPeter-rn9bn
@AugustinoPeter-rn9bn 26 күн бұрын
Usome katiba ya Mzanzibari kisha umukosoe 2:05
@hajihassan5433
@hajihassan5433 25 күн бұрын
Kwa sisi Waislam huko ni kutia udhu huku unajamba. Kwenye Sheria au hata vitabu vitakatifu kuna sifa ya kufutana.
@user-rc4db5tg8f
@user-rc4db5tg8f 24 күн бұрын
Katiba ya Zanzibar iko sawa ina haki kuzungumzia raia wake wazanzibari munatakiwa muelewe ile ni serikali ya mapinduzi zanzibar ni lazima izungumzie watu wake wazanzibari haiwezi kuzungumzia watanzania iko serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania iyo ndio watu wake wazanzibari na watanganyika na ndio inayoongelea watanzania.
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 25 күн бұрын
WAZANZIBARI HATA SIKU MOJA HAWAJIITI WATANZANIA, ILA WATANGANYIKA NDIO WATANZANIA!
@godsson5954
@godsson5954 25 күн бұрын
Muwe mnawahoj watu wenye akili
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 25 күн бұрын
Nawaomba wanasiasa wawe wakweli 😮 muungano huu haufai tena😮 kwa kizazi chetu cha leo zilipendwa😂urekebishwe au tugawane mbao hilo ndio lll bakia❤
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 25 күн бұрын
wabara tele wana nafasi za uongozi masheha wengi zbar ni wabara kiufupi huu muungano ni vurugu tupu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 24 күн бұрын
​@@khamisjuma7616Wewe ni mgonjwa wahi hospital,tangu lini shehe au mchungaji akawa kiongozi wa serikani
@djumakadege659
@djumakadege659 25 күн бұрын
Matatizo yote haya yameletwa na viongozi wa mwanzo kabisa mwaka 1964. Hawakuwa wakweli katika muungano huu kulikuwa na udanganyifu. kama kweli muungano huu ulikuwa wa haki wananchi waonyeshwe hati halali ya muungano na makubaliano yalikuwa vipi. tunamshukuru MwenyeziMungu hivi sasa mtu anaweza kuhoji muungano.zamani thubutu uhoji muungano kama utapona. mheshimiwa Tundu lisu amshukuru sana mama samia kwa kuruhusu uhuru wa kujieleza. ndugu zangu huko tulikotoka kulikuwa jahanam. sasa tuutumie uhuru huo vizuri bila kubaguana. wazee wetu wametuachia mtihani mkubwa. MwenyeziMungu tunusuru.
@gidongailo7174
@gidongailo7174 25 күн бұрын
Maswali ya Mtangazaji critical lakini hakuna majibu ya maana
@ismaelgadiye4488
@ismaelgadiye4488 25 күн бұрын
Soma pia katiba ya sanziba
@johnmanonijohn5544
@johnmanonijohn5544 26 күн бұрын
Kwahiyo watanganyika wanabaguliwa Zanzibar?
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
Nani kabaguliwa labda awo makahaba wanao kuja kujiuza live ilo kweli hatulitak
@daiqmull7474
@daiqmull7474 25 күн бұрын
Ndio tunabaguliwa
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 25 күн бұрын
​@@daiqmull7474 munabaguliwa wap wakati hotili zote zanzibar mumejaa. Nyinyi watanganyika nafasi zote munazonyinyi masheha wazanziba karibu yawote niwatanganyika vikosi vyote wakubwa. Niwatanganyika masoko yote yaloko zanziba niwatanganyika
@rashiditembo1574
@rashiditembo1574 25 күн бұрын
Mtangazaji,mpatie na katiba ya Zanzibar atusomee,
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
Tatizo hamji elewi siku utakayo kua utaelewa, zanzibar ni nchi kamili, ambayo ime ungana na tanganyika. Ndio ikaja jamhuri ya muungano, Tanzania sio nchi moja Tanzania ni nchi mbili zilizo ungana
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
Ss nyie bara mumeuwa serekali yenu ya tanganyika ili muje kuifanya hii nchi iwe moja mupate kuingiza zanzibar iwe kwenu but zanzibar ilo hatulitak
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 25 күн бұрын
Uyo miraji ame jikaanga mwenyewe ajibu hoja za lisu huuu mungano hatuutaki
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 26 күн бұрын
Wewe hujui wazanzibari siyo watanzania.
@ShukuruJohnston
@ShukuruJohnston 25 күн бұрын
Katiba ndo inashida, lissu hajakosea
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 24 күн бұрын
Huna akili ndio maana unaona lisu yuko sawa
@user-lq9rf6qq1d
@user-lq9rf6qq1d 24 күн бұрын
Ww ndio una akili kwasababu unadharau maoni ya mwezako.
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 23 күн бұрын
Hapo anaisemea zanzibar. Wewe ugombee kwangu, uchague kwangu, umuliki aridhi kwangu, ufanya unavyotaka kwangu, lakini mimi siruhusiwi kufanya asilimia 90 za vitu kwako ?
@danielkanso
@danielkanso 25 күн бұрын
Kumbe lisu yuko correct maana hata huyo professor aningia pale pale
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 25 күн бұрын
Kuuza vitu vyeyu Tanganyika. Ubaguzi mbona yy hauzi bandari za Zanzibar. Wewe hujielewi. Bora unyamaze hatukuelewi.
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Jee kuletwa wanajeshi watanganyika na kupiga Wazanzibar hili mbn hamlisemi...
@user-kt8kd5hq1g
@user-kt8kd5hq1g 22 күн бұрын
Zanzibar imekandamizwa miaka mingi sana sasa mama anajitahid kuweka usawa sasa kunawatu wachukia. tatizo hapa ni chuki dhidi ya aina Fulani ya watu
@user-sm7gj4mn5n
@user-sm7gj4mn5n 25 күн бұрын
Hapan cuf walimwita Nyerere dunamozi
@jamjys1
@jamjys1 18 күн бұрын
Wazanzibari wote are proud themselves kuwa wao ni waarabu hakuna asielijua hilo
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 25 күн бұрын
Asante..🤝 mengi tuu yamefanywa na mabaya sanaaa kabla ya Rais Samia.
@yonasimion3130
@yonasimion3130 20 күн бұрын
Tunakaka serikali 3, Zanzibar, Tanganyika na Tanzania.
@user-cu3cl4yy5s
@user-cu3cl4yy5s 25 күн бұрын
Zanzibar ina katiba yake iweje nchi moja iwe na katiba mbili???? Zanzibar ni ya wazanzibar na Tanganyika ni ya Muungano
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
Hii ni jamhuri ya muungano kati ya zanzibar na tanganyika, nyie ndio mumeuwa tanganyika yenu ili mpate kuimeza zanzibar, but zanzibar tunajielewa sisi zanzibar ipo hatuja ivunja
@user-cu3cl4yy5s
@user-cu3cl4yy5s 25 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke sawa na sisi tunataka Tanganyika yetu irudi na pili mikataba ya rasilimali zetu Tanganyika zilizowekwa na mzanzibar hatutaki bandari zipo Zanzibar akaweke uko waarabu pili haiwezekani juzi juzi tu wamasai wasumbuliwe uko Zanzibar alafu wasumbuliwe tena Ngorongoro kwenye ardhi yetu ya Tanganyika na mzanzibar huyo huyo
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
@@user-cu3cl4yy5s ukitaka mikataba tuanze kuijadili tuanzie wa kwenye muungano kwanza
@user-rc4db5tg8f
@user-rc4db5tg8f 24 күн бұрын
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi mbili zilizoungana sio nchi moja kama unavodanganywa na wanasiasa ingekua nchi moja kungekua na raisi mmoja tu lkni zanzibar ina raisi wake ina bunge lake wanasherehekea siku yao ya uhuru wao. Sasa Tanzania sio nchi moja. Kama ni nchi 1 kwanini ukinunua vitu zanzibar ukifika bandari ya Dar unalipishwa ushuru? Ni kwasababu unaingia nchi nyingine.
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy 25 күн бұрын
Hii katiba imebagua tayari kwanini mtanzania bara asimiliki aridhi ya Zanzibar harafu Zanzibar wanamiriki aridhi ya bara?
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Wacha uwongo me mzanzibar wapo wengi watanganyika wana majumba mazur Zanzibar huku
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy 25 күн бұрын
@@SoudShuraim Hilo linawezekana kwa ujanja ujanja unajua jinsi tulivyo watanzania, ila nilichokuwa nasema ni kwamba vikwazo tulivyowekeana pande zote mbili viondolewe, pia walioweka walikuwa watu, sio malaika. Na kwa uhitaji wa pande zote mbili, Kuna haja ya kufanyia kazi marekebisho ya katiba iendane na uhitaji wa pande zote mbili, wasilazimishe, makubariano ya watu ambao hata Leo hatunao, hatujui kama wao iliwafaa kwa wakati wao, na sisi tunaona ni wakati wa kurekebisha, ili itufae kwa wati wetu,
@user-ng4vp2rn4h
@user-ng4vp2rn4h 25 күн бұрын
Akili yangu imepoteza muda kusikiliza pumba mzee mzima lakin halijui kitu
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 26 күн бұрын
kuanzia siku ya kutangazwa serikali tatu,kila mtu atachagua awe mzanzibar au mtanganyika,hilo halina tatizo kabisa
@agriphinasaidi5067
@agriphinasaidi5067 25 күн бұрын
MTANGAZAJI ASANTE SANA HUYO BWANA MIRAJI HAJAKUPA JIBU MKUTANISHE NA TUNDU LISSU
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 25 күн бұрын
Tundulisu mbaguzi asie jielewa
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 25 күн бұрын
Lisu msomi hewa
@FridayMwassa
@FridayMwassa 24 күн бұрын
​@@emmanuelmlowe-ew7gxumemzidi nini wewe
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 21 күн бұрын
Kitu ambacho sikijui vip bandari zetu na za Zanzibar zp zimeuzwa?
@eddyeddy1337
@eddyeddy1337 25 күн бұрын
Miraji uko sahihi kabisa
@ManaseAbilu
@ManaseAbilu 21 күн бұрын
U don't display internet why
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 26 күн бұрын
Huyo miraji anachafua hali ya hewa tafadhari muuondoeni hapo
@allyomary2271
@allyomary2271 25 күн бұрын
Mwandishi unahoji vitu vya msingi mno Tanganyika haina mamlaka kamili
@user-fw8wm2xd8x
@user-fw8wm2xd8x 24 күн бұрын
Lisu upo sahihi mungu ni kweli usichoke kusema ukweli : kweli itakuweka huru
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 26 күн бұрын
Mbona wabara wanabaguliwa Zanzibar muungano ni wa upande mmoja lakini wa bara ndio wapumbavu.
@qassimkc5898
@qassimkc5898 25 күн бұрын
Wanabaguliwa vipi? Tueleze
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Mbn kila boti zikienda Zanzibar wabara ndo wamejazana wanaenda wapi ikiwa wanabaguliwa...tunalala nao..tunaenjoy nao na tunawazalisha sasa tunawabaguaje wewe pwaguzi jamani
@rosekimaro384
@rosekimaro384 24 күн бұрын
Kabisa broo
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 26 күн бұрын
Muandishi nimemempenda sana sana big up kwa Kumbana kwa maswali mazuri ila hujapata majibu yenye mashiko
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 26 күн бұрын
Kuuza bandari za Tanganyika je
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 26 күн бұрын
Itakuja kufila siku Watu wa pwani watasema BANDARI haziwahusu watu wa bara
@mkude
@mkude 25 күн бұрын
Wewe unabandari,inaitwaje bandari yenu,watu wa pwani watamuunga mkono mama asilimia 90
@user-rc4db5tg8f
@user-rc4db5tg8f 25 күн бұрын
Kama Samia kauza bandari za Tanganyika na nyinyi watanganyika munahusika kuuza izo bandari maana maamuzi hayo yalipelekwa bungeni na watanganyika walioko bungeni wakaunga mkono. Acheni ubaguzi.
@dorahy1579
@dorahy1579 18 күн бұрын
Watanzania kuwaeleza Eseler’i ni Waziri maana ujinga wao ni mwingi. Watu wansfanya yea sana
@michaelmlawa4814
@michaelmlawa4814 25 күн бұрын
Hana jipya sisee angejibu hoja za lisu vitu anavyofanya mzazibar bara mbn hayafanyiki zanzibar kama inafaida? Chawa kama machawa wengine
@user-dk2hz4xk8y
@user-dk2hz4xk8y 25 күн бұрын
Hili zee nalo kubwa jinga kabisaaaa
@dentomedicalresourceslimit4602
@dentomedicalresourceslimit4602 25 күн бұрын
Kwani Katiba ya Zanzibar inasemaje kuhusu Uzanzibar?
@qassimkc5898
@qassimkc5898 25 күн бұрын
Twambie wewe sisi hatujui
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 25 күн бұрын
MASHOGA MWILI YANAHOJIANA KIUSHOG🤣🤣!
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 25 күн бұрын
Nikweri hope hamna mgano niuchwaratu
@user-hi7df6js2m
@user-hi7df6js2m 25 күн бұрын
Raslimali za Tanganyika ni Cha WOTE lakini Raslimali za zanzibar ni za Wazanzibari tu. Unasemaje kuhusu hili ?
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 25 күн бұрын
Wewe uliona wapi dhahabu ikaja zanzibar na madini mengine
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Hili liko pow..sana..mbn tulitaka kuleta sukar kutoka Zanzibar mlikataa...samia wanyooshe hao uza kila kitu ni wakati wako huu..wanatuua sana hao kila uchaguzi wanatuua Watanganyika..fanya hima hakikisha unauza Tanganyika yote
@FridayMwassa
@FridayMwassa 24 күн бұрын
​@@MohamedAhmada-ie7keWafanyakazi wote waliomo kwenye wizara za muungano wanalipwa na Tanganyika siyo Zanzibar
@FridayMwassa
@FridayMwassa 24 күн бұрын
​@@SoudShuraimSukari kutoka wapi wewe, wakati ninyi wenyewe haiwatoshi,mnaleta Sukari ya nje ili iweje
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 24 күн бұрын
@@FridayMwassa kwanza utambue kua pato la zanzibar kwenye mambo ya Muungano yote ynakuja kwenye muungano so unasemaje kama tanganyika ndio inalipa, or hujui ilo
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 25 күн бұрын
Hatuku sahau sisi ni watanganyika au mnataka tuanze kudai tanganyika yetu mbonawa natu tafuta kwani Raisi wetu hajauza bandari zetu amesaini hatatunapo pigakelele Sasa sisi mmetufanya SI sawa mbona mmetubagua kama maoni yetu haya sikilizwi inawezekana wameamua kutumia maneno makali Ili kusikiliza tukisikilizwa hayayote hayatakuwepo
@nicolauslema88
@nicolauslema88 25 күн бұрын
Kuna nn hapo mbona tunalazimishana.
@miltoneobunde5835
@miltoneobunde5835 13 күн бұрын
Kama haya ndiyo majibu ya Muungano Basi KATIBA inahitaji ukarabati
@dorahy1579
@dorahy1579 18 күн бұрын
Ni kama Isle of Man iko kwenye UK lakini wana mambo yao na serikali yao. SCOTLAND ina mambo yao lakini ni United Kingdom
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 24 күн бұрын
Wanautukuza utanganyika ni wapumbavu si maneno yangu ila ni nukuu za Muasisi wa Tanzania..
@Saidesaideinacio
@Saidesaideinacio 25 күн бұрын
Bora kubomoa huo mungano hauna mana wowote
@zabronmwaipungu2212
@zabronmwaipungu2212 11 күн бұрын
Fungua Katiba ya zanzibar
@user-jd9bx2qv6r
@user-jd9bx2qv6r 21 күн бұрын
Hakuna ubaguzi juu ya kauli ya lisu Rais samia tazama kwa namna tofauti ili tupate utatuzi wa kweli bila kufichana ukweli katiba yetu imepitwa na wakati na baba wa taifa alisema haya
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 25 күн бұрын
Ubaguzi
@mkude
@mkude 25 күн бұрын
Miraji umeeleweka vizuri sanaa
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 21 күн бұрын
TANGANYIKA yetu iko wapi?waongo wote wafungwe mdomo
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 25 күн бұрын
Huyu Mzee elimu yake ndogo sana ukimusikiliza hajibu hoja vzr
@SalambaPeter
@SalambaPeter 3 күн бұрын
Kwanza wanzanzibari hawatakiwi kulalamika juu ya muungano maana wanufaika ni wao wako wachache mgao sawa wanatunyonya sana
@othumanomari1589
@othumanomari1589 24 күн бұрын
Tuachieni nchi yetu kauzeni Zanzibar
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 26 күн бұрын
Bw miraji kwa nini mambo hayo ya Zanzibar yapeleke Zanzibar kwenye kati8ba yenu sisi Watanganyika tunasubili katiba Mpya
@silaaaron1360
@silaaaron1360 20 күн бұрын
Nataka kununua shamba zbar. Naomba ailye nalo aniuzie. Naishi Mwanza.
@user-lq9rf6qq1d
@user-lq9rf6qq1d 24 күн бұрын
Tindu Lisu ndio mkosaji lkn Mbunge wa Zanzibar ndio ana makosa kusema twende Zanzibar na passport.
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 22 күн бұрын
Kama sisi wa pemba tunapo banguliwa unguja haja kosea lissu
@user-ct1qp3th5f
@user-ct1qp3th5f 25 күн бұрын
Chetu chenu, chenu chenu.
@alanmwijarubi
@alanmwijarubi 24 күн бұрын
Sasa kama time zoteee hizo zimlishatoa pendekezo la serikali tatu shida inakuwa nini kufanya hivyo?
@alrabee01suleiman40
@alrabee01suleiman40 24 күн бұрын
Shk said hapo unaposema tumekubalia watanganyika watumie mambo yao ndani ya muungano sio kweli. Hapo sijui umekimbia nini??
@KimanguShemwaliko-ht2jr
@KimanguShemwaliko-ht2jr 25 күн бұрын
Lisu bado Hana mpizan katika kujenga huja na hajazaliwa.lisu atabaki kilelni,mpaka sasa lisu ana point 1000
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 25 күн бұрын
Hilo fulushi la muungano ni shida tunaomba kati ba mpya
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 25 күн бұрын
Kwanza hakuna nchi inaitwa Tanzania bara.
@dorahy1579
@dorahy1579 18 күн бұрын
Kwanza Tundu Lissu sura mbaya, mimi pia nimemubagua asipigiwendura, vijana hawamtski sura hoi hoi
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 19 күн бұрын
Zanzibar wana katiba yao inampa kipaombele Mzanzibar ,na Watanganyika mnapaswa kuwa na katiba yenu inayompa Kipao mbele Mtanganyika halas ila Tatizo lenu Tanganyika mmeipenyeza kwenye Jamuhuri ya Muungano na ndio maana Wazanzibari wakija kwenye Jamuhuri wanakuwa wana haki
@fidelisferuzi5503
@fidelisferuzi5503 25 күн бұрын
Ukisikiliza vizuri maoni ya Bwana Miraji utaona kuwa katika yote suala la MASLAHI ya Mzanzibari yanapewa kipaumbele.
@stevenmarunda4353
@stevenmarunda4353 23 күн бұрын
Acheni kutudanganya tuambien upande gan wazanzibar alishawahi kutawaliwa na mtanganyika namtudhibitishie mubara gan anamiliki aridhi zanzibar nitaamin akuna ubaguzi
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
@AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy 25 күн бұрын
Hili lirekebishwe ktk katiba ili pawe na usawa, ardhi na uraisi, ili, tuende sawa, hili Bado kunashida ktk katiba, hii katiba ni shida, ni shida,
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t 25 күн бұрын
Ivi nyiye watanganyika nawauliza? kuna mtanganyika yeyeyote mwenye aseti zozote Zanzibar?km walivyo na aseti wenyewe huku Tanganyika?km iko hivyo basi hakuna haja ya kuwa na nchi mbili, basi tayari ni wamoja,inatakiwa tuwe na nchi moja,ila km ndo wenyewe wanaaseti nyingi Tanganyika mjue kabisa kuwa hawo siyo wazuri kwetu,ni kuwa makini nao viongozi wetu.maana watakuwa ni wanyonyaji,wanataka kurunyonya watanganyika?
@SoudShuraim
@SoudShuraim 25 күн бұрын
Weee wapo wengi huku njoo nikuonyeshe...au wewe hutembei..njoo Zanzibar utawaona wabongo wanamiliki majumba
@abdallakajenje6131
@abdallakajenje6131 25 күн бұрын
Niujinga mtupu,leteni katiba. Ndio suluhisho tunataka Tanganyika yetu.zanzibar iliungana na Tanganyika bloo,ikeja Tanzania ujuwe
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 25 күн бұрын
Watu dunia nzima wanajuwa usitake kufundisha watu kwenye comments zako Tanganyika ipo mpaka leo lakini nyinyi hamulipendi hilo jina 😂😂😂😂. Jiulize nani kaleta hilo jina la Tanzania
@boneventuremweya3673
@boneventuremweya3673 26 күн бұрын
Hapa ndo nilipotaka tangu mdogo kwa nini tuna Muungano wa ajabu?suruhisho litapatikana punde.
@yonazimpombe1160
@yonazimpombe1160 25 күн бұрын
Kwanza turejesheheni bandari yetu na mbuga zetu kabla ya hizo porojo za siasa
@dorahy1579
@dorahy1579 18 күн бұрын
Yaani umeme za vizuri, lakini Tundu Lissu sumu atachanganya watu akili zao
@shamtaus6721
@shamtaus6721 24 күн бұрын
Kwani uzanzibar ni kabila? Tujadili ili uzanbar nao tuuzike Kama Tanganyika ilivyokufa ili kusiwepo na vijineno.
@twahirshali8014
@twahirshali8014 21 күн бұрын
Lisu Hajui siasa Ana Kila mipaka na hwezi kuwa kirongizi Hafai
@LukasNyahega-ok5yc
@LukasNyahega-ok5yc 25 күн бұрын
Mpeleken mahakaman watanzania kujadili ujinga ndo kazi zao kila mwaka CAG anatwambia mwigulu kaiba hela ambayo ni kodi zetu hatujadili Leo lisu kusema ukweli tunatafuta jinsi yakumtowa asiseme ukwel
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 24 күн бұрын
Watu wote ni sawa mbona kwenye mikopo tunabaguana benki wanabagua wafanyakazi kutoka mikopo benki wanakopesha wafanyakazi wa serikali kwa mashariti nafuu tu sekta binafisi hakuna unafuu
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 25 күн бұрын
Mpeni mtangazaji Maua yake kwa umahiri wake wa kuhoji maswali
Como ela fez isso? 😲
00:12
Los Wagners
Рет қаралды 27 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 5 СЕРИЯ
27:21
Inter Production
Рет қаралды 580 М.
SAMIA, LISSU, NA WASIRA: NANI MKWELI KUHUSU UZANZIBARI?
14:19
SK Media Online TV
Рет қаралды 28 М.
HALIMA MDEE AINGIA KWENYE 18 ZA TUNDU LISSU AFICHUA TUSIYOYAJUA...
13:54
Como ela fez isso? 😲
00:12
Los Wagners
Рет қаралды 27 МЛН