ATAHADHARISHWA KUHUSU MAHUSIANO HAYA: “UTAKABILIANA NA MILIPUKO, WEKA MBALI SILAHA”-GDTV

  Рет қаралды 373,063

GeorDavie TV

GeorDavie TV

4 жыл бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!

Пікірлер: 730
@mr.sampaelias1885
@mr.sampaelias1885 2 жыл бұрын
Ukisikia mtumish anakua na Maneno mengi bila kutaja jina Yesu ujue hapo hakuna Mnapigwa peupe! Jina Mungu hatukupewa kutoa Pepo ila jina la Yesu tu!
@VisionVibes8
@VisionVibes8 6 ай бұрын
It's interesting how God works in mysterious ways Geordavie is the PERFECT man of God... Quote "PERFECT" Man of God😊
@winnieombaire1918
@winnieombaire1918 3 жыл бұрын
Am happy that she finally accepted and challenged you with immediate hopes 😍😍
@lamaifanuel9221
@lamaifanuel9221 2 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe,shaloom mtumishi ninaomba maombi yko yakawe ngao kwangu na familia yangu
@baudouinecikwanine4690
@baudouinecikwanine4690 4 жыл бұрын
Babaaa Ubarikiwe uongezewe Na Mungu aliyekupa kazi ngumu iyi. Mimi ni baudouine mukongo naikala buja nakufata sana. Naitaji Na mimi kuombewa. Najuwa Mungu anauwezo ya kunigusa kupitiya wewe hata uko uko. Nisaidie naomba baba yangu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 жыл бұрын
Wakristo ,someni neno! Acheni kupenda miujiza na kuombewa! Mjifunze kusimama na kuomba! Ni kweli watumishi wana sehem yao lkn km huna neno kuyumbishwa,kudanganywa ni rahisi! Mungu anasema na kila mtu!hasa kwa njia ya ndoto! Anza kuomba kidogokidogo,jifunze mtegemee Yesu peke yake,usiweke matumaini kwa mwanadamu! Yaani Yesu/Mungu awe wako kwanza kabla ya Yesu/Mungu wa mtumishi ,au kanisa Fulani!
@chalesnguyaine9991
@chalesnguyaine9991 4 жыл бұрын
Hahaha wakristo msikatazwe kukimbilia miujiza za Yesu kristo kwa maana kinachomtambusha uwepo wa kristo ni miujiza na alisema mtafanya zaidi ya haya nilioyafanya ikiwemo miujiza,na uzuri tunamsikiya huyu baba akimtaja Mungu na Yesu,na Yesu ndo Mungu na Mungu ndo yesu ndivyo sis tunavoamini sas mtu unakuwa na wivu kiasi hiki kisa umeshndwa kufanya.sikia hii ndo tofauti za kutenda kazi lkn Mungu ni yeye yule yule
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 жыл бұрын
@@chalesnguyaine9991 miujiza ipo na wala haina ubaya! Wapi alipomtaja Yesu na Mungu ? Nisaidie tu hapo ndo nachotaka kufahamu!
@chalesnguyaine9991
@chalesnguyaine9991 4 жыл бұрын
@@christinewomanoffaith5479 embu rudia kutizama hiyo video maana utamskia akimtaja Mungu na Yesu ukishaamaliza kuangalia embu andika neno Geordavie tv angalia video vyake utamskia tu sawa man
@chalesnguyaine9991
@chalesnguyaine9991 4 жыл бұрын
Sisi kama wana wa nabii tunamtambua Yesu kristo kama Mungu yani Mungu ndo jina lake kwa kifupi nikwamba tukimtaja Mungu jua tumemaanisha Yesu na tukimtaja yesu jua tumemaansha ni Mungu kwa hyo usitake huduma Yenu ya TB joshua ifanane na ya nabii geordavie
@hamismasalu9359
@hamismasalu9359 4 жыл бұрын
Umenena vyema sana kaka Mpaka nimependa Neno lako hilo chache tu, nakuluhusu uchukue namba yangu tuwe tunawasiliana kuelekezana na kufundishana juu ya neno la Mungu 0686608015
@shedrackdavid3876
@shedrackdavid3876 2 жыл бұрын
I believe in God I make a trust always and I request God to protect my best friend 🙏🙏🙏🙏
@VisionVibes8
@VisionVibes8 6 ай бұрын
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
@emmanuelngiloriti981
@emmanuelngiloriti981 3 жыл бұрын
Yaan mungu amekaa ndani yako nabii mkuu natamani kama ungenionekania na mimi jaman.
@VisionVibes8
@VisionVibes8 6 ай бұрын
Geordavie ana amini kikweli kweli Hana kuigiza I love the Man of God for Life. God is Real, God. Is Great,God is RICH, God is Everything..He Displays his Grace through his Servant.: GEORDAVIE
@fredturrukei2390
@fredturrukei2390 3 жыл бұрын
My God protect you mtumishi wa mungu🙏
@deokessy6288
@deokessy6288 3 жыл бұрын
Sijasikia Neno Yesu Kristo
@JeanElisha
@JeanElisha Жыл бұрын
Jamani nduguzangu tazania nawaomba sana kwahimani Mungu aliipendeleya tanzania Ninayo imani juu nabii Mukuu dunia Yote itapona napia RDC uvira nikonamengi yakusema naomba Léo Ninaona mihujiza y'a hajabu naomba Siku moja nabii Mungu amutume Apa kwetu RDC,congo,sikuzote naomba Mungu amupe uzima kila Siku amupe nusu y'a Siku za Mungu unilindiye GDavi Wangu ,moyo
@marthasimon1004
@marthasimon1004 2 жыл бұрын
Mh! Baba mungu akubariki sana! Kuna mambo mtu unaweza pitia ukadhan ni pito kumbe mpango wa shetan. Nawish cku1 kukuona maana me pia maisha yangu cjawah kuelewa yanavyo enda
@marymchomvu134
@marymchomvu134 2 жыл бұрын
Shalom babaa,na mm naomba nifunguliwe na niponywe kwa jina la yesu
@malota2138
@malota2138 3 жыл бұрын
ipo siku mungu atawazalilisha awa wanaodanganya watu inaonesha wazi hapo hao wanajuana na wamepanga
@bensonmgaya5693
@bensonmgaya5693 3 жыл бұрын
😂😂😂
@chrisedson2531
@chrisedson2531 2 жыл бұрын
Mtumishi ombea familia yangu pia avunje mazabahu mbaya zinazonifatilia mimi na mzazi mwenzangu Maana naishi kwa shida kubwa mungu anihulumie
@RAPHAEL-kj3qs
@RAPHAEL-kj3qs Жыл бұрын
Nabii naguswa sana na maombi yako nataka kujua Arusha sehemu gan nahitaji kufika hapo nyumba ya mungu
@user-zz7ep5of2m
@user-zz7ep5of2m 5 ай бұрын
Mkienda makanisani mnadanganywa mungu ni mmoja allah mcheni allah dini moja uislam
@hamisamaundi5661
@hamisamaundi5661 3 жыл бұрын
SubhanaALLAH,SubhanaALLAH, mwenyezi mungu ataenda kutuchoma kwasababu ya matendo yetu, ya kumsingia, na kumshilikisha na viumbe wake
@heliethdulla2139
@heliethdulla2139 3 жыл бұрын
Subuana Nini na wewe Kama vipi si upige kimya tu
@emmanuelmanyonyi1005
@emmanuelmanyonyi1005 3 жыл бұрын
Man of GOD 🙏, you are doing great job am also having a problem in my life, from Kenya
@annwanjiku5923
@annwanjiku5923 2 жыл бұрын
Ooh God this man is so powerful,profesy for me also
@kaijagepaulmungunisaidie2598
@kaijagepaulmungunisaidie2598 2 жыл бұрын
Baba tunabalikiwa Mungu akujalie uendelee kuepo
@elizabethkizota3474
@elizabethkizota3474 4 жыл бұрын
mungu nifundishe kunyamaza
@cossanwambura1065
@cossanwambura1065 4 жыл бұрын
Ukinyamanza mawe yatasema kweli
@saidseleman6004
@saidseleman6004 4 жыл бұрын
Elizabeth nambie hata kisirisiri
@jujuwaida5443
@jujuwaida5443 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mohdsaid7189
@mohdsaid7189 3 жыл бұрын
So vizuri ivo said
@hildajoshua2906
@hildajoshua2906 3 жыл бұрын
Kabisa Elizabeth kizota
@evabikabhai1861
@evabikabhai1861 2 жыл бұрын
Very powerful man of God
@amoskilekwa7780
@amoskilekwa7780 Жыл бұрын
Dieu et bon
@elibarikieliatunawapatavzr7872
@elibarikieliatunawapatavzr7872 4 жыл бұрын
Duhhhhh kuna vituko duniani. Tatizo watu tunapenda miujiza kuliko Mungu
@goldvilysamweli3716
@goldvilysamweli3716 4 жыл бұрын
kama huna cha kuongea ni bora ukaa kimy kuliko kumkosea mung
@goldvilysamweli3716
@goldvilysamweli3716 4 жыл бұрын
kwan huw nani anayetoa muujiza km cy huyo mungu mnayemsem
@mwana3887
@mwana3887 4 жыл бұрын
@Elibariki Elia tunawapata vzr Acha ujinga mdogo mdogo miujiza (miracles) ndio sign ya uwepo wa Mungu
@antoinea.katembo5326
@antoinea.katembo5326 4 жыл бұрын
mwana kabisa ukweli ndo kwani hiyo miujiza ilifanyika mbinguni au hapa duniani?
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Nikweli
@dainessukosi
@dainessukosi Жыл бұрын
Amina 🙏
@naomijonas9173
@naomijonas9173 3 жыл бұрын
Nabii naomba uniombee mm na familia yangu, na mtoto wangu anayesumbuliwa na tatizo la kukojoa kitandani, na afaulu mtihani wake wa kidato cha nne muombee jmniii nipo dar, anaitwa jesca
@thonasmihiga7911
@thonasmihiga7911 3 жыл бұрын
Mpigishe doso ataacha kukojoa
@liyangaboy368
@liyangaboy368 Жыл бұрын
Mtumishi kwa jina naitwa liyanga natokea jijini Arusha naitaji mungu Anitendee miyuu jisaa
@christinamkalalile874
@christinamkalalile874 2 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana nabii wa mungu
@dinalodam3017
@dinalodam3017 2 жыл бұрын
Amen najiungamanisha na Mimi na mume wangu tufunguliwe na mama angu
@zanuramaulid5741
@zanuramaulid5741 2 жыл бұрын
Mnaeditty sanaa Nabii hiyo siku hakuvaa suti nyeupe
@user-db8uf4rj8t
@user-db8uf4rj8t 4 ай бұрын
Naomba mimi bwana mutushi wamugu nibariki
@janetkaingu7038
@janetkaingu7038 2 жыл бұрын
Eeemen haleluia ninetakasika katika jina la Yesu
@moureenmokeira2205
@moureenmokeira2205 3 жыл бұрын
Amen🙏🙏... I wish ningekuona hata uniwekee mkono kichwa tu..
@niletrierweiler1607
@niletrierweiler1607 4 жыл бұрын
Amen, Baba unabii wako umeonekana, nafurahia saana kuyaona uponyaji kama haya,naomba nasisi utuombee familia yangu,mimi ni mkenya
@mmasymery391
@mmasymery391 4 жыл бұрын
Karibu sana Tanzania
@samuelkimaro5138
@samuelkimaro5138 4 жыл бұрын
Brother unafeli
@minaelijohn1782
@minaelijohn1782 2 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe baba naitwa mshungaji minaeli Niko nyumba ya mungu baba natamani sana unitamkie neno pia naomba sapoti ya usafiri
@kibikihotfilm0621
@kibikihotfilm0621 2 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA MNO🙏🙏
@aminatabakari2741
@aminatabakari2741 4 жыл бұрын
Heri mtu yule amchaye Bwana🙏
@pamelanyongesa9817
@pamelanyongesa9817 3 жыл бұрын
hi pst mimi kilamara ninapolala naota kama nafalishwa bete sijui maama yake nini
@nicelucas9495
@nicelucas9495 2 жыл бұрын
Amen napokea
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Yeye mungu unatakiwa kimwamini mugu sio mwanadamu
@gracemwasonya1445
@gracemwasonya1445 3 жыл бұрын
Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa!!!!
@snayzzermusictz775
@snayzzermusictz775 4 жыл бұрын
Nabarikiwa naww jmn nabii nipo dar
@reginamtitu5592
@reginamtitu5592 Жыл бұрын
Nibalikii Nami baba
@kelvinjoseph9773
@kelvinjoseph9773 4 жыл бұрын
Amen mchungaj mungu akubalik uendle kufny bwan
@avilajacobo203
@avilajacobo203 Жыл бұрын
Amina🙏🙏🙏
@greesgrees856
@greesgrees856 4 жыл бұрын
Amina napokea
@mrs.belindastephenmagula9858
@mrs.belindastephenmagula9858 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba
@mwaminikudra2552
@mwaminikudra2552 4 жыл бұрын
Jamani haya mambo yauna bii ni ivo tuh, watu walishaga penda unabii kushinda mungu, jiombee mwenye, omba toba na mungu ataku hurumia, hakika yeye ndie mwenye huruma, Ndio mzehe hapa ni nabii ila sasa unatu shauriaje mbele ya mungu wewe mwenyewe unaweka mguu ju ya mwengine mguu ukiwa una hubiri, sisi tuta jiwekaje mbele ya mungu, njomana sisi wa islam atuna unabii, najivunia sana dini yangu
@niceibrahimlukumay5247
@niceibrahimlukumay5247 2 жыл бұрын
Ameni i received anointing
@kelvinmalowa1423
@kelvinmalowa1423 4 жыл бұрын
I have always known that the Man will change my life for better. Amen
@mariakisinda7235
@mariakisinda7235 Жыл бұрын
Nabii hata Mimi naomba maombi yako kwani hata mm nasumbuliwa na nguvu za giza
@honnetemaghetse9486
@honnetemaghetse9486 3 жыл бұрын
Jambo mtumishi wa Mungu hâta mimi nahitaji msaada ya maombi yako Niko kongo
@boniventuremarrirey6930
@boniventuremarrirey6930 4 жыл бұрын
Amen baba nabii mkuu
@getrudekway3293
@getrudekway3293 4 жыл бұрын
Mungu anajibu kwakweli natamani sana nkutane nae mtu wa mungu
@laurentemmanuel6037
@laurentemmanuel6037 3 жыл бұрын
Bwana yesu atukuzwe nabii was bwana Mimi Niko maswa shida yangu mimi Kuna watu wawili wamekimbia na pesa baada ya kuwanunulia mzigo was biashara na kuhama kusikojulikana naomba unisaidie
@balihappy5628
@balihappy5628 2 жыл бұрын
Am blessed man of God...be blessed more
@divinahgesare814
@divinahgesare814 Жыл бұрын
Naitaji maombi natoka kenya naitaji mtoto
@jorammasila7627
@jorammasila7627 Жыл бұрын
Jesus Christ be merciful to us please na upee watu wako macho ya kiroho kuona kinachoendelea.😢😢😢😢
@sofiaallykizand7319
@sofiaallykizand7319 3 жыл бұрын
Thanks God
@paulinemathenge514
@paulinemathenge514 4 жыл бұрын
Lord Jesus please remember me, IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.
@hakizimfurajustin4737
@hakizimfurajustin4737 2 жыл бұрын
Mungu akubariki
@magdalenamatiko9995
@magdalenamatiko9995 4 жыл бұрын
Alieona wazinzi wanabarikiwa waendelee na uzinzi wao mnipe big up
@kassianmassawe9436
@kassianmassawe9436 4 жыл бұрын
Ameen Daddy i also napokea mahusiano sahihi kutoka kwako
@evimanmmbogo5332
@evimanmmbogo5332 4 жыл бұрын
Nakupenda sana nabii mkuu nafurahishwa na utendaji wa kazi kubwa ya Mungu namwamini Mungu siku moja nitakanyaga happy kupokea nguvu mpya ya Mungu ubarikiwe baba!!!
@stevek8318
@stevek8318 3 жыл бұрын
Too much pride on this dude
@elifurahajosia1628
@elifurahajosia1628 4 жыл бұрын
asante nabii kwa maombi, naomba nasisi tuombee, utuunganishe kimaombi mm na familia yetu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 жыл бұрын
Eti mbona hayo maombi hayalitaji jina LA Yesu? Inakuaje? Naomba nisaidie
@happysalva24
@happysalva24 4 жыл бұрын
Amen 🙏
@emmanuelmitao131
@emmanuelmitao131 4 жыл бұрын
Duh we soildier u must be strong
@veronicangila7415
@veronicangila7415 3 жыл бұрын
Asifiwe yesu naitwa veronicah nahitaji maombi sana pamoja na familia yangu naomba msaada wa maombi nipo Saudi Arabia
@puritychogoro
@puritychogoro 4 жыл бұрын
Amen & amen
@maryamalhajri5886
@maryamalhajri5886 4 жыл бұрын
Na mie ntakuja tz ntafika kwako baba na matatizo ya ulimwengu wa roho miaka mingi sana mume nilimpoteza ata kazi pia💔
@johngyuzi437
@johngyuzi437 4 жыл бұрын
Maryam Alhajri h
@bestonmfikwa8510
@bestonmfikwa8510 4 жыл бұрын
Uko wapi
@remedymoody
@remedymoody 4 жыл бұрын
Acha kutumia jina la bosi wako na picha za kukopi. Mwenyewe akikundua anaweza kukushitaki. Kwani unaona aibu kutumia jina lako la ukweli.
@johnmasuka3370
@johnmasuka3370 3 жыл бұрын
Haina haja kuionea haya *NGUVU YA MUNGU* katika ulimwengu wa * ROHO na MWILI*, NABII, BWANA YESU KRISTO azidi kukutumia zaidi kuponya watu wake.
@rehemahayongo4159
@rehemahayongo4159 3 жыл бұрын
Amen
@comedytz3487
@comedytz3487 4 жыл бұрын
Jamaa anabahati mwanamke mzuri kweli😂😂
@babyjsalum940
@babyjsalum940 4 жыл бұрын
😁😁😁
@shukylugome3581
@shukylugome3581 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@shukylugome3581
@shukylugome3581 4 жыл бұрын
Sana
@carenamimo4897
@carenamimo4897 4 жыл бұрын
Nyinyi ni Tim Mafisi kweli
@anitharoby6210
@anitharoby6210 3 жыл бұрын
Ok
@esterlilungulu7615
@esterlilungulu7615 4 жыл бұрын
Amina baba
@abdallahally8033
@abdallahally8033 2 жыл бұрын
Mimi naitwa Abdallah Ally mrefu naishi dar es salaam mtume nakukubari Sana na ninashida Sana na ndoa yangu na nishida Sana kwenyekazi zanfu yani hata hata sijui nitafikaje hapo
@jacklinwilson2098
@jacklinwilson2098 3 жыл бұрын
Aminaaa
@ziyadabasca4840
@ziyadabasca4840 2 жыл бұрын
Nguvu yamungu inafanya kazi kabisa mimi ni 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@sadocksimon9573
@sadocksimon9573 3 жыл бұрын
Mungu nimwema
@yasintawilliam3619
@yasintawilliam3619 2 жыл бұрын
Namm baba nitamkie neno nasumbukia uzaz
@fredseverino8906
@fredseverino8906 3 жыл бұрын
Mungu awe nanye wote
@mekeyamaho3695
@mekeyamaho3695 3 жыл бұрын
Good work
@patapoteya5952
@patapoteya5952 Жыл бұрын
Jambo mutumishi Wa mungu nabii mukuu Wa tanzania
@gracemusa8462
@gracemusa8462 4 жыл бұрын
Ameen
@madamloveness7274
@madamloveness7274 4 жыл бұрын
Kornelio alipomkaribia Petro alimkimbilia amlaki na kumpigia magoti lakin Petro akamwambia usinipigie magoti Mimi kwasababu hata Mimi Ni binadamu Kama wewe.
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 жыл бұрын
..Upendo nikisomaga andiko hilo la Petro huwa natokwa na machozi jinsi ambavyo Petro, pamoja na matendo makuu Mungu aliyomtumia..hakujitukuza kamwe!!..hawa manabii uchwara wanataka kutukuzwa!
@madamloveness7274
@madamloveness7274 4 жыл бұрын
@@jacobmakono389 Mungu atusaidie kwa kizazi hiki Tena manabii hawa wanakwambia piga magoti nikusamehe makosa yako ?Musa alitenda miujiza ambayo hakuna mpaka leo amewahi Tenda Ila aliwaambia Wana wa Israel simameni imara mkauone utukufu wa Mungu
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 жыл бұрын
@@madamloveness7274 inasikitidha sana!yaani huyu jamaa anatetea dhambi!
@paulinanyalusi4870
@paulinanyalusi4870 4 жыл бұрын
Yan na wao wanaamini binadam na kuwasujudia Mungu akuepushe na haya mambo
@goldvilysamweli3716
@goldvilysamweli3716 4 жыл бұрын
yeye anayejisifu ktk kristo na ajisifu maandiko ynasema
@wycliffebisera3697
@wycliffebisera3697 2 жыл бұрын
U r just blezing to me man of GOD
@gamelahg4613
@gamelahg4613 4 жыл бұрын
Amina
@furahinikisapi9987
@furahinikisapi9987 4 жыл бұрын
Eeeh mungu nifundishe kunyamaza
@yuzarsifbulushy5451
@yuzarsifbulushy5451 4 жыл бұрын
Acha utapeli Wewe Muogope mumgu.. Halafu unaenda unajichubua ili uwe mweupe uonekane ni Nabiii.. Acha Unafika wee mzee Ogopa mungu wako.
@moseshaule586
@moseshaule586 4 жыл бұрын
Una uhakika gani Kama anajichubua
@ashamganga6636
@ashamganga6636 4 жыл бұрын
😂😂😂
@mwana3887
@mwana3887 4 жыл бұрын
@Yusuf Al Bulushy Kujichubua haikuhusu na sio dhambi na pia hiyo ni wishes binafsi na utambue ni binadamu na ana hisia zote kama za mwanadamu no sawa uende kanisa lenu kwenu uko umkute mtumishi ana kitambi alafu unaanza kublame kuhusu jinsi mwili wake ulivyo kama umeshindwa kupokea kile anachokufundisha ujue kuna roho ya shetani ndani yako na unahitaji ufungulivu wa maombi
@mmasymery391
@mmasymery391 4 жыл бұрын
Saw kwani ww unatakaje?
@mwana3887
@mwana3887 4 жыл бұрын
@Mmasy Mery I want nothing from but I was tell you to remove negative impression toward others because even yourself you have you weakness no one is perfect as you thoughts in your mind
@latiphakiwelu8394
@latiphakiwelu8394 2 жыл бұрын
Asante yesu kwakunifungua
@nepi.maruchu1341
@nepi.maruchu1341 Жыл бұрын
Amen
@zeldamlay4276
@zeldamlay4276 4 жыл бұрын
Unamfungua kwa jina lako au la Yesu! Acha maigizo mzee mwenye upara
@RoroRoserororo
@RoroRoserororo 4 жыл бұрын
Swala nzuri hilo
@evajohn7001
@evajohn7001 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa
@mwana3887
@mwana3887 4 жыл бұрын
@Zelda Mlay kasome Wafalme wa pili📖 4;2 -14 akamwambia nikufanyie nini?!? Haisemi nikuombee nini au Mungu Hakufanyie nini Luka 9;1 "Akawaita wale Thenashara ,akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi'' .Yesu aliwapa mamlaka na uwezo wa kuponya maradhi hapo sijaona ikiandikwa ponyeni wagonjwa kwa jina langu Elewa lugha za manabii
@musokedios8162
@musokedios8162 4 жыл бұрын
Hapa naona maigizo mwanzo mwisho sioni jina la Yesu likitajwa anawafungua watu kwa mamlaka ipi???ulimwengu wa roho up I??
@silyadamian5708
@silyadamian5708 4 жыл бұрын
😂😂😂
@twodads5141
@twodads5141 3 жыл бұрын
Amen Amen
@petergideon3449
@petergideon3449 4 жыл бұрын
I receive anointing
@carenamimo4897
@carenamimo4897 4 жыл бұрын
Peter pole kwa kupotea
@mzalendoorg9009
@mzalendoorg9009 2 жыл бұрын
Hongera sana
@neemaneema4740
@neemaneema4740 4 жыл бұрын
Amina.baba
@marymuthoni1551
@marymuthoni1551 4 жыл бұрын
Amina na Amina
@johnmasuka3370
@johnmasuka3370 3 жыл бұрын
Mimi ninachoamini ni kuwa watu wanapookolewa kupitia *Mtumishi wa Mungu* na kuondolewa katika matezo ya nguvu za giza, hahitaji kuhoji katika utumishi wake bali ni kumshukru Mungu.
@boniventuremarrirey6930
@boniventuremarrirey6930 4 жыл бұрын
I love this
@yasintawilliam3619
@yasintawilliam3619 2 жыл бұрын
Nabii baba angu nami uniombee
@recholmichael2356
@recholmichael2356 3 жыл бұрын
Ameen ameen nabii
@richardoblasio
@richardoblasio 3 жыл бұрын
Amen baba
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 17 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
APOSTLE Dr JOACHIM KIMANZA// AFICHUA SIRI NZITO ZILIZO JIFICHA KWENYE NDOTO ZETU
1:12:11
Being KAMBUA | HIV Is Not The End | Mary Muthoni
49:27
Kambua
Рет қаралды 4,8 М.
ANGUKO LA SHETANI  |  BISHOP ELIBARIKI SUMBE  27/10/2019 (FULL VIDEO HD)
2:36:25
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 15 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 17 МЛН