CRISTINA SHUSHO apiga magoti kwa NABII MKUU atoa milioni 10, Tamasha lake na ROSE MHANDO

  Рет қаралды 140,309

Habari Digital

Habari Digital

Күн бұрын

Nabii Mkuu Mhe Dr GEOR DAVIE amempa milion kumi muimbaji wa muziki wa injili CHRISTINA SHUSHO kaajili ya kufanikisha tamasha lililoandaliwa na muimbaji huyo akishirikiana na mwuibaji mwenzake ROSE MHANDO
..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Пікірлер: 479
@peninauae2309
@peninauae2309 Жыл бұрын
Mama Rose na Christine why why mnapotea kweli when I see this clip I started 2 cry 😢 😭 😫 mbona roho wa mungu hakunena ndani yenu hizi hela rudishine please
@hellenagati9498
@hellenagati9498 Жыл бұрын
Kweli wamepotea hawana roho mtakatifu wa kuwafunulia mambo hawaelewi watamalizwa kabisa
@mercyetago4020
@mercyetago4020 Жыл бұрын
Walipotea kitambo. Tazama mavazi na maongeo Yao,SASA vitendo...
@peninauae2309
@peninauae2309 Жыл бұрын
@@mercyetago4020 ukweli kabisa
@samwelmollel602
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Tatiso watu wengi umasikini inawasumbua mtu akifanikiwa mnaonqeya mengi wajinqa Sana njiye hata shetani anawashwa Sana baba nabii mkuu amebarikiwa Sana
@Eveblessed254
@Eveblessed254 Жыл бұрын
Neema ikikuondokea hata roho wa Mungu hunyamaza na ndio maana haja Yao ni hela Wala hawaoni kupotea😢😢
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Жыл бұрын
😄😄😄Ee Mwana wa Daudi Uturehemu Sasa hivi Gospel ni biashara 📌❤️🙌
@joshuaayo7221
@joshuaayo7221 Жыл бұрын
siyo biashara Gospel Music pia inahitaji pesa unadhani studio watu wanaingia bure au..au msanii kusafiri kwenda kwenye huduma anapaa think twice tuko kwenye kipindi ambacho pesa is more needed kufanikisha mambo
@ntirampebaloys8949
@ntirampebaloys8949 Жыл бұрын
Christina nakupenda sana nakuamini napenda nyimbo zako Mungu kakutoa mbali hakuna baba hapo hakuna nguvu hapo mwambie Mungu pelke akupe😢
@uwezoseleman5530
@uwezoseleman5530 Жыл бұрын
Da Tina Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu tafakari hizi comments za watakatifu wa Mungu kisha chukua hatua. Hua nawaza uimbaji unamgusa Sana Mungu ndiyomana una vita Kali, wengi wanaanza na Mungu na kumaliza vibaya, ona hata shetani naye alikua muimbaji. Mungu tupe neema yako tumalize salama🙏
@agnesmbula5261
@agnesmbula5261 Жыл бұрын
May God have mercy.tunaanza vizuri na tunamaluza vbaya may God redeem the remnants
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
Nitakuwa nasikiliza tenzi za Rohoni basi tu
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
Hahahahaha Hata mimi nitakuwa nasikiliza Tenzi za Mbarikiwa mwakipesile
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
@@mestonisimzosha203 tena ameziimba kuna upako wa hali ya juu
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
Itabidi na sisi tuimbe 😢
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
@@sarahwawuda5164 ni kweli kabisaaa
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
@@sarahwawuda5164 ni kweli kabisaaa
@elishajoseph8291
@elishajoseph8291 Жыл бұрын
kwa kipande hicho 2 ulichoimba nakupa milioni 10 mmmh hatari sana, mwenye masikio asikie , mwenye macho huwezi kuambiwa tazama!!
@mosesleonardmunishi3766
@mosesleonardmunishi3766 Жыл бұрын
Ww ungeweza kumsapoti kwa shilingi ngapi!??? Kama hukutaka apewe na huyo prophet
@user-pk2es8eg7z
@user-pk2es8eg7z 11 ай бұрын
Dunia Sasa I mashakan
@neemachristopha4363
@neemachristopha4363 Жыл бұрын
Hapa ndipo mungu anawaonyesha watumishi wakweli nawauongo kweli mungu yupo kazi
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Жыл бұрын
akili ni mali na dini ni imani mungu tusaidie kutuepushe na watumishi wale feki
@abuusirleh8196
@abuusirleh8196 Жыл бұрын
Kweli
@hermannboniface3598
@hermannboniface3598 Жыл бұрын
Kweli kaka tuliowaamini kiasi nao wamekuwa wapuuzi
@sabanajunior3243
@sabanajunior3243 Жыл бұрын
Agiza soda
@masterminder4377
@masterminder4377 Жыл бұрын
Kabisa kabisa msifumbie macho uovu katika Marko 13:22"Kwa maana wataondoka makristo wa uwongo na manabii wa uwongo watatoa ishara na maajabu wapate kuwadanganya kama yamkini hata hao wateule" ndo kama hao waimbaji tulio waamin ndugu zangu msishtuke biblia imesema yote tuombe toba Mungu airehemu Tanzania😥😭😭😭🙏
@nathanaelmsamba9055
@nathanaelmsamba9055 Жыл бұрын
Christina umefikia huko,,na wewe ni miongoni mwa wanawake wajinga? Du nilihisi unaakili kumbe mpuuzi tu
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
Pole Christina, sijui unaelekea wapi, kama haujui tupo watu tunaofuatilia ulipotoka mpaka ulipo hatujui unaelekea wapi
@maysamwel1221
@maysamwel1221 Жыл бұрын
Unamkufuru mungu
@kelvinmandela-bt1dw
@kelvinmandela-bt1dw Жыл бұрын
Ni Unabii wa ukweli huu -Kusema Wapinga Kristo hata sasa wapo na katika siku za mwisho Watatolewa ili waonekane Hadharani/✍️✍️✍️ Nimemkumbuka pia yule ambaye alishuhudia kwamba hata waimbaji wapo kuleeee.....
@jamestocta3075
@jamestocta3075 Жыл бұрын
Kamsikilize mch. Katekela ,. Haya yote kayaweka waz
@kelvinmandela-bt1dw
@kelvinmandela-bt1dw Жыл бұрын
@@jamestocta3075 Roho Mtakatifu ndio namtaka zaidi katika siku hizi za mwisho
@adriandanford208
@adriandanford208 Жыл бұрын
Tumpokee roho mtakatifu na akae ndan yetu atuongoze
@jamestocta3075
@jamestocta3075 Жыл бұрын
Shetan anaharakisha mambo kabla Yesu hajarud kulichukua kanisa, ee Mungu tusaidie tupate kuwajua ili tuwakwepe.
@medikokadilo2740
@medikokadilo2740 Жыл бұрын
Kaka true afu hao wengne mapepo yanavaa miili yanazaliwa yanazaa yanaeza yakawa wachungaj mengne wanamuzk wengne wakawa hata wapga debe ilimrad kuipotosha dunia isifklie Utakatfu na kujiandaa na kifo bali wafkilie Mali za dunia hii nakuiona dhambi ni ktu chakawaida mwshowe wanadamu halisi kuiga matendo yao wakdhan n wanadamu wenzao kumbe mapepo.
@omaraonasir4361
@omaraonasir4361 Жыл бұрын
Hii madhabahu ni feki,mungu atusaidie,Kuna mpaka madj;mbinja nazo
@allysuleyman7445
@allysuleyman7445 Жыл бұрын
Una uhakika mungu akusameee bure
@patricianyale
@patricianyale Жыл бұрын
Yaani ata nikitazama siamini nyimbo zake zilikuwa zimejawa roho mtakatifu ukiimba unaingia rohoni lkn sai NI tofauti ,Heri mwisho mwema wapendwa vyote tutaviacha apa duniani ata hayo nawigi hayatuinjizi mbinguni hayo be natural my sister's
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ashasajiliwa
@tukyaclassic-xm1qd
@tukyaclassic-xm1qd Жыл бұрын
Mhhhhhhh kweli shetani Yuko seriuz! Ivi mnajua kwa kwakufanya ivo mnawapoteza watu wengi Sana wanaingia gizani!
@meckmbilinyi6077
@meckmbilinyi6077 Жыл бұрын
Kwa nini
@tukyaclassic-xm1qd
@tukyaclassic-xm1qd Жыл бұрын
@@meckmbilinyi6077 huyu sio nabii wa Mungu trust me
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
@@meckmbilinyi6077 1 Timothy 6:9-10 9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
@@meckmbilinyi6077 Does he preach the true gospel of repentance, holiness and baptism of the Holy Spirit?
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 Жыл бұрын
Hakunaga Cha BURE Twende Mbele tu.Sadaka inanena Kwaiyo alikozitolea hizo pesa Pana kuhusu100%.ila pole sanaa😢
@alphadreammedia
@alphadreammedia Жыл бұрын
Sure
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 Жыл бұрын
Kwa kipande hicho "ULICHONIIMBIA" nakusuport milioni kumi😭😭😭.Cha Shetani utalia nacho!
@jimmyalfa1694
@jimmyalfa1694 Жыл бұрын
Pole sana Christina...Usingejiingiza huko mapema tu namna hiyo.. may God help u
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Inatia huruma
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
MUNGU alijitukuza BRAZIL muda mfupi baada ya shetani kujiinua. MUNGU karibu TANZANIA. Shugulika Na manabii wa uongo watu wameacha kumsifu MUNGU anasifia manabii. Makanisa yamekua kama madangulo. Eee MUNGU tusaidie.
@lebeka2951
@lebeka2951 Жыл бұрын
Ama kweli kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake mungu tuepushe naupuzii wanamna iyo waebrania 2:3
@getrudamaswa6471
@getrudamaswa6471 Жыл бұрын
Hiiii Yesu nifundishe kunyamaza nisikutende dhambi kwa hizi nyakati mbaya
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Maandiko lazima yatimie,,,,na hizi ndizo shuhuda tunazoshuhudia Imeandikwa:siku za mwisho watu watapenda pesa, na lundo la manabii wa uwongo watatokea, na watamtoa pepo kwa jina na la Yesu naye pepo atatoka. Wakristo wasome maandiko kuwatambua hawa Nabii waongo,,,tumeambiwa tutawatambua kwa Matendo yao,,,haya ya hawa manabii ni ushahidi tosha wa maandiko kutimia. Tuamke Wakristo,,,makanisa ya leo badala la kuwa nyumba ya ibada yamegeuka manyumba ya biashara na taasisi za kipesa kwa viongozi kutakatisha pesa za waumini.
@gracehelbert5858
@gracehelbert5858 Жыл бұрын
Shushooo ushauza nafsi . ..MUNGU akusaidie utoke huko kwa neema yake...
@mestonianatori7254
@mestonianatori7254 Жыл бұрын
Hata chanjo Alichanjwa kwaiyo Huyu sio mwenzetu
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi Жыл бұрын
Kwa kweli, Mungu atusaidie tu
@kingdavid8800
@kingdavid8800 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@osanamgallah4297
@osanamgallah4297 Жыл бұрын
Mmmh Mungu naomba uturehemu utusamehe..YESU ANARUDI
@shinemakenzi8101
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Kwanza huyu demu ni kahaba tu anazurula ovyo ovyo mara kenya mm sisikilizi nyimbo zake tena shenz kabisa
@nathanaelmsamba9055
@nathanaelmsamba9055 Жыл бұрын
Christina na wew umefika huko du!! Pole kumbe nawe ni mjinga
@JoyMwash-ou5bw
@JoyMwash-ou5bw Жыл бұрын
Mjinga mkubwa tena sana kuahacha mumewe kuradaranda tu bila sababu pepo ya kike
@devidpiusi6938
@devidpiusi6938 Жыл бұрын
Pole sana shusho taa zako zimezima
@christinamsoka
@christinamsoka Жыл бұрын
Hapo kanisani Kuna watu wanalala njaa,na wanatoa kidogo walichonacho kwa kushawishiwa na nabii,mwishowe pesa wanapewa watu wengine na hao wanashangilia tuu km mazuzu..Ee Mungu tusaidie
@kingdavid8800
@kingdavid8800 Жыл бұрын
Nimechekaa sanaaa Jmn ... Ety mazuzu😂😂😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hahaha kazi ipo
@japhetkavishe2347
@japhetkavishe2347 Жыл бұрын
Wajinga ndo waliwao
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
🤣🤣🤣hii movie kali na inachekesha kweli! Inafanana na movie za kina Jackie chan
@marykimori8929
@marykimori8929 Жыл бұрын
Ukiwa na baba na huitishi ni sawa na yule kaka yake mwana mpotevu
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Жыл бұрын
Wokovu bila Roho mtakatifu ni shida sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Saanaa tu
@robertnyantile4291
@robertnyantile4291 Жыл бұрын
NJAA MBAYA SANA PESA NDO KILA KITU HAPA DUNIANI
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Mbona mume wake ana pesa
@robertnyantile4291
@robertnyantile4291 Жыл бұрын
@@heritier5119 hiyo ni njaa iliyo mpeleka hapo hakuna cha mmewe ana pesa
@rizikidada9790
@rizikidada9790 3 ай бұрын
Jamani wanamaombi naombeni tumuombee Christina kuna vile aliharibu sana kazi za Ibilisi akafika mahali akampa adui mlango akamuweza sasa tusiishie kumlaumu mtu akianguka kanisa likiomba kwa bidii ataachiwa mm sioni kama niakili yake au Roho Mtakatifufu anamuongoza hapa japo yeye anaona yupo sawa kuna wale mnanielewa!!
@edwinezawadi2736
@edwinezawadi2736 Жыл бұрын
Mungu akuhurumie christine Muko radhi kwenda kwenye madhabahu ya uongo juu y’a pesa😭😭😭
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 Жыл бұрын
Mbona huyu alishaingia kwa mashetani muda mrefu sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kabisaa pesa mbaya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
​@@bintalmasi2393 bora umalizie
@evelynekomba7216
@evelynekomba7216 Жыл бұрын
Kuna usichikijua, cku za mwisho kila kitu hadharani
@alicejumaa89
@alicejumaa89 Жыл бұрын
You didn't know that she is a devil worshipper?? She is implementing her task for the salary in hell.... Nabii mkuu thats blasphemous...lets pray
@rassanleezedon6861
@rassanleezedon6861 Жыл бұрын
hizi nyakat za hatari sana
@williamssempoli2294
@williamssempoli2294 Жыл бұрын
Christina Shusho......dada yangu mpenzi ni nini kimekupata??😭😭😭
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Alishalishwa Laana
@greysonmheni5176
@greysonmheni5176 Жыл бұрын
Fedha fedheha
@pamodzi9331
@pamodzi9331 Жыл бұрын
Christina,binti wa Mungu aliye hai.Mungu alikuchagua na kukufanya chombo cha sifa ili kwa kipaji chako jina lake Jehovah lihimidiwe.Ulipo leo ndio ulipotakiwa kuwa?umemwacha Mungu aliyekuokoa.Vua hizo pete zote,mrudie Mola wako
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
1 Timothy 6:9-10 9 But those who desire to be rich fall into temptation and a snare, and into many foolish and harmful lusts which drown men in destruction and perdition. 10 For the love of money is a root of all kinds of evil, for which some have strayed from the faith in their greediness, and pierced themselves through with many sorrows.
@enocewanjara6546
@enocewanjara6546 Жыл бұрын
Nakumbuka Kuna wakati Askofu Gamanywa alikuwa anamwombea Godwin Ombeni madhabahuni mahali Fulani halafu akasema hivi "Mungu alinisemesha niongee na waimbaji wa injili wenzako wamekataa " Naanza kuelewa maana ya Ile sentensi. Hakika mteule shika sana ulichonacho.
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 Жыл бұрын
Mark 8:36-37 36 For what will it profit a man if he gains the whole world, and loses his own soul? 37 Or what will a man give in exchange for his soul?
@amanimapenzi571
@amanimapenzi571 Жыл бұрын
Nabii Nakupenda sana kwa kusupport!!!!!
@tukyaclassic-xm1qd
@tukyaclassic-xm1qd Жыл бұрын
Hiyo album yako sitaki hata kuiona! Mnatumika na njaa zenu mpo ladhi kuwaingiza watu gizani
@chritinaphilip7439
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Kwel kabisa
@sundawnsmedia6659
@sundawnsmedia6659 Жыл бұрын
Hapana, usiseme hivyo ndugu, mimi na wewe hatumjui christina shusho, na wala hatujawahi kuonana naye live wala tumsikie angalau tuweze kumjua vizuri. Ogopa sana kumhukumu mtu usiyemfahamu, mimi na wewe tusiwe wepesi wa kuhukumu.
@tukyaclassic-xm1qd
@tukyaclassic-xm1qd Жыл бұрын
@@sundawnsmedia6659 hko sahihi but mtu anataka kuabudiwa, kuwarubuni watu maarufu ili kuwashawishi watu wengine! Nonsense
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
Ushasema pia mm hata sitatubutu kuiona.....waimbaji waliokanyaga hapo niliacha kuwafwatilia
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kabisaaa
@godfreymwakijoja3452
@godfreymwakijoja3452 Жыл бұрын
MUNGU.unaejibu kwa moto.mwenye ahadi za kweri tunaamini katika matendo Yako na neno rako ulilo sema.wanamacho rakini hawaoni Wana masikio rakini hawasikii.tusaidie.MUNGU wetu mwenye kutukomboa na huovu huu unaofanyika mbere ya macho Yako tusamehe.JEHOVA HIRE.
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 Жыл бұрын
Christian shosho amepata tamaa ya pesa na ukubwa anainamie mathabahu za kishetani na sio kwamba hajui na kumsimu zaidi ya Mungu pengine ameungana na ufalme wa giza tubu Sana wewe mama
@chengeson
@chengeson Жыл бұрын
Tulisema makahaba kanisani sasa ndio hayo sasa
@isaacchalamila
@isaacchalamila Жыл бұрын
Ulitaka akaende wapi kuomba mchango wake mm binafsi nampenda sana huyu dada katimia akili nyingi tatizo mambo ya Hela so mambo ya kiroho hata sheee anaombwa iwe nabii zazima atoe hii ni kazi ya Mungu tutasikiaje huduma yake sasa kama watu wenyewe wanaojiita wapo kiroho hawachangi na mabahili sana acheni wivu kuredi studio wimbo 150000 video nzuri wimbo Moja 1000000 unataka afanyaje mwacheni dada wa watu kwahiyo kama nabii wa uongo asitoe pesaa? Hii ni nzuri nimependa anajua kucheza na watu wenye Hela
@chengeson
@chengeson Жыл бұрын
@@isaacchalamila umasikini uta walazimu watu kufanya mambo ya hovyo
@oswardkabasa8503
@oswardkabasa8503 Жыл бұрын
Kweli Hela ndo zinaabudiwa tu kweli dd huyu ninae mjua kakomaa kiloho anapiga magoti kuomba
@carolynekanaiza
@carolynekanaiza Жыл бұрын
Ndio maana nilifika mahali nikachukia nyimbo zake kabisa.
@mckingu4004
@mckingu4004 Жыл бұрын
Hakuna Mungu hapo ,shusho umeendea njaa huko unadhalilisha huduma Yako ,Bora ushindwe kutoa hyo album kuliko kwenda huko
@edwinezawadi2736
@edwinezawadi2736 Жыл бұрын
Aibu saana christina naumia kwaajili yako😭😭Mungu turehemu
@kingmwaxoh6420
@kingmwaxoh6420 Жыл бұрын
Yaaaani inaumiza sana
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 Жыл бұрын
Huyu alishapotea alivoanza kujifanya amekua mchungaji
@glorymuro5411
@glorymuro5411 Жыл бұрын
Yaaani ni siku za mwisho ..tunaambiwa mpk watumishi wa liookoka wataungana na manabii wa uwongo,kwasababu ya Tamaa ya pesa...na mbio zote kwenda madhebahu za uongo still mmeambulia milioni kumi..sasa hiyo ni pesa gani yakumfanya mtu kumsaliti Mungu wake..kiukweli nimekuwa disappointed Sana..na hata kanisani kwake asipoangalia washirika watagawanyika..mchungaji gan asiye na msimamo...huna imani na Mungu wako alie hai Dada Tina
@rosedamiankabesa5092
@rosedamiankabesa5092 Жыл бұрын
Je ndio christina anamsaliti Mungu,au tayari alishatoka kwa Mungu zamani? Pengine wanajuana rohoni hao.
@glorymuro5411
@glorymuro5411 Жыл бұрын
kabisaaa Mana huyu dada simwamin sikuiz
@pmicnairobibranch1991
@pmicnairobibranch1991 Жыл бұрын
Mafarisayo nyie, yaani kila Nabii ni fake, watumishi wa Mungu wanaponyenyekea na kumtafuta Mungu kwa bidii na Mungu anawabariki kihuduma na kifedha nyie kazi yenu ni kuamini tu kila kitu kizuri ni Cha shetani. Je kwani hakuna Mungu mbinguni anayeweza kuinua watumishi na kuwabariki namna hi?? Haujapenda vile ametoa million 10 kwaajili ya kusupport kazi ya Mungu. Kumaanisha angetoa hio pesa ili ajenge ufalme wa shetani hapo wewe ungeshangilia mpaka meno yote yaonekane kwa sababu wewe sio shabiki wa kazi ya Mungu, unashabikia shetani!!!! Ushindwe na usipige watumishi wa Mungu wanapofanya kazi kwaajili ya kujenga mwili wa kristo.
@adjafamkungilwa1154
@adjafamkungilwa1154 Жыл бұрын
Kweli Naungana na ww ndugu yangu ,hizi ni nyakati mwisho Huyu dada sijaamini kama nae aweza ungana na hawa manabii wa uongo Kweli mungu atunusuru
@sabinajuma7657
@sabinajuma7657 Жыл бұрын
ss mbona hutusaidiii watoto wako
@joyprecious1642
@joyprecious1642 Жыл бұрын
I used to love Muhando and her song nibebe when i was younger,But not now,Sijui hata wimbo mmoja wa huyu shusho ila jina nafahamu ni mwibaji,Mimi si fun wao hata Kidogo,Niligundua wengi wao wanamtumikia shetani na ni wanafiki,Kwa hivyo hata upako uliobembwa na nyimbo zao ni wa kishetani,.Tenzi Rohoni mpaka leo na kesho, Wengine am never a fun
@johnchalahani6924
@johnchalahani6924 Жыл бұрын
hakuna jipya hapo pengine hata yeye yupo kwenye kundi lile lile. Mungu pekee ndiye anayemjua
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Жыл бұрын
Ngoja tuone Ila mungu ataonyesha manabii wa uongo ngoja tuone
@ibrahimshilinde6129
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Shetani Yuko kazini
@gracekayandakayanda3428
@gracekayandakayanda3428 Жыл бұрын
Kweli akupe macho aiseee 😭😭😭 mahana Umepotea sana dada
@HappynessSebastian-l7p
@HappynessSebastian-l7p 16 күн бұрын
Mwenyezi mungu simama nasi katika hihi safari tukiyopo.unamwamini binadamu kuliko aliyo juu
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mmmmm! Mungu tusaidie sana
@chritinaphilip7439
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Kwakwel atusaidie
@joyyjoyy5474
@joyyjoyy5474 Жыл бұрын
Mungu atusaidie kweli na atupe macho ya rohoni
@nickolausmwandambo4807
@nickolausmwandambo4807 Жыл бұрын
Lakini huu ni mfano mzuri kwa wale ambao ni mzao wa ibrahimu kwa imani. Galatia 3:29.
@kassebo
@kassebo Жыл бұрын
Amesha fungwa Christina shusho. Na nguvu za giza
@marygabagambi3342
@marygabagambi3342 Жыл бұрын
Mpaka naogopaa kusema chochote mmmmmmm!
@arubalydia224
@arubalydia224 Жыл бұрын
Duuuh Mungu nifundishe kunyamaza😷😷😷😷😷😷 tamaa inatuponza walokole et baba naomba unipe nguvu 😡😡🤔 haiya bna
@marcelmwembo
@marcelmwembo Жыл бұрын
Ni mwimbaji wangu number one katika maisha yangu mimi ni mukongomani apa DRC namupenda saana shshu.
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Жыл бұрын
Shusho yuafanya nini huku kwa nabii wa uongo jameni twaelekea wapi Mungu sisi watumishi wako😢 Too bad
@marthamasue4009
@marthamasue4009 Жыл бұрын
Nabii mkuu kachora 4 kanisani 😳😳
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
@@carolinederi5690 msihukumu msije mkahukumiwa
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Жыл бұрын
@@mwitaagness455 Hatuhukumu wajua wakati huu nikumwambia Mungu atengeneze mioyo yetu aondoe kila uchafu sasa kama utaenda kwa nabii mweny kila mtu yuajua ni nabii wa uongo atakusaidia na nn Je ni kitu gani cheny Jeodav yuafundsha cha kukusaidia kukulia wokovu 😔
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
@@carolinederi5690 ni kweli lkn imefika mahal hatujui hata mkwel ni yupi na muongo ni yupi, tumuombe Mungu atupe macho ya rohoni...ila huwa naogopa sana kuhukumu moja kwa moja.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Жыл бұрын
Kwa moyo alionibariki Mungu, ningezaliwa mkristu, ningesilimu na kuwa muislamu nikiwa na miaka 2 yaani namaliza kunyonya tu Mungu shahidi 🙏🏽
@nizaelluka7547
@nizaelluka7547 Жыл бұрын
Kafie mbele
@happymwinuka63
@happymwinuka63 Жыл бұрын
Mungu akusaidie
@janetjordine5454
@janetjordine5454 Жыл бұрын
Kuriko kuombea Mungu amupe macho nahakiri arudi kwa Yesu Christana muna matukunaka please Kama kweli umeokoka simama kwa kuombea hawa watu Shetani anatuiba.janet From Rwanda love Jesus 🙏🏼
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Oooh oooh shusho nakupenda sana ila muulize Mungu kila Wakt niwap uende na wapi usiende
@mussatete2618
@mussatete2618 Жыл бұрын
Safi sana Neema loy
@johnssaimon450
@johnssaimon450 Жыл бұрын
Ooooh shusho shusho umeenda hapo my GOD kila kitu kitajulikana wazi
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Жыл бұрын
​@@johnssaimon450 I say inahuzunisha sana sana
@johnssaimon450
@johnssaimon450 Жыл бұрын
Ni wakati wa kuwa makini na kuuliza kwa Roho mtakatifu nyombo zipi za kusikiliza is beta nyimbo za tenzi tu kuepusha nafsi zetu kuchafuliwa.
@chritinaphilip7439
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Amen
@michaelmbui8226
@michaelmbui8226 Жыл бұрын
Christina shusho twakupenda saana, binafsi napenda #Shusha #Nyavu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mmm
@AfricansInGulf
@AfricansInGulf Жыл бұрын
Why alot of security guards!!!!! There is God's protection I think, those guards should be outside, Nway
@tunakisiwekamnyoge8061
@tunakisiwekamnyoge8061 Жыл бұрын
Irareo kumtafuta Mungu nikazi hadiwaimbaji wanamsujudia Mwanadam. Mungu tusamehe
@bintmwambapa7734
@bintmwambapa7734 Жыл бұрын
Dhaaa hakika wewe mbaba upo kuvuna wengi, yaaani Christina sikukutegemea na wewe kuwa ungeangukia mikononi mwa ibilisi , dhaaa kweri pesa inanguvu shetani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pesa ni mvito
@mariamukendrick757
@mariamukendrick757 4 ай бұрын
Pesa, Pesa, Pesa Mungu uturehemu sana🙏
@clemence3493
@clemence3493 Жыл бұрын
Umefeli apo shusho umeni.desapoint sana
@tulinavemgeni210
@tulinavemgeni210 Жыл бұрын
Yaaan ametudisapoint wengi Sana yaana Hadi naongea pekeangu E Mungu tusaidiane tulikotoka Kuna afadhali kuliko tunakoelekea
@carolinechelangat9243
@carolinechelangat9243 Жыл бұрын
Omba mungu akupee majo ya kweli uone sawa sawa❤
@Tuyizerepatikay-ol7tx
@Tuyizerepatikay-ol7tx 11 ай бұрын
😢nimemshanga Sana Kristina
@GladysNjeri-sy7jp
@GladysNjeri-sy7jp Жыл бұрын
Kwani nabii anapeanga mtu nguvu ama ni mungu anapeanga mtu nguvu
@paulosmbena2834
@paulosmbena2834 Жыл бұрын
Mungu aturehemu katika maisha haya ya aibu mbele za Mungu.
@elizabethlaizer7985
@elizabethlaizer7985 Жыл бұрын
Sishangai haya coz mimi ni mkristo lakini najua kweli Dini moja tuuh, duniani , uislamu,,. Haya mengine yote niutopolo tu usenge utaskia Yesu ni Mungu, ndio maana hata knsani kwenyewe siendagi, siku nikiacha pombe naslimu..
@rosemongi5241
@rosemongi5241 Жыл бұрын
Huyo body guard wa nini tena jamani. Roho Mrakatifu aliye na kanisa mbona anatosha wapendwa? Kitu gani hiki tena Ohhhhhhhh. Mungu wangu na Bwana wangu.
@rukaiyafrank9043
@rukaiyafrank9043 Жыл бұрын
Shetani kweli Ana nguvu sikutegemea huyu nae katumika na huyu nabii feki mh hatari Mungu utusamehe kwa kweli
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 Жыл бұрын
Binadamu hatuna jema, Uongo wake huyu baba unatoka wapi?
@agustinocharles2650
@agustinocharles2650 Жыл бұрын
Rukaiya frank ,Pray for him ukiona upo salama Mshukuru Mungu
@chritinaphilip7439
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Kwakwel Mungu atusaidie hakunq Mungu apo shetan kajichukulia mateka watu wote hao mmh
@sarahwawuda5164
@sarahwawuda5164 Жыл бұрын
​@@mosesjohnswilla9926alisupport tattoo waaa na Bible ilikataa
@newgarden8036
@newgarden8036 Жыл бұрын
Umasikini unawatesa
@davidkainonge8153
@davidkainonge8153 Жыл бұрын
Glory be to God again
@paschalekagito3507
@paschalekagito3507 Жыл бұрын
Ivi unajua kwa nini huyo nabii wa uongo ameimba huo wimbo. Inasikitisha sana 😭😭😭
@janemabada3357
@janemabada3357 Жыл бұрын
😭😭😭 Bwana yesu rehem ingilia kati
@alicemkambe5738
@alicemkambe5738 Жыл бұрын
Nmelia sana 😢😢😢😢hadi amemjua hayo macho hana
@ruthnzilani4295
@ruthnzilani4295 Жыл бұрын
Christina nashtuka sana kukuona hapa Aky Mungu akusaidie sana
@abubakarikisuju80
@abubakarikisuju80 Жыл бұрын
Huyu jamaa alifaa kugombea urais wa tanzania#anasaidia sana#akiwa kiongozi wa nchi nchi itasonga mbele
@aaronswai6935
@aaronswai6935 Жыл бұрын
Nani alikwambia Tanzania tunahitaji kuongozwa na waabudu Shetani?
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
" utawasiliana na balozi wangu atakuonyesha namna ya kuthibitishwa" Tayari keshasajiliwa
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
Kweli😢😢
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
Pia kamwambia mfalme amempa alichokiomba, mfalme yupi uyo daaah😢😢😮😮
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kweli kabisaa
@bonnymanzukich7327
@bonnymanzukich7327 Жыл бұрын
Duuh mungu atusaidie
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
Mfalme yupi aliyemuomba christina shusho😮😮
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wa Shetani
@veronicaalfred235
@veronicaalfred235 Жыл бұрын
Ibiris ndo mfalme wao
@salomeivorant3266
@salomeivorant3266 Жыл бұрын
Mungu atusaidie tufike salama sijawahi kuwa mfuasi wa nabii lakini Tina soma comment Mungu akuongoze wanadamu tutasema mengi. Mimi najua Tina kaumbiwa roho ya unyenyekevu hata mtoto mdogo aweza kumpigia goti cjaona shida kwenye hilo. Wanaendaga kuimba hata kwa watu wasiomjua Mungu ili wabadilike. Wewe unajua ulienda kufanya nini ukweli unao Mungu mwema akushike usisahau kusudi la Mungu katika huduma.
@salomeivorant3266
@salomeivorant3266 Жыл бұрын
Lugha ya nguvu Mimi nimeelewa ni lugha ya tafsida ikimaanisha pesa. Jmn ni hela ngapi zinaletwa makanisani tena za uovu tunapokea kwa ni vile watu hawajui. Tunachofanya Ni kuzibadilisha ziwe sadaka kwa maombi Mungu atusaidie ndio ombi langu. Tumuombee shusho Mungu amsaidie kuishia kumsema hakusaidii.
@BahatJohn-ct1ub
@BahatJohn-ct1ub Жыл бұрын
Christine mungu hazihakiwi; nikuwa nakuamini kumbuka umepotosha watungi kumsujudia mwanadamu siwezi tena hata kusikiliza nyimbo yako
@saidi1365
@saidi1365 Жыл бұрын
Mkiambiw huk mnapotea hamsikii dunian din ya mungu kabisa ya kweli ni moja tu ,ni uislam ila kw wenye akili ndy wataamin hilo na walio funguliw na mungu kujua hilo na kam hutaamin hilo bc acha tuendelee kuangamia tu tukif tuishie motoni tu
@adjanihabose1586
@adjanihabose1586 Жыл бұрын
na apo akiambiwa kama amemshujudiya mwanadamu atajieleza,Ila shusho amepoteya kwani uyo ni baba,baba ni mungu,eti naomba nguvu ,nguvu ni za mungu sio zawanadamu
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 Жыл бұрын
Kwel shetan yupo kzin dada kumbe upo hivyo
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 Жыл бұрын
Yani sikutegemea
@talentedboys-tv1507
@talentedboys-tv1507 Жыл бұрын
Njaaa zitawauaa oohoo🤣🤣🤣nyie wivu mjifanye ety ..oohh shtan yupo kazini
@mosesjohnswilla9926
@mosesjohnswilla9926 Жыл бұрын
Kosa lake liko wapi?
@talentedboys-tv1507
@talentedboys-tv1507 Жыл бұрын
@@mosesjohnswilla9926 yaan shda ni kisirani na kupandikizwa roho za chuki baina ya wakristo
@bushbabytz
@bushbabytz Жыл бұрын
Ukiwa mumbaji wa injili ni lazima uwe mjanja nakusifia mtu yeyote hata kama nabii wa uongo...christina chukua pesa yako unajua huyo mwongo tu
@FarajaYoram-uo4ik
@FarajaYoram-uo4ik Жыл бұрын
Duh mungu atukumbuke Christina umeenda huko kwel n nyakat za mwisho
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 Жыл бұрын
Shetani hana ndugu,Hana Cha Bure! Christina umeangukia pua. Kristo Yesu akurehemu!
@isackmnazi539
@isackmnazi539 Жыл бұрын
Pole Sana Shusho tangu ulipomuomba Mungu akupe macho uone mpaka leo bado kipofu tu.
@JamesJamesmayanga
@JamesJamesmayanga 6 ай бұрын
Nilikuwa nakwamini sana kupitia nyimbo zako christina shusho lakini uliko elekea sio kuzuri unapotea
@furahasanga2534
@furahasanga2534 Жыл бұрын
NAONA ANAPENDWA KWELI NA MANABII WA UONGO, POLE SANA MZEE SHUSHA MUNGU AKUTIYE NGUVU UWE NA MWISHO MWEMA, YAANI JANA KWA MWAMPOSA NIKIWA KWENYE SEMINA YA MWL ALIKUWA ANAIMA NIKAJUWA YUPO LIVU😭.
@maryandason1815
@maryandason1815 Жыл бұрын
Mmmh k😢kila mtu ashike alichonacho
@lawrencengarega5440
@lawrencengarega5440 Жыл бұрын
Haifai, ni vibaya kumpigia magoti na kumuinamia huyu mhubiri. Yeye ni mwanadamu pia.
@mourineayako9884
@mourineayako9884 Жыл бұрын
It's really end time.hadi unainamia binadamu mwenzako.Mungu alikupa kipaji c binadamu jamani
@Linda-lr1lu
@Linda-lr1lu Жыл бұрын
Hapa ni kwisha kazi yani aibu mnatia aibu Mungu kwa nini ile sheria isirudi ukiingia madhabahuni na uchafu unafia hukohuko madhabahuni Mungu simama😭😭
@joselyneafande6611
@joselyneafande6611 Жыл бұрын
Mbona hawa watu huwa na walinzi kila mahali kanisani, ilhali wanasema Mungu ndiye mlinzi
@kimodomusic9760
@kimodomusic9760 8 ай бұрын
Ni freemason
@mestonianatori7254
@mestonianatori7254 Жыл бұрын
Hatushangai Hata Chanjo Ya CORONA ya mpinga Kristi/KUZIMU yenye vinasaba ya Mapepo Alichanja KWAIYO TUMPE POLE. DUniani NI kwao
@florencenshimi9353
@florencenshimi9353 Жыл бұрын
Ulioyaomba yote kwa mfalume umeyapata !!! Mmh hatari sana 😢
@magdalenajoel4409
@magdalenajoel4409 Жыл бұрын
Rose na Christina mnashindwa Nini kutambua roho wa mungu na roho mdanganyifu
@happymushi2219
@happymushi2219 Жыл бұрын
Yaani hela sinagawanywa madhabahuni- njaa mbaya sana
@godfreymwakijoja3452
@godfreymwakijoja3452 Жыл бұрын
Wamepewa macho hawaoni wamepewa masikio hawasikii mungu atusaidie tuweze kuona makuu yake we JEHOVA mungu unae jibu kwa moto inuka tutetee.
@teddyjoseph438
@teddyjoseph438 Жыл бұрын
Hadi Christina shusho duh?Pesa Pesa
@adonaiastoni1703
@adonaiastoni1703 Жыл бұрын
Ibirisi yuko kazini naye atachora tattoo mbona yeye hajampa hapo?Ina maana atampa baadaye
@chritinaphilip7439
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Waimbqji wq nyimbo za injili hawanq Mungu kqbisa inqumq sana tumrudie Mungu jaman
@IbrahimKhamisi-hb7hy
@IbrahimKhamisi-hb7hy Жыл бұрын
Nyie we dada mbona unapotea uyo si nimwanadam tu wakawaida kwanini unamwambia akupe nguvu, akupe nguvu yeye kama nani mweeeeee pole dada😭😭😭😭😭😭
@user-gi3io1ew8e
@user-gi3io1ew8e Жыл бұрын
My sister my brother nikiwa kwetu Kenya western Ingo luyha shetani uwa akikuwona uku na kibawaa anatumiyah pesa ili akunasee mawazo yako Kisha unahanza kukuwa mtumwa kusimba juwa Sasa nimeguduwa shetani anatumiyah pesa kutunasaa sisi wanandam pad siprt eti tukiwa na shida uwonee nabii mkuu mwesho tz yote inajikutaa kwa nabii mkuu akuna tafauti na kuyetiyah kuku maidi Kisha inatiwa kisu kohoni 1tio Motheyo6:4:20
@davidwatson6821
@davidwatson6821 Жыл бұрын
Mungu moyoni, pesa mfukoni Bwana
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@victaeliud948
@victaeliud948 Жыл бұрын
Na akili kichwani
@sarahsamson-ql3hw
@sarahsamson-ql3hw Жыл бұрын
Mungu tututee
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 93 МЛН
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 16 МЛН
KISII FOR JESUS🔥// Rose Muhando and Douglas Otiso @Nyanturago
1:58
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН