ATENGENEZA TRANSFORMER NDOGO INATUMIA BETRI YA PIKIPIKI, INAWASHA TV NA TAA 6 'KIJIJINI INAFAA'

  Рет қаралды 18,308

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

#AyoTVKigoma

Пікірлер: 49
@trysteward5508
@trysteward5508 4 жыл бұрын
Nipeni like jaman wanao kubali kigoma mkoa wa vipaji
@MwlGano
@MwlGano Жыл бұрын
Hiyo inaitwa inverter. Anaconvert dc kuwa AC
@eliarichard9218
@eliarichard9218 4 жыл бұрын
lazima Mungu wetu alete watu wenye akiri Tanzania na Africa yote sisi tunaakili sema tyuu wakati ulikuwa bado huja fika sasa niwakati umefika siyo tyuu mataifa ya mbali ndiyo wana akiri ata sisi tuna akiri saanaa.tz and JPM.
@hysometyga988
@hysometyga988 4 жыл бұрын
Big up 👊👊
@mrholela7906
@mrholela7906 4 жыл бұрын
Eeeh bwanaee Kigoma noumah
@faustinanyamtengera3776
@faustinanyamtengera3776 4 жыл бұрын
Mungu awainue wengi na Vipaji hivi viendelezwe.
@msamgunda7684
@msamgunda7684 2 ай бұрын
Huyu dogo ni mjanja sana,anajua jins ya kuwavutia watu.saf sana
@maikosamila7187
@maikosamila7187 4 жыл бұрын
Important man , to the industry
@MelkisedekiSamson-kd7gw
@MelkisedekiSamson-kd7gw 5 ай бұрын
Hawa vijana ili walete mantiki kwenye mataifa yetu lazima tuwatumie vizur,mfano huyu kwa uwezo wake inabidi aongeze maarifa yanayohusu kipaji chake,alafu atunzwe na serikali,na watafutwe watu wa Kariba yake wasome hata miaka mingi tu kisha wakiwa vizuri wakija nchini watengenezewe miundo mbinu yote,kisha wao ndio wawe wakufunzi ili kuleta mapinduzi ya viwanda la sivyo tutazikwa masikini na utajiri tunao mfukoni
@msamgunda7684
@msamgunda7684 2 ай бұрын
Hilo halitatokea.kwan waafrika hawatakiwi kumiliki kiwanda.na viongoz wetu wanatumika kulifanikisha hilo🤣
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 4 жыл бұрын
great
@abdukadiliissa8076
@abdukadiliissa8076 4 жыл бұрын
Talent
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 4 жыл бұрын
daaaah
@Mastermind25491
@Mastermind25491 4 жыл бұрын
Una akili sana dogo !? Tanesco wakakusomeshe nje ya nchi
@osamadanieli3198
@osamadanieli3198 3 жыл бұрын
Osama fodi_danielu
@khamisiddi5961
@khamisiddi5961 Жыл бұрын
Hiyo ni inverter acha ushamba ww
@isejemedia6760
@isejemedia6760 Жыл бұрын
Sasa hiyo c ni Inveta
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 3 жыл бұрын
MashaAllah!
@rayanwade8331
@rayanwade8331 2 жыл бұрын
You prolly dont give a shit but does someone know of a trick to get back into an Instagram account? I stupidly lost my login password. I would appreciate any assistance you can give me
@kitengo1
@kitengo1 2 жыл бұрын
Katengeneza inveter ya kawaida tu ila kaleta mbwembwe hionekane kama kitu cha tofauti
@fredialfredi202
@fredialfredi202 Жыл бұрын
Tengeneza na wewe
@hallin9561
@hallin9561 4 жыл бұрын
Viongoz wa Waafrica badala wawapeleke hawa watu wakapatr taaluma za juu zaid kuja kubadili nchi zetu lakin wanawapotezea. Watu kama akina castro walipoona watu wanaweza kufanya maajabu ya hivi wakawapeleka ulaya kujifua zaid na kurud nchini mwao na kufanya mambo makubwa ata kwa china ilikuwa ivyo
@peterrichman6075
@peterrichman6075 2 жыл бұрын
Irf inafanya kazi gani
@mgedzirpm1541
@mgedzirpm1541 3 жыл бұрын
Hiyo ni inverter broo! Hakuna ubunifu hapo,
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 3 жыл бұрын
Kweli kaka
@frdchannel6189
@frdchannel6189 3 жыл бұрын
Jamaa kawawez ni inverter..hii..ndomana alivyoulizwa umetengenezea nini transformer akaliruka swali.
@faraolion6822
@faraolion6822 4 жыл бұрын
Sawwa engineering
@meshackmedanny8483
@meshackmedanny8483 4 жыл бұрын
Bob na wew yuo tube uta toboa baba
@husseinlatifa1443
@husseinlatifa1443 4 жыл бұрын
Bongo bahati mbaya
@jsmfarms71263
@jsmfarms71263 4 жыл бұрын
Vitu vya kawaida kwenye umeme, walio soma physics na electronic mtanisaidia hapa , wa Tz wasije sema nini wivu
@hajilipotha9658
@hajilipotha9658 4 жыл бұрын
Hebu fanya ww tuone na physics yako
@jsmfarms71263
@jsmfarms71263 4 жыл бұрын
@@hajilipotha9658 watu wenye mawazo kama yako ndo nilikua siwataki kwenye comment yangu, hiyo kitu ni inafanyika sana na kitu alicho Fanya kwenye solar power hua tunafunga inverter kutokana na ghalama , then hizo transformer chocheo na pozo kwa Tz ni Mali ya shilika la TAnesco huruhusiwi kumiliki hiyo kitu, badilika acha kugandisha akili yako
@immslucas
@immslucas 4 жыл бұрын
Fanya na wewe tuone Kama ni kawaida
@experiusmrefu1003
@experiusmrefu1003 2 жыл бұрын
Wivu tuu.
@kitengo1
@kitengo1 2 жыл бұрын
Kawaida sana hapo hakuna maajabu
@prospermoviesseries7352
@prospermoviesseries7352 4 жыл бұрын
SAFIII. TENGENEZA ULETEE WATOTO WETU WACHEZEE
@mashapromise3364
@mashapromise3364 Жыл бұрын
Anaye piga uyu dogo anitengenezee baskeli tu basi ata ubunifu ndogo naho nishida kuunga mpe sapoti yake alafu tuhone mafanikiyo
@Commentsplus
@Commentsplus 3 жыл бұрын
Saketi gani umebuni huo ni mfumo wa iveta bhana acheni ujinga
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 3 жыл бұрын
ww mwenye akili umetengeneza nn,?
@habibujuma2470
@habibujuma2470 4 жыл бұрын
Mimi kwa maoni yangu serekali yetu yatanzania ingefanya namna watu wenye uwezo kama hawa ingewasomesha badae wafanye kazi za serikali serikali siingeingiza hela hapa hapa kwa wananchi wake kuliko kusubiri wataalam nnje
@Commentsplus
@Commentsplus 3 жыл бұрын
Unapoteza muda bhna kawe kunamtu anatengeneza umeme wa sumaku afu wewe unatuletea maswala ya sola
@novathpanga8216
@novathpanga8216 3 жыл бұрын
Ndogo san hainatofauti inveter hyo
@wizydeko1496
@wizydeko1496 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/boqUaGxvmcaSZ7c hili balaa tazama
@Seleleko
@Seleleko Жыл бұрын
Millard Ayo Mimi huwa na shida na huyu mzee kzbin.info/www/bejne/b2SxiXuoaMurptE
@Commentsplus
@Commentsplus 3 жыл бұрын
Yani wewe nae unahoji vilaza sasa hapo ubunifu ni nini!!?
@davidmacha9215
@davidmacha9215 4 жыл бұрын
Kwa level yake kajitahid sana ila syo ety apelekwe china kusoma aje asaidie nchi hapo si sawa ,dogo asome afaulu vizur akajiunge na vyuo vy ufundi kwa level zingine then ata gundua mengi zaid kwa utindu wake
@jsmfarms71263
@jsmfarms71263 4 жыл бұрын
Bora wewe ndugu ulie gundua kwa level yake, hivi vitu vipo vyote kwenye physics na sio uvumbuzi , wahandisi waje hapa hivi ni vipo na sioaajabu labda kwa level yake , huezi sema huyo ni wakusaidia nchi serkali iliyo waajiri kusimamia miradi ya umeme ni ma Dr. Wahandisi kwenye electronics na hako aliko Fanya huyo ni ka part kadogo sana hata ukisoma introduction to electronics unakafanya
@ffrenktv5576
@ffrenktv5576 4 жыл бұрын
Atakae dislike kwel sômtanzania
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 20 МЛН
transistor checking
12:08
electronics help care
Рет қаралды 1,1 МЛН
COSTECH Wafanya Maonesho ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu
27:54
Global TV Online
Рет қаралды 2 М.