Nipeni like jaman wanao kubali kigoma mkoa wa vipaji
@MwlGano Жыл бұрын
Hiyo inaitwa inverter. Anaconvert dc kuwa AC
@eliarichard92184 жыл бұрын
lazima Mungu wetu alete watu wenye akiri Tanzania na Africa yote sisi tunaakili sema tyuu wakati ulikuwa bado huja fika sasa niwakati umefika siyo tyuu mataifa ya mbali ndiyo wana akiri ata sisi tuna akiri saanaa.tz and JPM.
@hysometyga9884 жыл бұрын
Big up 👊👊
@mrholela79064 жыл бұрын
Eeeh bwanaee Kigoma noumah
@faustinanyamtengera37764 жыл бұрын
Mungu awainue wengi na Vipaji hivi viendelezwe.
@msamgunda76842 ай бұрын
Huyu dogo ni mjanja sana,anajua jins ya kuwavutia watu.saf sana
@maikosamila71874 жыл бұрын
Important man , to the industry
@MelkisedekiSamson-kd7gw5 ай бұрын
Hawa vijana ili walete mantiki kwenye mataifa yetu lazima tuwatumie vizur,mfano huyu kwa uwezo wake inabidi aongeze maarifa yanayohusu kipaji chake,alafu atunzwe na serikali,na watafutwe watu wa Kariba yake wasome hata miaka mingi tu kisha wakiwa vizuri wakija nchini watengenezewe miundo mbinu yote,kisha wao ndio wawe wakufunzi ili kuleta mapinduzi ya viwanda la sivyo tutazikwa masikini na utajiri tunao mfukoni
Una akili sana dogo !? Tanesco wakakusomeshe nje ya nchi
@osamadanieli31983 жыл бұрын
Osama fodi_danielu
@khamisiddi5961 Жыл бұрын
Hiyo ni inverter acha ushamba ww
@isejemedia6760 Жыл бұрын
Sasa hiyo c ni Inveta
@abdallahsaid81573 жыл бұрын
MashaAllah!
@rayanwade83312 жыл бұрын
You prolly dont give a shit but does someone know of a trick to get back into an Instagram account? I stupidly lost my login password. I would appreciate any assistance you can give me
@kitengo12 жыл бұрын
Katengeneza inveter ya kawaida tu ila kaleta mbwembwe hionekane kama kitu cha tofauti
@fredialfredi202 Жыл бұрын
Tengeneza na wewe
@hallin95614 жыл бұрын
Viongoz wa Waafrica badala wawapeleke hawa watu wakapatr taaluma za juu zaid kuja kubadili nchi zetu lakin wanawapotezea. Watu kama akina castro walipoona watu wanaweza kufanya maajabu ya hivi wakawapeleka ulaya kujifua zaid na kurud nchini mwao na kufanya mambo makubwa ata kwa china ilikuwa ivyo
@peterrichman60752 жыл бұрын
Irf inafanya kazi gani
@mgedzirpm15413 жыл бұрын
Hiyo ni inverter broo! Hakuna ubunifu hapo,
@dullahtechtz34223 жыл бұрын
Kweli kaka
@frdchannel61893 жыл бұрын
Jamaa kawawez ni inverter..hii..ndomana alivyoulizwa umetengenezea nini transformer akaliruka swali.
@faraolion68224 жыл бұрын
Sawwa engineering
@meshackmedanny84834 жыл бұрын
Bob na wew yuo tube uta toboa baba
@husseinlatifa14434 жыл бұрын
Bongo bahati mbaya
@jsmfarms712634 жыл бұрын
Vitu vya kawaida kwenye umeme, walio soma physics na electronic mtanisaidia hapa , wa Tz wasije sema nini wivu
@hajilipotha96584 жыл бұрын
Hebu fanya ww tuone na physics yako
@jsmfarms712634 жыл бұрын
@@hajilipotha9658 watu wenye mawazo kama yako ndo nilikua siwataki kwenye comment yangu, hiyo kitu ni inafanyika sana na kitu alicho Fanya kwenye solar power hua tunafunga inverter kutokana na ghalama , then hizo transformer chocheo na pozo kwa Tz ni Mali ya shilika la TAnesco huruhusiwi kumiliki hiyo kitu, badilika acha kugandisha akili yako
@immslucas4 жыл бұрын
Fanya na wewe tuone Kama ni kawaida
@experiusmrefu10032 жыл бұрын
Wivu tuu.
@kitengo12 жыл бұрын
Kawaida sana hapo hakuna maajabu
@prospermoviesseries73524 жыл бұрын
SAFIII. TENGENEZA ULETEE WATOTO WETU WACHEZEE
@mashapromise3364 Жыл бұрын
Anaye piga uyu dogo anitengenezee baskeli tu basi ata ubunifu ndogo naho nishida kuunga mpe sapoti yake alafu tuhone mafanikiyo
@Commentsplus3 жыл бұрын
Saketi gani umebuni huo ni mfumo wa iveta bhana acheni ujinga
@dickchambilo91383 жыл бұрын
ww mwenye akili umetengeneza nn,?
@habibujuma24704 жыл бұрын
Mimi kwa maoni yangu serekali yetu yatanzania ingefanya namna watu wenye uwezo kama hawa ingewasomesha badae wafanye kazi za serikali serikali siingeingiza hela hapa hapa kwa wananchi wake kuliko kusubiri wataalam nnje
@Commentsplus3 жыл бұрын
Unapoteza muda bhna kawe kunamtu anatengeneza umeme wa sumaku afu wewe unatuletea maswala ya sola
@novathpanga82163 жыл бұрын
Ndogo san hainatofauti inveter hyo
@wizydeko14964 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/boqUaGxvmcaSZ7c hili balaa tazama
@Seleleko Жыл бұрын
Millard Ayo Mimi huwa na shida na huyu mzee kzbin.info/www/bejne/b2SxiXuoaMurptE
@Commentsplus3 жыл бұрын
Yani wewe nae unahoji vilaza sasa hapo ubunifu ni nini!!?
@davidmacha92154 жыл бұрын
Kwa level yake kajitahid sana ila syo ety apelekwe china kusoma aje asaidie nchi hapo si sawa ,dogo asome afaulu vizur akajiunge na vyuo vy ufundi kwa level zingine then ata gundua mengi zaid kwa utindu wake
@jsmfarms712634 жыл бұрын
Bora wewe ndugu ulie gundua kwa level yake, hivi vitu vipo vyote kwenye physics na sio uvumbuzi , wahandisi waje hapa hivi ni vipo na sioaajabu labda kwa level yake , huezi sema huyo ni wakusaidia nchi serkali iliyo waajiri kusimamia miradi ya umeme ni ma Dr. Wahandisi kwenye electronics na hako aliko Fanya huyo ni ka part kadogo sana hata ukisoma introduction to electronics unakafanya