Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
@imeldasamwel5392 жыл бұрын
Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana
@bakariathumani81052 жыл бұрын
Yani wanaweza kumpeleka pasipojulikana
@alexmmary17412 жыл бұрын
Ni kama nn nimelia sana MACHOZI yananitoka pia
@michaelbenedict12002 жыл бұрын
Nimelia pia kiukweli kiubinadamu amenigusa🥲🥲
@sumayananabintimusa63212 жыл бұрын
@@bakariathumani8105 😀😂😂😂😂
@amosikaminyoge85502 жыл бұрын
Dar
@farajafaraja34942 жыл бұрын
Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA
@wycliffeaoro98652 жыл бұрын
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
@hoseamgabo48862 жыл бұрын
😂From Mombasa tena
@mosseskanini2552 жыл бұрын
Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣
@ghatilucas77092 жыл бұрын
Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️
@gracejulius39662 жыл бұрын
Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.
@wycliffeaoro98652 жыл бұрын
Grace julius, thanks for the interpretation
@joysoka35752 жыл бұрын
Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
@mohammediddi53852 жыл бұрын
He’s talented boy 1/technology 2/presenters 3/journalists Tanzania 🇹🇿 got talent
@omaradan34422 жыл бұрын
Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?
@mohammediddi53852 жыл бұрын
@@omaradan3442 😳😳
@omaradan34422 жыл бұрын
You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga
@jsamtz44602 жыл бұрын
Umeamua uongee cha st......
@mohammediddi53852 жыл бұрын
@@jsamtz4460 nothing
@KibweOnlineTv2 жыл бұрын
Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️
@Zurushylab2 жыл бұрын
Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania.. (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@cosmasmbugi85702 жыл бұрын
.sanaa
@kingelishathomasonline48422 жыл бұрын
@@Zurushylab Kabisa
@dianashautiel70992 жыл бұрын
Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏
@mdentertainmenttz1242 жыл бұрын
Serikali imeshamuona Mungu Ni mwema
@ariseinspiration2 жыл бұрын
Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha
@alimondbenson17512 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania
@audaxbizimana80842 жыл бұрын
Iwachu Raha Sana kigoma Ina talents za kutosha
@ahmadisaidi39522 жыл бұрын
Tupo pmj
@issamanyota2 жыл бұрын
Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿
@MRST_16622 жыл бұрын
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
@Kiluviadreadlocs2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rGPCqaqkpbp7ZpI
@faza40232 жыл бұрын
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
@experiusmrefu10032 жыл бұрын
Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.
@matipashankanawaaooo11992 жыл бұрын
Hii nch yan jamani huyu dogo angeitwa ikulu
@necromanger2722 жыл бұрын
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man
@listerlujiso60092 жыл бұрын
Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen
@KATOPE12 жыл бұрын
Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba
@listerlujiso60092 жыл бұрын
@@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa
@KATOPE12 жыл бұрын
@@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu
@listerlujiso60092 жыл бұрын
@@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr
@muhammadsalim13012 жыл бұрын
kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.
@gapablessgadison68632 жыл бұрын
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
@africangoldenmusic80612 жыл бұрын
Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro
@muzihiljabili3402 жыл бұрын
Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏
@uzungupoint2 жыл бұрын
Amina sana 🙏
@piusmdoe80942 жыл бұрын
Hakika na iwe hivyo
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
Amiin
@mussayombo23112 жыл бұрын
Hongera Sana bwana Zuberi. Ni Jambo la kujivunia Sana kuwa na watu wabunifu Kama wewe.Ifikie muda uwepo Uhuru wa kujitengenezea vitu vya kiteknolojia wenyewe ,siyo MTU anakuwa ametawaliwa na hofu ya Kukamatwa.Haya Mambo tusikaririshane kuwa ni ya wazungu tu.Big up Sana bwana!
@sometimes56212 жыл бұрын
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
@Commentsplus2 жыл бұрын
Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa
@GloriousRestorationTV2 жыл бұрын
@@Commentsplus Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....
@Shokolokobango93852 жыл бұрын
@@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea
@magafootball65692 жыл бұрын
@@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee
@abdalahsambala66672 жыл бұрын
@@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150
@maarufumusic2 жыл бұрын
Hii ni Moja kubwa .....,this guy is blessed...n inshAllah mola ataazijidi kumshushia ujuzi zaidi
@khadijaali46572 жыл бұрын
Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
mashaAllah hongera sana kijana...kama nawe umemkubali gonga like tuende sawa
@jacksonmakariusmac88462 жыл бұрын
God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning
@captenndunga67452 жыл бұрын
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
@northfixtz2 жыл бұрын
Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..
@honorascusmatembe2987 Жыл бұрын
This what we need in Tanzania 🇹🇿 ongera sana dogo serikali na watu muliopiga atua mbele kidogo ndo wakati wetu Sasa wa kuendeleza vipaji vya watanzania
@hamadsuleiman51772 жыл бұрын
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni
@alexwailod55892 жыл бұрын
Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!
@swaumdodoma75912 жыл бұрын
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
@MuedasomosnosMML2 жыл бұрын
Hongera Sana rafiki I'm boy from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba like kwake
@monicamagesa85712 жыл бұрын
Mungu akutanguliye na akukutanishe na watu sahihi wakukuinua na kukupa support ili uzidi kuwa viwango vya juu, na ufike mahala ambapo Mungu amekukusudia, wewe umebarikiwa sana na Mungu juu ya vipaji vyako ila muombe Mungu akukutanishe na yule atakayekuvusha ili usonge mbele na ukafanikiwe zaidi na zaidi, uje kuwa mtengenezaji wa hapa nchini. Hongera sanaaa kijana.
Naomba serikali imchukue huyu dogo aingie kwenye jeshi kule aje ajikite na maswala ya mawasiliano tu 🙏🙏🙏🙏🙌
@uzungupoint2 жыл бұрын
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
@khalfanseiph4912 жыл бұрын
Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana
@fatumasirakwi37002 жыл бұрын
@@khalfanseiph491 Changamoto kivip
@sudymgeni7012 жыл бұрын
Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia
@rosemaryjanuary71462 жыл бұрын
Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo
@frankbinadola58162 жыл бұрын
More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏
@machalilajulius6882 жыл бұрын
Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea
@hamidayanga82242 жыл бұрын
Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥
@sadatamal36552 жыл бұрын
Kwakweli acha tujivunie kigoma yetu
@sinarahaissa79272 жыл бұрын
Ofcourse hujakosea
@neemaneema99692 жыл бұрын
Kabisaa
@kassioothemiracle16882 жыл бұрын
Kabisa
@selemanihussein78732 жыл бұрын
Nikweli
@winterkasela90332 жыл бұрын
Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali
@denicegabriel66162 жыл бұрын
Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢
@rebecashao7982 жыл бұрын
Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
@@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli
@djgthehotstepper2 жыл бұрын
genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@pillykinabo87222 жыл бұрын
Hongera sana dogo, wewe ni kipaji sana, Mungu akusimamie
@nth35122 жыл бұрын
Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH
@jumapiliissa48352 жыл бұрын
Hongera sana dogo m/mungu akuzidishie kipaji zaidi ili ufikembali selikali mumuwezeshe kijana afike mbali
@bakarimohammed98512 жыл бұрын
Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌
@roselinemoshi50082 жыл бұрын
Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍
@Witnessvlog2 жыл бұрын
He is intellegent. Nasikitika kwamba kwa nchi yangu Tz hawatamchukulia serious. Inahuzunisha huyu tukimtumia vizuri he is the next big thing. Ubaya ni kwamba udaku Tz ndo unakua entertained kuliko vitu vya maana hii
@johnsegeja17172 жыл бұрын
Nu
@songamberetv22192 жыл бұрын
Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani
@KATOPE12 жыл бұрын
Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana
@abdulabdallah96882 жыл бұрын
Waambie kuongea umbea tu
@nurathkhamiss59252 жыл бұрын
Ndo apo sasa
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Naapo kaishia darasa la sita tu
@yahyakigezi1202 жыл бұрын
Hongera sana na ongeza bidii pia mungu akujalie ufike mbali
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Awesome awesome awesome duh😍💕🔨🔨congratulations
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Maskini mungu ampe maisha marefu.serkal mumsamee kwakweli.
@Ashelymhangazo2 жыл бұрын
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
@mdta81612 жыл бұрын
Mashallah upo vizuri sana mdogo wangu mungu hazidi kukuinua zaidi na zaidi
@katore19822 жыл бұрын
Masha Allah tabarakaAllahfi....angeiondoa hio picha kubwa ukutani ambayo inaashiria mungu wakihindi kama Shree
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania
@jsamtz44602 жыл бұрын
Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi
@arafakiloli7492 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akuhifadhi akujaaliye utimize ndoto zako.
@bensonbenezeth2 жыл бұрын
Hongera Sana Unajua, Serikali sidhani kama utaweza kukusaidia zaidi ya kukurudisha Veta, Wadau mnaopenda maendeleo Msaidieni Dogo a najua.
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Waache kupeana wao mihela
@mwanahawaayoub66472 жыл бұрын
Kuna watu wamezaliwa na vibaji jmn daaaa hongera mungu akuzidishie
@berthamakortha83872 жыл бұрын
Congratulations kijana. Siio mchezooo. Serikariii walitambue hilooo. Kijana. Amejitahidii sana
@meggygitau40792 жыл бұрын
Hongera sana, very Genius and creative Mungu azidi kukuongoza 🙏
@user-hn1dg2cu9f5 ай бұрын
Ongera sana kijana munguakunyeshee njia na njia ndoto zako zizid kutimia
@aloyceooga2 жыл бұрын
Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up
@fredntibigerayo78902 жыл бұрын
KWELI!! hawavumi lakini wapo. Mungu akupe afya, utafanya makubwa zaidi
@zainabkazige73882 жыл бұрын
Hadi raha yani, Mungu azidi kukusogeza mbele na kukubariki🙏💪
@jamiiredio91.0turkana2 жыл бұрын
Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.
@hamidusibye52412 жыл бұрын
SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH
@nahanakadiri39692 жыл бұрын
Hongera dogo fro Kigoma,kweli icho ni kipaji kutoka kwa MUNGU maana ata co km ni msomi xanaa, MUNGU akubariki na serikali imtazame kwa jicho la tatu
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
@ladymzana45112 жыл бұрын
Amewahi kutengeneza pikipiki, amewahi kutengeneza bajaji, amewahi kutengeneza jiko la kutumia umeme wa jua,na sasa ametengeneza kituo cha radio kinaitwa Kigoma fm, huyu kijana kama Serikali ikimsaidia au matajiri wakimsaidia kuinua vipaji vyake hivi vinne, atakuwa tajiri sana miaka ijayo, na pia atainua serikali kwa kazi zake hizi.
@alialimohamed12432 жыл бұрын
🙏 nimeguswa na comment yako.shida ipo nani wa kutoa tongo usoni?hapa ndio napopata ukakasi.serikali yenyewe inataka kutolewa tongo usoni kikubwa ni sie watanzania kama kweli tupo tayari tuanzisheni platform ya kuwasaidia watu hawa wenye vipaji
@mshanatheblacksmith2 жыл бұрын
Hiki siyo kitu kdogo kdogo wangu watamzania tunatakiw tuachi kuwasifia wazungu wanaakili Sana na kujifanya hatuoni watoto na wadogo zetu wataopondua maendeleo ya dunia dogo anaitaji sapoti yetu east Africa ndo wakwanza kufanya kitu hiki Kwa uwezo binafsi Africa we can do it
@issakellykalonji88792 жыл бұрын
BIG TELENTED ✌️✌️✌️🔥 GOD BLESS U MY YOUNG BROOH
@kaittheleast2 жыл бұрын
Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊
@yahayamaulana15612 жыл бұрын
Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli
@issayajackson3602 жыл бұрын
Hahaha mwenewachu
@kaittheleast2 жыл бұрын
@@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂
@kaittheleast2 жыл бұрын
@@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂
@issayajackson3602 жыл бұрын
@@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Big up dogo!! Halafu TCRA waje na viingereza vyao na mkwara mzito ukiwauliza wenyewe wamegundua nini jibu hakuna!! Hao wanaokuponda achana nao, wabongo siku zote Wana roho za korosho, we piga Kazi dogo!
@charlesrongo36152 жыл бұрын
TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.
@lovenoor9882 жыл бұрын
Tanzania tuna hitaji vijana kama hawa Good job bro Mungu akutangulie ufike mbali zaid ya hapo
@marynyabenda44142 жыл бұрын
Daaaaah🙌🙌🙌🙌, mungu akufungulie mlango wa mafanikio jaman😭
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Amina Nikweli kbs
@kingelishathomasonline48422 жыл бұрын
So amaizing talented boy,tunaomba serikal imsupport kijana mwenzetu 💥💪
@shyfettymtunda46192 жыл бұрын
Dah!!Kipaji kinapotea tu bure,ungekuwa ulaya wewe kijana kipaji kingeendelezwa.Ila nakutakia kila la kheri,njia za mafanikio zifunguke kwako!!!
@vbnmmnbv52922 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akujalie zaidi inshallah
@edwriter2 жыл бұрын
Uyu jamaa ni Genius🙌
@babilonkiller11612 жыл бұрын
Tisha mbaya
@narymwamba77232 жыл бұрын
Aiseee we jamaa nouma Sana ...hongera mnoo duu🙌🙌
@listerlujiso60092 жыл бұрын
Pia Nimependa Anavyojiamini Alafu Hana Hofu Ata Kidogo Aisee Mungu Ni Mwema Kila Wakati
@eshemagai41912 жыл бұрын
Amen
@listerlujiso60092 жыл бұрын
@@eshemagai4191 Amen
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Akika Mungu atakufikisha mbalii na sehem unayostahilli dam yanguu 🎉🍾⛲🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mnyongeiddi24542 жыл бұрын
Huyu dogo wa muboreshee elimu ni hazina kubwa sana katika taifa selikar imusaidie sana
@africanproudly40042 жыл бұрын
Si kila kitu kina huitaji uende darasani tumeumbwa na maarifa ndani yetu yeye kajua kuyatumia yale maarifa tulopewa
@sultansaid9922 жыл бұрын
Allah mjalie mama samia afikirie hivindivyo vipaji vinavyo itajika kusaidiwa
@totoclass24702 жыл бұрын
Hongera bro mwenyezi mungu hakujalie upate Itaji lako
@justinegerald50952 жыл бұрын
Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu
@michaeljm27392 жыл бұрын
Ongera sana kaka Mungu Atakusahidiya kwakipaji ulicho Nacho🙏🙏
@F.DYoungDavo2 жыл бұрын
He need to be supported to progress his dreams his talented
@frankmwinuka62982 жыл бұрын
Sidhani kama atatoboa hapa bongo maana yupo aliyetengenezahelkopta mpaka leo sijui alipo ana hali gani