DOGO MTANZANIA ATENGENEZA KITUO CHA RADIO KIGOMA, KINASIKIKA LIVE MTAANI "TCRA MNISAMEHE KWA HILI"

  Рет қаралды 480,820

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 100
@denisjr11media21
@denisjr11media21 2 жыл бұрын
Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 2 жыл бұрын
Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana
@bakariathumani8105
@bakariathumani8105 2 жыл бұрын
Yani wanaweza kumpeleka pasipojulikana
@alexmmary1741
@alexmmary1741 2 жыл бұрын
Ni kama nn nimelia sana MACHOZI yananitoka pia
@michaelbenedict1200
@michaelbenedict1200 2 жыл бұрын
Nimelia pia kiukweli kiubinadamu amenigusa🥲🥲
@sumayananabintimusa6321
@sumayananabintimusa6321 2 жыл бұрын
@@bakariathumani8105 😀😂😂😂😂
@amosikaminyoge8550
@amosikaminyoge8550 2 жыл бұрын
Dar
@farajafaraja3494
@farajafaraja3494 2 жыл бұрын
Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA
@wycliffeaoro9865
@wycliffeaoro9865 2 жыл бұрын
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
@hoseamgabo4886
@hoseamgabo4886 2 жыл бұрын
😂From Mombasa tena
@mosseskanini255
@mosseskanini255 2 жыл бұрын
Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣
@ghatilucas7709
@ghatilucas7709 2 жыл бұрын
Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 жыл бұрын
Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.
@wycliffeaoro9865
@wycliffeaoro9865 2 жыл бұрын
Grace julius, thanks for the interpretation
@joysoka3575
@joysoka3575 2 жыл бұрын
Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
He’s talented boy 1/technology 2/presenters 3/journalists Tanzania 🇹🇿 got talent
@omaradan3442
@omaradan3442 2 жыл бұрын
Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
@@omaradan3442 😳😳
@omaradan3442
@omaradan3442 2 жыл бұрын
You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga
@jsamtz4460
@jsamtz4460 2 жыл бұрын
Umeamua uongee cha st......
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
@@jsamtz4460 nothing
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 2 жыл бұрын
Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️
@Zurushylab
@Zurushylab 2 жыл бұрын
Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania.. (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 2 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@cosmasmbugi8570
@cosmasmbugi8570 2 жыл бұрын
.sanaa
@kingelishathomasonline4842
@kingelishathomasonline4842 2 жыл бұрын
@@Zurushylab Kabisa
@dianashautiel7099
@dianashautiel7099 2 жыл бұрын
Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏
@mdentertainmenttz124
@mdentertainmenttz124 2 жыл бұрын
Serikali imeshamuona Mungu Ni mwema
@ariseinspiration
@ariseinspiration 2 жыл бұрын
Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha
@alimondbenson1751
@alimondbenson1751 2 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 жыл бұрын
Iwachu Raha Sana kigoma Ina talents za kutosha
@ahmadisaidi3952
@ahmadisaidi3952 2 жыл бұрын
Tupo pmj
@issamanyota
@issamanyota 2 жыл бұрын
Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿
@MRST_1662
@MRST_1662 2 жыл бұрын
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
@Kiluviadreadlocs
@Kiluviadreadlocs 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rGPCqaqkpbp7ZpI
@faza4023
@faza4023 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
@experiusmrefu1003
@experiusmrefu1003 2 жыл бұрын
Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.
@matipashankanawaaooo1199
@matipashankanawaaooo1199 2 жыл бұрын
Hii nch yan jamani huyu dogo angeitwa ikulu
@necromanger272
@necromanger272 2 жыл бұрын
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
@@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
@@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
@@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr
@muhammadsalim1301
@muhammadsalim1301 2 жыл бұрын
kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.
@gapablessgadison6863
@gapablessgadison6863 2 жыл бұрын
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
@africangoldenmusic8061
@africangoldenmusic8061 2 жыл бұрын
Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro
@muzihiljabili340
@muzihiljabili340 2 жыл бұрын
Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Amina sana 🙏
@piusmdoe8094
@piusmdoe8094 2 жыл бұрын
Hakika na iwe hivyo
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Amiin
@mussayombo2311
@mussayombo2311 2 жыл бұрын
Hongera Sana bwana Zuberi. Ni Jambo la kujivunia Sana kuwa na watu wabunifu Kama wewe.Ifikie muda uwepo Uhuru wa kujitengenezea vitu vya kiteknolojia wenyewe ,siyo MTU anakuwa ametawaliwa na hofu ya Kukamatwa.Haya Mambo tusikaririshane kuwa ni ya wazungu tu.Big up Sana bwana!
@sometimes5621
@sometimes5621 2 жыл бұрын
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 жыл бұрын
@@Commentsplus Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 жыл бұрын
@@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea
@magafootball6569
@magafootball6569 2 жыл бұрын
@@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee
@abdalahsambala6667
@abdalahsambala6667 2 жыл бұрын
@@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150
@maarufumusic
@maarufumusic 2 жыл бұрын
Hii ni Moja kubwa .....,this guy is blessed...n inshAllah mola ataazijidi kumshushia ujuzi zaidi
@khadijaali4657
@khadijaali4657 2 жыл бұрын
Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
mashaAllah hongera sana kijana...kama nawe umemkubali gonga like tuende sawa
@jacksonmakariusmac8846
@jacksonmakariusmac8846 2 жыл бұрын
God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
@northfixtz
@northfixtz 2 жыл бұрын
Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..
@honorascusmatembe2987
@honorascusmatembe2987 Жыл бұрын
This what we need in Tanzania 🇹🇿 ongera sana dogo serikali na watu muliopiga atua mbele kidogo ndo wakati wetu Sasa wa kuendeleza vipaji vya watanzania
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 жыл бұрын
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 жыл бұрын
Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni
@alexwailod5589
@alexwailod5589 2 жыл бұрын
Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 жыл бұрын
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
@MuedasomosnosMML
@MuedasomosnosMML 2 жыл бұрын
Hongera Sana rafiki I'm boy from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba like kwake
@monicamagesa8571
@monicamagesa8571 2 жыл бұрын
Mungu akutanguliye na akukutanishe na watu sahihi wakukuinua na kukupa support ili uzidi kuwa viwango vya juu, na ufike mahala ambapo Mungu amekukusudia, wewe umebarikiwa sana na Mungu juu ya vipaji vyako ila muombe Mungu akukutanishe na yule atakayekuvusha ili usonge mbele na ukafanikiwe zaidi na zaidi, uje kuwa mtengenezaji wa hapa nchini. Hongera sanaaa kijana.
@hassanamran3637
@hassanamran3637 2 жыл бұрын
Tukubali tukatae wa2 wakigoma 2navipaji vingiiii👏👏👏👏
@mwigakatumpula6852
@mwigakatumpula6852 2 жыл бұрын
Naomba serikali imchukue huyu dogo aingie kwenye jeshi kule aje ajikite na maswala ya mawasiliano tu 🙏🙏🙏🙏🙌
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
@khalfanseiph491
@khalfanseiph491 2 жыл бұрын
Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana
@fatumasirakwi3700
@fatumasirakwi3700 2 жыл бұрын
@@khalfanseiph491 Changamoto kivip
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 жыл бұрын
Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia
@rosemaryjanuary7146
@rosemaryjanuary7146 2 жыл бұрын
Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo
@frankbinadola5816
@frankbinadola5816 2 жыл бұрын
More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏
@machalilajulius688
@machalilajulius688 2 жыл бұрын
Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥
@sadatamal3655
@sadatamal3655 2 жыл бұрын
Kwakweli acha tujivunie kigoma yetu
@sinarahaissa7927
@sinarahaissa7927 2 жыл бұрын
Ofcourse hujakosea
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 жыл бұрын
Kabisaa
@kassioothemiracle1688
@kassioothemiracle1688 2 жыл бұрын
Kabisa
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 2 жыл бұрын
Nikweli
@winterkasela9033
@winterkasela9033 2 жыл бұрын
Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali
@denicegabriel6616
@denicegabriel6616 2 жыл бұрын
Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢
@rebecashao798
@rebecashao798 2 жыл бұрын
Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli
@djgthehotstepper
@djgthehotstepper 2 жыл бұрын
genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@pillykinabo8722
@pillykinabo8722 2 жыл бұрын
Hongera sana dogo, wewe ni kipaji sana, Mungu akusimamie
@nth3512
@nth3512 2 жыл бұрын
Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
Hongera sana dogo m/mungu akuzidishie kipaji zaidi ili ufikembali selikali mumuwezeshe kijana afike mbali
@bakarimohammed9851
@bakarimohammed9851 2 жыл бұрын
Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌
@roselinemoshi5008
@roselinemoshi5008 2 жыл бұрын
Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍
@Witnessvlog
@Witnessvlog 2 жыл бұрын
He is intellegent. Nasikitika kwamba kwa nchi yangu Tz hawatamchukulia serious. Inahuzunisha huyu tukimtumia vizuri he is the next big thing. Ubaya ni kwamba udaku Tz ndo unakua entertained kuliko vitu vya maana hii
@johnsegeja1717
@johnsegeja1717 2 жыл бұрын
Nu
@songamberetv2219
@songamberetv2219 2 жыл бұрын
Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana
@abdulabdallah9688
@abdulabdallah9688 2 жыл бұрын
Waambie kuongea umbea tu
@nurathkhamiss5925
@nurathkhamiss5925 2 жыл бұрын
Ndo apo sasa
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 жыл бұрын
Naapo kaishia darasa la sita tu
@yahyakigezi120
@yahyakigezi120 2 жыл бұрын
Hongera sana na ongeza bidii pia mungu akujalie ufike mbali
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Awesome awesome awesome duh😍💕🔨🔨congratulations
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 2 жыл бұрын
Maskini mungu ampe maisha marefu.serkal mumsamee kwakweli.
@Ashelymhangazo
@Ashelymhangazo 2 жыл бұрын
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
Mashallah upo vizuri sana mdogo wangu mungu hazidi kukuinua zaidi na zaidi
@katore1982
@katore1982 2 жыл бұрын
Masha Allah tabarakaAllahfi....angeiondoa hio picha kubwa ukutani ambayo inaashiria mungu wakihindi kama Shree
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania
@jsamtz4460
@jsamtz4460 2 жыл бұрын
Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Mashaa Allah Allah akuhifadhi akujaaliye utimize ndoto zako.
@bensonbenezeth
@bensonbenezeth 2 жыл бұрын
Hongera Sana Unajua, Serikali sidhani kama utaweza kukusaidia zaidi ya kukurudisha Veta, Wadau mnaopenda maendeleo Msaidieni Dogo a najua.
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Waache kupeana wao mihela
@mwanahawaayoub6647
@mwanahawaayoub6647 2 жыл бұрын
Kuna watu wamezaliwa na vibaji jmn daaaa hongera mungu akuzidishie
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 жыл бұрын
Congratulations kijana. Siio mchezooo. Serikariii walitambue hilooo. Kijana. Amejitahidii sana
@meggygitau4079
@meggygitau4079 2 жыл бұрын
Hongera sana, very Genius and creative Mungu azidi kukuongoza 🙏
@user-hn1dg2cu9f
@user-hn1dg2cu9f 5 ай бұрын
Ongera sana kijana munguakunyeshee njia na njia ndoto zako zizid kutimia
@aloyceooga
@aloyceooga 2 жыл бұрын
Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up
@fredntibigerayo7890
@fredntibigerayo7890 2 жыл бұрын
KWELI!! hawavumi lakini wapo. Mungu akupe afya, utafanya makubwa zaidi
@zainabkazige7388
@zainabkazige7388 2 жыл бұрын
Hadi raha yani, Mungu azidi kukusogeza mbele na kukubariki🙏💪
@jamiiredio91.0turkana
@jamiiredio91.0turkana 2 жыл бұрын
Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.
@hamidusibye5241
@hamidusibye5241 2 жыл бұрын
SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Hongera dogo fro Kigoma,kweli icho ni kipaji kutoka kwa MUNGU maana ata co km ni msomi xanaa, MUNGU akubariki na serikali imtazame kwa jicho la tatu
@castobenjamin4074
@castobenjamin4074 2 жыл бұрын
Wazungu wakimjua huyo dogo watamuiba wampeleke kwaoo😂😂🤗🤗
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Ndio kabisa lakini kwa sisi tcra watamkamata kwa kufungua redio kinyume Cha sheria
@hashimrweabula9
@hashimrweabula9 2 жыл бұрын
Umeonaaeee tz vipaji vipoo ilaa ndohvyoo kuenderezwa zsid ndohvyoo
@hanirashuwesu4239
@hanirashuwesu4239 2 жыл бұрын
Wamchukue tu😂
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 2 жыл бұрын
Wamchukuwe
@abdulrazakhassanor498
@abdulrazakhassanor498 2 жыл бұрын
@@hanirashuwesu4239 hahahhaah!!!watu wamekata tamaa
@denisjr11media21
@denisjr11media21 2 жыл бұрын
Mmmmh uyuu chalii mi mjanja mnoo Mwenyenzi munguu ambaeikii katika maisha yakee
@lancemulaki5132
@lancemulaki5132 2 жыл бұрын
Big up kijana pambana dogo hulu Bashu wa TAMISE kafanyake. Hamna aja yakwenda schl
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Yan tanzania tupo vzr jaman Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata Mungu ibarik 🇹🇿 yangu Inshallah Utafika mbali kijana
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 жыл бұрын
Hongera sana mkuu Mungu atutangulie Kakaa
@allyadam9586
@allyadam9586 2 жыл бұрын
Super talented guy...he managed all systems with a single brain, waooh. Amaizing ivan
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 жыл бұрын
Woow amazing saana dogo katisha pig up saana kwake 🙌🙌🇶🇦🇹🇿
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
Kijana hongera sana nakuombea kwa Mungu ufike mbali sana
@rizikikasongo4388
@rizikikasongo4388 2 жыл бұрын
The boy needs a proper support bcs he has a beautiful talent. Guys go and support this boy
@maarifatv4778
@maarifatv4778 2 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi kijana wetu tunajivunia kuzaliwa kigoma tunajivunia kuzaliwa Ujiji
@majaliwa_tz5004
@majaliwa_tz5004 2 жыл бұрын
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
@ladymzana4511
@ladymzana4511 2 жыл бұрын
Amewahi kutengeneza pikipiki, amewahi kutengeneza bajaji, amewahi kutengeneza jiko la kutumia umeme wa jua,na sasa ametengeneza kituo cha radio kinaitwa Kigoma fm, huyu kijana kama Serikali ikimsaidia au matajiri wakimsaidia kuinua vipaji vyake hivi vinne, atakuwa tajiri sana miaka ijayo, na pia atainua serikali kwa kazi zake hizi.
@alialimohamed1243
@alialimohamed1243 2 жыл бұрын
🙏 nimeguswa na comment yako.shida ipo nani wa kutoa tongo usoni?hapa ndio napopata ukakasi.serikali yenyewe inataka kutolewa tongo usoni kikubwa ni sie watanzania kama kweli tupo tayari tuanzisheni platform ya kuwasaidia watu hawa wenye vipaji
@mshanatheblacksmith
@mshanatheblacksmith 2 жыл бұрын
Hiki siyo kitu kdogo kdogo wangu watamzania tunatakiw tuachi kuwasifia wazungu wanaakili Sana na kujifanya hatuoni watoto na wadogo zetu wataopondua maendeleo ya dunia dogo anaitaji sapoti yetu east Africa ndo wakwanza kufanya kitu hiki Kwa uwezo binafsi Africa we can do it
@issakellykalonji8879
@issakellykalonji8879 2 жыл бұрын
BIG TELENTED ✌️✌️✌️🔥 GOD BLESS U MY YOUNG BROOH
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊
@yahayamaulana1561
@yahayamaulana1561 2 жыл бұрын
Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli
@issayajackson360
@issayajackson360 2 жыл бұрын
Hahaha mwenewachu
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
@@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
@@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂
@issayajackson360
@issayajackson360 2 жыл бұрын
@@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Big up dogo!! Halafu TCRA waje na viingereza vyao na mkwara mzito ukiwauliza wenyewe wamegundua nini jibu hakuna!! Hao wanaokuponda achana nao, wabongo siku zote Wana roho za korosho, we piga Kazi dogo!
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 2 жыл бұрын
TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.
@lovenoor988
@lovenoor988 2 жыл бұрын
Tanzania tuna hitaji vijana kama hawa Good job bro Mungu akutangulie ufike mbali zaid ya hapo
@marynyabenda4414
@marynyabenda4414 2 жыл бұрын
Daaaaah🙌🙌🙌🙌, mungu akufungulie mlango wa mafanikio jaman😭
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Amina Nikweli kbs
@kingelishathomasonline4842
@kingelishathomasonline4842 2 жыл бұрын
So amaizing talented boy,tunaomba serikal imsupport kijana mwenzetu 💥💪
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 жыл бұрын
Dah!!Kipaji kinapotea tu bure,ungekuwa ulaya wewe kijana kipaji kingeendelezwa.Ila nakutakia kila la kheri,njia za mafanikio zifunguke kwako!!!
@vbnmmnbv5292
@vbnmmnbv5292 2 жыл бұрын
Hongera sana Mungu akujalie zaidi inshallah
@edwriter
@edwriter 2 жыл бұрын
Uyu jamaa ni Genius🙌
@babilonkiller1161
@babilonkiller1161 2 жыл бұрын
Tisha mbaya
@narymwamba7723
@narymwamba7723 2 жыл бұрын
Aiseee we jamaa nouma Sana ...hongera mnoo duu🙌🙌
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
Pia Nimependa Anavyojiamini Alafu Hana Hofu Ata Kidogo Aisee Mungu Ni Mwema Kila Wakati
@eshemagai4191
@eshemagai4191 2 жыл бұрын
Amen
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
@@eshemagai4191 Amen
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Akika Mungu atakufikisha mbalii na sehem unayostahilli dam yanguu 🎉🍾⛲🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 жыл бұрын
Huyu dogo wa muboreshee elimu ni hazina kubwa sana katika taifa selikar imusaidie sana
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Si kila kitu kina huitaji uende darasani tumeumbwa na maarifa ndani yetu yeye kajua kuyatumia yale maarifa tulopewa
@sultansaid992
@sultansaid992 2 жыл бұрын
Allah mjalie mama samia afikirie hivindivyo vipaji vinavyo itajika kusaidiwa
@totoclass2470
@totoclass2470 2 жыл бұрын
Hongera bro mwenyezi mungu hakujalie upate Itaji lako
@justinegerald5095
@justinegerald5095 2 жыл бұрын
Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu
@michaeljm2739
@michaeljm2739 2 жыл бұрын
Ongera sana kaka Mungu Atakusahidiya kwakipaji ulicho Nacho🙏🙏
@F.DYoungDavo
@F.DYoungDavo 2 жыл бұрын
He need to be supported to progress his dreams his talented
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 2 жыл бұрын
Sidhani kama atatoboa hapa bongo maana yupo aliyetengenezahelkopta mpaka leo sijui alipo ana hali gani
@josaphatlukwaro2378
@josaphatlukwaro2378 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@wilfredroberttv841
@wilfredroberttv841 2 жыл бұрын
Mungu hakuinue viwango vya juu sio kazi rahisi
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 47 МЛН
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 16 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 838 М.
KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
8:38
Mwananchi Digital
Рет қаралды 383 М.
HUKUMU YA MUZIKI
19:37
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 130 М.