Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 33
@stonetown5782 ай бұрын
SubhanaAllah, Allah atamhidi wazazi dua'a muhimu kwa watoto wetu.
@bintsalimalbimany287Ай бұрын
Maskin Mtoto mzur Mashallah Ni uoga wazaz tupunguze ukali Kwa watoto wetu ili ikitokezea Mtoto kafanya kosa akiogope kukimbia jaman Amenitilisha huruma Maskin 😭😭😭Allah akuhifadhi Habiby😭😭😭🤲
@user-nk3dp9cv9c2 ай бұрын
Pole sana dada yetu hii ni Moja ktk changamoto au mtihani Allah aliokupatia, lkn tue wapole pale watoto wanapokosea, tuwafunze kiutaratibu n kutumia maneno yakibusara ambayo hayatvunja moto Wala kutaka kufanya jambo baya zaidi ya Hilo ,Allah akupe nguvi zakuutunza ulezi wako
@sadahamad61582 ай бұрын
Jaman mtoto mzuri usikimbie tena nyumbani sawa
@kadijahajali39182 ай бұрын
Hii
@mwanakombopopo51172 ай бұрын
Sawa
@sadahamad61582 ай бұрын
@@kadijahajali3918hii to
@sadahamad61582 ай бұрын
@@mwanakombopopo5117 👏
@pillyseleman80902 ай бұрын
Tafadhal Al fataha mdhibitini mtoto dunia mbaya
@AminakengaKenga2 ай бұрын
Nina mtoto wangu yuko ivyo ivyo toka ana miaka 8 mpk sasa ana 20 kuna tatizo amuwahi mapema sio hali ya kawaida
@faridbinjumaonlinetv92582 ай бұрын
Tatizo hatuna malezi ya siasa inaonekana Kuna adhabu kali asipoenda chuo au skuli ndio mana kitu ambacho sio kizurinkabisa kwa mtoto wangapi wanakubaliana na mimi
@user-xq4bp8zm7e2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢 mtoto Mazur jaman usiondoke nyumban unatuumiza wazaz wako
@NadhiraNa-vm5hs2 ай бұрын
Uyu mtoto alikosea lakini anahakil Sana kakili kisa lake
@MerryBaltazari-zv9gfАй бұрын
Duh jamani wazaz tuna pitia changa moto san
@AminiMuhammed-pi6dx2 ай бұрын
Kama alikuwa anapata huduma ya chakula kwa watu anao wajua walishindwaje kumpa ripoti mama yake au kumkamata
@user-ff7hl3mh3h2 ай бұрын
Ilikuwa afuatiliwe huko skuli na chuoni kwanini haendi isije ikawa kuna kijambonndicho kinachomkimbiza eidha adhabu au mengineyo
@omarkhamis39092 ай бұрын
Alilo lifanya sio labusara ila nyny waandishi jifunzeni basi japo kidogo kuwasilisha taarifa kama hapo laajabu nilipi alolifanya lakutoroka nyumbani kwao au ?
@FahadAbubakari2 ай бұрын
Ebwana khabari za vyombo vya kwetu ukifuatilia nyingi ni za ajabu sana there so clumsy.
@omarkhamis39092 ай бұрын
@@FahadAbubakari ah kweli nduguyangu halafu unaambiwa niwasomi na wanavyeti mtihani mtupuuuu
@FahadAbubakari2 ай бұрын
@@omarkhamis3909 khabari nyingi tuzionazo zapewa nafasi sizo yani wakati naamini Kuna Habari nyingi tu zakuweza kuripoti
@aliabdalla92972 ай бұрын
Mtoto wa miaka 11 kutoroka nyumbani kwao siku 10 unaona ni jambo la kawaida tu kwako
@Grataaaaa2 ай бұрын
Dogo mbona mtundu tuu ila kwa mambo ya kubakwa hamna
@user-pw9lf6yt9b2 ай бұрын
huna Ada buKwanini ukimbie kwenu uende kwa mtu unae jua umsimbue mama yk
@MwanaishaShattry2 ай бұрын
Familia ikombali wapi mbali hapa Tanzania? Hata Mbeya sio mbali. Sababu ya kutokumtafuta sio kuwa wewe mwanamke. Ukisema hivyo ndio ushajijengea kuwa sio mpambambanaji maisha ya kuwa mimi mwanake hili siwezi kulifanya ni lile tu alilokataza Allah basi. Hizo ni fikra mgando.
@zulfahaji912 ай бұрын
Mzazi mwenyewe umemzona lkn afya yake
@user-eu4pk3eh5d2 ай бұрын
Hayaja wakuta hao wanaropoka utumboo kwani hawajamuona mama yake hapo na mwenyewe kajieleza kuwa baba wa mtoto hakuwepo na yeye hajiwezi kwenda popote kulingana na afaya yake sasa hapo nini hujaelewa
@Zanzibar-LandOfBlacks2 ай бұрын
Acheni kujidanganya na fikra za superwomen, awe mpambanaji ulitaka amtafute usiku na mchana?! Kwamba akihangaika usiku na mchana ndo atakuwa mpambanaji. Ndio hapo unapokutwa na jambo badala ya kuomba msaada usaidiwe ukajifanya superwomen na lisiwe lolote.
@user-pw9lf6yt9b2 ай бұрын
usirudie ukutoroka kwenu huko unakisia kwenda
@user-ft2vq5on6l2 ай бұрын
Kuweni makini watamgeuza kua hanisi kwanza kampimeni hajabakwa