MTOTO WA MIAKA KUMI NA MOJA AFANYA TUKIO LA AJABU ZANZIBAR

  Рет қаралды 30,862

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

2 ай бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 33
@stonetown578
@stonetown578 2 ай бұрын
SubhanaAllah, Allah atamhidi wazazi dua'a muhimu kwa watoto wetu.
@bintsalimalbimany287
@bintsalimalbimany287 Ай бұрын
Maskin Mtoto mzur Mashallah Ni uoga wazaz tupunguze ukali Kwa watoto wetu ili ikitokezea Mtoto kafanya kosa akiogope kukimbia jaman Amenitilisha huruma Maskin 😭😭😭Allah akuhifadhi Habiby😭😭😭🤲
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 2 ай бұрын
Pole sana dada yetu hii ni Moja ktk changamoto au mtihani Allah aliokupatia, lkn tue wapole pale watoto wanapokosea, tuwafunze kiutaratibu n kutumia maneno yakibusara ambayo hayatvunja moto Wala kutaka kufanya jambo baya zaidi ya Hilo ,Allah akupe nguvi zakuutunza ulezi wako
@sadahamad6158
@sadahamad6158 2 ай бұрын
Jaman mtoto mzuri usikimbie tena nyumbani sawa
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 ай бұрын
Hii
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 ай бұрын
Sawa
@sadahamad6158
@sadahamad6158 2 ай бұрын
@@kadijahajali3918hii to
@sadahamad6158
@sadahamad6158 2 ай бұрын
@@mwanakombopopo5117 👏
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 2 ай бұрын
Tafadhal Al fataha mdhibitini mtoto dunia mbaya
@AminakengaKenga
@AminakengaKenga 2 ай бұрын
Nina mtoto wangu yuko ivyo ivyo toka ana miaka 8 mpk sasa ana 20 kuna tatizo amuwahi mapema sio hali ya kawaida
@faridbinjumaonlinetv9258
@faridbinjumaonlinetv9258 2 ай бұрын
Tatizo hatuna malezi ya siasa inaonekana Kuna adhabu kali asipoenda chuo au skuli ndio mana kitu ambacho sio kizurinkabisa kwa mtoto wangapi wanakubaliana na mimi
@user-xq4bp8zm7e
@user-xq4bp8zm7e 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢 mtoto Mazur jaman usiondoke nyumban unatuumiza wazaz wako
@NadhiraNa-vm5hs
@NadhiraNa-vm5hs 2 ай бұрын
Uyu mtoto alikosea lakini anahakil Sana kakili kisa lake
@MerryBaltazari-zv9gf
@MerryBaltazari-zv9gf Ай бұрын
Duh jamani wazaz tuna pitia changa moto san
@AminiMuhammed-pi6dx
@AminiMuhammed-pi6dx 2 ай бұрын
Kama alikuwa anapata huduma ya chakula kwa watu anao wajua walishindwaje kumpa ripoti mama yake au kumkamata
@user-ff7hl3mh3h
@user-ff7hl3mh3h 2 ай бұрын
Ilikuwa afuatiliwe huko skuli na chuoni kwanini haendi isije ikawa kuna kijambonndicho kinachomkimbiza eidha adhabu au mengineyo
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 2 ай бұрын
Alilo lifanya sio labusara ila nyny waandishi jifunzeni basi japo kidogo kuwasilisha taarifa kama hapo laajabu nilipi alolifanya lakutoroka nyumbani kwao au ?
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 ай бұрын
Ebwana khabari za vyombo vya kwetu ukifuatilia nyingi ni za ajabu sana there so clumsy.
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 2 ай бұрын
@@FahadAbubakari ah kweli nduguyangu halafu unaambiwa niwasomi na wanavyeti mtihani mtupuuuu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 2 ай бұрын
@@omarkhamis3909 khabari nyingi tuzionazo zapewa nafasi sizo yani wakati naamini Kuna Habari nyingi tu zakuweza kuripoti
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 2 ай бұрын
Mtoto wa miaka 11 kutoroka nyumbani kwao siku 10 unaona ni jambo la kawaida tu kwako
@Grataaaaa
@Grataaaaa 2 ай бұрын
Dogo mbona mtundu tuu ila kwa mambo ya kubakwa hamna
@user-pw9lf6yt9b
@user-pw9lf6yt9b 2 ай бұрын
huna Ada buKwanini ukimbie kwenu uende kwa mtu unae jua umsimbue mama yk
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 2 ай бұрын
Familia ikombali wapi mbali hapa Tanzania? Hata Mbeya sio mbali. Sababu ya kutokumtafuta sio kuwa wewe mwanamke. Ukisema hivyo ndio ushajijengea kuwa sio mpambambanaji maisha ya kuwa mimi mwanake hili siwezi kulifanya ni lile tu alilokataza Allah basi. Hizo ni fikra mgando.
@zulfahaji91
@zulfahaji91 2 ай бұрын
Mzazi mwenyewe umemzona lkn afya yake
@user-eu4pk3eh5d
@user-eu4pk3eh5d 2 ай бұрын
Hayaja wakuta hao wanaropoka utumboo kwani hawajamuona mama yake hapo na mwenyewe kajieleza kuwa baba wa mtoto hakuwepo na yeye hajiwezi kwenda popote kulingana na afaya yake sasa hapo nini hujaelewa
@Zanzibar-LandOfBlacks
@Zanzibar-LandOfBlacks 2 ай бұрын
Acheni kujidanganya na fikra za superwomen, awe mpambanaji ulitaka amtafute usiku na mchana?! Kwamba akihangaika usiku na mchana ndo atakuwa mpambanaji. Ndio hapo unapokutwa na jambo badala ya kuomba msaada usaidiwe ukajifanya superwomen na lisiwe lolote.
@user-pw9lf6yt9b
@user-pw9lf6yt9b 2 ай бұрын
usirudie ukutoroka kwenu huko unakisia kwenda
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l 2 ай бұрын
Kuweni makini watamgeuza kua hanisi kwanza kampimeni hajabakwa
@user-pk2ch7lu5e
@user-pk2ch7lu5e 2 ай бұрын
Sasa hilo ni jambo la ajabu hilo
@yussufmohammed9299
@yussufmohammed9299 2 ай бұрын
Hakuna ndy ww hpo ushafnya unaonekan ww Kiranjaaa fulan mjanja mjanja hv
@rizikichike
@rizikichike 2 ай бұрын
Ni mtundu tu huyo mtoto ni kama mdowangu tu ni kizaazaa watoto wa kiume kulea ni kazi
KIJANA ALIYELAWITIWA NA WATU 60 ZANZIBAR ATOA USHUHUDA (Episode 02)
15:46
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 80 М.
JESHI LA POLISI ZANZIBAR KUINGIA MITAANI
5:59
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 4,1 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 17 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
UTATAMANI KULIA: MSICHANA WA MIAKA 27 ALIVYOPELEKA UISLAMU KIJIJINI KWAO
7:05
NIOKOE, USINIACHE NITEKETEE
10:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 18 М.
ROBOT AZUA TAHARUKI MJI MKONGWE ZANZIBAR
7:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 12 М.
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
20:36
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 7 М.
UTENZI: UHALI GANI MPENZI (RAHA YA TUNGO ZETU) #zanzibar #mashairi
18:02
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 1,2 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32