Nimekubali sana hoja ya SMG ya kwamba wachezaji wetu wakuze moyo wa ushindani na wageni. Aidha katika hili niishauri pia Tasnia ya habari ambayo ina waandishi na wachambuzi wengi wamekuwa wakiendekeza sana uzawa badala ya kuangalia zaidi kigezo cha uwezo wa mchezaj8 kwa kuelekeza lawama za makocha kuwabeza wachezaji wazawa kutowachezesha au kuwapa muda wa kucheza
@bonifacelugo2941Ай бұрын
Tanzania tunapasua mawimbi kwenye anga za Sports
@RamadhaniAlly-k4iАй бұрын
hatutaki machezaji mwenye hakili mbovu kama chama
@DastanikasandaАй бұрын
Lipigwe tu kwa mkapa tuinjoy ufundi wa okejepha Auhoa debry fernandez na wengineo. Itanoga sana.