Рет қаралды 40,955
Tazama raundi kumi za kazi kazi, Tony Rashid akimshinda Oscar Richard kwa pointi…
Lilikuwa ni pambano la nane katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
#NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa