Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
@ngamiazukhty3126 Жыл бұрын
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
@MwinyiMwinyihija11 ай бұрын
Shukran sheikh
@user-in8ob4un7g11 ай бұрын
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
@user-zr5lb9zk1g Жыл бұрын
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
@ghaniyyatkinyogoli82149 ай бұрын
Nend duka la daw za asil
@Albertmusita7 ай бұрын
Marikiti
@ibrahimcollow17899 ай бұрын
Shukran shekh Othman
@ukhtiamina7763 ай бұрын
Shekhe jazakallahu khaira
@BadruChallyg2 күн бұрын
Shekhe hiyoda kama nikihitaji unaweza kuniuzia
@user-ml6ms5js9x11 ай бұрын
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
@SalumHaji-ys4nj9 ай бұрын
Maashaallah
@shuweyaabdulkarim32617 ай бұрын
Mashaallah
@ismagatarama1285 Жыл бұрын
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
@AlexGLyimo10 ай бұрын
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia. Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
@user-ee3th3tn4i6 ай бұрын
Shukran shekhe letu
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
@omarimsangi407510 ай бұрын
ni kweli namba 9 imerukwa
@allyhuyu18929 ай бұрын
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
@EmanuelMoshi-ss4ecАй бұрын
Hajataja
@jerrymcbride223010 ай бұрын
I wish u can say those names in English too
@mamdiakite6987 ай бұрын
Naam❤
@kit-thsabanyene97524 ай бұрын
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
@Rapidscity6 ай бұрын
Kindly explain in english
@Assani123 Жыл бұрын
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
@MarwaMsela-zx5wr Жыл бұрын
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
@AbdiKadirKanu10 ай бұрын
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
@user-qo1db1eq2c10 ай бұрын
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
@ibrahimmaulid2704 Жыл бұрын
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
@mwalimumlaula6167 Жыл бұрын
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
@user-qj5us7zb7x5 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
@mkmwayama4534 Жыл бұрын
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
@user-pl2um2wy4z10 ай бұрын
Shukran sheik wangu naomba namba yako
@user-qz9gl2qu1e Жыл бұрын
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
@alimanzele95579 ай бұрын
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
@conniekimaru705 Жыл бұрын
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
@OBEDIMikoba-no9rb10 ай бұрын
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
@user-ti2jj4ek1v9 ай бұрын
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
@Cute-jh4jw8 ай бұрын
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
@brunonguma315211 ай бұрын
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
@user-gd3sf8zx3j5 ай бұрын
Nimepata elim nashukulu
@fatmaahmed86372 ай бұрын
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
@issaiddy129511 ай бұрын
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
@abdulrahmanmwinga324811 ай бұрын
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
@sesilialaga54032 ай бұрын
Namwanamke anatumia?
@user-dg2lo3fi9b10 ай бұрын
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
@alimzee Жыл бұрын
Masha Allah 🙏
@dalmondmavoko7889 ай бұрын
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
@ameiramme25484 ай бұрын
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
@user-eq7co3jr2n9 ай бұрын
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
@zawadidagamra410611 ай бұрын
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*
@ghaniyyatkinyogoli82149 ай бұрын
Ss wa mombasa
@cecilngigi85389 ай бұрын
No 9 hakuna please,
@AmorMasoud4 ай бұрын
Naomba namba yako yasimu wasap
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Na ni shilingi ngapi
@nsiamasawe457810 ай бұрын
Ukasema karafuu vijiko vingapi!
@nishkip7919 ай бұрын
Wamama pia wanaweza tumia??
@user-ps8qh1sy4r7 ай бұрын
Tutajieshee pamoja nadawa
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
@BakariMaulidKhatib4 ай бұрын
Shehe iyodawa ntaipataje?
@batulimafita820410 ай бұрын
Hyo dawa bei gani shekh???
@danielmasunu58519 ай бұрын
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
@abdullymalambaya8 күн бұрын
Sheikh iyo dawa ni shingapi
@SharifaYaru-ev9su11 ай бұрын
Mimi naitaka hiyo dawa
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
@jafaryibrahim43689 ай бұрын
kWELI
@kassimkamtande7358 ай бұрын
10:42 10:45
@SaddiqRamadhan Жыл бұрын
𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
@oj659510 ай бұрын
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
@simongitonga804511 ай бұрын
.nitapata..aje.niko.kenya
@tashone788411 ай бұрын
Mpigie number zinapita chini ya video
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Mimi mrija wa kizazi umefunga
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
@user-yo5ry1jx9r11 ай бұрын
Ya madawa asili
@kasumunigwasa11 ай бұрын
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
@user-se5zb4qh2f9 ай бұрын
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@kasumunigwasa9 ай бұрын
@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
@Fear_Allah3948 ай бұрын
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
@user-ch5xl9ou4w6 ай бұрын
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
@user-ch5xl9ou4w6 ай бұрын
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
@Rapidscity6 ай бұрын
Tuletee hizi data zako nairobi
@Rapidscity6 ай бұрын
Dawa
@shalomyashua288410 ай бұрын
Nini dawa ya majo ikiuma
@carolinelucky919911 ай бұрын
How much
@carolinelucky919911 ай бұрын
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
@abubakarmpole4000 Жыл бұрын
Ndio
@user-yo5ry1jx9r11 ай бұрын
Ndio
@dicksonnussu7029 ай бұрын
Mtakuja kuua watu ninyi
@johnyema33609 ай бұрын
Hahhahahaha kwann
@mwakapalamwakapala831710 ай бұрын
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
@abdulrahmanmwinga324811 ай бұрын
Naomba kujua maboga ni nn
@shabanikavula130410 ай бұрын
Palmkin
@badarambu381710 ай бұрын
Pumpkin
@MwanaishaShattry9 ай бұрын
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
@darihawahid18818 ай бұрын
Pumpkin ,
@darihawahid18818 ай бұрын
Pumpkin seeds
@samkim23219 ай бұрын
Habasauda ni nini kwa English
@darihawahid18818 ай бұрын
Black seeds powder
@darihawahid18818 ай бұрын
Blackseeds oil
@carolinelucky919911 ай бұрын
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
@fadhilichitagu2730 Жыл бұрын
Sperm count!
@abdallahluhinda Жыл бұрын
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
@user-ng6yt2od7l11 ай бұрын
Mashalllah
@LightworshipTeam10 ай бұрын
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania