BAADA YA MZEE WA MIAKA 65 KUPONA KTK UBORA WAKE NGUVU ZA KIUME OTHMAN MAIKO AAMUA KUIELEKEZA LIVE.

  Рет қаралды 115,682

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Жыл бұрын

Пікірлер: 133
@jumamwindadi
@jumamwindadi 2 ай бұрын
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
@ngamiazukhty3126
@ngamiazukhty3126 Жыл бұрын
Mashaa ALLAH shukran kwa somo
@MwinyiMwinyihija
@MwinyiMwinyihija 11 ай бұрын
Shukran sheikh
@user-in8ob4un7g
@user-in8ob4un7g 11 ай бұрын
MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
@user-zr5lb9zk1g
@user-zr5lb9zk1g Жыл бұрын
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
@ghaniyyatkinyogoli8214
@ghaniyyatkinyogoli8214 9 ай бұрын
Nend duka la daw za asil
@Albertmusita
@Albertmusita 7 ай бұрын
Marikiti
@ibrahimcollow1789
@ibrahimcollow1789 9 ай бұрын
Shukran shekh Othman
@ukhtiamina776
@ukhtiamina776 3 ай бұрын
Shekhe jazakallahu khaira
@BadruChallyg
@BadruChallyg 2 күн бұрын
Shekhe hiyoda kama nikihitaji unaweza kuniuzia
@user-ml6ms5js9x
@user-ml6ms5js9x 11 ай бұрын
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
@SalumHaji-ys4nj
@SalumHaji-ys4nj 9 ай бұрын
Maashaallah
@shuweyaabdulkarim3261
@shuweyaabdulkarim3261 7 ай бұрын
Mashaallah
@ismagatarama1285
@ismagatarama1285 Жыл бұрын
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
@AlexGLyimo
@AlexGLyimo 10 ай бұрын
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia. Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
@user-ee3th3tn4i
@user-ee3th3tn4i 6 ай бұрын
Shukran shekhe letu
@ridhiwanisaidi-gs5tf
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
@omarimsangi4075
@omarimsangi4075 10 ай бұрын
ni kweli namba 9 imerukwa
@allyhuyu1892
@allyhuyu1892 9 ай бұрын
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
@EmanuelMoshi-ss4ec
@EmanuelMoshi-ss4ec Ай бұрын
Hajataja
@jerrymcbride2230
@jerrymcbride2230 10 ай бұрын
I wish u can say those names in English too
@mamdiakite698
@mamdiakite698 7 ай бұрын
Naam❤
@kit-thsabanyene9752
@kit-thsabanyene9752 4 ай бұрын
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
@Rapidscity
@Rapidscity 6 ай бұрын
Kindly explain in english
@Assani123
@Assani123 Жыл бұрын
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
@MarwaMsela-zx5wr
@MarwaMsela-zx5wr Жыл бұрын
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
@AbdiKadirKanu
@AbdiKadirKanu 10 ай бұрын
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
@user-qo1db1eq2c
@user-qo1db1eq2c 10 ай бұрын
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
@delvinaemanel2519
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
@ibrahimmaulid2704
@ibrahimmaulid2704 Жыл бұрын
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
@mwalimumlaula6167
@mwalimumlaula6167 Жыл бұрын
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
@user-qj5us7zb7x
@user-qj5us7zb7x 5 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
@mkmwayama4534
@mkmwayama4534 Жыл бұрын
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
@user-pl2um2wy4z
@user-pl2um2wy4z 10 ай бұрын
Shukran sheik wangu naomba namba yako
@user-qz9gl2qu1e
@user-qz9gl2qu1e Жыл бұрын
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
@alimanzele9557
@alimanzele9557 9 ай бұрын
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
@user-ys6zu8hd8q
@user-ys6zu8hd8q 6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
@conniekimaru705
@conniekimaru705 Жыл бұрын
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
@daddirihamadi4985
@daddirihamadi4985 11 ай бұрын
Sio bahati yako kama hujui kiswahili
@salzkhansalz6347
@salzkhansalz6347 9 ай бұрын
Aslm alkm sheikh maboga ninini hukukenya twachanganyikiwa hatujui maboga ninini
@sultanasalim5177
@sultanasalim5177 9 ай бұрын
Pumpkins seeds
@user-sf2ne3tf9w
@user-sf2ne3tf9w 6 ай бұрын
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 8 ай бұрын
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
@OBEDIMikoba-no9rb
@OBEDIMikoba-no9rb 10 ай бұрын
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
@user-ti2jj4ek1v
@user-ti2jj4ek1v 9 ай бұрын
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
@Cute-jh4jw
@Cute-jh4jw 8 ай бұрын
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
@brunonguma3152
@brunonguma3152 11 ай бұрын
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
@jumannemaganga-yu7ky
@jumannemaganga-yu7ky 9 ай бұрын
munapatikana wapi hapa zanzibr nataka yaguvu zakiume ilokamilika muchaganyo ote
@sss3s867
@sss3s867 Жыл бұрын
nipe contact no. za kupata hio dawa
@ukhtiamina776
@ukhtiamina776 3 ай бұрын
Je shekh as wakina mama tutumie ip
@ismailissa3996
@ismailissa3996 6 ай бұрын
Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani
@mickmill4342
@mickmill4342 Ай бұрын
Unapatikana wap
@user-ys6zu8hd8q
@user-ys6zu8hd8q 6 ай бұрын
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
@abdulhakimhussein6039
@abdulhakimhussein6039 9 ай бұрын
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
@user-gd3sf8zx3j
@user-gd3sf8zx3j 5 ай бұрын
Nimepata elim nashukulu
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 ай бұрын
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
@issaiddy1295
@issaiddy1295 11 ай бұрын
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
@abdulrahmanmwinga3248
@abdulrahmanmwinga3248 11 ай бұрын
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
@sesilialaga5403
@sesilialaga5403 2 ай бұрын
Namwanamke anatumia?
@user-dg2lo3fi9b
@user-dg2lo3fi9b 10 ай бұрын
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
@alimzee
@alimzee Жыл бұрын
Masha Allah 🙏
@dalmondmavoko788
@dalmondmavoko788 9 ай бұрын
nimekufata munganga sasa sisi tuko Kivu tuta pata hisomadawa wapi hizo amatupe bamba zako
@ameiramme2548
@ameiramme2548 4 ай бұрын
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
@user-eq7co3jr2n
@user-eq7co3jr2n 9 ай бұрын
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka
@user-zr5lb9zk1g
@user-zr5lb9zk1g Жыл бұрын
Huyo mwenye kumsomea ndio hayuko makini
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
Sheikh kijana wko hayuko makini ktk kuhesabu kabisaaa
@user-wm4cb7sd4w
@user-wm4cb7sd4w 10 ай бұрын
Hayo Maziwa yanachemshwa au?
@jumachengo2677
@jumachengo2677 Жыл бұрын
Hulinjani kiingereza ni nini?
@philipsaleh
@philipsaleh 7 ай бұрын
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
@zawadidagamra4106
@zawadidagamra4106 11 ай бұрын
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Жыл бұрын
*sheikh tupo ktk karafuu nasio hiliki*
@ghaniyyatkinyogoli8214
@ghaniyyatkinyogoli8214 9 ай бұрын
Ss wa mombasa
@cecilngigi8538
@cecilngigi8538 9 ай бұрын
No 9 hakuna please,
@AmorMasoud
@AmorMasoud 4 ай бұрын
Naomba namba yako yasimu wasap
@delvinaemanel2519
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Na ni shilingi ngapi
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 10 ай бұрын
Ukasema karafuu vijiko vingapi!
@nishkip791
@nishkip791 9 ай бұрын
Wamama pia wanaweza tumia??
@user-ps8qh1sy4r
@user-ps8qh1sy4r 7 ай бұрын
Tutajieshee pamoja nadawa
@ridhiwanisaidi-gs5tf
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Allah akulipe kheri, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia
@user-ej6mc2sr1o
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Najee kama hujuwi hizo ayah atafanyaje?
@BakariMaulidKhatib
@BakariMaulidKhatib 4 ай бұрын
Shehe iyodawa ntaipataje?
@batulimafita8204
@batulimafita8204 10 ай бұрын
Hyo dawa bei gani shekh???
@danielmasunu5851
@danielmasunu5851 9 ай бұрын
Wapige pesa tuuuuuuu, majin na uchaw shilik tupu
@abdullymalambaya
@abdullymalambaya 8 күн бұрын
Sheikh iyo dawa ni shingapi
@SharifaYaru-ev9su
@SharifaYaru-ev9su 11 ай бұрын
Mimi naitaka hiyo dawa
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
@jafaryibrahim4368
@jafaryibrahim4368 9 ай бұрын
kWELI
@kassimkamtande735
@kassimkamtande735 8 ай бұрын
​ 10:42 10:45
@SaddiqRamadhan
@SaddiqRamadhan Жыл бұрын
𝘐𝘯𝘴𝘩𝘢𝘢𝘭𝘭𝘢
@delvinaemanel2519
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Nimetamani nipate mtoto wa kiume
@oj6595
@oj6595 10 ай бұрын
Allah ndo mjuzi wa kIla jambo mu ombe Allah usi ambie Bina damu mwenzangu
@simongitonga8045
@simongitonga8045 11 ай бұрын
.nitapata..aje.niko.kenya
@tashone7884
@tashone7884 11 ай бұрын
Mpigie number zinapita chini ya video
@delvinaemanel2519
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Mimi mrija wa kizazi umefunga
@user-ej6mc2sr1o
@user-ej6mc2sr1o Жыл бұрын
Mchefua uchawi inauzwa madukanii ama
@user-yo5ry1jx9r
@user-yo5ry1jx9r 11 ай бұрын
Ya madawa asili
@kasumunigwasa
@kasumunigwasa 11 ай бұрын
Apo kwenye dawa ya kissunah ni uongo dawa ni jambo la jitihada kwaio hukmu ya dawa ni ibaha hakuna dawa ya kisunnah
@user-se5zb4qh2f
@user-se5zb4qh2f 9 ай бұрын
Akili zako zinakutosha kula na kulala tu. Hayo mengine yapo nnje ya uwezo wa akili yako.
@kasumunigwasa
@kasumunigwasa 9 ай бұрын
​@@user-se5zb4qh2fkasome kwanza jaahil wewe
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 8 ай бұрын
Dawa za kisunna kwamaana ni dawa alizokua akitumia Mtume Muhammad s.a.w au alizozifundisha.
@user-ch5xl9ou4w
@user-ch5xl9ou4w 6 ай бұрын
Sheikh kunawatu wanakukosoa hao usiwasikilize hawana akili mzuli kama wao wanajua mbona hawafundishi watu kaziyao kukosoa tu hawana lolote usiwaxikilize mapungu hao
@user-ch5xl9ou4w
@user-ch5xl9ou4w 6 ай бұрын
Sheikh usiache kufundisha kwa ajili ya hao wanaekosoa hawana lolote kz kuwakosowa wenzao km wao wamekamilika doctor libanda chingungwe kuchele
@Rapidscity
@Rapidscity 6 ай бұрын
Tuletee hizi data zako nairobi
@Rapidscity
@Rapidscity 6 ай бұрын
Dawa
@shalomyashua2884
@shalomyashua2884 10 ай бұрын
Nini dawa ya majo ikiuma
@carolinelucky9199
@carolinelucky9199 11 ай бұрын
How much
@carolinelucky9199
@carolinelucky9199 11 ай бұрын
Hi...nichaganyie hunitumie niko eldoret
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Kuuliza 2 Karanga Ni Njuguu Au
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 Жыл бұрын
Ndio
@user-yo5ry1jx9r
@user-yo5ry1jx9r 11 ай бұрын
Ndio
@dicksonnussu702
@dicksonnussu702 9 ай бұрын
Mtakuja kuua watu ninyi
@johnyema3360
@johnyema3360 9 ай бұрын
Hahhahahaha kwann
@mwakapalamwakapala8317
@mwakapalamwakapala8317 10 ай бұрын
je huu mchanganyiko, mwenye tatizo ya Homa ya Ini itamsaidiaje?
@abdulrahmanmwinga3248
@abdulrahmanmwinga3248 11 ай бұрын
Naomba kujua maboga ni nn
@shabanikavula1304
@shabanikavula1304 10 ай бұрын
Palmkin
@badarambu3817
@badarambu3817 10 ай бұрын
Pumpkin
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 ай бұрын
Wenye mswahili na unazungumza Kiswahili, unaaandika Kiswahili halafu hujuo boga nini hebu kalale.
@darihawahid1881
@darihawahid1881 8 ай бұрын
Pumpkin ,
@darihawahid1881
@darihawahid1881 8 ай бұрын
Pumpkin seeds
@samkim2321
@samkim2321 9 ай бұрын
Habasauda ni nini kwa English
@darihawahid1881
@darihawahid1881 8 ай бұрын
Black seeds powder
@darihawahid1881
@darihawahid1881 8 ай бұрын
Blackseeds oil
@carolinelucky9199
@carolinelucky9199 11 ай бұрын
Sasa na faa nikunyue yenye hume honysha
@fadhilichitagu2730
@fadhilichitagu2730 Жыл бұрын
Sperm count!
@abdallahluhinda
@abdallahluhinda Жыл бұрын
Mwanza ofisi yenu mnapatikana mtaa gani?
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 11 ай бұрын
Mashalllah
@LightworshipTeam
@LightworshipTeam 10 ай бұрын
Sidi tuko rahiya wa Burundi hebu mukatuletee dawa hiyo kwamchanganyiko tunununuwe'
@user-ys6zu8hd8q
@user-ys6zu8hd8q 6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 41 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 38 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 166 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
KWA WANANDOA TU - VYAKULA VINAVYOCHANGIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME KWA WANANDOA
17:02
IKIWA SHIDA YAKO NI MALI SOMA SURA HIZI 2 TU UTATAJIRIKA, MDENI HATOKUDAI
31:13
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 41 МЛН