Рет қаралды 449,115
#Gabozigamba au Author kwenye story, amekua akiamini kwamba hakuna haja ya kumfanyia mtoto sherehe ya kuzaliwa, Olivia binti yake wa pekee anamlilia baba yake akiomba kufanyiwa sherehe baada ya kutimiza miaka 13.Itikadi na imani za ki Africa zina msumbua nafsi baba yake.
#Catalina au Mama tina anajikuta matatizoni baada ya kupuuzia ushauri wa mume wake wakiwa kwenye shuguli maalumu usiku.
Karibu kuitazama tamthulia ya pekee Tanzania BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
..................................................................................
Gabozegamba, also known as Author in the story, has always believed there is no need to celebrate his child's birthday. However, his only daughter, Olivia, begs him for a party after turning 13. His African traditions and beliefs trouble his conscience.
#Catalina, or Mama Tina, finds herself in trouble after ignoring her husband's advice during a special event at night.
Tune in to watch the unique Tanzanian drama, BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba