No video

Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)

  Рет қаралды 1,489,796

Bernard Mukasa

Bernard Mukasa

Күн бұрын

Bernard Mukasa - Niseme Nini

Пікірлер: 358
@berychrys2678
@berychrys2678 3 жыл бұрын
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
@salomekamendi2458
@salomekamendi2458 Жыл бұрын
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 11 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@agnessima5032
@agnessima5032 12 күн бұрын
Usiyasahau kamwe hayo mateso na usiwaamini kamwe..ila wapende.
@divinajoseph2760
@divinajoseph2760 3 жыл бұрын
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
@gabrielnyambu8287
@gabrielnyambu8287 5 ай бұрын
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
@saraboniphace7670
@saraboniphace7670 2 жыл бұрын
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
@eriminashayo1341
@eriminashayo1341 3 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
@remigiusjuvenary3099
@remigiusjuvenary3099 2 жыл бұрын
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
@clementmarandu2712
@clementmarandu2712 2 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
@JohnmaryBirungi
@JohnmaryBirungi 4 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
@raymondmushi3310
@raymondmushi3310 4 жыл бұрын
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
@valentinewamboi4490
@valentinewamboi4490 2 жыл бұрын
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
@katommbusa4559
@katommbusa4559 6 жыл бұрын
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
@sarahsangija2913
@sarahsangija2913 6 жыл бұрын
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
@avitbuchwa2353
@avitbuchwa2353 2 жыл бұрын
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
@orollahcharlse6488
@orollahcharlse6488 4 жыл бұрын
Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa
@josephinekieti4683
@josephinekieti4683 2 жыл бұрын
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
@linahmadawe2823
@linahmadawe2823 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
@gertrudekopiyo
@gertrudekopiyo Жыл бұрын
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
@levinamukandara6970
@levinamukandara6970 2 жыл бұрын
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
@totimusmodest8241
@totimusmodest8241 2 жыл бұрын
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
@christerkanyamala2996
@christerkanyamala2996 Жыл бұрын
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
@muendoandrew
@muendoandrew 6 ай бұрын
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 4 ай бұрын
Bernado Mukasa kaka.
@upendoinaction4724
@upendoinaction4724 4 жыл бұрын
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
@josephirungu4011
@josephirungu4011 3 жыл бұрын
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
@lucasmaro4172
@lucasmaro4172 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
@bahatimungundomteteziwetum4360
@bahatimungundomteteziwetum4360 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
@ignasjosephmwinuka3666
@ignasjosephmwinuka3666 2 жыл бұрын
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
@bonifacejohanes895
@bonifacejohanes895 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
@agustinotadeo8554
@agustinotadeo8554 4 жыл бұрын
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
@josephinekieti4683
@josephinekieti4683 2 жыл бұрын
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
@stephenshio588
@stephenshio588 5 жыл бұрын
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
@johnedmundmachota7582
@johnedmundmachota7582 5 жыл бұрын
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
@faridakibadu1213
@faridakibadu1213 3 жыл бұрын
Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana
@Spirit.23
@Spirit.23 3 жыл бұрын
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 2 жыл бұрын
Amen,,may the Lord comfort you
@JenistaFrancis-hw5fe
@JenistaFrancis-hw5fe 11 ай бұрын
Good song 👏👏👏
@BestinaJacob-dc3cb
@BestinaJacob-dc3cb 9 ай бұрын
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
@jeanpierrendayishimiye9454
@jeanpierrendayishimiye9454 4 жыл бұрын
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
@kunguseconsumata5863
@kunguseconsumata5863 3 жыл бұрын
Safi sana Mungu atukuzwe
@gladysjebiwot6562
@gladysjebiwot6562 5 жыл бұрын
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
@marianabachilula8756
@marianabachilula8756 11 ай бұрын
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
@anthonykimanthi2551
@anthonykimanthi2551 2 жыл бұрын
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
@susannyaguthii4713
@susannyaguthii4713 4 жыл бұрын
Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen
@josephinebiringanine7113
@josephinebiringanine7113 4 жыл бұрын
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
@kamanzielias3585
@kamanzielias3585 Жыл бұрын
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
@awardngailo5233
@awardngailo5233 4 жыл бұрын
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
@agripinaapolinary1362
@agripinaapolinary1362 10 ай бұрын
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
@mgenileonora9717
@mgenileonora9717 2 жыл бұрын
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
@munlagloryzingwe6487
@munlagloryzingwe6487 Жыл бұрын
Event I don't understand this song but I really love it
@elizabethtreshory7776
@elizabethtreshory7776 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
@elgyeneemmanuel1236
@elgyeneemmanuel1236 5 жыл бұрын
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
@patrickkambale777
@patrickkambale777 5 жыл бұрын
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
@stacykibutu365
@stacykibutu365 4 жыл бұрын
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
@AgnesMwita-nb3cx
@AgnesMwita-nb3cx 9 ай бұрын
Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee
@jamesbenjamin5969
@jamesbenjamin5969 5 жыл бұрын
Nikapasaaa mkono gizani kulipokucha ni tunda mkononi...... Hongeren sana Mr and Mrs B
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 2 жыл бұрын
Nikutukuze vipi Mungu wangu
@achiecaren2908
@achiecaren2908 Жыл бұрын
Good job, sweet voice blessed family.
@mariamlote2183
@mariamlote2183 Жыл бұрын
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
@leahburchard3738
@leahburchard3738 2 жыл бұрын
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
@dominicmwanzia9919
@dominicmwanzia9919 5 жыл бұрын
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
@raymondlaurent9403
@raymondlaurent9403 2 жыл бұрын
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
@oscarmalogo610
@oscarmalogo610 5 жыл бұрын
God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer
@angiemambo6192
@angiemambo6192 4 жыл бұрын
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
@gustavkunkuta6733
@gustavkunkuta6733 3 жыл бұрын
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
@sarahchiliko1060
@sarahchiliko1060 3 жыл бұрын
I love you my Roman Catholic gospel
@stevembuhilo2956
@stevembuhilo2956 4 ай бұрын
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
@paskalinasalia8041
@paskalinasalia8041 3 жыл бұрын
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
@priscamsomba4224
@priscamsomba4224 2 жыл бұрын
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
@jamespetro6773
@jamespetro6773 2 жыл бұрын
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
@Spirit.23
@Spirit.23 4 жыл бұрын
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
@kamukamasylvia9640
@kamukamasylvia9640 4 жыл бұрын
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
@faithkemboi1110
@faithkemboi1110 4 жыл бұрын
Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.
@jamesbenjamin5969
@jamesbenjamin5969 5 жыл бұрын
Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu
@puritygakii2993
@puritygakii2993 4 жыл бұрын
You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏
@gracesimpasa993
@gracesimpasa993 4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapigania
@user-dg7vf1mx4m
@user-dg7vf1mx4m 7 ай бұрын
sauti tamu sana ,,,so blessing
@angelinakemuma2748
@angelinakemuma2748 5 жыл бұрын
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
@edwardkioko4455
@edwardkioko4455 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mwalimu Mukasa and ur family. Wabariki nyoyo zetu sana. Hongera mwalimu.
@yusterkonga6904
@yusterkonga6904 5 жыл бұрын
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
@dorischuwa3641
@dorischuwa3641 2 жыл бұрын
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
@thomshumbusho5446
@thomshumbusho5446 5 жыл бұрын
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
@bridgitmutuku4140
@bridgitmutuku4140 3 жыл бұрын
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
@Jonathan95311
@Jonathan95311 6 жыл бұрын
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
@user-te1mo4hq4s
@user-te1mo4hq4s 9 ай бұрын
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
@alfredphantaleo4529
@alfredphantaleo4529 3 жыл бұрын
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
@leonardmwankemwa7223
@leonardmwankemwa7223 4 жыл бұрын
you are role models of most of us
@maurusmwajombe492
@maurusmwajombe492 3 жыл бұрын
Hongereni sanaaaa familia ya mkasa
@fidesrwemera3710
@fidesrwemera3710 3 жыл бұрын
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
@robertmahucha5715
@robertmahucha5715 4 жыл бұрын
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
@DARCYFUN
@DARCYFUN 4 жыл бұрын
Mukasa's be blessed. I can't stop listening to your encouraging songs.
@wemahamaro1021
@wemahamaro1021 4 жыл бұрын
Kwakweli familia ya B mukasa mnanibariki wa wimbohuu
@Jaycarls
@Jaycarls 5 жыл бұрын
🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥
@christopheritungi1228
@christopheritungi1228 6 жыл бұрын
This is the one of my favourite catholic gospel song. Be blessed Mr Mukasa.
@jamesbenjamin5969
@jamesbenjamin5969 5 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
@simonwanjiku8917
@simonwanjiku8917 5 жыл бұрын
You sing awesomely Mr mukasa n family..youve got my blessings n prayers
@saramduma2158
@saramduma2158 5 жыл бұрын
amaizing
@emmamlegehi2247
@emmamlegehi2247 4 жыл бұрын
ASANTE sana mmenigusa
@paschalnwanakulya3347
@paschalnwanakulya3347 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji
@user-xw2ss1yi5w
@user-xw2ss1yi5w 9 ай бұрын
Sending love from Botswana🇧🇼🇧🇼
@mapenzimugina6069
@mapenzimugina6069 6 жыл бұрын
nikupongeze sana kaka angu Bernad kwa kazi yako nzuri, napaona maeneo yetu ya t.pekers kumetulia sana
@magrethamalliya8031
@magrethamalliya8031 5 жыл бұрын
Aasante nakushukuru. Pos namshukuku Mungu kwa huu wimbo. M'Barikiwa wana wa Mungu.
@user-tn2pg6xe2y
@user-tn2pg6xe2y Жыл бұрын
Mungu azidi kuwapa nguvu
@dorothygathongo481
@dorothygathongo481 4 жыл бұрын
A family to admire.....Be Blessed Mukasa's family.
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 5 жыл бұрын
Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,
@NeemaKiria-wz5gh
@NeemaKiria-wz5gh 2 ай бұрын
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
@mariethapesha593
@mariethapesha593 6 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mwalimu B,Mukasa uko vizuri sana
@angiemambo6192
@angiemambo6192 4 жыл бұрын
you have me with your songs a lot thanks be blessed
@bensonotieno7901
@bensonotieno7901 4 жыл бұрын
uu wimbo unanibariki sana
@sadamurehani6121
@sadamurehani6121 6 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana natokwa namachoz niuskiapo au kuutazama asante by mukasa. Asante mungu nakushukuru
@livingstonepeshu1512
@livingstonepeshu1512 2 жыл бұрын
Beautiful and may the glorious Lord bless these fellows
@user-sz3kz2wf5n
@user-sz3kz2wf5n 4 ай бұрын
Ubarikiwe San
Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish
9:48
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
Bernard Mukasa - Mungu Nimekuita (Official Video)
11:38
Bernard Mukasa
Рет қаралды 851 М.
Hata Niacha bwana yesu
3:19
KIZITHO NCHIMBI
Рет қаралды 41 М.
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Dj Marita
Рет қаралды 2,2 МЛН
GUSANENI MAJERAHA By Quadri-V (Official Video-HD)
5:42
Bernard Mukasa
Рет қаралды 758 М.
NIMEUMALIZA MWENDO - Bernard Mukasa
13:32
Bernard Mukasa
Рет қаралды 582 М.
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 13 МЛН
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 25 МЛН
NGUVU YA MAZUNGUMZO-Na. Bernard Mukasa_QV (Official Video-HD)_tp
4:27
TanganyikaProduction
Рет қаралды 1,4 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16