EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGA

  Рет қаралды 711,040

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Reporter wako Millard Ayo amefika mpaka Shinyanga kwa Mfanyabiashara Bilionea Mtanzania Joseph Temela ambae alitangazwa na Serikali kwamba amepata jiwe la ALMASI lenye thamani ya BILIONI 3, atazifanyia nini pesa zake? historia ya kutoka familia masikini, ulinzi wake ukoje baada ya hizo BILIONI?

Пікірлер: 761
@princekassim4089
@princekassim4089 5 жыл бұрын
Hivi kweli unampenda #Millard Ayo like hapa Interview Kali sana 🌍🇹🇿👍
@hellenmassawe8356
@hellenmassawe8356 5 жыл бұрын
Upo vizurii milad
5 жыл бұрын
Hongera sana *MILLARD AYO* kwa makala ya kipekee. Natazama kutoka Zanzibar!
@antoinea.katembo5326
@antoinea.katembo5326 5 жыл бұрын
Wote muhojaji na muojiwa wote wate wametulia! Very excellent interview!!!
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Kamanda niaje, ee bana sory utakapoona link yangu naomba unisapoti kusubscribe
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/maqVepWcg710lbs
@antoinea.katembo5326
@antoinea.katembo5326 5 жыл бұрын
Official Anania Lijahe bila shaka sana kiongozi na hata kama kuna usaidizi mwingine unaweza kuitaji ambao ninaweza kuitatua basi nishtuwe hapa anzuantoine@yahoo.com
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
@@antoinea.katembo5326 asante sana kaka
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 жыл бұрын
Hongera kwake hongera pia Millard Ayo napenda kazi yako ubarikiwe sana
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Mambo fatma, sorry mamy nina chanel yangu naomba unisapoti kusubscribe
@HUKUEUROPE.
@HUKUEUROPE. 5 жыл бұрын
Ayo nakubali sana kwa kujitoa kwako hili kujaribu kufikisha ujumbe kwa watanzania salute sana bro
@irenefaustine4205
@irenefaustine4205 4 жыл бұрын
We agha wewe interview kama hiz zinakuhusu
@HUKUEUROPE.
@HUKUEUROPE. 4 жыл бұрын
@@irenefaustine4205 Yah najua but nipe mda kdg ntaanza
@nicelaizer9854
@nicelaizer9854 5 жыл бұрын
Hongera joseph temela, bilionaire mpya wa tarehe 07/04/2019 nchini tanzania uwakumbuke wenzako
@255digitaltv7
@255digitaltv7 5 жыл бұрын
mabilionea wapo wengi wengine ni viongozi wa serikali wameficha mali zao..huwez kuniambia kiongozi anasimamia mradi wa bilioni 42 asiibe bilioni 10
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 5 жыл бұрын
Hizi ndo habar tunazo zitaka hakuna mamb ya umbea ooh sijui umedeti na mademu wangapi kabla zakupata almas lkn millard anauliza maswali ya maan big up hizi medi online nyengine zimejaa upuuzi tu
@zoubertnassoro1716
@zoubertnassoro1716 5 жыл бұрын
Umesema ukweli sana
@fatmarashid2384
@fatmarashid2384 5 жыл бұрын
Kabisaa
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 жыл бұрын
Shaaban Ramadhan 🤣🤣🤣kweli kabisaaa
@carrierolyne1420
@carrierolyne1420 5 жыл бұрын
Yaaani
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Inaitwa professionalism
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 5 жыл бұрын
Millard Ayo you're the one who has a good and really story Take five 👊👊
@roseswai5386
@roseswai5386 5 жыл бұрын
nimeamini kweli tusikate tamaa mungu yupo
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 5 жыл бұрын
Yes girl don't give up and you never ,imagine huyu mzee toka kitambo anapata tu some of na anapiga kazi long time Ila haku give up till today anapata zari Kama hilo ni Noma Sana but we have to learn from to him
@amanamazanda748
@amanamazanda748 5 жыл бұрын
Milard utafika mbali sana unakipaji kiukweli MUNGU akuongoze, hii Habari Nimeipenda, fundisho tusikate tamaa 👏👏
@zclassicfashionz1573
@zclassicfashionz1573 5 жыл бұрын
Gonga like bila kikomo kama unapenda Millard Ayo azidishe subscribers kibao apa★☆☆☆☆
@julianashipela1447
@julianashipela1447 4 жыл бұрын
Z Classic Fashionz
@merryn4891
@merryn4891 5 жыл бұрын
Hongera millard kwa kutuletea habari nzur
@lucaswilliams5761
@lucaswilliams5761 5 жыл бұрын
Anko kamfungulia dunia kuwa anachotaka! Tujifunze kitu Hapo! Japo usitegemeeh kulipwa jema ahsante #joseph
@alfreddavas358
@alfreddavas358 5 жыл бұрын
Billion 3 kibongo bongo sio mchezo... Millard you rock it... Hizi ndo habar za kurusha zina influence vijana kupambana pia zina entertain maendeleo
@agizoluvena866
@agizoluvena866 5 жыл бұрын
Alfred Davas mo
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 жыл бұрын
So kibongo bongo hizo ni pesa nyingi hata iweje mzee billion So mchezo
@alfreddavas358
@alfreddavas358 5 жыл бұрын
Yah true Nicky...
@nesphorymarekana1433
@nesphorymarekana1433 3 жыл бұрын
Kweli
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 жыл бұрын
Dah! Kweli maisha nipopote sio lazima shule, shule nimuhim ila kama namna yakusoma mtu hana ndo hiv tena Mungu anapanga maisha ya bina Adam yajua Mungu pekeake jmn me nakupend bure #millard
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 5 жыл бұрын
Big up Millard...ww kibokooo na unajuwa kazi yako,huna spear na popote unafika,utabaki kuwa juu tuu
@issaferruzferruz3629
@issaferruzferruz3629 5 жыл бұрын
Kama unankubal Millard gonga like👍
@yusuphkatemba4633
@yusuphkatemba4633 5 жыл бұрын
Wewe jembe millard
@zoubertnassoro1716
@zoubertnassoro1716 5 жыл бұрын
Namkubali sana sana
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Mambo niaje
@sarahsarah4919
@sarahsarah4919 5 жыл бұрын
Mjomba Josef nimefulai Sana kukuona leo
@sarahsarah4919
@sarahsarah4919 5 жыл бұрын
Shimano mjomba hakika leo nimefulai sana
@bibukaelias2722
@bibukaelias2722 5 жыл бұрын
Nothing comes easy, unawezaona kakaa miaka zaidi ya tisa bila kupata Mali na alitaka kuacha hiyo biashara lakin wakati huohuo akitoa hela kwa wafanyakazi wake bila yeye kuingiza pesa, hapo tujifunze kuwa na uvumilivu ukianguka amka pangusa mavumbi na songa mbele zaidi kwa sababu kesho yako huijui. Keep fighting never giver up.
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Niaje Brother, sorry naomba utakapoona link yangu ya youtube unisapoti kusubscribe
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 5 жыл бұрын
Hongera sana brz temela.Mungu akuzidishie mara 1000.kazi njema.
@samwellupimo1125
@samwellupimo1125 5 жыл бұрын
Aaaah mzee ume win kinyama na hivi ndivyo Mungu anavyobariki watu wake. AND GOD BLESS YOU BABA IN JESUS NAME I PRAY.
@musarichard2934
@musarichard2934 5 жыл бұрын
Pesa haiko mkononi iko kichwani. Your dreams is the biggest success.
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Nambie kamanda
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/maqVepWcg710lbs
@khatibabdallah6185
@khatibabdallah6185 4 жыл бұрын
True
@helgaaporinaly2811
@helgaaporinaly2811 5 жыл бұрын
Hongera Joseph, fungua Fixed deposit account, nunua hisa kwenye makampuni makubwa, tulia fedha ikutengenezee pesa. Achana na traditional business
@josemchau470
@josemchau470 4 жыл бұрын
Kampun gani kubwa utapeleka 2bn wakat mishahara tu ni 500mil
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Hongera sana Millard Ayo kwa kazi nzuri ya utangazaji.
@heshimabigete3735
@heshimabigete3735 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana kuona unalinda faragha ya mali za mtu. Kunanzia plate number ya Bodaboda hadi magari ya tajiri. Waandishi wengine wangemulika hadi chooni
@godsanga518
@godsanga518 5 жыл бұрын
heshima bigete umetisha San kama umeliona hilo
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 4 жыл бұрын
Bigete naququbali Sana umetisha brother
@kennedymwangala8385
@kennedymwangala8385 5 жыл бұрын
Mpeni pole millardayo hilo kovu,sikujua kuwa alitokewa na problem.From Zambia
@malikimahmoudmangindo7430
@malikimahmoudmangindo7430 5 жыл бұрын
Huwa nakufuatilia sana Millard,kama kuna makosa unafanya kwenye kazi zako za habari,basi endelea kuyafanya maana makosa hayo ni yenye faida.Unagharamika sana kutafuta habari,nina imani initiative hii uliyochukuwa kwenda hadi Shinyanga imenifanya nikuone ukiwa mbali sana kama utajaaliwa umri mrefu(Nakuombea hili)..Wengi wameiona ya kawaida hii.Keep and push up the good work
@saudakimboi7578
@saudakimboi7578 5 жыл бұрын
Ha ha haa ninekufuma huku Leo.
@gracemichael4141
@gracemichael4141 4 жыл бұрын
Ooh jmn mungu ni mwema jmn
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 жыл бұрын
Kaz nzuri sana Millard ayo......hongera bro kwa kutusua dili kubwa mungu anakuonesha njia ukiamin...
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 5 жыл бұрын
Millad Ayo you will be rich because you really fighter.
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Mambo vipi
@re_up_gang
@re_up_gang 5 жыл бұрын
He is already a rich
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
@@re_up_gang 😃😃😃 true
@andrewmagwila6219
@andrewmagwila6219 5 жыл бұрын
Nampenda Sana Mungu Ni fundi Sana acheni aitwe Mungu anainua vinyonge bila kujali muonekano hapa najifunza kuwa Mungu amempa mwanadamu akili na lzm kujikubali na kujiamini.kisha umtegemee yeye .kutokea hapo mafanikio yapo .ndugu zangu elimu ya kwanza aliyotupa Mungu ni Akili.mengine hayo Ni matokeo .God can.kuishia drs la Saba sio kufeli maisha na kusoma Sana sio kufaulu maisha.
@jacobmwalusamba4478
@jacobmwalusamba4478 5 жыл бұрын
Watu wa drs 7 ni noma sana wanapiga mapesa kuliko mapro hatari sana
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
😂😂😂
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
Ujue Mungu habagui
@nelsonngemera9832
@nelsonngemera9832 5 жыл бұрын
Akina Msukuma, Kishimba n.k
@uchawimazingara4913
@uchawimazingara4913 5 жыл бұрын
Maprof wenyewe kama akina paramaganda kabudi? 😂😂😂😂 mara mia mbili uishie la nne😂😂😂😂😂😂😂😂
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@deusmgema1204
@deusmgema1204 4 жыл бұрын
Big Temela Mungu akuzidishie nakukubali sana pamoja Na kumiliki pesa mingi kiasi hicho huna majivuno watu wote unawathamini
@hazibonplatformafrica9617
@hazibonplatformafrica9617 5 жыл бұрын
Ukpata hela alafu ukaishi mjini kingereza lazima ukijue tuu 🤓😂 complicated, otherwise, Dollar,No,It depends,manage,simple, imagine,swaga za kisomi kabisa🙏Hongereni Sana Millard & Billionaire
@sylviakadeha3261
@sylviakadeha3261 5 жыл бұрын
Hahahaaa ...weweee😃😃😃😃😃
@seifmbundi1339
@seifmbundi1339 5 жыл бұрын
Safi
@salummohdnyiga9760
@salummohdnyiga9760 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa birds of the feathers flock together
@happyphaniah2855
@happyphaniah2855 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hatar fireee
@jisukali3678
@jisukali3678 5 жыл бұрын
Kiingereza kweli simple, ukiwa na mkwanja!
@henrynzella9531
@henrynzella9531 5 жыл бұрын
Hongera sanaaa uncle Joseph.Mungu abariki kazi ya mikono yako
@stevoovlogs8645
@stevoovlogs8645 5 жыл бұрын
Duuuuuh kudadeki kweli mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua
@veronicamaghembe2102
@veronicamaghembe2102 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Umenichekeshaaaa
@djrautz733
@djrautz733 5 жыл бұрын
Nakkbal kwa kila habari zako kama na ww unaikubal ayo tv tujuane kwa like
@happynessnyanda3613
@happynessnyanda3613 5 жыл бұрын
Nmekupenda bure millad jaman mpaka umefika kwetu love u love u
@godfreychaba9673
@godfreychaba9673 4 жыл бұрын
Yaan nyumbani kabisa Maganzo
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 5 жыл бұрын
Ukiwa na pesa unaishi popote walahi! Hongera Joseph ht usiposoma ukitumia akili yako vzr unatoka tu!
@newmuscat1698
@newmuscat1698 5 жыл бұрын
Pia ni mtihani
@yuniabeli8492
@yuniabeli8492 4 жыл бұрын
Anakula magengen nimemuelewa sana
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 жыл бұрын
MashaAllah, Millard ayo your the best
@edwardlupolaso2061
@edwardlupolaso2061 5 жыл бұрын
Kama anaimiliki diamond kiwanja nikipendacho mwanza, basi ni dhahiri kwamba huyu jamaa alikua tajiri hata kabra ya hilo jiwe
@pablogeoffrey5231
@pablogeoffrey5231 5 жыл бұрын
kutoka kimaisha ni juudi zako na kumuomba Mungu Kwa kila nyendo..!
@caliusmlelwa6620
@caliusmlelwa6620 5 жыл бұрын
Nifollow @kingo_calius Instagram, kwa comedy, Ili uongeze miaka ya kuishi
@muhsinpaula6058
@muhsinpaula6058 5 жыл бұрын
Good
@obedcosmas1649
@obedcosmas1649 4 жыл бұрын
Amen
@leylahley3542
@leylahley3542 5 жыл бұрын
Mungu mkubwa..haijalishi umesota mda gani..mda ukifika hufungua milango.
@engjohnharvard8364
@engjohnharvard8364 4 жыл бұрын
Trust in God and you make it in life be honest with tithing and God will open great doors in your life
@sharonchristian3711
@sharonchristian3711 4 жыл бұрын
Natamani iwe ivo kwangu jamani 🙏🙏
@amanirashid9011
@amanirashid9011 4 жыл бұрын
Upo sawa nikweli siku zikifika Allah anakuinua fasta
@lailatjussa3397
@lailatjussa3397 4 жыл бұрын
Saf sana
@arushaonlinemedia4638
@arushaonlinemedia4638 4 жыл бұрын
God is over everything trust in God every time
@danielyonah6010
@danielyonah6010 5 жыл бұрын
Namfaham Mr.TemelA nimeamini Kweli unapojishushA na kua mnyenyekevu Mung Hakutupi maana jamaa yuko So humble and simple hata Ukienda kwenye hotel yake ya Diamond pale Mwanza ukamkuta unaweza dhan yye ni mteja tu wa kawaida ilA WapambE nuksi ndo wanavimba hatar.Mungu ni mwemA nataka nije kuwa Temela wa miaka ijayO🙏 Mungu mzidishiE huyU babA
@romanambelle6356
@romanambelle6356 5 жыл бұрын
Nikiona habari ambayo AYO uneitoa ndo naikubali na najua umeifanyia uchunguzi wa kutosha na tena ya maana. Wengine wajifunze kwako siyo story za matusi matusi. Bigup sana kaka
@ednafiloteus5216
@ednafiloteus5216 5 жыл бұрын
romana mbelle umenena point,,, Wee subiri kuanzia kesho utaona channel nyingine wanaedit heading na kupost kwao
@mrmoyo2772
@mrmoyo2772 Жыл бұрын
Maganzo kuna maendeleo mbalimbali.Nikaona mengi kama mgeni msomi pale Kolandoto kutoka Zambia 🇿🇲.Watu wa Maganzo wamebarikiwa sana.The man himself is very wise, humble and in-deed focused.High pedigree in business world.God bless Maganzo.
@raymondjimmy2712
@raymondjimmy2712 5 жыл бұрын
Haya Maisha bhana Unaweza kulala Masikini ukaamka Tajiri Sito Kata Tamaa Naamin ntafika ninapo oataka Waalah
@sashababy1321
@sashababy1321 5 жыл бұрын
Uyo tajiri kitambo hapo kaongezea .........jamaa anajituma na muaminifu mno
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 жыл бұрын
Huyo hakulala masikini alikuwa anapamban lala wewe kjn 😁
@yusuphmussa6589
@yusuphmussa6589 5 жыл бұрын
Wangapi watu wa shy town nipen like zangu
@andrewairo3390
@andrewairo3390 5 жыл бұрын
Bos wangu Mr Joseph temelwa hana neno mpenda watu
@iviejustified8109
@iviejustified8109 5 жыл бұрын
Very humble.... person Watu woote waliopitia mchakato sahihi huwa hawana mbwe mbwe... Very humble... Ngoja umpate mjomba ameamilza degree amepata kazi kwa memo... Amepata home apartment ... 😎😎 full kuvimbaaa
5 жыл бұрын
Makala mazuri sana Millard Ayo. Hongera sana! Kwingineko, watoto wa Maradona, Argentina walifungwa 2-0 na vijana wa Colombia jana. Hata Free kicks za Messi hazikuwaokoa. Nenda youtube utafutize - hashtagmpasuamsonobari- Kwa kujua yaliyojiri
@Dm-yq9wn
@Dm-yq9wn 5 жыл бұрын
Millard nakukubali sana bro daaah uyu jamaa kanipa moyo wakupambana 💥
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Kaka niaje, sory bro naomba utakapoona link yangu unisaidi kunisapoti kusubscribe
@MrRush-ev6nr
@MrRush-ev6nr 5 жыл бұрын
Nmependa xana jinsi Joseph alivyoenjoy interview na mtu wa nguvu Millard
@marsgenesis7200
@marsgenesis7200 5 жыл бұрын
Nilichojifunza kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba ni mfanyabiashara damu
@beatricemapembe8941
@beatricemapembe8941 5 жыл бұрын
Jamaa katulia na anajielewa. Hongera kaka.
@allygibu7003
@allygibu7003 5 жыл бұрын
Hahahaha, wewe Betrice wewe
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Fursa katika nchi yetu ni nyingi.. Ni akili yako tu 🙌🙌🙌
@gabrieljeremia2206
@gabrieljeremia2206 5 жыл бұрын
haswaaaaaa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Watu wavivu wanataka kuletewa
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 😂😂😂 mteremkoo unaumiza hawajui
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 4 жыл бұрын
Mashaallah Mariam
@abdulimalikhamadi1078
@abdulimalikhamadi1078 4 жыл бұрын
Mariam call me 0684606015
@evaristmrope
@evaristmrope 5 жыл бұрын
Duuuh hongera yake saanaaa
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 4 жыл бұрын
Millard ayo naququbali kiongozi kazi zako hakuna wa kukufikia wewe hakika unajua sijaona wa kushindana na wewe brother. Naququbali #millard ayo
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
Ee dodo bahati kwa mtu mwenye shamba😉😁🤗.. akaweka jembe chini akaenda mjini kununua motocar ss ni tajiri🔥🔥
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 5 жыл бұрын
Mzeee kama huyu anasema opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu Sisi vijana tunalalamika ,, Never give up
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 жыл бұрын
ommie马瑞 acha ujinga wewe huyu ni mzee, au husikilizi unakurupuka tuu kukoment
@ameenahzenjbar7425
@ameenahzenjbar7425 5 жыл бұрын
Je za vitisho aja pat
@iviejustified8109
@iviejustified8109 5 жыл бұрын
Huyu siyo mzee ana miaka 44.. Lol mzee anaanzia 50yrars Nyie watoto mliozaliwa 2000... Millenials
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 5 жыл бұрын
@@upendorobert7298 sawa mimi mjinga ila wewe *mpumbavu* sina haja ya kukuelezea utofauti
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 5 жыл бұрын
@@nellyjakobo9214 hili ndio nimeona sasa jamaa anazungumzia kujenga hotel 5 stars kama kununua unga wa ugali
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 жыл бұрын
Big up millard ayo to the world
@yusuphkitori6040
@yusuphkitori6040 5 жыл бұрын
Vp kaka Millard Ayo, sorry Kuna Namba ya Simu inatapeli watu mtandaoni kupitia account yako ya Fb!
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
Jomba niaje sory utakapoona linki yangu naomba unisapoti kusubscribe sir
@ananialijahe9957
@ananialijahe9957 5 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/maqVepWcg710lbs
@paulsaul1168
@paulsaul1168 5 жыл бұрын
Huyo mjanja kauza bilioni 3 ila ataki kusema anaogopa wajanja wa mjini
@rashidimkwango3097
@rashidimkwango3097 5 жыл бұрын
Nice C.E.O wa DIAMOND kiwanja cha bata rock city
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 5 жыл бұрын
Jamaa Check hii bro if you can 1.Temela Diamond Hotel Mwanza 2.Temela Diamond Hotel Dodoma ~TDH~ 3. Diamond NightClub~Julius Nyerere International Airport
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 5 жыл бұрын
kama ww mjanja na kama umeiona rangi ya mdomo ngonga like
@ramadhanisalum8321
@ramadhanisalum8321 5 жыл бұрын
Maganzo ni mji nilipokulia kuanzia chekechea hadi Sekondari..big up sana Millard kwa kuitumia vyema taaluma yako kwa weledi wa hali ya juu...
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 5 жыл бұрын
Inspiring! Bora ametoa ushauri wa kweli kwenye maisha ya biashara.
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
Basi sawa vizuri
@danielmotta3399
@danielmotta3399 5 жыл бұрын
Nakukubali Ayo
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 5 жыл бұрын
Nakubali sana kazi mzee baba
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 5 жыл бұрын
Ur the best kaka Millard Ayo
@hojamathias9989
@hojamathias9989 5 жыл бұрын
Hongera sana ayo na josee soon na mimi nita piga kiazi ktk mazingira ya kutatanisha never giverup
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 жыл бұрын
Uyu sio mchimbaji kama ilivyo tangazwa na serikali, huyu automatic ni mfanya biashara ya madini na nyinginezo. Na wauzaji waliuza million kumi wakaenda bar.
@rizikibakar3186
@rizikibakar3186 5 жыл бұрын
Salehe Innocent ni kweli bna
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 5 жыл бұрын
Exactly
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 жыл бұрын
ni mchimbaji ambaye ameadvance, yeye hachimbi, Bali kaajili wachimbaji, hamsikilizi wajameni
@hainesurasa1503
@hainesurasa1503 5 жыл бұрын
Millard nakupenda bure
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 жыл бұрын
@@upendorobert7298 we hujui lolote kuhusu uchimbaji nina uwelewa Wa kutosha kwenye uchimbaji mdogo coz nishachimba na nikaambulia vumbi.
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 жыл бұрын
KEEP UP THE GREAT WORK MAN
@babyleila8349
@babyleila8349 5 жыл бұрын
Ben Kisanga
@taretv1177
@taretv1177 5 жыл бұрын
Big up bro kwa kazi zako zakutupatia habar zenyew na co zaku2potezea tym ye2
@rweyemamukatunzi548
@rweyemamukatunzi548 5 жыл бұрын
Asantee dogo milladi kwa habari Nzuri,
@welcome-qk6ps
@welcome-qk6ps 4 жыл бұрын
Masha allah
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Hongera sana brother, ngongera pia Millard kwa kutuletea habar nzur
@kisalaTV
@kisalaTV 5 жыл бұрын
Hapo kwenye kuomba ela hapo . Pole ndungu ukiwa na njaaa na wala uwaoni
@sellah4603
@sellah4603 4 жыл бұрын
Kama unamkubali @Millardayo gonga like tuzid kumuombe mungu tuzidi kujifunz mengi kutoka kwako @Millardayo .
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
July..July..i repeat July..hero'z month..sou much inspired👍
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera kwake
@damasiuspetro5178
@damasiuspetro5178 5 жыл бұрын
Ahsante Sana millardayo
@noahakyoo4595
@noahakyoo4595 5 жыл бұрын
Millard Ayo nakupongeza sana sichoki kufuatilia habari unazotuletea maana ni za kweli tofauti na wanavyofanya wengine. mi niko arusha na ninakuombea Mungu akupe neema ya kufanya makuu zaidi
@munashally3318
@munashally3318 5 жыл бұрын
Ishi maisha yako simple kama vile ulikuwa ukishi zamani
@nshomamayungu2326
@nshomamayungu2326 5 жыл бұрын
Miradi ayo umefika kwetu Shy town karibu sana.na hongera kwa kazi yako ya uhakika.
@tanitani3387
@tanitani3387 5 жыл бұрын
Mzee unaharibu majina ya watu bana@sio miradi ayo ni millard ayo
@proflwimo309
@proflwimo309 5 жыл бұрын
kwahio mzee baba ulirudi kwa mguu naona umeanza safari na kibegi mgongoni alafu jamaa anakuacha hivihvi
@mussachuo3910
@mussachuo3910 5 жыл бұрын
Nakukubali sana milard ayo
@triffproductions4348
@triffproductions4348 5 жыл бұрын
Very Good,and inspiring story!
@frankshindano4620
@frankshindano4620 5 жыл бұрын
Millard huyu jamaa kamaliza na wewe darasa la saba mwaka mmoja 😊
@angeledesius5590
@angeledesius5590 5 жыл бұрын
Mmmh hapana huyu 89 afu Millard 98
@annamgaya7141
@annamgaya7141 4 жыл бұрын
Lasamb no ma
@godisonmasungula6995
@godisonmasungula6995 5 жыл бұрын
Big Up Diamond
@mishaelmisana1973
@mishaelmisana1973 5 жыл бұрын
Ongera sana milardayo kila la kher kiongoz
@brownjulius8514
@brownjulius8514 5 жыл бұрын
Never give up
@simonsadala2386
@simonsadala2386 5 жыл бұрын
Hongera sanaaaa br kweli upo simple na hayo ndo maisha pamoja na kuwa ww ni billionaire but still unakaa na wachimbaji
@benimagaya7966
@benimagaya7966 5 жыл бұрын
Pamoja Sana @millardayo 🇹🇿
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Mashallah, Mashallah.
@keagleeagle821
@keagleeagle821 5 жыл бұрын
Kweli tuliosoma ndio wajinga.Tuna calculate risk sana
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 жыл бұрын
Keagle Eagle umeona ee, na ndicho kinacho tuponzaga
@dicksonbaraka7639
@dicksonbaraka7639 4 жыл бұрын
Sanaaaaa
@saidmtb3013
@saidmtb3013 4 жыл бұрын
Hapana kusoma ni muhimua sana na kutoka kimaisha ni mipango ya muungu.huo ni mtaz
@mikemutabuzi3665
@mikemutabuzi3665 5 жыл бұрын
USIKATE TAMAA, HUWEZI JUA MWENYEZI MUNGU AMEKUPANGIA UTAKUWA TAJIRI LINI, ONGEZA JUHUDI
@ahmadsayyeed1400
@ahmadsayyeed1400 5 жыл бұрын
Ni kweli biashara ni siri kwenye makubaliano pia kumtangazia mtu mafanikio yake ni kumuweka kwenye wakati mgumu kimazingira
@andrearaulensi7732
@andrearaulensi7732 4 жыл бұрын
Mungu amekujalia
@gracepeter3200
@gracepeter3200 5 жыл бұрын
Nakukubali sana Millard Ayo
@josephmoshi150
@josephmoshi150 5 жыл бұрын
Great
@nyikatokewa4678
@nyikatokewa4678 5 жыл бұрын
Mungu,aishie akawe mwalim, mlinzi, na mtetezi wa maisha yako, kwani wanadam wanasiri nyingi!
@upendorobert7298
@upendorobert7298 5 жыл бұрын
Yaani mie nimegundua kuwa mbilionea wengi si wasomi, eti sijui degree, masters, hakuna, sijui tunakwama wapi, lakini wanaomiliki mabiashara mkubwa ni std 7, nahisi wasomi ni kujiona na kuona ni wakufanya kazi flani flani na si kazi za kujichanganya, ambazo ndo zinapesa nyingi.
@rukkysayid6613
@rukkysayid6613 5 жыл бұрын
True
@queenshomba8412
@queenshomba8412 5 жыл бұрын
Wasomi ubongo umesimamia kwenye vyeti tu
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 5 жыл бұрын
😁😁😁😂😁😁
@erastoemmah7304
@erastoemmah7304 5 жыл бұрын
Tunasoma muda mrefu mno
@mariaamosy2701
@mariaamosy2701 5 жыл бұрын
Kaka Millard big up san
@nelsonmrangu752
@nelsonmrangu752 5 жыл бұрын
Ivi Millard unapaka nn mdomon lipustik au
MTANZANIA ANAYEUZA KARANGA KUKUSANYA ADA AKASOMEE URUBANI
21:51
Millard Ayo
Рет қаралды 246 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 25 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 120 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00