No video

Biashara za mtaji mdogo zenye uhakika wa faida .

  Рет қаралды 82,414

Kelvin Kibenje

Kelvin Kibenje

Күн бұрын

Hizi ni Biashara 5 ambazo zina uhakika wa wateja wakati wote. Kama ulikua unatafuata wazo la biashara ya kufanya basi unaweza kuanza na biashara hizi. Tatu ni biashara ambazo mimi nimezifanya mwenyewe na mbili kati ya hizo jamaa zangu wa karibu wanafanya mpaka leo na ni biashara tulifanya mara baada ya chuo.

Пікірлер: 167
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 3 ай бұрын
Wengi mmeulizia chimbo la chupi za kike ambazo unaweza kuanza na mtaji wa laki moja. Kiufupi ukiwa na mtaji wa laki moja ukafanya biashara ya chupi inakutoa kabisa sababu ina mzunguko maeneo mengi. Number ya chimbo ni 0763356395 au 0743356395 hawa watakuuzia kwa bei nzuri ya jumla na hata kama uko mkoani utatumiwa kwa uaminifu. Nawajua na kuwaamini hivyo utakua salama na pesa zako
@tedijemsi4589
@tedijemsi4589 2 ай бұрын
Me nategemea kuanza mwez wa tisa mwishon pls msaada kaka chimbo la nguo
@benjaminkamo4953
@benjaminkamo4953 Ай бұрын
Kaka msaada Namba yako
@phillipojohn9547
@phillipojohn9547 18 күн бұрын
Kaka Kelvin naomba chimbo la hereni
@JoniaIssaya
@JoniaIssaya Ай бұрын
Sio kwamba umetupa somo2 baali umeweza kutushauri pia asamte sana broo na Mungu akubariki,,
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 5 күн бұрын
@@JoniaIssaya Amina. Asante sana
@upendolairumbe889
@upendolairumbe889 Жыл бұрын
Powerfull message
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Thanks much
@upendomtui2385
@upendomtui2385 11 ай бұрын
Somo nzuri sana kaka Mungu akubariki
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Asante sana Rafiki yangu
@GreysonTz
@GreysonTz 3 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako mzuri mungu skubariki
@CarolineSayia-tq5zm
@CarolineSayia-tq5zm 5 ай бұрын
Asante sana mwalimu niko kenya ninaweza pataje nguo za mitumba nzuri
@SharifuSalimu
@SharifuSalimu 2 ай бұрын
Ahsante kwa somo zur endelelea kuchimbua lingine
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 5 күн бұрын
@@SharifuSalimu Asante sana
@user-kw6bv9qp4e
@user-kw6bv9qp4e 5 ай бұрын
jahh! bless you tunazidi kupata maarifa
@SalumSaid-e1j
@SalumSaid-e1j 2 ай бұрын
Asante kwa ushaur
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 Жыл бұрын
Be blessed 🙌
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Thanks much
@MakiBanda-tc9pw
@MakiBanda-tc9pw 9 ай бұрын
Be blessed
@jimmydikwe6620
@jimmydikwe6620 Жыл бұрын
Hyo ya vyombo nimeielewa mkuu, naanzia wapi?
@AloyceKikoti
@AloyceKikoti 17 күн бұрын
Asante kwamafundisho
@awabuawami3625
@awabuawami3625 4 ай бұрын
Kak God bless you niko na vifaa vya simu hapa
@DaudyNdossa-vh8vg
@DaudyNdossa-vh8vg 5 ай бұрын
🙏🙏🙏mungu akupe maisha marefu
@RachealChiyaze-rh8se
@RachealChiyaze-rh8se 10 ай бұрын
Biashara ya nguo za ndani hainaga asala,
@rusaboy6593
@rusaboy6593 5 ай бұрын
habali nahitaji mawasiliano yako unisaidie mawazo kuhusu biashala ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 2 ай бұрын
​@@rusaboy6593 Waliooomba kujifunza hii Biashara. .... UCHAMBUZI BIASHARA YA NGUO ZA NDANI. . Hii ni biashara nzuri kwako sababu kadhaa, kwanza inagusa watu wengi zaidi kuliko biashara za nguo aina nyingine kama vile Jeans,Tshirt,magauni au suit zenye watu wake na hobbies zao lakini sio kwa nguo za ndani ambazo hao wote hapo ndani wamevaa kati ya boxer,braa, chupi,vest n.k . . Zaidi ya 90% ya watu wote duniani wanavaa nguo za ndani kuanzia mtoto mchanga na maisha yake yote. . Pia nguo za ndani HAZINA Msimu kwamba usubiri sikukuu au wanafunzi wakifungua,muda wote zinanunulika, hivyo utauza muda wote. . Hii ni biashara ambayo inahitaji kiasi kidogo cha mtaji na kianzio hicho kinakupa faida zaidi na zaidi. . Hii ni biashara Ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki mbili tu unaweza kupata mzigo mkubwa. . Nguo za china ndio bidhaa nzuri zaidi kwa mfanyabiashara kupatia pesa kuliko zinazotoka sehemu nyingine yoyote duniani hasa kwa Tanzania. . Ila kama una wateja wako unaweza uza za popote ila kama unaanza nashauri anzia za China. . Sababu kubwa ni kwamba zinauzwa bei rahisi . Kwa mfano biashara ya chupi ili ukue kimtaji kwa haraka zaidi basi uza za china na sio za sehemu ingine . China ndio utapata chupi zile zinauzwa 1000,1500,2000/- kwa pic 1 . Na hizi bei ndio ambazo watu wengi zaidi ya 80% au 90% wanaweza kuzimudu. . Kwa hio kwa % hizo umeishaona namna soko ambavyo ni pana. Kama utaamua kuchanganya na bidhaa nje ya china basi weka kidogo na nguvu kubwa iwe china ,fanya hivo ili kuchukua wateja wengi zaidi . . Fanya hii biashara upige pesa. . Kama una Uwezo agiza Moja kwa moja China alafu uzia wafanyabiashara na Wajasiriamali kwa jumla. (kama hujui kuagiza china hakikisha hukosi darasa la mwezi wa tano nitafundisha na kukupa Agent& suppliers wa china) . Kama mtaji bado mdogo nenda kariakoo mtaa wa mchikichi na gogo, Mchikichi na sikukuu huko kuna machimbo bei rahisi. Mmoja wapo ni huyu 0743356395 au 0763356395 walikua kariakoo mtaa wa mchikichi na sikukuu kwa sasa stoo zao ziko makumbusho plaza. Huyu atakupa chupi za 1000 ambazo utauza 2000 na kuendelea au za 1500 ambazo utauza Tsh 2500 mpaka 500 sema Anauza jumla kuanzia pc 100 kwaio mtaji wa laki unatosha . Hii biashara si lazima uwe na frem, unaweza kuzungusha majumbani, kuuza online, kuwa na kibanda kidogo, Kuuza chuoni nk, Duka au kuuza gulioni.
@HappynesSamuel
@HappynesSamuel 9 күн бұрын
Mi natamani hiyo biashara ya nguo za ndani na urembo
@Benidoto
@Benidoto 5 күн бұрын
🎉🎉
@DavidDeus-r8u
@DavidDeus-r8u Ай бұрын
Thanks brother
@DausonnyJuma
@DausonnyJuma 4 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako
@carolinetoto8706
@carolinetoto8706 2 ай бұрын
Asantee asantee
@williamnyankongo9655
@williamnyankongo9655 Ай бұрын
Blessed
@jumaatubu
@jumaatubu 10 ай бұрын
Thanks
@RoncyMroki
@RoncyMroki Ай бұрын
Asante sanaa
@NeemaJitambi-hj9iv
@NeemaJitambi-hj9iv 9 ай бұрын
asante kaka kwa ushaur mzur
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Asante pia
@PendoLuwumba
@PendoLuwumba 6 күн бұрын
Nagitaji msada kaka mm nataka nifanye biashara Zanzibar ila bado sjajuw biashar gani itatoka kwa harakaa
@abbygeorge8394
@abbygeorge8394 Жыл бұрын
👂👂be blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Жыл бұрын
Thanks much
@user-sn8ne4is8x
@user-sn8ne4is8x 14 күн бұрын
Asante
@user-is1ez7rn8k
@user-is1ez7rn8k 2 күн бұрын
Mimi naomba unielekeze kuhusu biashara ya urembo
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Жыл бұрын
natamani niifanye kazini kwangu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Nifuate insta nikupatie
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 2 ай бұрын
Tafadhali naomba chimbo la nguo za watoto za mtumba grade A
@esterfunyenga3185
@esterfunyenga3185 Жыл бұрын
Asante sana
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Asante pia
@VijeyMathayo-u5c
@VijeyMathayo-u5c 5 күн бұрын
Xamahan naomba no yako
@ZainabuMkula-zn5np
@ZainabuMkula-zn5np 5 ай бұрын
Biashara ya urembo ni ndoto yangu kubwa ila sijui nianze kwa mtaji wa sh ngapi??
@IssaISSA25-ky9wy
@IssaISSA25-ky9wy Ай бұрын
kweli kabisa
@JenipherNzali
@JenipherNzali 6 күн бұрын
Biashare yanguo zandani hii naona nanimewah kuuza shida sikufanikiwa flem ila inafaida
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 5 күн бұрын
@@JenipherNzali unaweza kuanza Bila ya kuwa na frem
@OptionsLimited-l4s
@OptionsLimited-l4s 17 күн бұрын
NAwezaje kuwa na studio kama yakwako
@elishazakalia-wj3my
@elishazakalia-wj3my Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Жыл бұрын
👏👏👏
@AdolfJordan-rz8sm
@AdolfJordan-rz8sm 7 ай бұрын
Nimekuelewa kaka
@robertoyoussouf7679
@robertoyoussouf7679 4 ай бұрын
Asante kwa somo la siku, Vipi mwanaume ana fanya pia biashara ya urembo cosmetics ?
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 ай бұрын
Inawezekana na wengi wanafanya
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 9 ай бұрын
🙏
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Asante sana
@VijeyMathayo-u5c
@VijeyMathayo-u5c 5 күн бұрын
Naweza pata no yako
@LennySilas-jo3oj
@LennySilas-jo3oj 11 ай бұрын
Ni kwel biashara hiyo watu wanaichukulia poa ila inalipa nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
True best
@teresiaelikanalugata4025
@teresiaelikanalugata4025 16 күн бұрын
Nina laki mbili nahtaji hizo nguo za ndani mchanganyiko
@bekakasambala7108
@bekakasambala7108 Ай бұрын
Bro nilkuw nahitaji kujua naanzaje biashara ya accessories ya simu. Na vifaa vyake kwa ujumla
@emanuelsam1543
@emanuelsam1543 Ай бұрын
Hata Mimi nahitaji chimbo
@jacobchanda4475
@jacobchanda4475 Жыл бұрын
..We up Fam 🫡
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Thanks much
@RajabuJuma-fy8nr
@RajabuJuma-fy8nr 7 ай бұрын
Ya nguo za ndani na mtumba, nitakucheki unipe connection ya nguo nzuri nijiongezee kipato
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Nitafte mm tuongee dia naziuzaa
@FurahaVenosa
@FurahaVenosa 4 ай бұрын
​@@DoriceRemson-by5rrhey uko pande gani
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 4 ай бұрын
@@FurahaVenosanko dar dear nashinda kariakoo msimbazi
@user-mi6yw9lm9i
@user-mi6yw9lm9i Ай бұрын
No please rafik
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 2 ай бұрын
Msaada chimbo la nguo za watoto mtumba grade A
@neemamarko176
@neemamarko176 Жыл бұрын
mtumba ni biashara ambayo nimefanya ila mtumba unaweza anza na mtaji wa 20000 tu ukawa unapoint nguo nzuri unapeleka chuo na mtu mmoja mmoja unazunguka minadani unanunua nguo mpaka mia 500 lakini hiyo nguo unauza mpaka 5000/10000 Kuna mmoja huyo kila mnada anauza nguo 200/300 watu wanajaa hiyo utauziwa mpaka 10000 ronya zipo na nzuri zipo ni kuwahi tu kama kesho jumamosi Biafra yupo...
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Kabisaaa
@mwanakombomohamed7526
@mwanakombomohamed7526 11 ай бұрын
Sawa
@Willyb254
@Willyb254 11 ай бұрын
Nimependa
@Totorutha
@Totorutha 10 ай бұрын
Nitumie no Yako bro
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 10 ай бұрын
Nitumie namba yako ndugu tufanye viashara
@hawardmhema9784
@hawardmhema9784 5 ай бұрын
❤❤❤
@user-ob7nj9iu2m
@user-ob7nj9iu2m 7 ай бұрын
Biashar ya kuuza airphone nitaifany kak inshallah
@AshuraIsaack
@AshuraIsaack 8 ай бұрын
Biashara ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
Ni nzuri sana
@AredFered
@AredFered 8 ай бұрын
Nataman sana kua mfanyabiashara lakn mambo yangu bado hayajakaa sawa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
Jipange tu uanze
@AredFered
@AredFered 7 ай бұрын
@@kelvinkibenje sawa kaka lakn nawaza sana make
@Izkonka7
@Izkonka7 5 ай бұрын
Kaza ww, unawaza nini sasa😂​@@AredFered
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 11 ай бұрын
Paul makonda sauti na muonekano
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Aisee
@user-vn6so3on7z
@user-vn6so3on7z 5 ай бұрын
Mudogoake Huyo
@user-sj4xc1uo7u
@user-sj4xc1uo7u 7 ай бұрын
Kaka naomba namba ili unielekeze
@liz_underwearstore_mwanza
@liz_underwearstore_mwanza Жыл бұрын
🙏🏾
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
🙏🙏
@TusekileMwaswapu
@TusekileMwaswapu 4 ай бұрын
Biashala ya nguo za ndani lnataka mtaji wa shingapi
@tonnyblasty4606
@tonnyblasty4606 Жыл бұрын
Natamani kati ya nguo za ndani au vifaa vya simu ila bado sijaelewa pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Жыл бұрын
Unataka kuuzia eneo gani?
@ismailmohamed-sc1hg
@ismailmohamed-sc1hg 11 ай бұрын
Nipo bunda mara nataka nianze biashara yakuuza nguo za mitumba lakini sijui nianzie wap na faida yake nitaipataje maan ndo nataka kuanza
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
@@ismailmohamed-sc1hg pitia account yangu ya Instagram nimeichambua vizuri Biashara ya mtumba, fauda, wapi pa kupata mzigo na masoko. Bonyeza hii link kuingia kwenye page Www.instagram.com/kelvinkibenje
@piuskalilile9850
@piuskalilile9850 5 ай бұрын
Chimbo la nguo za ndani msaada
@HappyBirdwingButterfly-wh5do
@HappyBirdwingButterfly-wh5do 6 ай бұрын
Makadirio ya mtaj wa biashara ya nguo zandan au urembo!??
@desmondrabsonmwaipula1239
@desmondrabsonmwaipula1239 5 ай бұрын
50,000
@DahuuAbdi
@DahuuAbdi 2 ай бұрын
Kaka Nina m 1 na sijui biashara Gani nifanye msaada
@vickymdee
@vickymdee 2 ай бұрын
Nikopeshe mimi hyo ela boss
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 10 ай бұрын
Natamani kuuza mitumba nina laki mbili ila sijuwi pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Pa kuanzia ni kwenda kuchukua mzigo kama tayari umesoma soko na unajua nini utauza
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 10 ай бұрын
Kuzunguuka nao mtaani ni vizuri au hadi nipange frame?
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Nitafte tuongee vizur kipenz
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Nitafte tuongee vzur ntakurahisishia
@luluanania-cb1bw
@luluanania-cb1bw 4 ай бұрын
​@@DoriceRemson-by5rr❤
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Жыл бұрын
pia naomba connection ya vifaa vya simu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Ingia Instagram page yangu
@DavidYusuph-hd9xw
@DavidYusuph-hd9xw 7 ай бұрын
Mtu umempa ushauli anataka na connection
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Жыл бұрын
kaka naomba connection ya chupi!
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Cheki insta yangu
@user-pi6kz2uw5x
@user-pi6kz2uw5x 8 ай бұрын
Xamahanii kaka mm natakaa nifanye biashara mtajii lakii mbilii na nusu je nifanye biasharaa gganii maana mpakaa sahv sielewii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
Kwenye hizo tano hakuna uliyoipenda
@user-yq2ye9zl3r
@user-yq2ye9zl3r 5 ай бұрын
Nami pia
@merykyungai2551
@merykyungai2551 6 ай бұрын
Biashara ya nguo za mtumba nafaida kwanzia 50000
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 6 ай бұрын
Ndiooo
@kiliancloud2437
@kiliancloud2437 10 ай бұрын
Broo nataka kufungua duka la vifaa vya simu vo mtaji wake
@littlebrother4
@littlebrother4 9 ай бұрын
milion 200
@user-vr1vb4qd6e
@user-vr1vb4qd6e 6 ай бұрын
Kaka mm nina 40000 nawaza nifanye kazi ya nguo za ndani ,niko msoma sasa sijui wanauza wapi jumla kwa aliye msoma omba msahada
@shamuni1983
@shamuni1983 5 ай бұрын
Zipo Dar Kariakoo, Ukihitaji Tunakutumia kwa gari
@HappyBarn-kv6yj
@HappyBarn-kv6yj 4 ай бұрын
Na mimi nahitaji niko kariakoo​@@shamuni1983
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 Жыл бұрын
Vyombo nmewah kuifanya shida ipo kweny machimbo sahv yamekua too hard kuyapata
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Nenda kwenye kiwanda cha cello au jambo. Pia kama una uzoefu saasa anza kuagiza China
@user-zn6uf8om5i
@user-zn6uf8om5i 10 ай бұрын
Connection basi kaka
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Ya nini?
@user-lj5tn8qw2r
@user-lj5tn8qw2r 10 ай бұрын
Hiyo ya nguo za ndani sasa sielew naanzia wap
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Anza kwa kuchukua mzigo na kutafuta wateja. Mtandaoni, msofisini, kwenye magulio
@JanethAlex-sg3zu
@JanethAlex-sg3zu 10 ай бұрын
Samahan kaka vo biashala. Yamanukato. Imekaje. Nahii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Ni moja ya Biashara mzuri. Hapo nimeitaja kwenye urembo
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Kwa mwenye uhitaji wa nguo za mtumba tuwasiliane bei rahisi tutazungumza tusogezane
@user-lu7kn6kn1x
@user-lu7kn6kn1x 6 ай бұрын
Uko wap kwaniii
@FebroniaTamila
@FebroniaTamila 6 ай бұрын
Unapatikana wapi
@user-gb7sw7en6d
@user-gb7sw7en6d 6 ай бұрын
Unapatikan wap
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Niko Dar dear
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 6 ай бұрын
Karibuni saaana
@user-lj5tn8qw2r
@user-lj5tn8qw2r 10 ай бұрын
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Asante pia
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd 11 ай бұрын
Thanks
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Thanks too
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd 11 ай бұрын
Yani natamani kufanya biashara ilasijui nianzie wap Leo nimeingua uku ndo nikakutana na wewe. Kaka angu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Asante sana. Karibu sana
@manyekiongoz
@manyekiongoz Жыл бұрын
Blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Жыл бұрын
Thanks much
@AredFered
@AredFered 8 ай бұрын
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
🙏🙏🤝
Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?
11:29
Joel Nanauka
Рет қаралды 83 М.
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
Joel Nanauka
Рет қаралды 154 М.
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 14 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
BIASHARA 15 ZA MTAJI MDOGO ZENYE MZUNGUKO MKUBWA NA FAIDA KUBWA
16:19
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 49 М.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 45 М.
BIASHARA 8 ZA MTAJI MDOGO | ANTHONY LUVANDA | Full Video
31:03
TonyInspirationalTalk
Рет қаралды 411 М.
SIRI YA KUMILIKI KIWANDA KWA MTAJI WA KUANZIA MILIONI SITA
18:20
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 27 М.
MBINU 6 ZA KUHARAKISHA MAFANIKIO YAKO | Victor Mwambene.
15:33
Victor Mwambene
Рет қаралды 9 М.
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16