1:Ushonaji na upunifu 2:Agiza vitu kutoka nje (cargo) 3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake) 4:kilimo biashara (mifugo) 5:kununua na kuuza kwa faida (trading) 6:beuty business (vipodozi) 7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
@EvalisterMwinulaАй бұрын
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
@pillykajembe-yp1ir3 ай бұрын
Ahsante sana......nitafika hatua hiyo ya Mume wangu kujivunia mimi.....Amina
@janetmbwana5533 ай бұрын
👏👏👏👏👏😁😁😁Yan mpk Raha, shukran sana kaka acha nifanye kushare na wanawake wa nguvu
@amourmtungo6233 ай бұрын
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
@ThomasNghwani-nw6rx3 ай бұрын
Amina...Injili iliyonyooka
@beatricemnkeni26703 ай бұрын
Amina. Amina. Ubarikiwe mtu wa Mungu.
@HekimaLuvanda-te3xr3 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu .
@angelakeneth8993Ай бұрын
Asante mtu wa Mungu ubarikiwe wewe na uzao wako amen 🙏
@VellahBeauty-wg3ob3 ай бұрын
Asante kaka me at nikiwa nyumbani naweza kumsuka MTU na nikajipatia pesa
@GloryMtui-kh2vn3 ай бұрын
Proverb 31🎉❤
@marymajige96973 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@EuniceMwanri-jw9py3 ай бұрын
Asante Mungu
@JohnRufa3 ай бұрын
Nashukuru kwa kunipa wasia mwema .acha nimjaribishe mke wangu maana hana kazi yoyote
@happinesspraygod72763 ай бұрын
Usijarib fanya
@theresiamwandara79903 ай бұрын
@@happinesspraygod7276Kwanini asimsaidie mkewe?
@SleepyBacon-zx9rm3 ай бұрын
Kumsaidia mke wako ni akiri asikudanganye mtu kaka
@veronicaluvanda2880Ай бұрын
Hongera mkaka Mungu akupe moyo huohuo mzuri
@janethkawishe93683 ай бұрын
Asante Joel
@ailennkya8923 ай бұрын
God bless you nwalimu
@_letsgrowtogether3 ай бұрын
Mungu amekutumia kunijibu😢 ubarikiwe kaka❤
@agnessmwajojo-gr4ko3 ай бұрын
Amin...alhamdulillah nimo japo kidogo
@realemma23123 ай бұрын
Amina mtumish
@user-ge7jy1cm1m3 ай бұрын
Thank you 😊
@janethjovinal44953 ай бұрын
Nimependa hii mtumishi wa mungu ubalikiwe
@pendomason85823 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchubgaji asante
@paulpeter46843 ай бұрын
Asantee Kaka Joel Nanauka
@johnmligo69663 ай бұрын
Hongera mwalimu; Juu ya taa inayowaka bila kuzimika, fuatilia yaani Fanya exegetical research. But all is fine!
@jemimahchiro40133 ай бұрын
Amen ni mebarikiwa sn na ujumbe waleo
@user-fk6sc3yd6m3 ай бұрын
thanks and god bless you
@fostermwanja87183 ай бұрын
Hakika umenisaidia sana barikiwa sana mtumishi.
@KabulaKing3 ай бұрын
Mungu akubariki saaaaana, Bado najichanga nikijipata nakupigia
@marthageorge50438 күн бұрын
Asante 🙏🏻❤️
@everose2763 ай бұрын
Asante sana kaka
@rajabkahindi33893 ай бұрын
Ubalikiwe sana kaka joel
@ashangonyani79893 ай бұрын
Barikiwa sana hakika 🙏🙏
@kuruthumukondo71493 ай бұрын
Exactly ❤❤
@kanaelmushi78623 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@scholasticamarandu47623 ай бұрын
Mungu ni mwema kusikia hili neno Mungu nipe neema ya kuchagua kitu sahii
@RedgaMsigala3 ай бұрын
Amen Sema watu wa Mungu tuamke maana wacha Mungu tunamzalaulisha Mungu kana kwamba Mungu hawezi kubaliki kumbe hatujakaa mkao wa kupokea.
@liannsambu72643 ай бұрын
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
@julianalaly20953 ай бұрын
Asante sana
@rehemamwasomola436223 күн бұрын
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
@gladysmbugua90832 ай бұрын
Wamama hallooo God bless you servant of the most high God
@jescarobert62423 ай бұрын
Am blessed
@goldiegranted55013 ай бұрын
Somo 🔥🔥🔥🔥🔥
@pialafrance79223 ай бұрын
Umesema vyema sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@goldiegranted55013 ай бұрын
Nipo nasubiri 😊🏆🥇
@upendowarioba3 ай бұрын
Point MR JOEL
@AminaAmina-gs9zz3 ай бұрын
Wow i like itbarikiwa😊
@Udindigwa3 ай бұрын
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
@halimakadute1563 ай бұрын
Ahsante Sana
@sunrisetv61103 ай бұрын
Amen 🙏 Amen 🙏 Amen
@victoriapendo17303 ай бұрын
Barikiwa sanaaa
@everfidel3 ай бұрын
Amina
@revombenmwakwenda60063 ай бұрын
Barikiwa Sanaa❤❤
@AishaOman-qz7tn3 ай бұрын
Barikiwa sana kaka joel
@neemazacharia267026 күн бұрын
Asante baba ubarikiwe maana sasa
@user-so7sq9tk8e2 ай бұрын
Asante ushonaji na ubunifu ❤❤❤❤
@annahulilo67192 ай бұрын
Asante!🙏
@nurumichael2554Ай бұрын
Asante sana,barikiwa sana
@annamallya8756Ай бұрын
Ahsante sana Mungu azid kukutunza
@user-fu7ep9tr1b2 ай бұрын
Hongera mwalimu Mungu akupe siku Nyingi
@BuzakeYvonne-cc4geАй бұрын
Asante kwa maono mazuri
@paulinamoses17973 ай бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@fortunataezelina90593 ай бұрын
Asantee sana kaka
@elizabethchacha82763 ай бұрын
Well said mtumishi🙏
@gloryandrew99873 ай бұрын
Wooow🙏🏽
@UwinezaFrancine-nt4jw24 күн бұрын
Mungu nipe wateja kwenye duka yangu
@filorammbaga57102 ай бұрын
Tena nilikuwa nataka kununua shamba kibaha na nimemwambia Mungu aingilie kati uhitaji huu. Asante Joel 🎉
@sarahweston270826 күн бұрын
Kibaa watakuibia... Bora kanunue Mkulanga dadaangu
@user-nr1hu7gp1j3 ай бұрын
Ni kweli soma limeeleweka
@fridamossony28213 ай бұрын
Asant ubarikiwe
@MagrethIkotiАй бұрын
Amina na Mimi naamka jamani,mungu nisaidie
@linethowire70313 ай бұрын
Well said NANAUKA
@Jrmontaiza26 күн бұрын
Mwanamke ni mtu nanusu Mama zetu hakika madini makubwa hayo
@OripaMosha3 ай бұрын
Amina mtumishi Ila Mmi mumee wangu hataki nifanye biashara yoyete😢😢 Sasa hapo nifanyeje
@SubiraWilson-gv1mh2 ай бұрын
Anakupa kila kitu??
@happinesngindo46033 ай бұрын
Amen
@DorisDenis-sf2rj3 ай бұрын
Ubarikiwe
@silviafurah91723 ай бұрын
Barikiwa sana brother
@rechoshop40942 ай бұрын
Ubarikiwe sana jmn 🙏
@linahjoseph64572 ай бұрын
Dah sante sana bro umenigusa ktk biashala asante kwa kunihakikishia kile nilicho kua nawaza kukifanya❤
@AnnWahome-ty4nc18 күн бұрын
Thenks sana,umesoma kitabu gani
@user-vp2js5gw2z3 ай бұрын
Safi kaka nimejifunza kitu hapa
@gracefaida23173 ай бұрын
Barikiwa mnoooo
@Dottombwana2 ай бұрын
Imenijenga sana 🙏🏽❤️
@user-tl4vr1mq9p3 ай бұрын
Aminaaa
@happyambweneambwene84442 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa nimepata kitu
@agnesmwangombe6999Ай бұрын
Good advise
@lucyshedrack1892 ай бұрын
God bless you my brother
@evalinemalole6709Ай бұрын
🙌🙌🙌🙌 Genius one ever 🙌
@rahelmheziАй бұрын
Asante kaka
@user-jw6co2ji2sАй бұрын
Ameni mtumishi
@christinekitsao4569Ай бұрын
Amen, barikiwa sana mtumishi naomba kujua maandiko yanapatikana katika kitabu gani
@ZENAMHUMBAАй бұрын
Mithali 31
@user-lr3px6ph6q19 күн бұрын
Ubarikiwe sana kijana
@zaishanga16223 ай бұрын
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
@shyfettymtunda46193 ай бұрын
Mungu atubariki kwenye harakati zetu za utafutaji.
@mamii79353 ай бұрын
True
@georginambuluko42592 ай бұрын
Barikiwa sana
@godrivercaaron813 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi, umenijibu maswali yangu leo
@user-vb8rl2do1m2 ай бұрын
Shukuran❤
@ashantkamtaule98862 ай бұрын
Amen 🎉
@aderiderkihupi72402 ай бұрын
Asante
@JescaAnatoli3 ай бұрын
Safi sana mimi nimejifunza kitu katakana nipige hatua japo nafuga kuku wa mayai