Best of the Best may you live longer Mr Joel Arthur Nanauka you've changed me a Lot 🙏🙏
@raytonhungu1793 Жыл бұрын
I have impressed with your motivation mr Joel I see you reach so far 🙌
@yahayahamadi63384 ай бұрын
Nimekuelewa kaka nawaza sana chakufanya katika maisha sasa nimeshakijua
@onesmomustafa1352 жыл бұрын
Asante sana uko sawa.sana nanauka
@JosephinaKaaya8 күн бұрын
Kaka napenda motivation yak mimi n mwanachuo nataman kufanya biashara ila mazingira niliyopo mimi bado mgeni nfanyej
@rithalaizer46653 жыл бұрын
God bless you kaka nanauka👍
@kelvinbernard79802 жыл бұрын
Àsante mwalimu nabalikiwa saña na mafundisho yako
@ChausikuWerema7 ай бұрын
Be blessed
@salimkhamisi64902 жыл бұрын
Nashkuru joel nmekuuliza swali hapo lakin naona nshapta jibu shukran bishara nzuri yenye kuendelea ni ile iyambatane na ujuzi wako
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Masha Allha mipia nawaza nn chakufanya kiniingizie kipato kama mama wanyumbani
@johnsonkiwia65774 жыл бұрын
Kusema rahisi sana..hebu toa mifano kutoka kwenye biashara ulizo wahi anzisha
@lairumbelaizer44293 жыл бұрын
Kwani kuna biashara kubwa zaidi ya hiyo anayofanya kutufundisha . Biashara siyo lazima uuze vitu .
@RosyKaemdin7 ай бұрын
Anaujuz wa kuongea na watu wakamsikiliza na wakamuelewa tayar hapo ana ujuz na anaingiza pesa.. acha ujuaj na jifunze. lione kwanza
@hussenmzaganya10816 ай бұрын
hiyo kuongea ni ujuzi, kama unaona rahisi ongea na wewe tucoment hapa
@ELIAEDWARDNZOGUКүн бұрын
Nimekuelew sana bro sijawah kukoment post yoyte lakn Kwa hili nimejifunz kitu sana
@princessleonard64153 жыл бұрын
Kaka Joel natamani sana kufanikiwa lakin sijui nianzie wapi. Natamaaaaaan sana jaman
@ramadhanrashidali70564 жыл бұрын
God bless you 🔥🔥🔥🔥
@missdee95013 жыл бұрын
Thank you so much🙏🏾
@jamesibrahim88494 жыл бұрын
Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.
@MencyJoachim5 ай бұрын
Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia
@MathiasMathias-cg4nf4 ай бұрын
Eeee
@sharonezekiel72343 ай бұрын
Ww una ujuzi gn
@BetlamKaroli Жыл бұрын
Stay blessed forever
@JamesFares-b8g8 ай бұрын
kaka mm nimkulima wa kilimo Cha biashara naomba ushaulizaid niweze kunufaika nacho zaidi san ushaulii wako nimeupenda San hongera
@ruqayahaloraimi40073 жыл бұрын
Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.
@DannaGarcia-b5nАй бұрын
Sehemu niliopo inanipa wakat mgumu sana Kuanza biashara kaka joel
@aash41452 жыл бұрын
Shukran kwa kutupatia maarifa aa,, 🌹🌹🌹
@jimmyally59742 жыл бұрын
Am so happy kusikia swala linaloitwa biashara lakin leo nimepata kitu kutokana ww brother Joel Give us medicine
@onesmomustafa1352 жыл бұрын
Asante ndugu
@Lizzyktd8 ай бұрын
Ahsante sana kakaangu
@jumaalexis60203 жыл бұрын
Dhaaah nimekuelewa kinoma
@abrahammeatui38974 жыл бұрын
Dah mafundisho mazuri sana bro
@alimambabazi36664 жыл бұрын
Thank you so much for this information 😄
@MariamNkundaАй бұрын
Mungu akubalik Joel
@LuciaSide-y3c17 күн бұрын
ubarikiwe sanaaa
@chrispojosep47384 жыл бұрын
Me napenda sana kilimo vip uwo nao niujuzi
@RosyKaemdin7 ай бұрын
Ni unapenda kilimo lakin je una ujuz na kilimo?
@barakagonzalve41474 жыл бұрын
your amazing bro keep inspiring
@nshimirimanadjamilla72703 жыл бұрын
Shukran sana
@patriciasylvester897 Жыл бұрын
Point noted.
@fatimaalbraiki23414 жыл бұрын
Waoo katik zote hii ndoiko poa sanaa kiupande wangu m.mng aliyeumba mbingu na ardhi akubariki
@emanuelmasawe26732 жыл бұрын
Nimtu mwenye mawazo mapana na mungu akubariki
@rachelmruma37674 ай бұрын
Great
@MariamSamiji-f7sАй бұрын
Habari kaka Joel Mimi nina ujuzi wa computer yaan stationary kwa ujumla ila sijui nifanyie biashara gani maana sina mtaji wa kuanzisha stationary Ninaomba ushauri wako kaka.
@GladyKimaro-df7giАй бұрын
Hlw unataka kwel kuwa na stationary
@LemyIddy5 ай бұрын
Kutengeneza sim
@JosephSamson-i8mАй бұрын
mimi nimwanafunzi wa form five hila napenda kusikiliza ushauri wako napenda sana kaka
@abellabakalemwa57293 жыл бұрын
Your that inspiring person i know! Stay blessed
@shukuru9792 Жыл бұрын
Balikiwa
@BalumileMataba2 ай бұрын
KUZALIWA kwako ni Neema aisey 🎉
@Tulizogibson-g4f5 ай бұрын
Mimi Nina eneo kubwa la Hela 19 na nyumba pamoja na mabanda ya kuku na ya Ng'ombe nauza
@healinghomeprayercentre4 жыл бұрын
Thank you sir
@ErickaElia-o1z2 ай бұрын
Kaka bakupataje nimetaman kuongea na ww zaidi
@UPENDOSABORE5 ай бұрын
Mimi napenda Sana ufugaji na kilimo lakini sehemu ya kufugia sasa changamoto
@BobMathias-p8c7 ай бұрын
kaka hakuna somo baya kwako very thank you
@wilbertmlyuka57232 жыл бұрын
Kiukweli upo vizuri
@jeniferorotho9928 Жыл бұрын
🙏sana
@RodaEmmy4 ай бұрын
Naomba ushauli
@queenhuu28522 жыл бұрын
Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu
@jasminandrew3244 Жыл бұрын
Kak mim ninafanya biashara ya kupika vitafunwa vizur sana pia huwa ni msusi, pia naweza kupamba vitanda lakin kak bado sjafanikiwa nifanye nin sas?
@Pathro_Cavosia4 жыл бұрын
Asante Kaka
@lulufaruk6208 Жыл бұрын
MyLifeCoach
@agnesspeter7042 Жыл бұрын
Nakupata vp kak nanauka
@SeifJuma-f3l6 ай бұрын
Nice 🎉
@jameslidonde92113 жыл бұрын
Unatujenga sana vijana wa kiafrika
@paulmanyanza13304 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na maneno yako
@fatmahmed5647 Жыл бұрын
Mi napenda san kufanya biashala iwe duka au mgahawa napenda san
@mosesgandi84143 жыл бұрын
True
@elesiatabia22302 ай бұрын
Naomba nikupigie inbox naomba namba ya mawasliano naomba
@husnamasham50784 жыл бұрын
Ahsant kwa elimu mzuri
@ashuradaud9668 Жыл бұрын
Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???
@academiazsoft Жыл бұрын
Natamani nikuelewe nahis kuna kitu hapa
@bechatvlive Жыл бұрын
Mi ni operator wa motor grader na sijaajiriwa na campuni au mtu binafsi sasa swali nafanyaje kutengeneza pesa?
@m-tatu10503 жыл бұрын
you are the best broo
@mpeliakhim37703 жыл бұрын
Maneno matam sna
@AnjelNgongo11 күн бұрын
Mimi ni fundi chelehani ila sipati wateja
@fatmamkoga37663 жыл бұрын
Bravooo...!
@ghazalmsophe5322 Жыл бұрын
Biashara ni ujuzi "find ur skills" bado najitafuta
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
Kaka mimi nimekuelewa saan
@ibrahimjabir60232 жыл бұрын
Na je kama huna ujuzi ila unamtu wako yeye anaujuzi ila hana mtaji haiwezekani kufanya jambo kwa pamoja?
@nshimirimanadjamilla72703 жыл бұрын
👍
@safiyasafiya50144 ай бұрын
Bwana wewe fundi gari ni car mechanic engineer
@mussajuma77553 жыл бұрын
Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani
@luckamnyalu-un4qm Жыл бұрын
napataje namb yako jmn unanibarik
@salumamran21082 жыл бұрын
Kweli ujuzi niuhimu
@jescadeogratias52924 жыл бұрын
Ila Tz Mzima inatakiwa ijue KUWA Kuna mtu Kama wewe na nje ya mipaka ya Tz. Una upeo was ajabu sana wewe
@anatoleniyokwizigira37174 жыл бұрын
kabx,,,, ila tatizo unaweza ukawa na hizo skills ila mtaji ukakuta hauna,, je,, mtu anaweza akafanyaje????
@falesiboniphace21942 жыл бұрын
Tatizo namba unayoitoa msg ukituma haijibiwi cm inatumika mno,tunapaje kitabu
@Francsimba644 жыл бұрын
kaka asante sana kwa mafundisho yako
@nihlamoscary65694 жыл бұрын
Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?
@christinamushi22733 жыл бұрын
Daimaa napendaa kuwa Kama wew
@SaraphinaAbbas24 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ismailabdallah19324 жыл бұрын
brow umenikosha sana mwaka utakapo kuja mtwara naomba nikuone
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
🔨
@FaustiniMjuni5 ай бұрын
ni mepata elimu juu ya ujuzi
@mwajabumhita5814 Жыл бұрын
Kaka niko na laki moja ila sijui nifanye biashara gani
@mtindimagogera25254 жыл бұрын
Shukulan kak Kwa som lalk zuri san
@RivadoBabliery11 ай бұрын
Nimependa
@tristanjolly87562 жыл бұрын
baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne
@stellamwali1848 Жыл бұрын
Na Wayne awazasoma tufanye gani kaka
@sleyshabani36444 жыл бұрын
Nakusoma bro
@michaelkatigula57934 жыл бұрын
Nakupata Sana mwalim na ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp
@afyayangutv60154 жыл бұрын
Bro uko vizuri ila nitatatixo LA kupenda kila biashara ninayoiona