Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@FatumaIbrahim-c6d14 күн бұрын
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
@HalimaKassim-yz3we14 күн бұрын
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@Naju64514 күн бұрын
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
@user-rk5hp8ci3e14 күн бұрын
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
@HeryMrope4 сағат бұрын
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
@user-ky1ni2ly9r14 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@teedullah570814 күн бұрын
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@ISSAMAHAMOUDISSA14 күн бұрын
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
@indiaboytz573114 күн бұрын
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
@SHADIAALLY-pv3ql2 сағат бұрын
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
@AishaBaraka-k1d4 сағат бұрын
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
@rizikimohamed24497 сағат бұрын
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
@SalhaRamadan7 сағат бұрын
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
@zakiamohamed-ug5mx14 күн бұрын
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
@mohamedkisenga665414 күн бұрын
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
@MariamRashid-sm5zw19 сағат бұрын
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
@nasirikuzigile922814 күн бұрын
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂